Kigaidi
-
ISIS (Daesh) Yathibitisha Kuhusika na Shambulio la Kujitoa Mhanga huko Quetta, Pakistan
Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) nchini Pakistan limetoa taarifa kupitia vyombo vyake vya habari, Amaq na Khilafah News, na kudai kuhusika na shambulio la kujitoa mhanga lililotokea usiku uliopita katika jiji la Quetta, makao makuu ya jimbo la Balochistan, Pakistan.
-
Kuzuiwa kwa njama ya ISIS ya kulenga Mazuwwari wa Arubaini / Magaidi 22 wakamatwa
Gavana wa Karbala ametangaza kufanikiwa kuzuia njama ya kigaidi iliyolenga kushambulia mahujaji wa Arubaini wa Imam Hussein (a.s).
-
Kuuawa na kujeruhiwa kwa Waislamu 5 wa Kishia nchini Pakistan katika shambulio la kundi la kitakfiri la Sipah-e-Sahaba
Waislamu wawili wa Kishia wameuawa shahidi katika shambulio la kigaidi lililotokea katika jiji la Karachi, Pakistan.
-
Mwanamke Mmoja akamatwa kwa tuhuma za kujaribu kumuua Netanyahu
Duru za Israel zimeripoti kukamatwa kwa Mwanamke mmoja kwa tuhuma za kujaribu kumuua Waziri Mkuu wa utawala huo haram wa kizayuni.