Nafasi
-
Waalawi wa Syria baada ya kuanguka kwa Serikali ya Bashar al-Assad / Kuanzia kuwa pembezoni mwa siasa hadi kudai mfumo wa muungano (Federalism)
Baada ya kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad mwezi Desemba 2024, jamii ya Waalawi wa Syria ilikumbwa na wimbi la vitisho vya kiusalama, kiuchumi na kisiasa. Kama jibu kwa hali hiyo, viongozi wa kidini na kisiasa wa kundi hili walianzisha baraza mbalimbali kwa lengo la kutetea haki za Waalawi na kufasili upya nafasi yao ndani ya muundo wa kisiasa wa Syria ya baadaye.
-
Imam Khomeini (r.a) – Ni Kiongozi wa Kidini au wa Kitaifa
Imam ni sehemu ya utambulisho wa kitaifa na miongoni mwa fahari za nchi yetu, na ana sifa na tofauti na viongozi wengine wa kitaifa ambazo zinaonyesha ubora wake juu ya wengine.
-
Ayatullah Ramadhani: Bila ya Ghadir, Dini Ingepotoshwa Tangu Miaka ya Kwanza
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kwa kusisitiza nafasi ya kimkakati ya tukio la Ghadir katika kulinda asili na usafi wa dini, alisema: "Kama lisingekuwepo tukio la Ghadir, basi dini ingeweza kupotoshwa tangu miaka ya mwanzo."
-
Safari ya Kuleta Umoja ya Ayatollah Ramezani nchini Niger; Mazungumzo na Maulamaa Wakuu wa Dini wa Mji wa Niamey | Zawadi ya Pete ya Baraka Yatolewa
Katibu Mkuu wa Jumuia ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika kikao na Imam wa Msikiti Mkuu wa Mji wa Niamey alisisitiza umuhimu wa kuimarisha Umoja wa Kiislamu na kuunga mkono nafasi ya Wanazuoni wa Dini katika jamii.