mfumo
-
Katika ujumbe kwa Mkutano wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya; Kiongozi wa Mapinduzi:
Hitaji kuu la dunia leo ni mfumo wa haki wa kitaifa na kimataifa wa Kiislamu / Shambulio la Marekani lilishindwa mbele ya ujasiri wa vijana wa Iran
Ayatollah Khamenei, katika ujumbe wake kwa Mkutano wa 59 wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya, amesisitiza kuwa sababu kuu ya msukosuko na wasiwasi wa madhalimu wafisadi si suala la nyuklia, bali ni kuinuliwa kwa bendera ya kupinga mfumo usio wa haki na utawala wa mabavu wa mfumo wa ubeberu duniani, pamoja na mwelekeo wa Iran ya Kiislamu kuelekea kujenga mfumo wa haki wa kitaifa na kimataifa wa Kiislamu.
-
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran Lafichua Droni Mpya ya Kujitoa Mhanga ya Kasi ya Juu imayoitwa: “Hadid-110 | Hadid yaani: Chuma
Hadid-110 ilizinduliwa kwa kutumia mfumo wa reli unaosaidiwa na roketi, hali inayoiwezesha kufikia kasi ya juu mara baada ya kurushwa. Muundo wake wa kisasa unaojumuisha injini ndogo ya jet na umbo lenye pembe maalumu (low-observable faceted design) umeundwa mahsusi ili kupunguza uwezekano wa kugunduliwa na mifumo ya ulinzi wa anga.
-
Shinikizo la Marekani kwa Baghdad; Makundi ya Muqawama: Hatufutiki kisiasa
Chanzo cha karibu na makundi ya Muqawama kilisema: “Muqawama na al-Hashd al-Shaabi pamoja na washirika wao wana angalau viti 97 bungeni, na wao ni sehemu isiyotenganishwa na mlinganyo wa kisiasa wa Iraq. Washington ilishindwa hapo awali kuyadhibiti makundi ya muqawama, na leo pia haitafanikiwa kwa vitisho vya kidiplomasia.” Chanzo hicho kiliongeza: “Sharti letu ni wazi; Waziri Mkuu awe huru, asiye tegemezi kwa Marekani, na anayewakilisha vipengele vyote vya nyumba ya taifa ya Iraq.”
-
Rais wa Taasisi ya Tafiti za Kistratejia “Naba’” ya Iraq katika mazungumzo na ABNA:
Uamuzi wa mwisho ni wa Iraq, si wa Marekani / Mfumo wa Uratibu wa Kishia una mkono wa juu
Sambamba na kuongezeka kwa harakati za kisiasa kwa ajili ya kubainisha muundo wa serikali ijayo ya Iraq, Hashim Al-Kandi ameeleza kurejea kwa mshikamano wa Mfumo wa Uratibu wa Kishia, kuundwa kwa kamati maalumu za kumchagua Waziri Mkuu, pamoja na kukaribiana kwa mikondo ya Kisunni na Kikurdi, na kusisitiza kuwa hakuna kikwazo kikubwa katika njia ya kuunda serikali.
-
Mwakilishi wa Waliyyul-Faqih katika Jeshi la Kikomando la Sepah:
"Vitisho vimegeuzwa kuwa fursa ya kuimarisha mamlaka ya mfumo”
Mwakilishi wa Kaimu wa Kiongozi wa Mapokeo katika Jeshi la Kikomando alisema kuwa Mungu hubadilisha vitisho kuwa fursa ya kuimarisha mamlaka ya mfumo. Aliongeza kuwa: “Dushmani katika vita vya siku 12, licha ya kuwa na rasilimali nyingi, ilipigwa na hatimaye ilishindwa na kuomba kurudi nyuma; lakini katika vita vya kiakili bado haijatangaza mapumziko ya silaha.”
-
Kikao cha Kamati ya Elimu cha Jamiat Al-Mustafa – Dar es Salaam, Tanzania +Picha
Kikao hiki kimeweka msingi muhimu kwa mustakabali wa elimu na malezi ndani ya Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam-Tanzania, huku wajumbe wakiahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu katika kuboresha mwelekeo wa kielimu na kijamii kwa manufaa ya wanafunzi na jamii kwa ujumla.
-
Ufichuzi Mpya wa Siri Huko Uingereza: Vikosi Maalum Vilifyatua Risasi na Kuua Watoto Waafghani Wakiwa Wamelala Kitandani
Maafisa wa jeshi nchini Uingereza wamekiri kuhusika katika mauaji ya watoto nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa: mauaji hayo ya nje ya mfumo wa sheria yalitekelezwa, na huenda haya ni sehemu ndogo tu ya kile kilichotokea!
-
Mahakama Kuu Yaweza Kuongeza Ufanisi wa Mfumo wa Kiislamu Kupitia Utekelezaji wa Haki
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), akiwa mbele ya wakurugenzi na wafanyakazi wa Mahakama ya Mkoa wa Gilan, amesema kuwa utekelezaji sahihi wa haki na usawa katika taasisi zote za serikali unaweza kuongeza ufanisi wa Jamhuri ya Kiislamu na kuthibitisha madai yake ya msingi kuhusu haki katika utawala.
