Maeneo
-
Vikosi vya Urusi Vadai Kuuteka Kikamilifu Mji wa Kupyansk Huko Ukraine - Ukraine Yakanusha!
Kwa sasa, hali ya Kupyansk inaelezwa kuwa bado ni ya mvutano mkubwa, huku mashambulizi ya mabomu, droni na silaha nzito yakiendelea kuripotiwa katika maeneo ya karibu.
-
Onyo la Profesa wa Chuo Kikuu cha Australia kuhusu wimbi la chuki dhidi ya Uislamu baada ya tukio la kigaidi la Sydney
Mark Kenny, Profesa wa Masomo ya Australia katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Australia (Australian National University), ameonyesha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa hatari ya chuki dhidi ya Uislamu baada ya shambulio la Sydney na kutoa onyo kuhusu suala hilo.
-
Utawala wa Kizayuni: Hezbollah imerejesha uwezo wake wa kijeshi katika sehemu kubwa ya majimbo ya mapigano (Mapambano)
Maafisa wa Israel wametoa tahadhari kwamba Hezbollah, kwa msaada wa kifedha kutoka Iran, imefanikiwa kurejesha uwezo wake wa kijeshi na sasa inachukuliwa kuwa tishio la kimkakati kwa Tel Aviv.
-
Kenya - Nairobi | Mazungumzo ya Kiutamaduni: Ubalozi wa Iran na APBET SAK Waimarisha Mafungamano ya Kielimu
APBET (Alternative Provision of Basic Education and Training) ni shule za gharama nafuu nchini Kenya zinazolenga watoto wanaoishi katika maeneo yaliyotengwa kama vile mitaa ya mabanda, makazi duni, na maeneo kame au yenye ukame (ASALs).
-
Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Muqawama wa Lebanon yamefanyika katika eneo la Dhahiya;
"Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Uongozi wa Hizbullah: Kwa kuuawa kwa maagenti wetu, azma yetu inazidi kuwa imara kuliko hapo kabla”
Sheikh Ali Damuush amesema: “Kulegeza msimamo au kukubali mashinikizo na maagizo ya Marekani na Israel hakutaleta matokeo yoyote. Sisi hatutasalimu amri; hata ikiwa maadui wataweka juhudi zao zote kutuangamiza, kamwe hatutaacha njia ya muqawama (mapambano) wala kujitoa katika kuilinda nchi yetu.”
-
Utekelezaji wa programu 2,000 kwa wakati mmoja sambamba na Wiki ya Basiji katika jiji la Rasht
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (Sepah) katika eneo la kati la Rasht alisema kuwa zaidi ya programu maalumu 2,000 za Wiki ya Basiji zimepangwa kutekelezwa katika vituo vya usalama vya Basiji pamoja na maeneo ya akina kaka na dada. Alisema kuwa Basiji ni nguvu madhubuti ya nchi kwa nyanja zote.
-
Kuendelea kwa Mjadala Mkali Kuhusu Mbio ya Hisani ya Msikiti wa East London; Wito Watolewa kwa Mapitio ya Sera ya Utenganisho wa Jinsia
Baada ya mashambulizi makubwa ya vyombo vya habari vya Uingereza dhidi ya mbio ya hisani iliyoandaliwa na Msikiti wa East London kwa sababu ya utenganishaji wa kijinsia, Tume ya Usawa na Haki za Kibinadamu ya Uingereza imeitangaza kwamba waandaaji wa tukio hilo wamekubali kupitia upya sera zake kabla ya awamu ijayo ya mashindano. Hata hivyo, msikiti huo umeeleza kwamba matukio kama hayo yapo kwa wingi katika maeneo mbalimbali ya Uingereza-ikiwemo mashindano maalumu ya wanawake na vipindi vya kuogelea vinavyoandaliwa katika vituo vya jamii ya Kiyahudi-lakini hakuna hata moja kati ya matukio hayo yaliyowahi kusababisha mjadala au msukosuko kama huu.
-
Uchambuzi wa Jarida la Kizayuni Kuhusu Nguvu ya Makombora na Uwezo wa Kikanda wa Iran: Imara na Inaelekea Kwenye Uzuiaji wa Kisasa Zaidi
Yedioth Ahronoth: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ni miongoni mwa wachezaji wachache wa eneo hili wanaomiliki nguvu halisi ya kuzuia mashambulizi — uwezo ambao licha ya hasara za hivi karibuni, haujapungua bali unaimarika na kufafanuliwa upya.
-
Magaidi 10, Wakiwemo Wanawake Wawili, Watekwa na Shirika la Taarifa za Kijajusi la Kijeshi la Iraq
Shirika la Taarifa za Kijeshi la Iraq leo limetangaza kuwa katika operesheni mbalimbali za kiusalama, limefanikiwa kuchukua watu 10 wa kigaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi, wakiwemo wanawake 2.
-
Mfumo wa Mahakama wa Serikali ya Joulani umetoa amri ya kukamatwa pasina kuwepo (arrest in absentia) dhidi ya Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad
Hapo awali, mfumo wa mahakama wa Ufaransa katika Mwezi wa Novemba 2023, uliitoa hukumu ya kukamatwa dhidi ya Bashar Assad kwa ushiriki katika mashambulizi ya kemikali yaliyotolewa na majeshi yake mwaka 2013 katika Ghouta na maeneo mengine karibu na Damascus, yaliyopelekea vifo vya watu wengi.
-
Kuendelea kwa Upanuzi wa Kijeshi wa Uturuki Ndani ya Ardhi ya Iraq
Vikosi vya uhandisi vya jeshi la Uturuki vimeanza kusimika minara ya mawasiliano ya kijeshi katika mlima wa Qandil uliopo mpakani mwa Iraq.
-
Madrasa ya Wasichana ya Hazrat Zainab (sa) Kigamboni - Yaadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (a.s) kwa Majlisi Maalum ya Maombolezo
Kikao hicho kilipambwa kwa kisomo cha Qur’an Tukufu na mashairi ya maombolezo (marsiya), ambapo walimu na wanafunzi walishiriki kwa unyenyekevu na hisia za heshima kwa mashahidi wa Karbala.
-
Habari za Asia ya Magharibi na Mashariki ya Kati:
Vikosi vya al-Joulani Vimeharibu Makaburi na Maeneo ya Ziarah Kumi na Zaidi
Katika hali ya kuongezeka kwa misimamo mikali nchini Syria, waasi wanaodhibiti Damascus wamechoma moto na kuharibu makaburi na maeneo ya ziarah yanayomilikiwa na makundi ya wachache wa kidini wa Syria.
-
Utafiti unaonyesha kuwa maeneo ya nyuklia ya Iran yaliyoshambuliwa na Marekani bado yanafanya kazi kama kawaida - Iran iliwahadaa na kutoa kila kitu
"centrifuges" (au kwa kiswahili: Visukuma ambavyo hutumika katika teknolojia ya nyuklia) zote ziko salama, na ambazo hutumiwa kimsingi kwa urutubishaji wa uranium, mchakato ambao hutenganisha isotopu za uranium ili kuongeza mkusanyiko wa U-235, ambayo huhitajika kwa vinu vya nyuklia.
-
Baqaei: Kushambulia hospitali ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na uhalifu wa kivita
Akilaani shambulio la kombora la utawala haramu wa Kizayuni katika Hospitali na Kituo cha Tiba cha Farabi huko Kermanshah, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ameandika: "Mashambulizi dhidi ya hospitali pamoja na mashambulizi katika maeneo ya makazi ya watu ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na jinai ya kivita."
-
Mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni katika baadhi ya Makazi ya raia Jijini Tehran
Katika siku ya tatu ya uvamizi wake dhidi ya nchi yetu, utawala haramu wa Kizayuni ulilenga baadhi ya maeneo ya Tehran katika mfululizo wa mashambulizi makali.
-
Wimbi kali la Mashambulizi ya Makombora ya Iran linaendelea katika awamu ya 3 ya Ahadi ya Kweli 3 /Makazi ya Netanyahu na maeneo kadhaa ya kistratijia
Ikinukuu vyanzo vyake vya kijeshi, Redio ya Jeshi la Israel ilithibitisha kurushwa zaidi ya Makombora 50 ya Balistiki kutoka ardhi ya Iran, na ving'ora vya kengele ya hali ya hatari vilisikika katika maeneo yote yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.
-
Chaguzi za Lebanon chini ya kivuli cha uvamizi wa Israel: Kura kwa chaguo la upinzani (Muqawamah) ndio jambo la msingi na lililopewa kipaumbele
Ingawa jeshi la Israel linaendelea na mashambulizi makali kusini mwa Lebanon, watu wa eneo hilo walihudhuria uchaguzi wa maeneo kwa wingi, wakithibitisha tena msaada wao kwa harakati za upinzani.
-
Mamlaka za Israeli zimethibitisha kukamatwa kwa raia wawili wa Israeli kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya Iran
Watu wawili waishio katika mji wa Haifa wamekamatwa kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya Iran.