mfumo
-
Mfumo wa Mahakama wa Serikali ya Joulani umetoa amri ya kukamatwa pasina kuwepo (arrest in absentia) dhidi ya Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad
Hapo awali, mfumo wa mahakama wa Ufaransa katika Mwezi wa Novemba 2023, uliitoa hukumu ya kukamatwa dhidi ya Bashar Assad kwa ushiriki katika mashambulizi ya kemikali yaliyotolewa na majeshi yake mwaka 2013 katika Ghouta na maeneo mengine karibu na Damascus, yaliyopelekea vifo vya watu wengi.
-
Waalawi wa Syria baada ya kuanguka kwa Serikali ya Bashar al-Assad / Kuanzia kuwa pembezoni mwa siasa hadi kudai mfumo wa muungano (Federalism)
Baada ya kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad mwezi Desemba 2024, jamii ya Waalawi wa Syria ilikumbwa na wimbi la vitisho vya kiusalama, kiuchumi na kisiasa. Kama jibu kwa hali hiyo, viongozi wa kidini na kisiasa wa kundi hili walianzisha baraza mbalimbali kwa lengo la kutetea haki za Waalawi na kufasili upya nafasi yao ndani ya muundo wa kisiasa wa Syria ya baadaye.
-
Ayatollah Makarim Shirazi: Baraza la Uratibu wa Matangazo Lina Nafasi Muhimu Katika Kulinda Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Ayatollah Makarim Shirazi amethibitisha kwamba Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu lina mchango mkubwa usio na mfano katika kuhifadhi mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Baghdad yamuita Balozi wa Uingereza kufuatia matamshi yake kuhusu Hashd al-Shaabi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imemuita balozi wa Uingereza mjini Baghdad kutokana na matamshi yake kuhusu nafasi ya Hashd al-Shaabi katika mfumo wa usalama wa Iraq, na imeonyesha majibu makali juu ya kauli hizo.
-
Arubaini Iwe Sauti ya Umoja wa Kiislamu na Upinzani (Muqawamah) Dhidi ya Ubeberu na Uistikbari wa Kimataifa - Rais wa Waqfu Iran
“Arubaini ya mwaka huu inapaswa kuleta tumaini kwa Waislamu na kuwavunja nguvu maadui. Umoja ndiyo njia ya wokovu kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Bendera ya Mapambano dhidi ya mfumo wa kishetani lazima ibaki juu.”
-
Iran yaidungua ndege isiyo na rubani ya Israel MQ-9 iliyotengenezwa na Marekani
Naibu afisa wa kisiasa na usalama wa gavana wa Ilam ametangaza kuwa, ndege ya kisasa isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni ilidunguliwa na mfumo shirikishi wa ulinzi katika anga ya mkoa huo.