-
Kabla ya Safari ya Bin Salman kwenda Washington;
Shinikizo la Israel kwa Trump: Kuanzisha Uhusiano wa Kawaida na Saudi Arabia ni Sharti la Uuzaji wa Ndege za Kijeshi za F-35
Vyanzo vinavyofahamu yamesema kwa tovuti ya «Axios» kwamba serikali ya Israeli, kwa kushinikiza serikali ya Donald Trump, imeweka sharti kwamba mauzo yoyote ya ndege za kijeshi za kisasa za F-35 kwenda Saudi Arabia yafanyike tu iwapo kuna «Uhusiano kamili wa kawaida wa Riyadh na Tel Aviv»; msimamo huu umetolewa kabla ya safari ya Bin Salman kwenda Washington.
-
Marekani inatafuta kuzifuta silaha za Hezbollah;
Huku Israel ikiwa kwenye hatari ya kuanza mzozo mpya; Upinzani unabakia mstari wa mbele katika kulinda uhuru na usalama wa Lebanon
Kwenye nyuma ya pazia ya mabadiliko haya, Marekani na Israel kwa vitendo wanaandaa mfumo wa kisiasa na kiusalama ambao lengo lake kuu ni kumaliza uwepo wa vikosi vya upinzani kwenye mipaka ya kusini.
-
Hatari ya kusambaratika Kwa Mfumo wa Afya wa Syria Chini ya Utawala wa al-Jolani
Mamilioni ya raia wa Syria wanateseka chini ya utawala wa al-Jolani kutokana na ukosefu wa dawa na huduma za msingi za afya.
-
Ayatullah Javadi Amoli alisema:
“Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaundwa kati ya taifa na serikali, msingi wa mfumo utadhurika”
Mmoja wa maraji wa juu wa Washia alisema: “Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaibuka kati ya serikali na taifa, msingi wa mfumo utadhurika. Iwapo kiongozi atakuwa na wavurugiko kati ya matakwa yake ya kimaakili na tamaa za nafsi, ataondoka mbali na haki.”
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
Uislamu ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan amesema kuwa: Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ambao ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki, na mfano bora zaidi wa hayo ni mfumo wa haki wa Imam Ali (a.s) ambao utabaki kuwa kielelezo cha uadilifu na usawa daima.
-
Scott Ritter: Iran Yailazimisha Israel Kusitisha Vita vya Siku 12 kwa Teknolojia ya Juu ya Makombora
Aliyekuwa askari wa Kikosi cha Wanamaji cha Marekani na mpelelezi wa zamani wa Umoja wa Mataifa kuhusu silaha za maangamizi, Scott Ritter, amesema kuwa Iran katika vita vya siku 12 haikurudisha tu udhibiti wa hali ya vita, bali pia iliadhibu vikali utawala wa Kizayuni kwa kutumia teknolojia yake ya kisasa ya makombora ya masafa marefu.
-
Mfumo wa Mahakama wa Serikali ya Joulani umetoa amri ya kukamatwa pasina kuwepo (arrest in absentia) dhidi ya Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad
Hapo awali, mfumo wa mahakama wa Ufaransa katika Mwezi wa Novemba 2023, uliitoa hukumu ya kukamatwa dhidi ya Bashar Assad kwa ushiriki katika mashambulizi ya kemikali yaliyotolewa na majeshi yake mwaka 2013 katika Ghouta na maeneo mengine karibu na Damascus, yaliyopelekea vifo vya watu wengi.
-
Waalawi wa Syria baada ya kuanguka kwa Serikali ya Bashar al-Assad / Kuanzia kuwa pembezoni mwa siasa hadi kudai mfumo wa muungano (Federalism)
Baada ya kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad mwezi Desemba 2024, jamii ya Waalawi wa Syria ilikumbwa na wimbi la vitisho vya kiusalama, kiuchumi na kisiasa. Kama jibu kwa hali hiyo, viongozi wa kidini na kisiasa wa kundi hili walianzisha baraza mbalimbali kwa lengo la kutetea haki za Waalawi na kufasili upya nafasi yao ndani ya muundo wa kisiasa wa Syria ya baadaye.
-
Ayatollah Makarim Shirazi: Baraza la Uratibu wa Matangazo Lina Nafasi Muhimu Katika Kulinda Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Ayatollah Makarim Shirazi amethibitisha kwamba Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu lina mchango mkubwa usio na mfano katika kuhifadhi mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Baghdad yamuita Balozi wa Uingereza kufuatia matamshi yake kuhusu Hashd al-Shaabi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imemuita balozi wa Uingereza mjini Baghdad kutokana na matamshi yake kuhusu nafasi ya Hashd al-Shaabi katika mfumo wa usalama wa Iraq, na imeonyesha majibu makali juu ya kauli hizo.
-
Arubaini Iwe Sauti ya Umoja wa Kiislamu na Upinzani (Muqawamah) Dhidi ya Ubeberu na Uistikbari wa Kimataifa - Rais wa Waqfu Iran
“Arubaini ya mwaka huu inapaswa kuleta tumaini kwa Waislamu na kuwavunja nguvu maadui. Umoja ndiyo njia ya wokovu kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Bendera ya Mapambano dhidi ya mfumo wa kishetani lazima ibaki juu.”
-
Iran yaidungua ndege isiyo na rubani ya Israel MQ-9 iliyotengenezwa na Marekani
Naibu afisa wa kisiasa na usalama wa gavana wa Ilam ametangaza kuwa, ndege ya kisasa isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni ilidunguliwa na mfumo shirikishi wa ulinzi katika anga ya mkoa huo.