Katika kizingiti cha Siku ya Quds Duniani, Jumuiya ya Walimu wa Seminari ya Qom imetoa taarifa ikizitaka sehemu zote za Taifa pendwa la Iran kushiriki kikamilifu katika Matembezi ya Amani ya Siku hii ya Quds na kutangaza kwa mara nyingine uungaji mkono wao kwa Muqawamah (Upinzani) wa Kiislamu wa Palestina.
Kongamano hili lenye jina la "Tuelekee Al-Quds" litafanyika siku ya Jumanne, tarehe 25 Machi, 20205 Jijini Tehran, katika jengo la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS).