ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Sa‘yi kati ya Safa na Marwa: Alama ya Imani na Nguzo Muhimu ya Hija na Umra

    Sa‘yi kati ya Safa na Marwa: Alama ya Imani na Nguzo Muhimu ya Hija na Umra

    Aya hii tukufu inathibitisha kuwa sa‘yi baina ya Safa na Marwa ni sehemu muhimu ya ibada ya Hija na Umra, na kwamba hakuna dhambi wala lawama katika kuitekeleza. Kinyume chake, ni ibada iliyoidhinishwa na Qur’ani na kusisitizwa na Sunna ya Mtume ﷺ, na aya imekuja mahsusi kuondoa shaka na uzito uliokuwepo katika nyoyo za watu kuhusu ibada hii.

    2025-12-30 12:05
  • Viongozi wa Serikali na Jeshi la Polisi Jijini Mwanza Watunukiwa Tuzo za Amani Kupitia Kamati ya Maandalizi ya Maridhiano Day 2026

    Viongozi wa Serikali na Jeshi la Polisi Jijini Mwanza Watunukiwa Tuzo za Amani Kupitia Kamati ya Maandalizi ya Maridhiano Day 2026

    Kamati ya Maandalizi ya Maridhiano Day 2026 imetoa tuzo za heshima kwa viongozi wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Jeshi la Polisi, kama ishara ya kutambua mchango wao katika kudumisha amani, mshikamano na utulivu wa kijamii. Tuzo hizo zilitolewa katika hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi za serikali, vyombo vya ulinzi na jamii kwa ujumla kuelekea maandalizi ya tukio hilo muhimu la Maridhiano Day 2026.

    2025-12-29 22:58
  • Bilal Tanga: Ujenzi wa Jengo la Ghorofa Tisa Kutoa Suluhisho la Changamoto ya Nafasi kwa Hawza

    Bilal Tanga: Ujenzi wa Jengo la Ghorofa Tisa Kutoa Suluhisho la Changamoto ya Nafasi kwa Hawza

    Taasisi ya Bilal Tanga inaendelea kuchukua hatua madhubuti katika kuimarisha shughuli za tabligh na elimu ya juu ya Hawza, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuinua elimu ya Kiislamu na kuwahudumia waumini. Katika muktadha huo, ujenzi wa jengo jipya la ghorofa tisa umebeba matumaini makubwa ya kutatua changamoto ya upungufu wa nafasi na kuboresha mazingira ya masomo na dawah.

    2025-12-28 12:27
  • Kufichuliwa kwa mpango wa utawala wa Kizayuni kwa Somaliland

    Kufichuliwa kwa mpango wa utawala wa Kizayuni kwa Somaliland

    Televisheni ya utawala wa Kizayuni imeashiria nia na madhumuni ya utawala huo kutokana na hatua ya hivi karibuni yenye utata ya kuitambua Somaliland.

    2025-12-28 08:54
  • Shughuli za Uenezi wa Elimu na Maarifa ya Dini Zinazofanywa na Mabanati Wanaosoma Madrasat Hazrat Zainab (SA) Wakati wa Likizo

    Shughuli za Uenezi wa Elimu na Maarifa ya Dini Zinazofanywa na Mabanati Wanaosoma Madrasat Hazrat Zainab (SA) Wakati wa Likizo

    Picha hizi ni kielelezo cha wazi na dhahiri cha matunda ya juhudi zinazofanywa katika kueneza elimu na maarifa kupitia Madrasat Zainab (SA), inayosimamiwa na Rais wake, Dkt. Ali Taqavi. Tunamuomba Mwenyezi Mungu amlinde, ampe nguvu, afya njema na tawfiq ya kudumu katika kuitumikia Uislamu na Waislamu.

    2025-12-27 03:49
  • Heshima na Unyenyekevu wa Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi kwa Wazee | Sala ya Ijumaa - Masjid Abdallah Rashid - Zanzibar

    Heshima na Unyenyekevu wa Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi kwa Wazee | Sala ya Ijumaa - Masjid Abdallah Rashid - Zanzibar

    Rais Dkt. Mwinyi pia ameswali Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa 'Abdallah Rashid', ikiwa ni hatua inayotekeleza utaratibu wake wa kawaida wa kusali katika Misikiti mbalimbali nchini, kwa lengo la kuimarisha mshikamano wa kijamii na kudumisha mahusiano ya karibu kati ya Viongozi na Waumini.

