magharibi
-
Tehran imelitaja dai la upatanishi wa Bin Salman kuwa ni uongo uliopangwa kwa makusudi ili kuiweka Iran katika mazingira ya kutuhumiwa
Kulingana na vyanzo vya Iran, masimulizi yanayoenezwa na baadhi ya vyombo vya habari - hasa vya Magharibi - ni juhudi ya kuunda taswira kwamba kuna juhudi nyingi za kidiplomasia zinazoendelea, na kwamba Iran ndiyo inayozuia njia.
-
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu la Iran (IRGC):
Hadithi ya vita vya siku 12 iwe kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu (IRGC) limeweka mkazo: Moja ya matukio makuu na yenye mafundisho muhimu katika historia ya kisasa, ambayo inaweza kuwa kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi wenye ujuzi na uwezo wa nchi, ni Ulinzi Mtakatifu wa siku 12 dhidi ya vita vya kigaidi vilivyofanywa na muungano wa Marekani, utawala wa Kizayuni, na wafuasi wao wa Magharibi na wa kikanda.
-
Burkina Faso: Daktari Aliyemkosoa Rais Traoré Atumwa Vitani kupambana na Magaidi Baada ya kupata Mafunzo ya Kijeshi - Kisa Kinachozua Mjadala Mpana
Rais Ibrahim Traoré, akizungumza katika mahojiano ya televisheni ya kitaifa, alithibitisha tukio hilo na kusema kwa maneno makali: “Kama kuna daktari, mwalimu, au mfanyabiashara anayehisi anajua zaidi kuhusu vita kuliko wanajeshi wetu, basi ni bora naye achangie kwa vitendo - aende vitani.”
-
Irani Dhidi ya Magharibi: Kutoka Uzoefu wa Kihistoria Hadi Mapambano ya Kistaarabu ya Leo
Mkutano “Sisi na Magharibi katika Mitazamo na Fikra za Ayatullah Al-Udhma Sayyid Ali Khamenei” wafanyika Tehran.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amwambia Rais wa Marekani:
“Wewe ni nani hasa?”
Khamenei: "Rais wa Marekani alisafiri hadi Palestina iliyokaliwa kwa mabavu na kutoa maneno matupu yenye kejeli ili kuwatia moyo Wazayuni waliokata tamaa."
-
Kumbukumbu Maalum:
Ukimya wa Kifo wa Nchi za Kiislamu; Asia ya Magharibi, “Palestina Mpya”
Kukubaliana kwa baadhi ya nchi za Kiislamu na mpango wa kinachoitwa mpango wa amani wa Trump kuhusu Palestina, ni alama ya aibu juu ya ulimwengu wa Kiislamu na baadhi ya viongozi wao wasio na imani ya kweli, na aibu hii haitafutika hadi Siku ya Kiyama.
-
Spika Mike Johnson Asisitiza Kuzuia Vurugu za Kisiasa Kufuatia Kifo cha Charlie Kirk
Shambulio dhidi ya Qatar lisingeweza kutokea bila kupata idhini kutoka Washington.
-
Sayyid Abdul-Malik Badruddin al-Houthi:
Sera ya makusudi ya kuwalisha watu njaa inayotekelezwa na Wazayuni ni Kushindwa kwa Maadili kwa jamii ya Kimataifa.Magharibi ni Msaidizi Mkuu wa Uovu
"Adui, kwa kushirikiana na Wamarekani, kila siku anaeneza mitego ya mauti kwa lengo la kuwaangamiza Wapalestina, na anaendelea kutekeleza uhalifu wa karne na fedheha ya enzi hii, kwa sababu amepewa uhakikisho kutoka kwa baadhi ya tawala za Kiarabu - bali anapewa motisha, msaada na uungwaji mkono nao."
-
Raia wa Marekani katika mahojiano na ABNA:
Watu wa dunia wako upande wa Iran, vyombo vya habari vya Magharibi vinaeneza uongo / Kisa cha ushauri wa Hajj Qasim kwa Shahidi Fakhrizadeh
"Muhammad" raia wa Marekani alisema: Ninawaambia watu wa Iran; watu wa dunia wako pamoja nanyi na vyombo vya habari vya Magharibi ukweli wanauonyesha kwa namna tofauti"
-
Makala Maalum | Amri ya Julani kwa vikosi vyake Kuondoka kutoka Suwayda Ilikuwa Inatarajiwa
Mzozo wa Suwayda: Hatari ya Mgawanyiko Mkubwa Syria Kati ya Makundi Yenye Uhusiano na Israel
-
Wataalamu wa Kieneo katika Mahojiano na ABNA: Njaa ya kimfumo dhidi ya watu wa Gaza ni uhalifu usio na kifani na doa la aibu juu ya uso wa Binadamu
Jinai za uharibifu kamili wa ardhi, watu na kila dalili za maisha katika ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (na Utawala wa Kizayuni) zinaakisi matamanio ya jeshi la Netanyahu kuwa tawi la uhalifu wa kimataifa katika ardhi za Kiislamu.
-
Ripoti ya ABNA kuhusu Kongamano la Kitaifa la Dini za Ki_Mungu na Uvamizi wa Wazayuni:
Umuhimu wa kuchukuliwa hatua za kivitendo dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni;Kunyongwa kwa Trump na Netanyahu na kuunda Upinzani wa Kimataifa
Kufuatia uvamizi wa hivi karibuni wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, baadhi ya viongozi wa dini zinazomuamini Mungu nchini walikusanyika katika Kongomanano la Kitaifa la “Dini za Ki_Mungu na suala la Uvamizi wa Kizayuni na Magharibi dhidi ya Iran”. Katika Kongamano hilo, walilaani vikali kitendo hicho na kusisitiza umuhimu wa kusimama kidete dhidi ya dhuluma, umoja wa dini za Mwenyezi Mungu Mmoja, na kusherehekea mchango wa kipekee wa utamaduni wa Kiarabu katika kuhifadhi heshima, amani, na upinzani.
-
Habari iliyoenea ya ufunguzi wa Ofisi ya ABNA nchini Ghana katika Vyombo vya Habari nchini Ghana
Sambamba na ufunguzi wa Ofisi ya kikanda ya Shirika la habari la ABNA nchini Ghana, vyombo vya habari vya nchi hiyo vilikaribisha uwepo wa chombo hiki cha habari cha kimataifa na kukitambulisha kama jukwaa la kusambaza simulizi za kitamaduni na kidini kutoka ulimwengu wa Kiislamu hadi Afrika Magharibi.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) amewasili nchini Côte d'Ivoire na kukutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire (Ivory Coast)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) alikutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire mara tu alipowasili nchini humo.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s):
Mapinduzi ya Kiislamu ni miale ya fikra ya Ahlul-Bayt (a.s) / Magharibi wanapotosha Uislamu, sisi tunapaswa kusimulia ukweli halisi ulivyo
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) amesema kuwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni mwangaza unaotokana na fikra na mafundisho ya Ahlul-Bayt (a.s), na kuongeza kuwa: Magharibi wanajitahidi kupotosha taswira ya Uislamu mbele ya dunia, hivyo ni jukumu letu kusimulia ukweli halisi wa Uislamu Sahihi na wa Haki kwa kutumia njia za kisasa za Mawasiliano na Vyombo vya Habari.