ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Salamu za Krismasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan

    Salamu za Krismasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan

    Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan: "Ninawatakia kheri ya Sikukuu ya Krismasi Wakristo na Watanzania wote. Mnaposafiri na kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu, tusherehekee sikukuu hii kwa furaha, amani na upendo."

    2025-12-25 01:36
  • Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge - Atoa Salam za Krismas kwa Wakristo wote Nchini Tanzania +Picha

    Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge - Atoa Salam za Krismas kwa Wakristo wote Nchini Tanzania +Picha

    Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge - Amehitimisha kwa kutoa wito kwa Watanzania wote kutumia sikukuu za kidini kama nyakati za kutafakari, kuimarisha mahusiano ya kijamii, na kuendeleza utamaduni wa amani na upendo unaolinda umoja wa Taifa.

    2025-12-24 17:44
  • Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum | Cheti cha Heshima Kwa Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Kassim Majaliwa ni Taswira Halisi ya "Falsafa ya Upendo na Umoja wa Kudumu"

    Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum | Cheti cha Heshima Kwa Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Kassim Majaliwa ni Taswira Halisi ya "Falsafa ya Upendo na Umoja wa Kudumu"

    Kulinda na kuendeleza upendo na umoja ni jukumu la kila mwanajamii - kwa maneno, kwa matendo na kwa maamuzi - ili kujenga mustakabali wenye matumaini, mshikamano na heshima kwa utu wa binadamu.

    2025-12-24 16:47
  • Faida na Thawabu za Kufanya Umrah Mufradah kwa Mujibu wa Mafunzo ya Ahlul-Bayt (a.s) +Picha

    Faida na Thawabu za Kufanya Umrah Mufradah kwa Mujibu wa Mafunzo ya Ahlul-Bayt (a.s) +Picha

    Tunamuomba Mwenyezi Mungu azikubali ibada za Masheikh wetu, awajaalie Umrah yao iwe Umrah yenye kukubalika (Umrah Maqbulah), na arejeshe thawabu zake kwa Ummah wote wa Kiislamu.

    2025-12-24 13:34
  • "Falsafa ya Amani na Haki" Kutoka Katika Mafunzo ya Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum - Mwenyekiti JMAT-TAIFA +Picha

    "Falsafa ya Amani na Haki" Kutoka Katika Mafunzo ya Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum - Mwenyekiti JMAT-TAIFA +Picha

    Amani haiwezi kudumu bila haki, na haki haiwezi kupatikana kupitia vurugu wala ghasia.Haki ya kweli hujengwa kwa misingi ya uelewano na kuheshimiana, si kwa kulazimishana. Katika kudai haki, ni muhimu kutumia Amani kama nyenzo kuu ya mawasiliano na maridhiano.

    2025-12-24 12:42
  • Sheikh wa Al-Azhar: Haiwezekani kuwa upande wowote kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza

    Sheikh wa Al-Azhar: Haiwezekani kuwa upande wowote kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza

    Sheikh wa Al-Azhar katika mkutano na balozi wa Italia nchini Misri amesema kuwa mauaji ya kimbari na uhalifu wa utawala wa Kizayuni huko Gaza umefikia hatua ambayo haiwezekani kuwa upande wowote.

    2025-12-23 10:35
  • Balozi Matinyi Auvunja Msimamo wa Kibeberu: Tanzania Si Taifa la Huruma, Bali Nguvu Inayoinuka Kiuchumi

    Balozi Matinyi Auvunja Msimamo wa Kibeberu: Tanzania Si Taifa la Huruma, Bali Nguvu Inayoinuka Kiuchumi

    Katika ujumbe wake mzito kwa jumuiya ya kimataifa, Balozi Matinyi alisisitiza kuwa Tanzania ya sasa inatafuta wafanyabiashara na wawekezaji, si wafadhili. Taifa linaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Reli ya Kisasa (SGR), pamoja na mradi wa gesi asilia unaokadiriwa kugharimu dola bilioni 42, miradi inayolenga kuimarisha uchumi wa taifa na nafasi yake katika uchumi wa kikanda na kimataifa.

    2025-12-21 12:54
  • Kwa mwaka wa tatu mfululizo; Sudan yaongoza orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani

    Kwa mwaka wa tatu mfululizo; Sudan yaongoza orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani

    Sudan kwa mwaka wa tatu mfululizo imeorodheshwa juu kabisa katika orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani.Nchi nyingine zilizoorodheshwa katika ripoti hiyo ni pamoja na: Myanmar, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mali, Burkina Faso, Lebanon, Afghanistan, Cameroon, Chad, Colombia, Niger, Nigeria, Somalia, Syria, Ukraine na Yemen.

    2025-12-16 12:31
  • Darsa ya Ahkaam za Kivitendo Kuhusu Maiti Yafanyika katika Madrasat Al-Hadi (as) Nchini Malawi +Picha

    Darsa ya Ahkaam za Kivitendo Kuhusu Maiti Yafanyika katika Madrasat Al-Hadi (as) Nchini Malawi +Picha

    Darsa hii imelenga kuwaongezea wanafunzi uelewa wa kina kuhusu wajibu wao wa kisharia katika kushughulikia maiti kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.

    2025-12-13 16:29
  • Sherehe za Maulid ya Bibi Mtukufu Fatima binti wa Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) zilifana kwa kiwango kikubwa mjini Nakuru mwaka 2025

    Sherehe za Maulid ya Bibi Mtukufu Fatima binti wa Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) zilifana kwa kiwango kikubwa mjini Nakuru mwaka 2025

    Allah aendelee kutujaalia kufuata nuru ya Ahlul-Bayt (a.s).

    2025-12-13 12:50
  • Waumini Nakuru Waadhimisha Kuzaliwa kwa Bibi Fatima (a.s) Kwa Furaha na Umoja Baada ya Sala ya Ijumaa +Picha

    Waumini Nakuru Waadhimisha Kuzaliwa kwa Bibi Fatima (a.s) Kwa Furaha na Umoja Baada ya Sala ya Ijumaa +Picha

    Maadhimisho hayo yamefanyika mara baada ya Sala ya Ijumaa, ambapo waumini walijumuika kwa pamoja katika hali ya furaha na mshikamano, wakikata na kugawa keki mahsusi iliyoandaliwa kwa heshima ya mnasaba huo wenye baraka.

    2025-12-12 23:59
  • Tanga | Sheikh Mkuu wa T.I.C Sheikh H. Jalala Mwakindenge Aongoza Hafla ya Ndoa za Vijana 100 Katika Maadhimisho ya Mazazi ya Bibi Fatima Zahra (a.s)

    Tanga | Sheikh Mkuu wa T.I.C Sheikh H. Jalala Mwakindenge Aongoza Hafla ya Ndoa za Vijana 100 Katika Maadhimisho ya Mazazi ya Bibi Fatima Zahra (a.s)

    Hafla hii imeendelea kuwa ishara ya umoja, upendo na kuenzi Sunna ya ndoa katika Uislamu, sambamba na kuadhimisha tukio tukufu la mazazi ya Bibi Fatima Zahra (s.a).

    2025-12-12 23:16
  • Nakuru - Kenya | Khatibu wa Sala ya Ijumaa Sheikh Abdul Ghani Khatibu Aeleza Siri ya Utukufu wa Bibi Fatima (sa) kupitia Hadithi Tukufu za Mtume(saww)

    Nakuru - Kenya | Khatibu wa Sala ya Ijumaa Sheikh Abdul Ghani Khatibu Aeleza Siri ya Utukufu wa Bibi Fatima (sa) kupitia Hadithi Tukufu za Mtume(saww)

    Sheikh Abdul Ghani aliweka wazi kuwa mapenzi ya Mtume (saww) kwa Bibi Fatima (sa) hayawezi kuchukuliwa kwa mtazamo wa kawaida wa mapenzi ya baba kwa binti yake. Badala yake, ni tamko la kiungu na kijamii linalobainisha nafasi yake adhimu katika Uislamu.

