Muqawamah
-
Ripoti ya ABNA kutoka katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, huko Qom;
"Nasrallah hakuwa mtu, bali alikuwa ni shule ya fikra / Silaha ya mapambano itaendelea kubaki" + Picha na Video
Hujjatul-Islam Naser Rafii, katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, alisema: "Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa mbebaji bendera ya mapambano na kielelezo cha shule ya fikra, na njia yake itaendelea."
-
Ombi la Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama kwa Serikali za Dunia: “Tuunge Mkono”
Waandaji wa Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama wametoa wito kwa Serikali za Dunia kusaidia harakati za meli za kikosi hiki kuelekea Ukanda wa Gaza.
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah Imeongeza Msaada wa Kijamii kwa Hizbullah
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, alisema: Shahidi Hassan Nasrallah alikuwa mjahid mkubwa katika zama zake, na kwa shahada yake msaada na uungaji mkono wa kijamii kwa Hizbullah umeongezeka.
-
Yemen katika Macho na Moyo wa Sayyid Hassan Nasrallah katika Miaka 11 ya Mapinduzi ya Yemen
Watu wa Yemen katika kumbukumbu ya miaka 11 ya ushindi wa Mapinduzi yao wanapanga kufanya maadhimisho ya kumbukumbu ya Sayyid wa Muqawama, kwa kuwa uhusiano wa Sayyid Muqawama na wananchi pamoja na viongozi wa Yemen ulikuwa ni uhusiano wa pande mbili uliojaa mapenzi na heshima.
-
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Lalaani Mauaji ya Kinyama ya Wazayuni Dhidi ya Yemen-Laahidi Jibu Kali kutoka kwa Muqawama wa Kiislam
"Kinyume na matarajio ya Wazayuni na waungaji mkono wao, jinai hizi hazitaweza kudhoofisha irada ya mapambano ya wananchi wa Yemen, bali damu ya mashahidi hawa watukufu itachochea zaidi hasira na mwamko wa upinzani dhidi ya ukoloni na utawala wa Kizayuni kote katika eneo".
-
Kukanushwa kwa Taarifa za Kuuawa kwa Abu Ubaidah / Onyo kutoka kwa Muqawama ya Kiislamu Kuhusu Uvumi
Muqawama ya Palestina yakanusha uvumi wa kuuawa kwa msemaji wa Brigedi za al-Qassam, Abu Ubaidah.
-
Katibu wa Usalama wa Taifa Iran: “Muqawama ni Hazina Kuu kwa Eneo na Umma wa Kiislamu"
Larijani alitembelea Iraq na Lebanon kwa mazungumzo na viongozi wakuu, akiwemo Rais Joseph Aoun na Spika Nabih Berri.
-
Abdulmalik al-Houthi: Mpango wa Kuvinyang’anya Silaha Vikundi vya Muqawama ni wa Kipuuzi na Unahudumia Maadui
“Lau Umma wa Kiislamu ungetilia mkazo tangu mwanzo juu ya ujenzi wa jeshi la Kipalestina lenye nguvu, hali ya leo isingekuwa kama ilivyo.”
-
(Muqawamah) Kusimama dhidi ya Ubeberu ni Fahari ya Mataifa ya Waumini
"Kazi yetu kuu ni kuinua bendera ya Qur’an ili kwa kueneza mtindo sahihi wa maisha, jamii ya Kiqur’ani iweze kuundwa. Ikiwa nchi za Kiislamu zitaifuata Qur’an, zitauweza kuwalazimisha maadui kurudi nyuma"
-
Hashd ni nguzo ya hema, na Muqawama ni heshima ya Umma wa Iraq / Hatutapatanishwa na Wavamizi
Al_Walaiy: “Tunaiweka hai Gaza ndani ya nyoyo zetu na tuko tayari daima kuwasaidia.” Alieleza kuwa ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni furaha kwao, na kwamba ndugu zao wa Lebanon ni mfano wa ushindi - ushindi uliotabiriwa na Qur’an Tukufu.
-
Ikiwa hatari itatishia Iran, Wairaq hawatanyamaza kimya
Iran haijaomba msaada kwa makundi ya Muqawama ya Iraq, lakini iwapo wananchi wa Iraq wanahisi kwamba hatari ya kweli inatishia Iran, mashujaa watanyanyuka kutoka katika kila nyumba nchini Iraq na kuiangamiza Marekani na utawala wa Kizayuni.
-
Hamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.
-
Chaguzi za Lebanon chini ya kivuli cha uvamizi wa Israel: Kura kwa chaguo la upinzani (Muqawamah) ndio jambo la msingi na lililopewa kipaumbele
Ingawa jeshi la Israel linaendelea na mashambulizi makali kusini mwa Lebanon, watu wa eneo hilo walihudhuria uchaguzi wa maeneo kwa wingi, wakithibitisha tena msaada wao kwa harakati za upinzani.
-
Nyuma ya Pazia la Uhalifu wa Vyombo vya Habari: Kumvunjia heshima Sayyid wa Mashahidi wa Muqawama kupitia Kituo kimoja cha Televisheni cha Kilebanon
Hivi karibuni, televisheni ya Al-Jadeed ilirusha ripoti kutoka kwenye Kaburi la Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, ambapo ilitoa matamshi ya matusi dhidi ya shahidi huyu wa umma. Tukio hilo liliwaudhi sana wananchi wa Lebanon na kuumiza hisia zao. Mbunge mmoja wa Lebanon alitoa onyo kali kuhusu uhalifu huu wa vyombo vya habari na athari zake kwa umoja wa kitaifa.
-
Mashambulizi ya makombora ya Muqawama wa Palestina katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Vyanzo vya habari vimeripoti shambulio la roketi kutoka Ukanda wa Gaza kwenye maeneo yanayokaliwa kimabavu ya Palestina.
-
Jumuiya ya walimu wa Seminari ya Qom:
Wananchi wa Iran wanapaswa kutangaza utayarifu wao wa kuwasaidia wapiganaji wa Palestina kwa kushiriki katika maandamano ya Siku ya Quds
Katika kizingiti cha Siku ya Quds Duniani, Jumuiya ya Walimu wa Seminari ya Qom imetoa taarifa ikizitaka sehemu zote za Taifa pendwa la Iran kushiriki kikamilifu katika Matembezi ya Amani ya Siku hii ya Quds na kutangaza kwa mara nyingine uungaji mkono wao kwa Muqawamah (Upinzani) wa Kiislamu wa Palestina.
-
Jopo la Wanawake la Kongamano la 6 la Kimataifa la Quds Tukufu litafanyika
Kongamano hili lenye jina la "Tuelekee Al-Quds" litafanyika siku ya Jumanne, tarehe 25 Machi, 20205 Jijini Tehran, katika jengo la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS).