kifo
-
Matembezi ya Kumbukizi ya Kifo cha Mtume Muhammad (s.a.w.w) Kuandaliwa Dar es Salaam kupitia Hawzat Imam Swadiq (as)
Tukio hili linatarajiwa kuwa jukwaa la mshikamano wa Kiislamu na nafasi ya kumuenzi Mtume wa Rehema (s.a.w.w) kwa ibada, dua na kuonesha mapenzi yetu kwake.
-
Tanzania Yaomboleza Kifo cha Spika Mstaafu Mhe. Job Yustino Ndugai
Katika salamu za rambirambi, pole zimetolewa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ujumla.
-
Kuuawa Kishahidi kwa Abu Ali,Mkuu wa timu ya Ulinzi wa Shahidi Nasrullah, pamoja na «Sayyid Haidar Al-Muwa'li» Naibu wa Kataib Sayyid AlShuhadaa, Iraq
"Kwa Masikitiko, tumepata habari kuwa mmoja wa makamanda wa Kataib Sayyid al_Shuhada, Sayyid Haidar Al-Muwa'li, Naibu wa Abu A'la'i Al-Wila'yi, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, amepata kifo cha Kishahidi wakati wa shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran."
-
Imam Khomein Akumbukwa: Mamia Wahudhuria Maadhimisho ya Kifo Chake Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam
Imam Khomein (ra) anakumbukwa duniani kote kama mtetezi wa wanyonge, hususan kwa msimamo wake thabiti katika kuwatetea Waislamu wa Palestina na wananchi wa Palestina kwa ujumla.
-
Shahadat Imam Jawad (as) | Mashairi ya Maombolezo ya Kifo cha Kishahidi cha Imam Muhammad Taqi (as)
Imam Jawad (as) - Alipewa sumu kali inayounguza moyo, kutoka kwa Umm Fadhl (mke wake, aliyemwekea sumu kwa amri ya mfalme)