“Arubaini ya mwaka huu inapaswa kuleta tumaini kwa Waislamu na kuwavunja nguvu maadui. Umoja ndiyo njia ya wokovu kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Bendera ya Mapambano dhidi ya mfumo wa kishetani lazima ibaki juu.”
Naibu afisa wa kisiasa na usalama wa gavana wa Ilam ametangaza kuwa, ndege ya kisasa isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni ilidunguliwa na mfumo shirikishi wa ulinzi katika anga ya mkoa huo.