Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Ushiriki wa wananchi katika maandamano na kuonesha utii kwa Jamhuri ya Kiislamu utasababisha adui kurudi nyuma katika tamaa zake dhidi ya Iran na maslahi ya taifa.
Nguvu ya taifa haihusiani zaidi na makombora na ndege za kivita, bali inahusiana zaidi na azma ya mataifa na msimamo wao thabiti.
Kama ilivyokuwa katika matukio mbalimbali ya zamani, tena kwa kuonesha nguvu ya taifa - yaani umoja, nguvu ya fikra na azma, motisha na kusimama imara dhidi ya vishawishi - mvunje moyo adui, kwa sababu adui hatakapo kata tamaa, hataacha kuudhi na kuidhuru.
Your Comment