    2025-12-12 16:34
  • Rais Dr.Samia Suluhu Hassan Ampokea Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ikulu Chamwino - Dodoma | Ni Hatua Mpya ya Ushirikiano wa Kimaendeleo

    Rais Dr.Samia Suluhu Hassan Ampokea Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ikulu Chamwino - Dodoma | Ni Hatua Mpya ya Ushirikiano wa Kimaendeleo

    Tukio hili ni hatua nyingine katika kuimarisha daraja la maelewano, ushirikiano na kuheshimiana baina ya mataifa mawili rafiki, likiwa pia kumbusho la wajibu wa kimataifa wa kusimama upande wa amani, maadili, na ustawi wa jamii.

    2025-12-11 23:58
  • Malawi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Sayyidat Fatima Zahra (S.A) Yafanyika Nchini Malawi | Fatima (sa) ni Kielelezo cha Haki, Imani na Maadili +Picha

    Malawi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Sayyidat Fatima Zahra (S.A) Yafanyika Nchini Malawi | Fatima (sa) ni Kielelezo cha Haki, Imani na Maadili +Picha

    Baraka za Mtoto Tumboni na Kuzaliwa: Fatuma Zahra alitambulika kwa baraka za kipekee akiwa tumboni, akimlinda mama yake kutokana na uchovu na wasiwasi. Mara tu alipozaliwa, mtoto aliongea mara moja na kutangaza: "Shahidi nina shahada kwamba hakuna aliye stahiki kuabudiwa isipokuwa Allah na Baba yangu ni Mtume wa Allah." Tarehe ya kuzaliwa kwake ilijaa mwanga wa kiroho na nuru ya ulimwengu mzima, ikionyesha umuhimu wake wa kipekee katika historia ya Uislamu.

    2025-12-11 17:37
  • Waziri Mkuu Aagiza Mapitio ya Haraka ya Tamko la Mali na Madeni ya Viongozi wa Umma

    Waziri Mkuu Aagiza Mapitio ya Haraka ya Tamko la Mali na Madeni ya Viongozi wa Umma

    Waziri Mkuu ametoa mfano wa maeneo yanayohusiana na rushwa ikiwa ni michakato ya manunuzi, utiaji saini wa mikataba na makusanyo. Aidha, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesisitiza kuwa Sekretarieti ya Maadili ina jukumu kubwa la kuhakikisha nchi inaendeshwa kimaadili.

    2025-12-11 17:00
  • Kenya - Nairobi | Mazungumzo ya Kiutamaduni: Ubalozi wa Iran na APBET SAK Waimarisha Mafungamano ya Kielimu

    Kenya - Nairobi | Mazungumzo ya Kiutamaduni: Ubalozi wa Iran na APBET SAK Waimarisha Mafungamano ya Kielimu

    APBET (Alternative Provision of Basic Education and Training) ni shule za gharama nafuu nchini Kenya zinazolenga watoto wanaoishi katika maeneo yaliyotengwa kama vile mitaa ya mabanda, makazi duni, na maeneo kame au yenye ukame (ASALs).

    2025-12-10 17:21
  • Kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania - Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum katika Kumbukizi ya  Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika

    Kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania - Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum katika Kumbukizi ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika

    Tanganyika ilipata Uhuru kwa njia ya Amani; na sisi leo hii tunalo jukumu la kuuimarisha na kuurithisha kwa vizazi vijavyo. Kwa niaba ya Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania, Nawatakia Kumbukumbu Njema ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Hongera Tanganyika, Hongera Tanzania! Amani na Maridhiano Daima.

    2025-12-09 22:22
  • Wafalme wa Sharifai wa Kaskazini mwa Nigeria Wamtembelea Kiongozi wa Shia Sheikh Ibrahim Zakzaky (H) Huko Abuja

    Wafalme wa Sharifai wa Kaskazini mwa Nigeria Wamtembelea Kiongozi wa Shia Sheikh Ibrahim Zakzaky (H) Huko Abuja

    Ujumbe huo wa kifalme ulihudhuriwa na Sharifai kutoka Zaria, Taraba, Jigawa, Adamawa, Kano, Jos, Gombe na Benue, jambo linaloonyesha upeo mpana wa uwakilishi wa kitamaduni na kidini kutoka maeneo tofauti ya kanda hiyo. Ziara hiyo imeangazia uhusiano wa kihistoria, kiroho na kielimu uliopo kati ya koo za Sharifai na Sheikh Zakzaky, ambaye anatambulika sana kwa elimu yake ya dini, msimamo wake thabiti na mchango wake katika jamii ya Kiislamu.

