uchaguzi
-
Paul Biya Mwenye Umri wa Miaka 92 Atangazwa Mshindi wa Uchaguzi wa Urais wa Cameroon | Anaendelea Kutawala mpaka afikishe miaka 100
Wafuasi wa upinzani wameishutumu mamlaka kwa “kuiba kura” na wanasisitiza kutambuliwa kwa Bakary kama mshindi halali wa uchaguzi huo.
-
Muonekano wa Hali ya Kitamaduni na Kielimu ya Ardhi ya Gaza / Sehemu ya Kwanza: Kutoka kwa Familia za Kielimu na Kitamaduni Hadi Wairani Walioko Gaza
Ardhi ya Gaza, eneo lenye historia ya zaidi ya miaka elfu nne ya makazi ya binadamu, linatambulika kama mojawapo ya vituo muhimu vya ustaarabu Kusini-Mashariki mwa Asia. Ingawa katika karne moja iliyopita, uhalifu wa serikali ya kikoloni ya Kiingereza na utawala wa uongo wa Kizayuni umeharibu ishara nyingi za kitamaduni na ustaarabu wa eneo hili, vyanzo vya kihistoria vinaonyesha ishara nyingi za historia hii ya kupendeza.
-
Mashambulizi ya Kipuuzi Zaidi Kufuatia Kuongezeka kwa Umaarufu na Ushindi wa Mamdani katika Uchaguzi wa Awali wa Umeya wa New York
Zahran Mamdani, Mbunge wa jimbo na mgombea wa chama cha Demokratik katika uchaguzi wa Umeya wa New York, kupitia kampeni za wananchi amefanikiwa kuwashinda wapinzani maarufu kama Andrew Cuomo katika kinyang’anyiro cha awali na kuwa mgombea wa kwanza Mwislamu kwa nafasi hiyo. Ushindi huo, hata hivyo, umekumbwa na mashambulizi ya chuki na matusi ya Uislamu kutoka kwa baadhi ya wanasiasa, lakini yeye pamoja na wafuasi wake wametangaza kuwa hawatarudi nyuma mbele ya chuki na ubaguzi.
-
Irada ya Mwanadamu; Ufunguzi wa Mafanikio na Furaha katika Mafundisho ya Qur’ani na Hadithi
Mtazamo wa Qur'an kuhusu Irada: Qur’ani Tukufu inamueleza mwanadamu kuwa kiumbe mwenye uhuru wa kuchagua na mwenye kuwajibika: “Hakika Mwenyezi Mungu habadilishi yaliyoko kwa watu mpaka wabadilishe yaliyoko katika nafsi zao.” (Sura ya Ra’d, aya 11).
-
Sheikh Naeem Qassem:
"Kulenga Palestina, Muqawama na Iran ni sehemu ya vita moja / Mpango hatari wa Trump kwa Gaza: Vazi la Kimarekani juu ya mpango wa Kizayuni"
Katibu Mkuu wa Hizbullah nchini Lebanon, Sheikh Naeem Qassem, katika maadhimisho ya mwaka mmoja wa shahada ya mashujaa wawili wa muqawama — Shahid Sheikh Nabil Qawuq na Sayyid Suhail Al-Husseini — alionya kuhusu sura mpya ya mradi wa Kizayuni unaoitwa “Israel Kubwa” na kusisitiza juu ya kuendelea kwa mapambano na ulinzi wa mhimili wa haki.
-
Imamu Mkuu wa Baghdad amesisitiza umuhimu wa kushiriki kwa ufahamu katika uchaguzi wa Bunge la Wawakilishi wa Iraq | Nguvu ya Muqawama wa Hizbollah
Imamu Mkuu wa Baghdad alisema kuwa taifa la Iraq leo limekabiliwa na chaguo mbili: ama kukubali serikali dhaifu isiyoweza, ama kwa kushiriki kwa nguvu katika uchaguzi kuharibu mpango wa Marekani.
-
Waziri Mkuu wa Iraq amewataka raia kushiriki katika uchaguzi ujao
Waziri Mkuu wa Iraq, akiwaonya kuhusu athari za kususia uchaguzi wa bunge, alisisitiza kuwa kutoshiriki kwa wananchi kutatoa nafasi kwa mafisadi na maadui wa maslahi ya taifa.
-
Ndoa ya “Kiutendaji” na “Kimwitikio” katika Mtindo wa Maisha wa Kiislamu
Ndoa ya Kiutendaji (konshi) inajengwa juu ya msingi wa uelewa, upangaji, kuwa na malengo, na maarifa ya kina, ambayo yanaendana na mafundisho ya Qur'ani yanayosisitiza kutafakari na kutumia akili kwa kina. Kinyume chake, ndoa ya Kimwitikio (vakoneshi) hutokana na mashinikizo ya nje, pupa, na hisia za muda mfupi, hali ambayo inakinzana na mafunzo ya Qur'ani yanayohimiza kuepuka pupa na kufanya mashauriano. Kwa hivyo, uchaguzi wa ndoa wa kimakini na wa kuwajibika – yaani ndoa ya kiutendaji – unakubaliana zaidi na mtazamo wa Kiislamu.
-
JMAT TAIFA:
Mdahalo wa Viongozi wa Dini na Siasa: Wito wa Kudumisha Amani na Demokrasia Safi kuelekea Uchaguzi Mkuu
Sheikh Dkt. Al-Hadi Mussa Salum: "Amani na Utulivu nchini ni msingi wa maendeleo ya Taifa na Ustawi wa kila Mtanzania".
-
Zanzibar | Rais Mwinyi Atoa Wito wa Kuendelea Kuliombea Taifa Amani
Alisema: “Kila ninapopata nafasi ya kuzungumza na Wananchi, nitaendelea kusisitiza juu ya umuhimu wa amani na utulivu kwa sababu ndiyo njia pekee ya kuhakikisha tunapata maendeleo.”
-
Chaguzi za Lebanon chini ya kivuli cha uvamizi wa Israel: Kura kwa chaguo la upinzani (Muqawamah) ndio jambo la msingi na lililopewa kipaumbele
Ingawa jeshi la Israel linaendelea na mashambulizi makali kusini mwa Lebanon, watu wa eneo hilo walihudhuria uchaguzi wa maeneo kwa wingi, wakithibitisha tena msaada wao kwa harakati za upinzani.
-
Kardinali Robert Prevost Achaguliwa Papa Mpya – Achukua Jina la Leo XIV
Katika hotuba yake ya kwanza kwa umma kutoka kwenye roshani ya Basilika ya Mtakatifu Petro, Papa Leo XIV alitoa salamu kwa kusema, "Amani iwe nanyi nyote!" Alisisitiza umuhimu wa umoja, amani, na mazungumzo, akitoa wito kwa Kanisa kuwa daraja linalounganisha watu wote. Alitoa salamu maalum kwa watu wa Peru, akionyesha uhusiano wake wa karibu na nchi hiyo kutokana na huduma yake ya muda mrefu kama mmisionari.