Kisiasa
-
Dkt. Khamehyar: Uturuki ya baadae haitakwenda kuelekea Uislamu wa kisiasa wa kiwango cha juu, wala haitarudi kwenye msimamo mkali wa kisekula
Mshauri wa masuala ya kimataifa wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu: Kudumu kwa chama cha AKP kwa kipindi cha miaka ishirini iliyopita kumebadilisha kabisa sura ya Uislamu wa kisiasa nchini Uturuki. Ushindani kati ya Waislamu wa kisiasa na wasekula utaendelea.
-
Sheikh Ikrimah Sabri, khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa, atafikishwa kwenye mahakama!
Wakili wa Ikrimah Sabri amesema kwamba mashtaka dhidi yake ni sehemu ya “ufuasi wa kisiasa, kidini na kifikra,” na kwamba mamlaka za Kizayuni haziridhiki na misimamo yake ya kidini na kisiasa na wanajitahidi kunyamazisha sauti yake.
-
Wazayuni Wajibu Kauli za Trump: “Sisi Hatuko Chini ya Utawala wa Marekani!”
Hali ya sasa ya utawala wa Kizayuni (Israel) kutokana na utegemezi wake mkubwa kwa siasa za Marekani pamoja na changamoto za ndani, imegeuka kuwa moja ya hatua muhimu za kihistoria katika uhusiano wa kimataifa wa utawala huo. Mabadiliko haya yanaweza kusababisha mabadiliko ya kimkakati katika siasa za Israel na namna inavyoshirikiana na jamii ya kimataifa na Wapalestina.
-
Netanyahu: Uwepo wa Uturuki Gaza ni mstari mwekundu kwa Israel
Vyombo vya habari vya Israeli vimereport kuwa Binyamin Netanyahu amekataa kabisa hatua yoyote ya Uturuki kushiriki katika Ardhi ya Ukanda wa Gaza.
-
Kenya yaomboleza kifo cha Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga | Aagwa kwa Heshima Bungeni
Kifo cha Raila kimeacha pengo kubwa katika historia ya kisiasa ya Kenya, na atakumbukwa kama shujaa wa mageuzi na demokrasia nchini humo.
-
Prof. Pillar | "Kutambuliwa kwa Palestina na Ulaya Ni Ishara Tu ya Kidiplomasia"
“Ahadi za kuitambua Palestina bado ni hatua ya kidiplomasia tu. Mradi tu Israel inaendelea kuikalia ardhi ya Palestina, taifa la kweli la Palestina haliwezi kusimama"
-
Larijani: Hezbollah Haina Haja ya Msimamizi au Mlezi
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza kuhusu makundi ya upinzani wa ukombozi nchini Lebanon kwamba: Hezbollah na harakati za muqawama zina upeo wa juu wa fikra za kisiasa na hazihitaji mlezi.
-
Imam Khomein Akumbukwa: Mamia Wahudhuria Maadhimisho ya Kifo Chake Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam
Imam Khomein (ra) anakumbukwa duniani kote kama mtetezi wa wanyonge, hususan kwa msimamo wake thabiti katika kuwatetea Waislamu wa Palestina na wananchi wa Palestina kwa ujumla.