Imam Hussein(as)
-
Ayatullah Mujtaba al-Husseini Khamenei: Shahidi Aliishi na Kupigania Njia ya Imam Hussein (AS)
Ayatullah Sayyid Mujtaba al-Husseini Khamenei amesema kuwa kiongozi shahidi aliishi, akafikiri, akapambana na hatimaye akapata shahada kwa kufuata kwa dhati njia na mafundisho ya Imam Hussein (AS).
-
Iraq yatangaza vituo vya mipakani kwa raia wa kigeni na wahamiaji watakaoshiriki Arubaini ya Imam Husayn (as)
Serikali ya Iraq imetangaza taratibu za kuingia na kutoka nchini kupitia vituo maalumu vya mipakani kwa raia wa kigeni na wahamiaji wanaokusudia kushiriki ibada ya Arubaini ya Imam Husayn (as) katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mujtaba al-Husseini Khamenei, Atoa Tamko Maalumu Kufuatia Mazishi ya Imam Shahidi Sayyid Ali Khame
Katika tamko lake kufuatia mazishi makubwa ya Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mujtaba al-Husseini Khamenei, amesisitiza kuendelezwa kwa njia ya Imam Husayn (a.s.), kulinda urithi wa Mapinduzi ya Kiislamu, na kuendelea kudai haki kwa damu za mashahidi.
-
Mwakilishi wa Ayatollah Sistani Ataongoza Swala ya Janaza ya Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika Haram ya Imam Hussein (a.s)
Uongozi wa Ataba Tukufu ya Imam Hussein (a.s.) umetangaza kukamilisha maandalizi yote ya kupokea msafara wa mazishi ya Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, huku swala ya janaza ikitarajiwa kuongozwa na mwakilishi wa Marjaa Mkuu Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani, Sheikh Abdul Mahdi al-Karbala'i.
-
Mwandishi wa Al-Wifaq: Sayyid Ali Khamenei ameanza ukurasa mpya katika nyoyo za wafuasi wake
Mwandishi wa jarida la Al-Wifaq amesema kuwa kwa wafuasi wake, Shahidi Sayyid Ali Khamenei si kiongozi aliyemaliza maisha yake, bali ni fikra na mradi unaoendelea kuishi katika nyoyo na dhamira za Umma.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Atembelea na Kutoa Heshima Katika Maqamu Takatifu za Imam Hussein (AS) na Hazrat Abolfazl Abbas (AS) nchini Iraq
Waziri wa Mambo ya Nje wa Abbas Araghchi amefanya ziara katika mji mtakatifu wa Karbala, ambapo alitembelea maqamu takatifu za Imam Hussein ibn Ali na Al-Abbas ibn Ali na kutoa heshima zake wakati wa ziara yake rasmi nchini Iraq.
-
Mamilioni ya Waombolezaji Washiriki Maandamano ya Ashura katika Zaidi ya Miji 60 nchini Nigeria
Mamilioni ya Waislamu wa Kishia na wapenzi wa Ahlul-Bayt (as) walishiriki maandamano na majlisi za kuomboleza siku ya Ashura katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja, pamoja na zaidi ya miji 60 nchini humo, wakisisitiza kuendeleza ujumbe wa Karbala na utamaduni wa kusimama dhidi ya dhulma.
-
Al-Wefaq ya Bahrain: Kushambulia Shaairi za Imam Hussein ni Kosa Kubwa Zaidi la Kisekta la Utawala wa Aal Khalifa
Jumuiya ya Al-Wefaq ya Bahrain imeelezea hatua za hivi karibuni dhidi ya shaairi za Imam Hussein (a.s.) kuwa ni “upumbavu mkubwa zaidi wa kimadhehebu katika historia ya Bahrain,” ikionya kuwa kuendelea kwa sera hizo kunaweza kuleta athari kubwa kwa utawala wa Aal Khalifa.
-
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Iran Waomboleza Tasu'a ya Imam Hussein (a.s.) nchini Mexico
Wachezaji na viongozi wa msafara wa Timu ya Taifa ya Soka ya Iran wamefanya majlisi ya maombolezo ya Tasu'a ya Imam Hussein (a.s.) katika makazi yao mjini Tijuana, Mexico, wakikumbuka mashahidi wa Karbala na kuonyesha mapenzi yao kwa Ahlul-Bayt (a.s.).
-
Majlisi ya Maombolezo ya Muharram Yafanyika Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam
Majlisi ya maombolezo ya mwezi wa Muharram imefanyika katika Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam, Tanzania, ambapo mhadhiri alikuwa Sheikh Taqee Zacharia Athumani, akizungumzia sababu za kuhuishwa kwa kumbukumbu ya Karbala kila mwaka.
-
Majlisi ya kuhuisha kumbukumbu ya Imam Hussein (a.s) katika Shule ya Wasichana ya Bibi Zaynab (s.a) – Kigamboni, Dar es Salaam
Katika shule ya wasichana ya Shule ya Bibi Zaynab (sa) kumefanyika hafla ya kuhuisha kumbukumbu ya Imam Hussein (a.s) kwa lengo la kuimarisha utamaduni wa Ashura na kuelimisha nafasi ya mwanamke katika Uislamu.
-
"Mtu kama mimi hawezi kumpa baia mtu kama yeye" – Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei alipofafanua somo Kubwa la Muharram
Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei alisema kuwa somo kubwa zaidi la Mwezi wa Muharram ni kujitolea kwa Imam Hussein (AS) kwa ajili ya kuilinda dini ya Uislamu, akisisitiza kuwa kila Muumini anapaswa kuwa tayari kujitoa kwa kila alicho nacho pale utetezi wa Uislamu unapohitajika.
-
Muharram 1448H: Wanafunzi Mabinti wa Jamiatul Mustafa Washiriki Majlisi ya Maombolezo katika Msikiti wa Amirul Muuminin (AS), Magomeni
Wanafunzi 144 wa Jamiatul Mustafa, wakiongozana na msimamizi wao, walishiriki majlisi ya maombolezo ya Muharram katika Msikiti wa Amirul Muuminin (AS) uliopo Mgomeni, Dar es Salaam. Majlisi hiyo ilijumuisha muhadhara wa Sheikh Hujjatul Islam wal-Muslimin Aydarus, kisomo cha Qur'ani Tukufu na maombolezo ya Imam Hussein (AS), ikiwa ni sehemu ya kuhuisha ujumbe wa Karbala wa haki, uadilifu na kujitolea katika njia ya Mwenyezi Mungu.
-
Bendera ya Maombolezo ya Imam Hussain (AS) Yapandishwa katika Haram ya Hazrat Fatimah Masoumeh kuukaribisha Mwezi wa Muharram
Mamia ya Mazuwwari na wakazi wa mji wa Qom walishiriki hafla ya kupandisha Bendera Nyeusi ya maombolezo ya Imam Hussein (AS) juu ya Kuba la Haram ya Hazrat Fatimah Masoumeh (SA), kuashiria kuanza kwa Mwezi Mtukufu wa Muharram na kumbukumbu ya Mashahidi wa Karbala.
-
John bin Huway (r.a): Mtumwa Mweusi Aliyeandika Historia ya Uaminifu kwa Imam Hussein (a.s)
Miongoni mwa mashujaa waliotukuka katika tukio la Karbala yupo John bin Huway (r.a.), ambaye historia yake inaonyesha wazi kwamba mbele ya Mwenyezi Mungu heshima ya mtu haipimwi kwa rangi, kabila wala hadhi ya kijamii, bali kwa imani, uchamungu na uaminifu kwa haki.
-
Kumbukumbu ya Kuzaliwa kwa Imam Hussein (a.s)
Imam Hussein (a.s) anajulikana kwa kun'ya ya Abu ‘Abdillah, na miongoni mwa lakabu zake ni: As-Sayyid, Az-Zakiy, Al-Mubarak na As-Sibt. Mtume (s.a.w.w) alisema kuhusu yeye na kaka yake: “Wao ni mabwana wa vijana wa Peponi.”
-
Taliban Wamefunga Kituo cha Kielimu na Kitamaduni cha Imam Hussein (a.s) Jijini Kabul
Kituo cha Kielimu na Kitamaduni cha Imam Hussein (a.s) kilihesabiwa kuwa miongoni mwa vituo hai vya kitamaduni vya Waislamu wa Kishia katika magharibi mwa Kabul. Kufungwa kwake kumeibua hisia na malalamiko miongoni mwa wakazi wa eneo hilo na wanaharakati wa kitamaduni, ambao wameeleza wasiwasi wao kuhusu mustakabali wa shughuli za kielimu na kitamaduni za jamii hiyo chini ya utawala wa sasa.
-
Maadhimisho ya Kifo cha Bibi Fatima Umm ul-Banin (a.s)
Bibi Ummul-Baneen aliwapenda Ahlul-Bayt wa Mtume kuliko alivyowapenda wanawe mwenyewe. Alipopata habari za huzuni za Karbala, hakumuuliza kwanza kuhusu wanawe wanne, bali alisema: “Nijulisheni kuhusu Hussein.”
-
Sheikh Naeem Qassem: Sisi ni watoto wa Imam Hussein (a.s) na hatuoni chaguo isipokuwa kuishi kwa heshima
Katibu Mkuu wa Hizbullah alipozungumza kwa ajili ya Siku ya Shahidi alisema: hatutaachana na silaha inayoitwawezesha kujitetea. Tumeachwa kwa shambulio na tutajilinda wenyewe.
-
Kwa kuadhimisha sherehe ya kifahari ya "Laylat al-Kabirah":
"Wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s) nchini Misri wameadhimisha kumbukumbu ya kuwasili kwa kichwa cha Imamu Hussein (a.s) mjini Cairo"
Sherehe ya kifahari ya "Laylat al-Kabirah" ilifanyika nchini Misri kwa kushirikiana na idadi kubwa ya wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s), kuadhimisha kumbukumbu ya kuwasili kwa kichwa cha Imam Hussein (a.s).
-
Katika mkutano na kundi la wanafunzi wa vyuo vya kidini:
Sheikh Zakzaky atoa onyo kuhusu juhudi za kutengeneza “Uhusiano wa kawaida” ili kuhalalisha uhusiano na Madhalimu
Sheikh Zakzaky amesema: “Kama maridhiano na madhalimu yangekuwa sahihi, basi Imam Hussein (a.s) angekubaliana na Yazid.” Sheikh Ibrahim Zakzaky, katika mkutano na kundi la wanafunzi wa vyuo vya kidini kutoka nchi kadhaa za Kiislamu, alisisitiza wajibu wa kielimu na kijamii wa wanafunzi wa dini, akiwahimiza kujifunza kwa undani elimu za Kiislamu, kuielimisha jamii, na kulinda uhuru wa fikra. Aidha, alitoa onyo kali kuhusu juhudi za kuhalalisha au kuzoesha maridhiano na madhalimu.
-
Mwakilishi wa Kiongozi Mkuu wa Kidini katika masuala ya Hija na Ziara:
"Kufuata mtindo wa maisha wa Imam Hussein (a.s) ni suluhisho kwa changamoto za jamii ya leo"
Mwakilishi wa Kiongozi Mkuu wa Kidini katika Masuala ya Hija na Ziara, katika hafla ya kufunga tukio la pili la kimataifa la vyombo vya habari “Nahnu Abna’ Al-Husayn (a.s)”, alisisitiza umuhimu wa kunufaika na mtindo wa maisha na mafundisho ya Imam Husayn (a.s) ili kujibu mahitaji ya jamii ya leo.
-
Takriban Milioni 16 Washiriki Ziara ya “Jamandegan Arubaini” Iran
Ibara ya "Jamandegan Arubaini” inahusu wale walioshindwa kwenda ziara ya Arubaini ya Imam Hussein (as) katika Ardhi ya Karbala, lakini wanasherehekea tukio hilo kwa kufanya ibada na mikutano ya Maadhimisho ya Arubaini ya Imam (as) tokea mahali pale walipo.
-
Shukrani za Balozi wa Iran kwa Marjaa, Serikali na Wananchi wa Iraq kwa Kufanikisha Maadhimisho ya Arubaini
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Iraq, Bw. Muhammad Kazim Al-Sadiq, ametuma tamko maalum la shukrani kwa Marjaa wa kidini, serikali, wananchi, hasa makabila, vijana na vyombo vya ulinzi na usalama vya Iraq kwa kufanikisha maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).
-
Huduma za Afya Bure kutoka Kituo cha Afya cha Razavi Mkoa wa Gilan katika Kituo cha "Waliobaki" wa Arubaini Rasiht
Katibu wa Kituo Maalumu cha Huduma za Afya cha Razavi Mkoa wa Gilan ametangaza juu ya utoaji wa huduma za bure za kitabibu na afya na kikundi cha kijitolea cha “Huduma na Upinzani wa Razavi” wakati wa hafla ya waliobaki wa Arubaini ya Imam Husain (a.s) katika Uwanja wa Manispaa ya Rasht.
-
Arubaini: Jukwaa la Haki, Amani na Uadilifu, na ni Taa ya Uongofu na Jahazi la Uokovu
Historia inaonyesha kuwa jukwaa hili lina mizizi imara katika imani, haki na uadilifu. Lilianza na mtu mmoja au wawili zaidi ya karne kumi zilizopita. Pamoja na changamoto nyingi zilizowakumba waliolipanda, idadi ya washiriki imekuwa ikiongezeka kila mwaka - hasa baada ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Wapenzi wa Imam Hussein (as) 36,000 wa Gilan Wajiandikisha kwa ajili ya Arubaini / Waanza Kurudi Nyumbani Taratibu
Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Arubaini mkoa wa Gilan ametangaza kuanza kwa kurejea taratibu kwa mahujaji wa Arubaini mkoani humo na kusema kuwa hadi sasa zaidi ya watu 36,000 kutoka Gilan wamejiandikisha kwenye mfumo wa Samah ili kushiriki katika maadhimisho ya kimataifa ya Arubaini ya Imam Husein (a.s).
-
Ubaguzi Dhidi ya Wafuasi wa Shia Nchini Punjab: Serikali Yatumia Shinikizo na Vitisho Kukomesha Maandamano ya Arbaeen Husseini (as)
Serikali ya Punjab imewaita wamiliki wa vibali vya kufanya maombolezo, waandaaji wa vituo vya kutoa huduma za bure (maisha ya Sadaka) na wajumbe wa kamati za ulinzi, na kuwashinikiza watangaze rasmi kujitenga na matembezi ya Arbaeen kuelekea Karbala.
-
Ziara ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s.): Maana na Athari Zake
Ziara ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s.) ni shule kamili ya roho, akili, jamii, na siasa. Ni fursa ya kuimarisha imani, kukuza undugu, kupandikiza roho ya kupinga dhulma, na kudumisha kumbukumbu ya kujitolea kwa ajili ya haki. Kuendeleza ibada hii ni njia ya kudumisha maadili ya kimungu na kibinadamu, na kuisambaza kwa vizazi vijavyo.
-
Kuzuiwa kwa njama ya ISIS ya kulenga Mazuwwari wa Arubaini / Magaidi 22 wakamatwa
Gavana wa Karbala ametangaza kufanikiwa kuzuia njama ya kigaidi iliyolenga kushambulia mahujaji wa Arubaini wa Imam Hussein (a.s).