Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.
Ingawa jeshi la Israel linaendelea na mashambulizi makali kusini mwa Lebanon, watu wa eneo hilo walihudhuria uchaguzi wa maeneo kwa wingi, wakithibitisha tena msaada wao kwa harakati za upinzani.
Kwa mtu yeyote, anayetaka thawabu na malipo mema toka kwa Allah (s.w.t), kupitia kusapoti na kusaidia Harakati hizi za Kidini za S.D.O Bukoba, Tanzania, basi anakaribishwa na mlango upo wazi.