uchaguzi
-
Ndoa ya “Kiutendaji” na “Kimwitikio” katika Mtindo wa Maisha wa Kiislamu
Ndoa ya Kiutendaji (konshi) inajengwa juu ya msingi wa uelewa, upangaji, kuwa na malengo, na maarifa ya kina, ambayo yanaendana na mafundisho ya Qur'ani yanayosisitiza kutafakari na kutumia akili kwa kina. Kinyume chake, ndoa ya Kimwitikio (vakoneshi) hutokana na mashinikizo ya nje, pupa, na hisia za muda mfupi, hali ambayo inakinzana na mafunzo ya Qur'ani yanayohimiza kuepuka pupa na kufanya mashauriano. Kwa hivyo, uchaguzi wa ndoa wa kimakini na wa kuwajibika – yaani ndoa ya kiutendaji – unakubaliana zaidi na mtazamo wa Kiislamu.
-
JMAT TAIFA:
Mdahalo wa Viongozi wa Dini na Siasa: Wito wa Kudumisha Amani na Demokrasia Safi kuelekea Uchaguzi Mkuu
Sheikh Dkt. Al-Hadi Mussa Salum: "Amani na Utulivu nchini ni msingi wa maendeleo ya Taifa na Ustawi wa kila Mtanzania".
-
Zanzibar | Rais Mwinyi Atoa Wito wa Kuendelea Kuliombea Taifa Amani
Alisema: “Kila ninapopata nafasi ya kuzungumza na Wananchi, nitaendelea kusisitiza juu ya umuhimu wa amani na utulivu kwa sababu ndiyo njia pekee ya kuhakikisha tunapata maendeleo.”
-
Chaguzi za Lebanon chini ya kivuli cha uvamizi wa Israel: Kura kwa chaguo la upinzani (Muqawamah) ndio jambo la msingi na lililopewa kipaumbele
Ingawa jeshi la Israel linaendelea na mashambulizi makali kusini mwa Lebanon, watu wa eneo hilo walihudhuria uchaguzi wa maeneo kwa wingi, wakithibitisha tena msaada wao kwa harakati za upinzani.
-
Kardinali Robert Prevost Achaguliwa Papa Mpya – Achukua Jina la Leo XIV
Katika hotuba yake ya kwanza kwa umma kutoka kwenye roshani ya Basilika ya Mtakatifu Petro, Papa Leo XIV alitoa salamu kwa kusema, "Amani iwe nanyi nyote!" Alisisitiza umuhimu wa umoja, amani, na mazungumzo, akitoa wito kwa Kanisa kuwa daraja linalounganisha watu wote. Alitoa salamu maalum kwa watu wa Peru, akionyesha uhusiano wake wa karibu na nchi hiyo kutokana na huduma yake ya muda mrefu kama mmisionari.