    2025-12-27 03:01
  • "Qur’an Tukufu Inahimiza Amani Kama Msingi wa Maisha ya Mwanadamu | Tunajifunza Amani Kutoka Katika Kisa cha Nabii Ibrahim (as)

    Mufti Mkuu wa Tanzania:

    "Qur’an Tukufu Inahimiza Amani Kama Msingi wa Maisha ya Mwanadamu | Tunajifunza Amani Kutoka Katika Kisa cha Nabii Ibrahim (as)

    Katika kufafanua hoja yake, Mufti Mkuu wa Tanzania ametaja kisa cha wageni wa Nabii Ibrahim (as) kama kinavyosimuliwa ndani ya Qur’an Tukufu. Amesema kuwa wageni hao walipoingia nyumbani kwa Nabii Ibrahim (as), walimpa maamkizi ya amani, naye akajibu kwa maamkizi yale yale ya amani.

    2025-12-27 01:37
  • Mufti Mkuu wa Tanzania: Mashekhe Msihofu Kutukanwa, Ni Njia ya Thawabu Siku ya Qiyama +Picha

    Mufti Mkuu wa Tanzania: Mashekhe Msihofu Kutukanwa, Ni Njia ya Thawabu Siku ya Qiyama +Picha

    Mheshimiwa Mufti aliwahimiza wanazuoni waendelee kusimamia haki, kuhubiri dini kwa hekima na subira, na kutoacha jukumu lao la kuuelimisha umma licha ya changamoto zinazowakabili.

    2025-12-26 16:55
  • Mkurugenzi wa Khatamul Anbiyaa Institution Arusha Aungana na Wakristo Kuadhimisha Krismasi kwa Misaada ya Kibinadamu +Picha

    Mkurugenzi wa Khatamul Anbiyaa Institution Arusha Aungana na Wakristo Kuadhimisha Krismasi kwa Misaada ya Kibinadamu +Picha

    Waumini wa Kikristo na wanajamii walioshiriki katika hafla hiyo wamepongeza hatua hiyo, wakieleza kuwa ni mfano bora wa kuishi pamoja kwa amani na kuimarisha uhusiano mwema kati ya jamii za kidini nchini Tanzania.

    2025-12-26 14:30
  • Burkina Faso, Mali na Niger Zazindua Operesheni ya Pamoja ya Kijeshi Dhidi ya Makundi ya Kijihadi

    Burkina Faso, Mali na Niger Zazindua Operesheni ya Pamoja ya Kijeshi Dhidi ya Makundi ya Kijihadi

    Kiongozi wa mpito wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, ametangaza kuanza kwa hatua mpya za kijeshi katika eneo la Sahel baada ya nchi yake, kwa kushirikiana na Mali na Niger, kuzindua operesheni ya pamoja inayolenga kukabiliana na makundi ya kijihadi yanayohusishwa na Al-Qaeda na ISIS. Hatua hiyo inakuja katika muktadha wa kuimarishwa kwa muungano wa kijeshi wa nchi hizo tatu, huku zikisisitiza mshikamano wa kiusalama na mwelekeo mpya wa ushirikiano wa kikanda kufuatia kujiondoa kwao katika ECOWAS na kuvunja ushirikiano wa awali na Ufaransa na Marekani.

    2025-12-26 00:22
  • Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba: Mgawanyiko na Vita vya Ndani Havina Mshindi, Amani Ndiyo Ushindi wa Taifa

    Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba: Mgawanyiko na Vita vya Ndani Havina Mshindi, Amani Ndiyo Ushindi wa Taifa

    Kupitia salamu zake za Krismas - Waziri Mkuu ameutanabahisha Umma wa Watanzania dhidi ya Mgawanyiko na kusisitiza umuhimu wa Amani.

    2025-12-25 16:56
  • Salamu za Krismasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan

    Salamu za Krismasi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan

    Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan: "Ninawatakia kheri ya Sikukuu ya Krismasi Wakristo na Watanzania wote. Mnaposafiri na kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu, tusherehekee sikukuu hii kwa furaha, amani na upendo."

