Ripoti
-
Ripoti ya New York Times inaonyesha kupungua kwa kuelewa na kuamini kwa jamii ya Marekani kuhusiana na Israel
Utafiti wa maoni mpya nchini Marekani unaonyesha kuwa msaada wa Wamarekani kwa utawala wa Kizayuni umepungua.
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah Imeongeza Msaada wa Kijamii kwa Hizbullah
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, alisema: Shahidi Hassan Nasrallah alikuwa mjahid mkubwa katika zama zake, na kwa shahada yake msaada na uungaji mkono wa kijamii kwa Hizbullah umeongezeka.
-
Kuhukumiwa Myahudi wa Kiyahudi Orthodox nchini Israel kwa shtaka la kushirikiana na Iran
Moja ya majukumu hayo lilikuwa kutuma kifurushi cha vitisho kwa mwakilishi wa Israel katika Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki. Mahakama imesema ingawa Stern hakutekeleza baadhi ya majukumu hayo, lakini kwa sababu alikubali na kuanza kuyafuatilia, ametambuliwa kuwa na hatia
-
Wayemen hawawezi kushindwa
Gazeti la Kizayuni Jerusalem Post, katika ripoti yake, limesisitiza kuwa Taifa la Yemen haliwezi kushindwa na likabainisha wazi kuwa Israel haitaki vita vya moja kwa moja na Yemen.
-
Jeshi la Lebanon limepokea silaha nzito kutoka kwenye kambi za Wakpalestina
Jeshi la Lebanon limeanza mchakato wa kupokea silaha kutoka kwenye Kambi za Wapalestina katika Mji wa Sur Kusini mwa nchi hiyo.
-
Misri Yaweka Maelfu ya Wanajeshi Sinai
Shirika la Redio na Televisheni la utawala wa Kizayuni limedai kwamba Misri, sambamba na kuongezeka kwa operesheni za kijeshi za Israel huko Gaza, imetuma maelfu ya wanajeshi na vifaa vya kijeshi katika eneo la kaskazini mwa Jangwa la Sinai lililoko mpakani na Ukanda wa Gaza na Israel.
-
Jeshi la Israel lawageukia Wayahudi wa Kigeni ili kutatua uhaba wa wanajeshi
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, jeshi la Israel linapanga kuwalenga zaidi Wayahudi vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 25 kutoka Marekani na Ufaransa, kuwahimiza wahamie katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kujiandikisha jeshini kwa kipindi cha miaka kadhaa.
-
Dua ya Nudba Yasomwa kwa Hisia Kuu na Mabinti wa Madrasa ya Hazrat Zainab (SA) Kigamboni – Wakiadhimisha Mapenzi kwa Imam wa Zama (a.t.f.s)
"Dua ya Nudba ni kilio cha roho inayotamani haki irejee. Ni kilio cha wale waliomsubiri Imam wao wa Zama kwa subira na msimamo."
-
Ripoti ya ABNA kuhusu Kongamano la Kitaifa la Dini za Ki_Mungu na Uvamizi wa Wazayuni:
Umuhimu wa kuchukuliwa hatua za kivitendo dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni;Kunyongwa kwa Trump na Netanyahu na kuunda Upinzani wa Kimataifa
Kufuatia uvamizi wa hivi karibuni wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, baadhi ya viongozi wa dini zinazomuamini Mungu nchini walikusanyika katika Kongomanano la Kitaifa la “Dini za Ki_Mungu na suala la Uvamizi wa Kizayuni na Magharibi dhidi ya Iran”. Katika Kongamano hilo, walilaani vikali kitendo hicho na kusisitiza umuhimu wa kusimama kidete dhidi ya dhuluma, umoja wa dini za Mwenyezi Mungu Mmoja, na kusherehekea mchango wa kipekee wa utamaduni wa Kiarabu katika kuhifadhi heshima, amani, na upinzani.
-
Mwandishi wa Habari wa ABNA Aibuka Mshindi katika Tamasha la 10 la Vyombo vya Habari la Abu Dharr katika Mkoa wa Qom
"Mohsen Saberí" ametangazwa kuwa mmoja wa washindi wa Tamasha la 10 la Vyombo vya Habari la Abu Dharr katika mkoa wa Qom.
-
Bilal Muslim Mission - Kanda ya Pangani - Hafla ya Mazazi ya Imam Ridha (as) na Maonyesho ya Wanafunzi wa Madrasa
Hafla hii imehudhuriwa na Madrasat kutoka Bilal Muslim – Kanda ya Pangani pamoja na baadhi ya Madrasa kutoka kwa ndugu zetu wa Kisuni. Hili ni jambo la faraja kubwa, linaloashiria mshikamano wa kijamii na wa kidini katika maeneo yetu.