Qatar
-
Uharibifu wa rada ya Kijeshi ya Marekani huko Qatar baada ya Kushambuliwa na Makombora ya Iran
Ulinzi wa anga wa kituo cha Marekani ulifeli Kuzuia Makombora ya Iran, na ajabu ni kwamba Iran ilichagua kuitwanga Kambi hiyo kwa kutumia Makombora ya Zamani.
-
Sayyid Ali Khamenei: "Utawala wa Kizayuni haukufikiria kamwe kupokea mashambulizi kama haya kutoka kwa Jamhuri ya Kiislamu".
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu - Leo akihutubia Taifa la Iran, ametoa ufafanuzi mzuri mno wa matukio yalivyojiri, na kauli imara za kutia moyo kwa wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambazo kwa hakika zimeonyesha mshikamano wa kitaifa, ujasiri, na kukataa kuachia madikteta au nguvu za kigeni na kibeberu kutawala na kuidhibiti Kijeshi Mashariki ya Kati. Pia, kauli za Kiongozi huyu imara na mwenye busara na hekima ya hali ya juu, zinaonyesha msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na mashambulizi ya nje, na kutotetereka katika suala zima la kuifyekelea mbali mikono ya adui yeyote yenye nia ovu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Qatar: Marekani imeiomba Dola kuwasiliana na Iran ili kuiomba ikubali kusitisha mashambulizi na kumaliza vita na Israel
Washington imeiomba Qatar kuwasiliana na Iran ili kujua jinsi Iran ilivyokuwa tayari kusitisha mapigano na Israel.
-
Taarifa ya Pamoja ya Nchi 21 za Kiarabu na Kiislamu Kulaani Shambulio la Israel Dhidi ya Iran
Katika taarifa hiyo, nchi hizo zimetilia mkazo umuhimu wa kuondoa silaha za nyuklia na silaha nyingine za maangamizi ya halaiki kutoka katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Balozi wa Taliban nchini Qatar: Emirate ya Kiislamu ni ukweli wa Afghanistan / Iran na India hawaiweki Taliban tena chini ya ushawishi wa Pakistan
Suhail Shahin, balozi wa Taliban nchini Qatar, katika mazungumzo na kituo cha Al Jazeera amesema kwamba Iran na India walidhani Taliban ni tegemezi wa Pakistan, lakini sasa wamegundua kuwa fikra hiyo si ya kweli.
-
Kiongozi wa Kishia wa Pakistan: Safari ya Rais wa Marekani katika Nchi za Kiarabu ni Dhihaka kwa Mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu
Katibu Mkuu wa Wafaq ul-Madaris al-Shia wa Pakistan, Hujjatul Islam Muhammad Afzal Haidari, alielezea masikitiko yake juu ya mapokezi yaliyotolewa na nchi za Kiarabu kwa Rais wa Marekani. Alisema kuwa njia iliyotumika kumkaribisha mtu mwenye kuuhami utawala wa Kizayuni, ni ya aibu na ni dhihaka kwa mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu.
-
Donald Trump awasili katika Mji Mkuu wa Saudi Arabia / Kuanza kwa ziara ya kikanda ya Rais wa Marekani
Rais wa Marekani, katika mwanzo wa ziara yake ya kwanza ya nje ya nchi, amewasili katika jiji la Riyadh.