spika
-
Bunge la Iran: Lebanon Lazima Iwe Sehemu ya Makubaliano ya Mwisho ya Kusitisha Mapigano
Kamati ya Usalama wa Taifa ya Bunge la Iran imesema Lebanon ni sehemu muhimu ya makubaliano yoyote ya mwisho ya kusitisha mapigano, huku wabunge wa Iran wakisisitiza kuendelea kuiunga mkono Lebanon na harakati za muqawama pamoja na kutaka kukomeshwa kwa vitendo vya uhasama katika eneo hilo.
-
Ghalibaf: Hatuamini Ahadi za Adui, Kipimo ni Matokeo ya Vitendo
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema kuwa Iran haitategemea ahadi za maadui katika medani ya diplomasia, akisisitiza kuwa mafanikio hupimwa kwa matokeo halisi na kwamba umoja wa wananchi umechangia kwa kiasi kikubwa kuimarisha nafasi ya taifa hilo katika kukabiliana na mashinikizo ya nje.
-
Washington Yakanusha Kutuma Maafisa wa Kijeshi nchini Venezuela
Mike Johnson, Spika wa Bunge la Marekani, amekana Kutumwa kwa Maafisa wa Kijeshi Kwenda Venezuela. Mike Johnson, spika wa Bunge la Marekani, ameweka wazi kuwa Marekani haijasambaza au kutuma majeshi yake nchini Venezuela.
-
Spika wa Bunge la Iran: "Iran Haitaikubali Utawala wa Kigeni"
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ameweka wazi kuwa taifa la Iran halitawahi kukubali kutawaliwa na mataifa ya kigeni na litalinda uhuru wake kwa gharama yoyote.
-
Tanzania Yaomboleza Kifo cha Spika Mstaafu Mhe. Job Yustino Ndugai
Katika salamu za rambirambi, pole zimetolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ujumla.