ushindi
-
Rais wa Iran: Mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran Yameleta Umoja wa Kitaifa Usio na Mfano
"Leo tunashuhudia kwa macho yetu kuwa kila Muirani - awe ni mfuasi wa Serikali au mpinzani wake - amekuwa sauti moja katika kutetea hadhi, uhuru, na mamlaka ya nchi yetu".
-
Waziri wa Ulinzi kwa Mwenzake wa Russia: Uamuzi wa Iran ni Kuadhibu Mchokozi kwa Nguvu Zote
"Kilicho hakika ni kwamba hatupigani na Israel pekee, bali tunapigana na Amerika na baadhi ya nchi pia (vibaraka) zinazoiunga mkono Israel."
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Iran Imeshinda Vita
"Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali na watu wa Iran kwa ushindi huu".
-
Vyombo vya habari vya Kizayuni: Iran imeiongoza na kuisukuma Israel kuelekea kwenye kushindwa kimkakati
Vyombo vya habari vya Kizayuni vikichambua vimesema kuwa: Silaha za nyuklia ni hatari, lakini hisia ya ushindi katika mioyo ya maadui ni hatari zaidi.
-
Rais wa Israel: Tumelipa gharama kubwa katika vita na Iran - Hatujapata Ushindi wowote
"Tel Aviv imelipa gharama kubwa mno katika damu ya wakaazi (walowezi wa kizayuni) wa maeneo ya Israel (bali ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na Israel) katika vita na Iran".
-
Wanafunzi wa Madrasatul Hizbullah Al-‘Ilmiyyah Wafanya Mtihani wa Mwisho wa Mwezi - Kazole, Vikindu
Madrasatul Hizbullah Al-‘Ilmiyyah inatoa wito kwa jamii kuendelea kuiunga mkono taasisi hiyo ili iweze kuendelea kutoa elimu bora na kukuza kizazi chenye maarifa, hikma na hofu ya Mwenyezi Mungu.
-
Kwa mujibu wa Qur'an Tukufu: Kundi la Mwenyezi Mungu, linalomtii Mwenyezi Mungu, Mtume Wake, na waliokuwa Waumini wa kweli, Hao ndio washindi wa kweli
"Hezbollah" humaanisha: Kundi lililojifunga na miongozo ya Mwenyezi Mungu, linalosimama na kutetea haki, hata likiwa ni dogo au linakabiliwa na maadui wakubwa. Aya hii imekuwa nembo ya Harakati za Muqawama (Upinzani wa Kiislamu) kama vile Hezbollah ya Lebanon, Ansarullah ya Yemen, na wengineo wanaopambana dhidi ya dhulma ya mabeberu ya Kimataifa.
-
Dalili ya wazi na kubwa Kuhusu Kupigana kwa Malaika Pembeni ya Ali (as)
kwa Hakika Amirul-Mu'minin Ali (a.s) hakuwa anarudi kutoka vitani mpaka apate ushindi kwa msaada wa Mwenyezi Mungu. Na ni fadhila iliyo kubwa kiasi gani kuwa Malaika Jibril (as) anapigana upande wa kulia wake, na Mikail (as) upande wa kushoto wake.