    2025-12-09 15:54
  • Bukoba Mjini | Waumini Wafanya Tukio la Utu kwa Kuchangia Damu Kuokoa Maisha ya Wagonjwa Mahospitalini +Picha

    Bukoba Mjini | Waumini Wafanya Tukio la Utu kwa Kuchangia Damu Kuokoa Maisha ya Wagonjwa Mahospitalini +Picha

    Wananchi na Waumini wa Bukoba Mjini kutoka makundi na jamii mbalimbali walijitokeza kwa wingi kuchangia damu, jambo lililoonesha moyo wa ubinadamu, uzalendo na mapenzi kwa wenzao. Zoezi hilo limeelezwa kuwa mchango mkubwa kwa wagonjwa wanaohitaji damu kwa dharura, akiwemo mama wajawazito, watoto na waathirika wa ajali.

    2025-12-08 21:28
  • Shia Development Organization na JAI Waongoza Zoezi Kubwa la Uchangiaji Damu Bukoba

    Shia Development Organization na JAI Waongoza Zoezi Kubwa la Uchangiaji Damu Bukoba

    Waandaaji wa tukio hilo wamesisitiza umuhimu wa jamii kujitolea na kuwajali wananchi wasiojiweza, hususan wale waliolazwa hospitalini na wanaohitajika kuongezewa damu ili kuendelea kuishi. Wamesema misingi ya Mafundisho ya Kiislamu kupitia watukufu wa Ahlul-Bayt (a.s) inasisitiza thamani ya utu, kusaidiana na kujitoa kwa ajili ya kuimarisha ustawi wa jamii.

    2025-12-08 20:43
  • Rais Samia na Marekani Wathibitisha Ushirikiano wa Kimkakati kwenye Miradi Mikubwa ya Uwekezaji

    Rais Samia na Marekani Wathibitisha Ushirikiano wa Kimkakati kwenye Miradi Mikubwa ya Uwekezaji

    Kwa upande wake, Balozi Lentz alieleza kuwa ushirikiano wa Tanzania na Marekani umejengwa katika misingi ya ustawi wa pamoja, si utegemezi wa misaada, na kupongeza juhudi za Tanzania chini ya falsafa ya 4R na Dira ya Maendeleo ya 2050. Takribani makampuni 400 ya Marekani yanafanya kazi nchini, jambo linaloonesha kuimarika kwa mazingira ya uwekezaji.

    2025-12-08 20:09
  • Sheikh Dkt. Alhad M. Salum Afichua Siri ya Kizazi cha Gen Z Kilicho Salama Kimaadili -  Siri hiyo ni Twariqa za Kisufi kuwa nguzo ya Amani ya Taifa

    Sheikh Dkt. Alhad M. Salum Afichua Siri ya Kizazi cha Gen Z Kilicho Salama Kimaadili - Siri hiyo ni Twariqa za Kisufi kuwa nguzo ya Amani ya Taifa

    Katika hitimisho la hotuba yake, Sheikh Dkt. Alhad ametoa wito kwa Masheikh, wazazi, walimu wa dini na viongozi wa jamii kuipa nafasi kubwa Elimu ya Kitwariqa katika mchakato wa malezi ya vijana. “Tukizitumia vizuri Njia hizi za Kisufi katika kuwajenga vijana, tutapata vijana wema, wasikivu, wenye elimu ya dini yao, wenye hofu ya Mungu, na wasio tayari kutumika kuharibu jamii,” amesema.

    2025-12-08 17:05
  • Waziri wa Sudan: UAE ina jukumu la uharibifu nchini Sudan

    Waziri wa Sudan: UAE ina jukumu la uharibifu nchini Sudan

    Waziri wa Sudan alielezea uhalifu wa wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF) katika miji ya Fasher na Al-Geneina kama "zaidi ya mawazo" na kukosoa jukumu la UAE katika kuunga mkono kundi hili.

