magharibi
-
Iran Yalaani Vikali Shambulio la Kigaidi Kusini Magharibi mwa Pakistan
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baqaei, amelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea katika mji wa Khuzdar kusini magharibi mwa Pakistan, akitoa salamu za pole kwa familia za wahanga na kusisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda katika kupambana na ugaidi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran imekuwa mfano wa kipekee wa heshima na uhuru
Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso, Karamoko Jean Marie Traoré, amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa mfano wa kipekee wa heshima, uhuru na ustahimilivu, akipongeza msimamo thabiti wa wananchi wa Iran katika kukabiliana na vitisho na mashinikizo visivyo halali.
-
Iran Yaeleza Mkutano wa Usalama wa Marekani na Nchi za Kanda ni Maonyesho ya Kisiasa
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amesema mkutano wa kile kilichoitwa "Mazungumzo ya Usalama wa Kikanda" ulioandaliwa na Marekani nchini Bahrain ni wa maonyesho tu na unalenga kuficha sera ambazo, kwa mujibu wake, zinachochea ukosefu wa utulivu katika eneo la Asia Magharibi.
-
Walinzi wa Mapinduzi wa Iran Wateketeza Kundi la Waasi na Wanaotaka Kujitenga Kaskazini Magharibi mwa Nchi
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuangamiza kikundi cha watu sita kutoka makundi ya waasi na wanaotaka kujitenga baada ya kuingia nchini kwa lengo la kutekeleza vitendo vya hujuma na ugaidi katika maeneo ya kaskazini magharibi mwa Iran.
-
Marandi: Iran Haina Mpango wa Kununua Bidhaa za Kilimo za Marekani Wala Haikujadili Kuwasili kwa Wakaguzi wa IAEA
Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa Iran, Mohammad Marandi, amesema kuwa Iran haina nia ya kununua bidhaa za kilimo kutoka Marekani na kwamba katika mazungumzo ya jana hakukuwa na mjadala wowote kuhusu kuwasili kwa wakaguzi wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) nchini Iran.
-
Medvedev: Muungano wa Ulaya Umeingia Vitani Dhidi ya Urusi
Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Urusi, Dmitry Medvedev, amesema kuwa Muungano wa Ulaya umeingia katika vita dhidi ya Urusi kwa uamuzi wake wenyewe, akionya kuwa kipindi cha "usingizi wa amani" kwa wananchi wa Ulaya kimefikia mwisho.
-
Burkina Faso Yakanusha Taarifa za Machafuko; Serikali Yatetea Muswada wa Kudhibiti Maeneo ya Ibada
Serikali ya Burkina Faso imetetea hatua ya kumkamata mwanazuoni wa Kiislamu Dk. Mohamed Kindou kufuatia hotuba yake kuhusu muswada wa maeneo ya ibada, huku ikisisitiza kuwa hakuna uasi dhidi ya Rais Ibrahim Traoré na kwamba wananchi bado wanaunga mkono uongozi wake.
-
Mwandishi wa Yemen:
Hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Imeonyesha Mwelekeo Mpya wa Kijiopolitiki / Shambulio dhidi ya Iran Lita Badilisha Hesabu za Kanda
Mwandishi wa Yemeni katika uchambuzi wake wa matukio ya hivi karibuni katika kanda na vitisho vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika: Kimaandalizi kisiasa, hotuba ya kiongozi wa mapinduzi ilikuwa tangazo rasmi la kushindwa kwa sera ya shinikizo la juu kabisa; badala ya vizuizi na vitisho kusababisha Iran kujiondoa, inaonekana kuwa maneno yenye vitisho yametuma ishara kwa Tehran kuongeza kiwango cha majibu ya kimkakati.
-
Israel Leo Iko Dhaifu, Iran Imebaki Imara – Sheikh Naeem Qasim
Sheikh Naeem Qasim na Katibu Mkuu wa Hezbollah wanasema kuwa Israel leo iko dhaifu kuliko hapo awali, huku Iran chini ya uongozi wa Imam Khamenei ikibaki imara, huru na thabiti. Mapinduzi ya Iran yameendeleza upinzani katika eneo kwa miaka 47 bila kutegemea Mashariki au Magharibi, na Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa katika mapambano yake, hasa dhidi ya uvamizi wa Israel.
-
Balozi Matinyi Auvunja Msimamo wa Kibeberu: Tanzania Si Taifa la Huruma, Bali Nguvu Inayoinuka Kiuchumi
Katika ujumbe wake mzito kwa jumuiya ya kimataifa, Balozi Matinyi alisisitiza kuwa Tanzania ya sasa inatafuta wafanyabiashara na wawekezaji, si wafadhili. Taifa linaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Reli ya Kisasa (SGR), pamoja na mradi wa gesi asilia unaokadiriwa kugharimu dola bilioni 42, miradi inayolenga kuimarisha uchumi wa taifa na nafasi yake katika uchumi wa kikanda na kimataifa.
-
Tehran imelitaja dai la upatanishi wa Bin Salman kuwa ni uongo uliopangwa kwa makusudi ili kuiweka Iran katika mazingira ya kutuhumiwa
Kulingana na vyanzo vya Iran, masimulizi yanayoenezwa na baadhi ya vyombo vya habari - hasa vya Magharibi - ni juhudi ya kuunda taswira kwamba kuna juhudi nyingi za kidiplomasia zinazoendelea, na kwamba Iran ndiyo inayozuia njia.
-
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu la Iran (IRGC):
Hadithi ya vita vya siku 12 iwe kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu (IRGC) limeweka mkazo: Moja ya matukio makuu na yenye mafundisho muhimu katika historia ya kisasa, ambayo inaweza kuwa kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi wenye ujuzi na uwezo wa nchi, ni Ulinzi Mtakatifu wa siku 12 dhidi ya vita vya kigaidi vilivyofanywa na muungano wa Marekani, utawala wa Kizayuni, na wafuasi wao wa Magharibi na wa kikanda.
-
Burkina Faso: Daktari Aliyemkosoa Rais Traoré Atumwa Vitani kupambana na Magaidi Baada ya kupata Mafunzo ya Kijeshi - Kisa Kinachozua Mjadala Mpana
Rais Ibrahim Traoré, akizungumza katika mahojiano ya televisheni ya kitaifa, alithibitisha tukio hilo na kusema kwa maneno makali: “Kama kuna daktari, mwalimu, au mfanyabiashara anayehisi anajua zaidi kuhusu vita kuliko wanajeshi wetu, basi ni bora naye achangie kwa vitendo - aende vitani.”
-
Irani Dhidi ya Magharibi: Kutoka Uzoefu wa Kihistoria Hadi Mapambano ya Kistaarabu ya Leo
Mkutano “Sisi na Magharibi katika Mitazamo na Fikra za Ayatullah Al-Udhma Sayyid Ali Khamenei” wafanyika Tehran.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amwambia Rais wa Marekani:
“Wewe ni nani hasa?”
Khamenei: "Rais wa Marekani alisafiri hadi Palestina iliyokaliwa kwa mabavu na kutoa maneno matupu yenye kejeli ili kuwatia moyo Wazayuni waliokata tamaa."
-
Kumbukumbu Maalum:
Ukimya wa Kifo wa Nchi za Kiislamu; Asia ya Magharibi, “Palestina Mpya”
Kukubaliana kwa baadhi ya nchi za Kiislamu na mpango wa kinachoitwa mpango wa amani wa Trump kuhusu Palestina, ni alama ya aibu juu ya ulimwengu wa Kiislamu na baadhi ya viongozi wao wasio na imani ya kweli, na aibu hii haitafutika hadi Siku ya Kiyama.
-
Spika Mike Johnson Asisitiza Kuzuia Vurugu za Kisiasa Kufuatia Kifo cha Charlie Kirk
Shambulio dhidi ya Qatar lisingeweza kutokea bila kupata idhini kutoka Washington.
-
Sayyid Abdul-Malik Badruddin al-Houthi:
Sera ya makusudi ya kuwalisha watu njaa inayotekelezwa na Wazayuni ni Kushindwa kwa Maadili kwa jamii ya Kimataifa.Magharibi ni Msaidizi Mkuu wa Uovu
"Adui, kwa kushirikiana na Wamarekani, kila siku anaeneza mitego ya mauti kwa lengo la kuwaangamiza Wapalestina, na anaendelea kutekeleza uhalifu wa karne na fedheha ya enzi hii, kwa sababu amepewa uhakikisho kutoka kwa baadhi ya tawala za Kiarabu - bali anapewa motisha, msaada na uungwaji mkono nao."
-
Raia wa Marekani katika mahojiano na ABNA:
Watu wa dunia wako upande wa Iran, vyombo vya habari vya Magharibi vinaeneza uongo / Kisa cha ushauri wa Hajj Qasim kwa Shahidi Fakhrizadeh
"Muhammad" raia wa Marekani alisema: Ninawaambia watu wa Iran; watu wa dunia wako pamoja nanyi na vyombo vya habari vya Magharibi ukweli wanauonyesha kwa namna tofauti"
-
Makala Maalum | Amri ya Julani kwa vikosi vyake Kuondoka kutoka Suwayda Ilikuwa Inatarajiwa
Mzozo wa Suwayda: Hatari ya Mgawanyiko Mkubwa Syria Kati ya Makundi Yenye Uhusiano na Israel
-
Wataalamu wa Kieneo katika Mahojiano na ABNA: Njaa ya kimfumo dhidi ya watu wa Gaza ni uhalifu usio na kifani na doa la aibu juu ya uso wa Binadamu
Jinai za uharibifu kamili wa ardhi, watu na kila dalili za maisha katika ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (na Utawala wa Kizayuni) zinaakisi matamanio ya jeshi la Netanyahu kuwa tawi la uhalifu wa kimataifa katika ardhi za Kiislamu.