    2025-12-25 01:36
  • Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge - Atoa Salam za Krismas kwa Wakristo wote Nchini Tanzania +Picha

    Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge - Atoa Salam za Krismas kwa Wakristo wote Nchini Tanzania +Picha

    Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge - Amehitimisha kwa kutoa wito kwa Watanzania wote kutumia sikukuu za kidini kama nyakati za kutafakari, kuimarisha mahusiano ya kijamii, na kuendeleza utamaduni wa amani na upendo unaolinda umoja wa Taifa.

    2025-12-24 17:44
  • Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum | Cheti cha Heshima Kwa Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Kassim Majaliwa ni Taswira Halisi ya "Falsafa ya Upendo na Umoja wa Kudumu"

    Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum | Cheti cha Heshima Kwa Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Kassim Majaliwa ni Taswira Halisi ya "Falsafa ya Upendo na Umoja wa Kudumu"

    Kulinda na kuendeleza upendo na umoja ni jukumu la kila mwanajamii - kwa maneno, kwa matendo na kwa maamuzi - ili kujenga mustakabali wenye matumaini, mshikamano na heshima kwa utu wa binadamu.

    2025-12-24 16:47
  • Faida na Thawabu za Kufanya Umrah Mufradah kwa Mujibu wa Mafunzo ya Ahlul-Bayt (a.s) +Picha

    Faida na Thawabu za Kufanya Umrah Mufradah kwa Mujibu wa Mafunzo ya Ahlul-Bayt (a.s) +Picha

    Tunamuomba Mwenyezi Mungu azikubali ibada za Masheikh wetu, awajaalie Umrah yao iwe Umrah yenye kukubalika (Umrah Maqbulah), na arejeshe thawabu zake kwa Ummah wote wa Kiislamu.

    2025-12-24 13:34
  • "Falsafa ya Amani na Haki" Kutoka Katika Mafunzo ya Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum - Mwenyekiti JMAT-TAIFA +Picha

    "Falsafa ya Amani na Haki" Kutoka Katika Mafunzo ya Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum - Mwenyekiti JMAT-TAIFA +Picha

    Amani haiwezi kudumu bila haki, na haki haiwezi kupatikana kupitia vurugu wala ghasia.Haki ya kweli hujengwa kwa misingi ya uelewano na kuheshimiana, si kwa kulazimishana. Katika kudai haki, ni muhimu kutumia Amani kama nyenzo kuu ya mawasiliano na maridhiano.

    2025-12-24 12:42
  • Sheikh wa Al-Azhar: Haiwezekani kuwa upande wowote kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza

    Sheikh wa Al-Azhar: Haiwezekani kuwa upande wowote kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza

    Sheikh wa Al-Azhar katika mkutano na balozi wa Italia nchini Misri amesema kuwa mauaji ya kimbari na uhalifu wa utawala wa Kizayuni huko Gaza umefikia hatua ambayo haiwezekani kuwa upande wowote.

    2025-12-23 10:35
  • Balozi Matinyi Auvunja Msimamo wa Kibeberu: Tanzania Si Taifa la Huruma, Bali Nguvu Inayoinuka Kiuchumi

    Balozi Matinyi Auvunja Msimamo wa Kibeberu: Tanzania Si Taifa la Huruma, Bali Nguvu Inayoinuka Kiuchumi

    Katika ujumbe wake mzito kwa jumuiya ya kimataifa, Balozi Matinyi alisisitiza kuwa Tanzania ya sasa inatafuta wafanyabiashara na wawekezaji, si wafadhili. Taifa linaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Reli ya Kisasa (SGR), pamoja na mradi wa gesi asilia unaokadiriwa kugharimu dola bilioni 42, miradi inayolenga kuimarisha uchumi wa taifa na nafasi yake katika uchumi wa kikanda na kimataifa.

    2025-12-21 12:54
  • Kwa mwaka wa tatu mfululizo; Sudan yaongoza orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani

    Kwa mwaka wa tatu mfululizo; Sudan yaongoza orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani

    Sudan kwa mwaka wa tatu mfululizo imeorodheshwa juu kabisa katika orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani.Nchi nyingine zilizoorodheshwa katika ripoti hiyo ni pamoja na: Myanmar, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mali, Burkina Faso, Lebanon, Afghanistan, Cameroon, Chad, Colombia, Niger, Nigeria, Somalia, Syria, Ukraine na Yemen.

    2025-12-16 12:31
  • Darsa ya Ahkaam za Kivitendo Kuhusu Maiti Yafanyika katika Madrasat Al-Hadi (as) Nchini Malawi +Picha

    Darsa ya Ahkaam za Kivitendo Kuhusu Maiti Yafanyika katika Madrasat Al-Hadi (as) Nchini Malawi +Picha

    Darsa hii imelenga kuwaongezea wanafunzi uelewa wa kina kuhusu wajibu wao wa kisharia katika kushughulikia maiti kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.

    2025-12-13 16:29
  • Sherehe za Maulid ya Bibi Mtukufu Fatima binti wa Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) zilifana kwa kiwango kikubwa mjini Nakuru mwaka 2025

    Sherehe za Maulid ya Bibi Mtukufu Fatima binti wa Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) zilifana kwa kiwango kikubwa mjini Nakuru mwaka 2025

    Allah aendelee kutujaalia kufuata nuru ya Ahlul-Bayt (a.s).

    2025-12-13 12:50
  • Waumini Nakuru Waadhimisha Kuzaliwa kwa Bibi Fatima (a.s) Kwa Furaha na Umoja Baada ya Sala ya Ijumaa +Picha

    Waumini Nakuru Waadhimisha Kuzaliwa kwa Bibi Fatima (a.s) Kwa Furaha na Umoja Baada ya Sala ya Ijumaa +Picha

    Maadhimisho hayo yamefanyika mara baada ya Sala ya Ijumaa, ambapo waumini walijumuika kwa pamoja katika hali ya furaha na mshikamano, wakikata na kugawa keki mahsusi iliyoandaliwa kwa heshima ya mnasaba huo wenye baraka.

    2025-12-12 23:59
  • Tanga | Sheikh Mkuu wa T.I.C Sheikh H. Jalala Mwakindenge Aongoza Hafla ya Ndoa za Vijana 100 Katika Maadhimisho ya Mazazi ya Bibi Fatima Zahra (a.s)

    Tanga | Sheikh Mkuu wa T.I.C Sheikh H. Jalala Mwakindenge Aongoza Hafla ya Ndoa za Vijana 100 Katika Maadhimisho ya Mazazi ya Bibi Fatima Zahra (a.s)

    Hafla hii imeendelea kuwa ishara ya umoja, upendo na kuenzi Sunna ya ndoa katika Uislamu, sambamba na kuadhimisha tukio tukufu la mazazi ya Bibi Fatima Zahra (s.a).

    2025-12-12 23:16
  • Nakuru - Kenya | Khatibu wa Sala ya Ijumaa Sheikh Abdul Ghani Khatibu Aeleza Siri ya Utukufu wa Bibi Fatima (sa) kupitia Hadithi Tukufu za Mtume(saww)

    Nakuru - Kenya | Khatibu wa Sala ya Ijumaa Sheikh Abdul Ghani Khatibu Aeleza Siri ya Utukufu wa Bibi Fatima (sa) kupitia Hadithi Tukufu za Mtume(saww)

    Sheikh Abdul Ghani aliweka wazi kuwa mapenzi ya Mtume (saww) kwa Bibi Fatima (sa) hayawezi kuchukuliwa kwa mtazamo wa kawaida wa mapenzi ya baba kwa binti yake. Badala yake, ni tamko la kiungu na kijamii linalobainisha nafasi yake adhimu katika Uislamu.

    2025-12-12 16:34
  • Rais Dr.Samia Suluhu Hassan Ampokea Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ikulu Chamwino - Dodoma | Ni Hatua Mpya ya Ushirikiano wa Kimaendeleo

    Rais Dr.Samia Suluhu Hassan Ampokea Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ikulu Chamwino - Dodoma | Ni Hatua Mpya ya Ushirikiano wa Kimaendeleo

    Tukio hili ni hatua nyingine katika kuimarisha daraja la maelewano, ushirikiano na kuheshimiana baina ya mataifa mawili rafiki, likiwa pia kumbusho la wajibu wa kimataifa wa kusimama upande wa amani, maadili, na ustawi wa jamii.