    2025-12-08 13:45
  • Dar-ul-Muslimeen Education center Yapongeza Wahitimu wa Kidato cha Nne wa Al-Qaem Seminary – 2025

    Dar-ul-Muslimeen Education center Yapongeza Wahitimu wa Kidato cha Nne wa Al-Qaem Seminary – 2025

    Hatua hii ya elimu ina nafasi kubwa katika kuwaandaa vijana kuwa watu wenye maarifa, maadili mema na mchango chanya kwa jamii. Dar-ul-Muslimeen imesisitiza kuendelea kuunga mkono elimu inayojenga ubora wa kitaaluma pamoja na malezi ya kiroho na kimaadili. ​

    2025-12-08 13:45
  • Mufti wa Tanzania Atoa Wito wa Kulinda Amani na Kuepuka Uchochezi wa Kidini na Maandamano Yanayopangwa Kufanyika 9 Disemba

    Mufti wa Tanzania Atoa Wito wa Kulinda Amani na Kuepuka Uchochezi wa Kidini na Maandamano Yanayopangwa Kufanyika 9 Disemba

    "Tuepuke upepo mbaya unaosambazwa kwa chuki za kidini. Sisi Waislamu hatukatazwi kuishi kwa wema na wasiokuwa Waislamu. Maisha ya watu lazima yalindwe,” alisema Mufti.

    2025-12-07 17:40
  • Mahafali ya Pili Lady Zahra Islamic Pre and Primary School Yafanyika kwa Mafanikio Makubwa Kondoa – Dodoma +Picha

    Mahafali ya Pili Lady Zahra Islamic Pre and Primary School Yafanyika kwa Mafanikio Makubwa Kondoa – Dodoma +Picha

    Uongozi wa Lady Zahra Islamic Pre and Primary School umeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya elimu, kuongeza ubora wa ufundishaji pamoja na kuimarisha malezi ya watoto kwa misingi ya dini, nidhamu na maarifa ya kisasa.

    2025-12-07 14:54
  • Misri Kusisitiza Kuunga Mkono Lebanon Katika Kusitisha Uchokozi wa Kizayuni

    Misri Kusisitiza Kuunga Mkono Lebanon Katika Kusitisha Uchokozi wa Kizayuni

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, akirejelea kujitolea kamili kwa Lebanon kwa masharti ya makubaliano ya kusitisha mapigano, alisisitiza uungwaji mkono wa Cairo kwa njia yoyote ya kidiplomasia ambayo itasababisha kusitishwa kwa uchokozi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon na kufikia utulivu.

    2025-12-06 22:03
  • Hafla ya Ndoa Yadhihirisha Umoja na Mshikamano wa Waumini Jijini Arusha | Sheikh Hemed Jalala Atoa Nasaha Adhimu kwa Wanandoa +Picha

    Hafla ya Ndoa Yadhihirisha Umoja na Mshikamano wa Waumini Jijini Arusha | Sheikh Hemed Jalala Atoa Nasaha Adhimu kwa Wanandoa +Picha

    Katika nasaha zake kwa wanandoa, Sheikh Jalala amewahimiza kujenga ndoa yenye misingi ya utulivu, mapenzi, heshima, subira, huruma na mawasiliano mema, akisisitiza kushikamana na maadili ya Kiislamu kama nguzo kuu ya ndoa yenye baraka na mafanikio.

    2025-12-06 21:40
  • Sheikh Hemed Jalala Aimarisha Umoja wa Mashia Kupitia Ziara ya Kihistoria Jijini Arusha +Picha

    Sheikh Hemed Jalala Aimarisha Umoja wa Mashia Kupitia Ziara ya Kihistoria Jijini Arusha +Picha

    Ziara hiyo imelenga kuhuisha uhusiano wa kitaasisi, kuimarisha umoja, na kuongeza ushirikiano kati ya taasisi za Kiislamu za Shia. Sheikh Jalala ameipongeza Taasisi ya Sayyid Shuhadaa kwa mchango wake mkubwa katika kueneza elimu, maadili mema na huduma za kijamii kwa jamii.

    2025-12-06 21:13
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom