wanazuoni
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s) Uturuki Yaionya Marekani: Imam Khamenei ni Mstari wetu Mwekundu
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s) nchini Uturuki, katika tamko lake, imetangaza kuwa jaribio lolote la kumvunjia heshima au kumdhuru Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mstari mwekundu wa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Sa‘yi kati ya Safa na Marwa: Alama ya Imani na Nguzo Muhimu ya Hija na Umra
Aya hii tukufu inathibitisha kuwa sa‘yi baina ya Safa na Marwa ni sehemu muhimu ya ibada ya Hija na Umra, na kwamba hakuna dhambi wala lawama katika kuitekeleza. Kinyume chake, ni ibada iliyoidhinishwa na Qur’ani na kusisitizwa na Sunna ya Mtume ﷺ, na aya imekuja mahsusi kuondoa shaka na uzito uliokuwepo katika nyoyo za watu kuhusu ibada hii.
-
Mkutano wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon: Kutukana Qur’ani Tukufu ni kuwashambulia Waislamu wote
Wanazuoni hao walionya kuwa tabia kama hiyo hufungua mlango kwa wenye misimamo mikali wa dini nyingine kushambulia matakatifu ya watu wengine, na hata Huongeza uwezekano wa vitendo vya kulipiza kisasi, jambo ambalo jamii ya Marekani inaweza kuathirika nalo kwa kiwango kikubwa.
-
Sheikh Naim Qassem:
Lebanon inapaswa kukabiliana kikamilifu na uvamizi wa kibeberu wa utawala wa Kizayuni | Mashahidi walijitolea kwa roho, mali na kila walichokuwa nacho
Lebanon inakabiliwa na uvamizi hatari wa Kizayuni: Akirejea mashambulizi ya mara kwa mara ya Israel kusini mwa Lebanon, alisema: “Lebanon inakabiliwa na uvamizi wa hatari na wa kupanua mipaka wa utawala wa Kizayuni. Lazima tukabiliane nao kwa kila njia na mbinu. Adui huyu haheshimu makubaliano yoyote.”
-
Afisa wa Uhusiano wa Umma wa Kikosi cha Anga cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC):
“Utamaduni wa Kujitolea na Uadilifu ndiyo Mzizi wa Nguvu ya Kikosi cha Anga cha IRGC"
Makombora Sheikh Naderi alisema kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya uongozi wa juu, kipindi hiki kimepewa jina la *“Wiki ya Ujasiri wa Makombora”* kwa lengo la kuenzi mashahidi na kuonyesha mafanikio ya kikosi hicho kwa wananchi.
-
Mhubiri Mashuhuri wa Pakistan: Msiba wa Gaza ni mtihani wa imani na dhamiri ya Taifa la Kiislamu
Mmoja wa wanazuoni wa Kishia kutoka Pakistan amesisitiza kuwa: Licha ya kuwepo Waislamu zaidi ya bilioni mbili duniani, ummah haujafanikiwa kutekeleza jukumu lile ambalo Qur’an na Sharia zinatarajia kutoka kwake, na hili lenyewe ni ishara ya kushindwa kwa pamoja kwa umma wa Kiislamu.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain:
Kujiondoa kwenye njia ya Muqawama (Mapambano ya kupinga dhulma) ni sawa na fedheha na udhalili
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain alisisitiza kuwa kuacha njia ya Muqawama (mapambano dhidi ya wavamizi na dhulma) hakuzai chochote isipokuwa fedheha, udhalilishaji na utumwa.
-
Ayatollah Ashrafi Shahroudi alipokutana na viongozi wa Shirika la Habari la “Abna” alisema:
"Kuonyesha huruma na kujali kwa ajili ya mafundisho ya Ahlul Bayt (a.s) huleta maendeleo katika kazi mbalimbali"
"Kwa juhudi za Imam na Mapinduzi, jina la Ahlul Bayt (a.s) limejulikana na kutambulika kote duniani. Sababu kuu ya uadui wote wa naadui dhidi ya IRAN, unatokana na IRAN na Jamhuri ya Kiislamu kuzingatia na kufuatilia zaidi mafundisho ya Ahlul-Bayt (a.s). Kuanzia vita vya miaka minane hadi fitina ya Daesh na hata uvamizi huu wa utawala wa Kizayuni ni kwa sababu ya imani ya dhati ya Taifa la Iran na uvumilivu wa Mashia."
-
Ujumbe wa Shukrani kutoka kwa Ayatollah Faqihi kwa Taifa Tukufu la Iraq
“Nyinyi mmekuwa wenyeji bora na waagizaji bora kwa mahujaji wa Arubaini.”
-
Waraka wa “Siri Iliyo Hifadhiwa” ni nini?
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) katika ubora na thawabu ya kumswalia Bibi Fatimah Zahra (a.s) amesema: “Ewe Fatimah! Yeyote atakayekuswalia na kukutumia salamu, Mwenyezi Mungu atamsamehe na popote nitakapokuwa katika Pepo atamuunganisha nami.”
-
Kuuawa na kujeruhiwa kwa Waislamu 5 wa Kishia nchini Pakistan katika shambulio la kundi la kitakfiri la Sipah-e-Sahaba
Waislamu wawili wa Kishia wameuawa shahidi katika shambulio la kigaidi lililotokea katika jiji la Karachi, Pakistan.
-
Safari ya Kuleta Umoja ya Ayatollah Ramezani nchini Niger; Mazungumzo na Maulamaa Wakuu wa Dini wa Mji wa Niamey | Zawadi ya Pete ya Baraka Yatolewa
Katibu Mkuu wa Jumuia ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika kikao na Imam wa Msikiti Mkuu wa Mji wa Niamey alisisitiza umuhimu wa kuimarisha Umoja wa Kiislamu na kuunga mkono nafasi ya Wanazuoni wa Dini katika jamii.
-
Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa mkutano wa kumbukumbu ya miaka mia moja (100) ya kuanzishwa upya kwa Chuo cha Dini cha Qom:
Ayatollah Khamenei: Jukumu la (Hawza) Chuo cha Kidini ni Kuchora Mipaka Mikuu na Midogo ya Ustaarabu mpya wa Kiislamu
"Kazi kuu na ya msingi ya Hawza ni (البَلاغُ المُبین) kufikisha ujumbe wa dini kwa uwazi na ufasaha (ubalighi wa wazi - Kwa maana: Kufikisha ujumbe kwa uwazi na uthabiti na kwa namna ambayo haiachi shaka yoyote -). Miongoni mwa vielelezo vyake muhimu kabisa ni kuchora na kueleza kwa uwazi mistari (mipaka) mikuu na ya kando ( au midogo) ya ustaarabu mpya wa Kiislamu, pamoja na kuifafanua, kuieneza, na kuikuza katika jamii kama sehemu ya utamaduni."
-
Ripoti ya Kina ya Mkutano wa 3 wa Kimataifa wa Wanahabari wa AhlulBayt(as)kwa Ushiriki wa Wanahabari kutoka zaidi ya nchi 20 za Afrika +Picha na Video
Sambamba na Siku Kumi za Karama (The Ten Days of Karama), Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa 'Waandishi wa Habari wa Ahlul-Bayt (a.s)' umefanyika leo Alhamisi asubuhi, tarehe 1 Mei, 2025), katika ukumbi wa mikutano wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) Mjini Qom, kwa Ushiriki wa Wanaharakati wa Habari na Wasomi kutoka Iran na Bara la Afrika.
-
Utamaduni wa Kisasa wa Mauaji ya Kimbari ya Mawazo na Imani
"Mashambulizi ya Kitamaduni hayako tena katika kiwango cha tahadhari au nadharia; leo hii yamejikita katika kona za fikra za kijana wa Kiiran na kwa utulivu, lakini kwa mfululizo, na yanashambulia imani, utambulisho na mtindo wa maisha ya Kiislamu."
-
Je, Mazungumzo Kati ya Mwanamume na Mwanamke Wasiokuwa Mahramu Yamekatazwa kwa namna yoyote ile katika Uislamu?
“Kauli yenye nguvu zaidi ni hii kwamba kusikia (kusikiliza) sauti ya Mwanamke asiyekuwa Mahram, maadamu si kwa ajili ya tamaa, starehe au maslahi, ni jambo linaloruhusiwa (linajuzu). Vivyo hivyo kwa Mwanamke, ikiwa hakuna hofu ya fitina, anaweza kusikika na Wanaume wasio mahram kwake".
-
Marasimu ya kuhuisha Mikesha ya Siku za Lailatul-Qadr itafanyika katika Haram ya Hadhrat Zainab (s.a)
Marasimu (Sherehe) ya kuhuisha Usiku wa Lailatul- Qadr itafanyika kwa muda wa nyusiku tatu katika Madhabahu (Haram) Tukufu ya Hazrat Zainab (s.a).