Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Lifuatalo ni Tangazo la: Wito wa kushiriki katika Kampeni ya utayarishaji wa maudhui ya vyombo vya Habari kwa lengo la kurekodi na kuhifadhi mandhari mbalimbali za Arbaeen ya Imam Hussein (as).
Katika vipengele vifuatavyo:
Picha (za kitaalamu, za simu na mkusanyiko wa picha)
Video (za taarifa, za makala na vlog)
Akili Bandia (picha, video na sauti)
Podcast
Sehemu maalumu:
🔹 Kiongozi wetu, Shahidi, katika njia ya Hussein (as)
(Kurekodi Mandhari za mapenzi na heshima ya wageni wa Arbaeen kwa Kiongozi Shahidi)
🔹 Dunia moja katika kumbatio la Hussein (as)
(Kurekodi mandhari za uwepo wa wageni wa kimataifa na bendera za nchi mbalimbali)
Njia za mawasiliano kwa ajili ya kutuma kazi:
@nahno_abna_alhussain
Mwisho wa kutuma kazi:
22 Septemba 2026

Maoni yako