    2025-12-11 23:58
  • Malawi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Sayyidat Fatima Zahra (S.A) Yafanyika Nchini Malawi | Fatima (sa) ni Kielelezo cha Haki, Imani na Maadili +Picha

    Malawi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Sayyidat Fatima Zahra (S.A) Yafanyika Nchini Malawi | Fatima (sa) ni Kielelezo cha Haki, Imani na Maadili +Picha

    Baraka za Mtoto Tumboni na Kuzaliwa: Fatuma Zahra alitambulika kwa baraka za kipekee akiwa tumboni, akimlinda mama yake kutokana na uchovu na wasiwasi. Mara tu alipozaliwa, mtoto aliongea mara moja na kutangaza: "Shahidi nina shahada kwamba hakuna aliye stahiki kuabudiwa isipokuwa Allah na Baba yangu ni Mtume wa Allah." Tarehe ya kuzaliwa kwake ilijaa mwanga wa kiroho na nuru ya ulimwengu mzima, ikionyesha umuhimu wake wa kipekee katika historia ya Uislamu.

    2025-12-11 17:37
  • Waziri Mkuu Aagiza Mapitio ya Haraka ya Tamko la Mali na Madeni ya Viongozi wa Umma

    Waziri Mkuu Aagiza Mapitio ya Haraka ya Tamko la Mali na Madeni ya Viongozi wa Umma

    Waziri Mkuu ametoa mfano wa maeneo yanayohusiana na rushwa ikiwa ni michakato ya manunuzi, utiaji saini wa mikataba na makusanyo. Aidha, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesisitiza kuwa Sekretarieti ya Maadili ina jukumu kubwa la kuhakikisha nchi inaendeshwa kimaadili.

    2025-12-11 17:00
  • Kenya - Nairobi | Mazungumzo ya Kiutamaduni: Ubalozi wa Iran na APBET SAK Waimarisha Mafungamano ya Kielimu

    Kenya - Nairobi | Mazungumzo ya Kiutamaduni: Ubalozi wa Iran na APBET SAK Waimarisha Mafungamano ya Kielimu

    APBET (Alternative Provision of Basic Education and Training) ni shule za gharama nafuu nchini Kenya zinazolenga watoto wanaoishi katika maeneo yaliyotengwa kama vile mitaa ya mabanda, makazi duni, na maeneo kame au yenye ukame (ASALs).

    2025-12-10 17:21
  • Kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania - Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum katika Kumbukizi ya  Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika

    Kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania - Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum katika Kumbukizi ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika

    Tanganyika ilipata Uhuru kwa njia ya Amani; na sisi leo hii tunalo jukumu la kuuimarisha na kuurithisha kwa vizazi vijavyo. Kwa niaba ya Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania, Nawatakia Kumbukumbu Njema ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Hongera Tanganyika, Hongera Tanzania! Amani na Maridhiano Daima.

    2025-12-09 22:22
  • Wafalme wa Sharifai wa Kaskazini mwa Nigeria Wamtembelea Kiongozi wa Shia Sheikh Ibrahim Zakzaky (H) Huko Abuja

    Wafalme wa Sharifai wa Kaskazini mwa Nigeria Wamtembelea Kiongozi wa Shia Sheikh Ibrahim Zakzaky (H) Huko Abuja

    Ujumbe huo wa kifalme ulihudhuriwa na Sharifai kutoka Zaria, Taraba, Jigawa, Adamawa, Kano, Jos, Gombe na Benue, jambo linaloonyesha upeo mpana wa uwakilishi wa kitamaduni na kidini kutoka maeneo tofauti ya kanda hiyo. Ziara hiyo imeangazia uhusiano wa kihistoria, kiroho na kielimu uliopo kati ya koo za Sharifai na Sheikh Zakzaky, ambaye anatambulika sana kwa elimu yake ya dini, msimamo wake thabiti na mchango wake katika jamii ya Kiislamu.

    2025-12-09 15:54
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom