ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania - Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum katika Kumbukizi ya  Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika

    Kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania - Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum katika Kumbukizi ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika

    Tanganyika ilipata Uhuru kwa njia ya Amani; na sisi leo hii tunalo jukumu la kuuimarisha na kuurithisha kwa vizazi vijavyo. Kwa niaba ya Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania, Nawatakia Kumbukumbu Njema ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Hongera Tanganyika, Hongera Tanzania! Amani na Maridhiano Daima.

    2025-12-09 22:22
  • Wafalme wa Sharifai wa Kaskazini mwa Nigeria Wamtembelea Kiongozi wa Shia Sheikh Ibrahim Zakzaky (H) Huko Abuja

    Wafalme wa Sharifai wa Kaskazini mwa Nigeria Wamtembelea Kiongozi wa Shia Sheikh Ibrahim Zakzaky (H) Huko Abuja

    Ujumbe huo wa kifalme ulihudhuriwa na Sharifai kutoka Zaria, Taraba, Jigawa, Adamawa, Kano, Jos, Gombe na Benue, jambo linaloonyesha upeo mpana wa uwakilishi wa kitamaduni na kidini kutoka maeneo tofauti ya kanda hiyo. Ziara hiyo imeangazia uhusiano wa kihistoria, kiroho na kielimu uliopo kati ya koo za Sharifai na Sheikh Zakzaky, ambaye anatambulika sana kwa elimu yake ya dini, msimamo wake thabiti na mchango wake katika jamii ya Kiislamu.

    2025-12-09 15:54
  • Bukoba Mjini | Waumini Wafanya Tukio la Utu kwa Kuchangia Damu Kuokoa Maisha ya Wagonjwa Mahospitalini +Picha

    Bukoba Mjini | Waumini Wafanya Tukio la Utu kwa Kuchangia Damu Kuokoa Maisha ya Wagonjwa Mahospitalini +Picha

    Wananchi na Waumini wa Bukoba Mjini kutoka makundi na jamii mbalimbali walijitokeza kwa wingi kuchangia damu, jambo lililoonesha moyo wa ubinadamu, uzalendo na mapenzi kwa wenzao. Zoezi hilo limeelezwa kuwa mchango mkubwa kwa wagonjwa wanaohitaji damu kwa dharura, akiwemo mama wajawazito, watoto na waathirika wa ajali.

    2025-12-08 21:28
  • Shia Development Organization na JAI Waongoza Zoezi Kubwa la Uchangiaji Damu Bukoba

    Shia Development Organization na JAI Waongoza Zoezi Kubwa la Uchangiaji Damu Bukoba

    Waandaaji wa tukio hilo wamesisitiza umuhimu wa jamii kujitolea na kuwajali wananchi wasiojiweza, hususan wale waliolazwa hospitalini na wanaohitajika kuongezewa damu ili kuendelea kuishi. Wamesema misingi ya Mafundisho ya Kiislamu kupitia watukufu wa Ahlul-Bayt (a.s) inasisitiza thamani ya utu, kusaidiana na kujitoa kwa ajili ya kuimarisha ustawi wa jamii.

    2025-12-08 20:43
  • Rais Samia na Marekani Wathibitisha Ushirikiano wa Kimkakati kwenye Miradi Mikubwa ya Uwekezaji

    Rais Samia na Marekani Wathibitisha Ushirikiano wa Kimkakati kwenye Miradi Mikubwa ya Uwekezaji

    Kwa upande wake, Balozi Lentz alieleza kuwa ushirikiano wa Tanzania na Marekani umejengwa katika misingi ya ustawi wa pamoja, si utegemezi wa misaada, na kupongeza juhudi za Tanzania chini ya falsafa ya 4R na Dira ya Maendeleo ya 2050. Takribani makampuni 400 ya Marekani yanafanya kazi nchini, jambo linaloonesha kuimarika kwa mazingira ya uwekezaji.

    2025-12-08 20:09
  • Sheikh Dkt. Alhad M. Salum Afichua Siri ya Kizazi cha Gen Z Kilicho Salama Kimaadili -  Siri hiyo ni Twariqa za Kisufi kuwa nguzo ya Amani ya Taifa

    Sheikh Dkt. Alhad M. Salum Afichua Siri ya Kizazi cha Gen Z Kilicho Salama Kimaadili - Siri hiyo ni Twariqa za Kisufi kuwa nguzo ya Amani ya Taifa

    Katika hitimisho la hotuba yake, Sheikh Dkt. Alhad ametoa wito kwa Masheikh, wazazi, walimu wa dini na viongozi wa jamii kuipa nafasi kubwa Elimu ya Kitwariqa katika mchakato wa malezi ya vijana. “Tukizitumia vizuri Njia hizi za Kisufi katika kuwajenga vijana, tutapata vijana wema, wasikivu, wenye elimu ya dini yao, wenye hofu ya Mungu, na wasio tayari kutumika kuharibu jamii,” amesema.

    2025-12-08 17:05
  • Waziri wa Sudan: UAE ina jukumu la uharibifu nchini Sudan

    Waziri wa Sudan: UAE ina jukumu la uharibifu nchini Sudan

    Waziri wa Sudan alielezea uhalifu wa wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF) katika miji ya Fasher na Al-Geneina kama "zaidi ya mawazo" na kukosoa jukumu la UAE katika kuunga mkono kundi hili.

    2025-12-08 13:45
  • Dar-ul-Muslimeen Education center Yapongeza Wahitimu wa Kidato cha Nne wa Al-Qaem Seminary – 2025

    Dar-ul-Muslimeen Education center Yapongeza Wahitimu wa Kidato cha Nne wa Al-Qaem Seminary – 2025

    Hatua hii ya elimu ina nafasi kubwa katika kuwaandaa vijana kuwa watu wenye maarifa, maadili mema na mchango chanya kwa jamii. Dar-ul-Muslimeen imesisitiza kuendelea kuunga mkono elimu inayojenga ubora wa kitaaluma pamoja na malezi ya kiroho na kimaadili. ​

    2025-12-08 13:45
  • Mufti wa Tanzania Atoa Wito wa Kulinda Amani na Kuepuka Uchochezi wa Kidini na Maandamano Yanayopangwa Kufanyika 9 Disemba

    Mufti wa Tanzania Atoa Wito wa Kulinda Amani na Kuepuka Uchochezi wa Kidini na Maandamano Yanayopangwa Kufanyika 9 Disemba

    "Tuepuke upepo mbaya unaosambazwa kwa chuki za kidini. Sisi Waislamu hatukatazwi kuishi kwa wema na wasiokuwa Waislamu. Maisha ya watu lazima yalindwe,” alisema Mufti.

    2025-12-07 17:40
  • Mahafali ya Pili Lady Zahra Islamic Pre and Primary School Yafanyika kwa Mafanikio Makubwa Kondoa – Dodoma +Picha

    Mahafali ya Pili Lady Zahra Islamic Pre and Primary School Yafanyika kwa Mafanikio Makubwa Kondoa – Dodoma +Picha

    Uongozi wa Lady Zahra Islamic Pre and Primary School umeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya elimu, kuongeza ubora wa ufundishaji pamoja na kuimarisha malezi ya watoto kwa misingi ya dini, nidhamu na maarifa ya kisasa.

    2025-12-07 14:54
  • Misri Kusisitiza Kuunga Mkono Lebanon Katika Kusitisha Uchokozi wa Kizayuni

    Misri Kusisitiza Kuunga Mkono Lebanon Katika Kusitisha Uchokozi wa Kizayuni

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, akirejelea kujitolea kamili kwa Lebanon kwa masharti ya makubaliano ya kusitisha mapigano, alisisitiza uungwaji mkono wa Cairo kwa njia yoyote ya kidiplomasia ambayo itasababisha kusitishwa kwa uchokozi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon na kufikia utulivu.

    2025-12-06 22:03
  • Hafla ya Ndoa Yadhihirisha Umoja na Mshikamano wa Waumini Jijini Arusha | Sheikh Hemed Jalala Atoa Nasaha Adhimu kwa Wanandoa +Picha

    Hafla ya Ndoa Yadhihirisha Umoja na Mshikamano wa Waumini Jijini Arusha | Sheikh Hemed Jalala Atoa Nasaha Adhimu kwa Wanandoa +Picha

    Katika nasaha zake kwa wanandoa, Sheikh Jalala amewahimiza kujenga ndoa yenye misingi ya utulivu, mapenzi, heshima, subira, huruma na mawasiliano mema, akisisitiza kushikamana na maadili ya Kiislamu kama nguzo kuu ya ndoa yenye baraka na mafanikio.

    2025-12-06 21:40
  • Sheikh Hemed Jalala Aimarisha Umoja wa Mashia Kupitia Ziara ya Kihistoria Jijini Arusha +Picha

    Sheikh Hemed Jalala Aimarisha Umoja wa Mashia Kupitia Ziara ya Kihistoria Jijini Arusha +Picha

    Ziara hiyo imelenga kuhuisha uhusiano wa kitaasisi, kuimarisha umoja, na kuongeza ushirikiano kati ya taasisi za Kiislamu za Shia. Sheikh Jalala ameipongeza Taasisi ya Sayyid Shuhadaa kwa mchango wake mkubwa katika kueneza elimu, maadili mema na huduma za kijamii kwa jamii.

    2025-12-06 21:13
  • Je, Senario ya Maafa ya Al-Fasher Inarejelewa Tena Katika Mji wa Babanusa, Sudan?

    Je, Senario ya Maafa ya Al-Fasher Inarejelewa Tena Katika Mji wa Babanusa, Sudan?

    Shirika la Umoja wa Mataifa limeonya kuwa hali ya kibinadamu katika mji wa Babanusa, uliopo katika jimbo la West Kordofan nchini Sudan, iko katika hatari kubwa ya kushuhudia janga kama lililotokea katika mji wa Al-Fasher, Kaskazini mwa Darfur, endapo hali ya sasa itaendelea kuzorota.

    2025-12-06 11:10
  • Sala ya Ijumaa | Nakuru – Kenya Mada ya Khutba: “Uongozi na nafasi yake katika mustakbali wa Ummah wetu” | Khatibu: Sheikh Abdul Ghani Khatibu +Picha

    Sala ya Ijumaa | Nakuru – Kenya Mada ya Khutba: “Uongozi na nafasi yake katika mustakbali wa Ummah wetu” | Khatibu: Sheikh Abdul Ghani Khatibu +Picha

    Katika mawaidha yake, Sheikh Abdul Ghani alisisitiza kuwa uongozi ni mhimili mkuu wa kusimama au kuporomoka kwa jamii yoyote. Alibainisha kuwa uongozi wa haki huijenga jamii, lakini uongozi wa dhulma huiangamiza.

    2025-12-05 18:09
  • Malawi | Sala ya Ijumaa yajadili kuhusu Moto wa Jahannam na Sifa Zake + Picha

    Malawi | Sala ya Ijumaa yajadili kuhusu Moto wa Jahannam na Sifa Zake + Picha

    Katika maelezo yaliyojaa mazingatio, khatibu alibainisha kuwa Moto wa Jahannamu una mawe yanayochoma hadi kufikia ubongo wa waliomo ndani yake, na kwamba kila aina ya moto ni adhabu maalumu kwa aina fulani ya dhambi, kama zilivyobainishwa katika Hadithi za Mtume.

    2025-12-05 16:48
  • Kusainiwa kwa Mkataba wa Amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda | Pichani ni Rais wa Congo na Rais wa Rwanda - Nyuzo za Furaha

    Kusainiwa kwa Mkataba wa Amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda | Pichani ni Rais wa Congo na Rais wa Rwanda - Nyuzo za Furaha

    DRC na Rwanda Zasaini Mkataba wa Amani: Hatua Mpya ya Kidiplomasia Kuelekea Utulivu wa Kikanda

    2025-12-04 22:29
  • Ustadhi Rajai Ayoub na Wasomi wa Qur'an kutoka Tanzania Wawasili Salama Bangladesh kwa Ajili ya Mahfali Makubwa ya Kimataifa ya Qur'an +Picha

    Ustadhi Rajai Ayoub na Wasomi wa Qur'an kutoka Tanzania Wawasili Salama Bangladesh kwa Ajili ya Mahfali Makubwa ya Kimataifa ya Qur'an +Picha

    Mahfali hayo ya kimataifa yanakusudiwa kuwa jukwaa muhimu la kiroho na kielimu, ambapo wasomaji bingwa na mahiri wa Qur'an Tukufu kutoka Tanzania watapata fursa ya kuonesha vipaji vyao katika kusoma Aya Tukufu za Mwenyezi Mungu (SWT), kwa mapito na mitindo mbalimbali ya usomaji wa Qur'an (Qira’at).

    2025-12-04 22:09
  • Uzinduzi wa Kozi ya Mafunzo ya Utaalamu wa Habari na Mitandao ya Kijamii kwa Wanagenzi na Wakufunzi wa Dini wa Bara la Afrika – Qom, Iran +Picha

    Uzinduzi wa Kozi ya Mafunzo ya Utaalamu wa Habari na Mitandao ya Kijamii kwa Wanagenzi na Wakufunzi wa Dini wa Bara la Afrika – Qom, Iran +Picha

    Mwisho wa kozi hii, inatarajiwa kuwa washiriki watahitimu kama Wataalamu wa Habari na Mitandao ya Kijamii, wakiwa tayari kutoa huduma zao katika vituo vya kitamaduni, vyombo vya habari, taasisi za Kiislamu na katika ulingo wa da‘wah na malezi ya jamii katika nchi zao.

    2025-12-04 21:39
  • JMAT Yatoa Wito wa Maridhiano na Amani, Funga ya Siku Tatu na Maombi ya Kitaifa kwa ajili ya Umoja wa Kitaifa

    JMAT Yatoa Wito wa Maridhiano na Amani, Funga ya Siku Tatu na Maombi ya Kitaifa kwa ajili ya Umoja wa Kitaifa

    Mwenyekiti wa JMAT, Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum, amesema: "Matukio ya baada ya Uchaguzi yameacha majeraha ya kisaikolojia na kuchochea hisia za kidini, hivyo kunahitajika hatua za haraka kuimarisha umoja wa kitaifa. Amehimiza maombi hayo yashirikishe waumini wa madhehebu zote na kufanyika kwa mfumo mmoja na Kwa siku moja kitaifa".

    2025-12-04 14:17
  • Chuo cha Dini cha Imam Reza (a.s) nchini Tanzania kimefanya sherehe ya mahafali ya saba ya wahitimu wake +Picha

    Chuo cha Dini cha Imam Reza (a.s) nchini Tanzania kimefanya sherehe ya mahafali ya saba ya wahitimu wake +Picha

    Hawza ya Imam Reza (a.s) nchini Tanzania inaendelea kusisitiza katika mipango yake juu ya malezi ya kizazi chenye uelewa, maadili na uwezo wa kuleta mabadiliko chanya katika jamii.

    2025-12-03 16:54
  • Kikao cha Kamati ya Elimu cha Jamiat Al-Mustafa – Dar es Salaam, Tanzania +Picha

    Kikao cha Kamati ya Elimu cha Jamiat Al-Mustafa – Dar es Salaam, Tanzania +Picha

    Kikao hiki kimeweka msingi muhimu kwa mustakabali wa elimu na malezi ndani ya Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam-Tanzania, huku wajumbe wakiahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu katika kuboresha mwelekeo wa kielimu na kijamii kwa manufaa ya wanafunzi na jamii kwa ujumla.

    2025-12-03 13:44
  • Sheikh Dkt. Al-Had M. Salum Atoa Wito wa Amani:“Tutatue tofauti zetu kwa kukaa katika meza ya mazungumzo, Tuzungumze na Tuilinde Tanzania Yetu”+Picha

    Sheikh Dkt. Al-Had M. Salum Atoa Wito wa Amani:“Tutatue tofauti zetu kwa kukaa katika meza ya mazungumzo, Tuzungumze na Tuilinde Tanzania Yetu”+Picha

    Kuhusu Tanzania: Sheikh Dkt. Al-Had Mussa Salum alisisitiza Watanzania kuzingatia funzo la Ghaza na Palestina kwa ujumla: 1-Kulinda amani ni kipaumbele cha juu. 2-Ukosefu wa amani huleta madhila, uharibifu, na umwagaji wa damu. 3-Watanzania wanashauriwa kutatua tofauti zao kwa mazungumzo na makubaliano ili Tanzania iendelee kuwa salama.

    2025-12-02 20:32
  • Rais Samia Awaongoza Wazee wa Dar es Salaam Kujadili Mustakabali wa Taifa Baada ya Uchaguzi 2025 +Picha

    Rais Samia Awaongoza Wazee wa Dar es Salaam Kujadili Mustakabali wa Taifa Baada ya Uchaguzi 2025 +Picha

    Rais Samia alisisitiza kuwa matukio ya maandamano hayo-ngawa yalikuwa na athari za muda mfupi-hayakubadili misingi ya umoja wa nchi, bali yalitoa nafasi ya kujifunza, kuimarisha mifumo ya mawasiliano, ushirikishwaji wa wananchi, na kuendelea kujenga demokrasia yenye uwiano na utulivu.

    2025-12-02 17:37
  • Falah Islamic Development Yatoa Mafunzo Muhimu Kuhusu Amani na Uwajibikaji | Kuwekeza Katika Amani na Uongozi Bora Ndiyo Suluhisho

    Falah Islamic Development Yatoa Mafunzo Muhimu Kuhusu Amani na Uwajibikaji | Kuwekeza Katika Amani na Uongozi Bora Ndiyo Suluhisho

    Katika hotuba yake, Dkt. Kamal Sheriff alitumia methali mashuhuri, “Tembo wawili wanapopigana, ni nyasi zinazoumia,” kufafanua changamoto zinazojitokeza katika familia, jamii, na hata katika uongozi wa kitaifa na kimataifa. Ufafanuzi wake uliweka wazi namna migogoro ya juu inavyoathiri watu wa kawaida na umuhimu wa kujenga nafasi endelevu za amani na uwajibikaji.

    2025-12-02 14:55
  • Pendekezo Lisilo la Kawaida la Sudan la Kutoa Nafasi ya Kimkakati kwa Urusi

    Pendekezo Lisilo la Kawaida la Sudan la Kutoa Nafasi ya Kimkakati kwa Urusi

    Gazeti la Marekani la Wall Street Journal lilitangaza kwamba Sudan imeipendekezea Urusi ujenzi wa kambi yake ya kwanza ya wanamaji barani Afrika na kupata nafasi ya kimkakati isiyo ya kawaida nchini mwake.

    2025-12-02 14:20
  • Rehma ya Mtume (saww) Yawakutanisha na kuwaunganisha Waislamu Mjini Nakuru | Ni Maulid Adhimu Iliyowavutia Waumini kutoka Kenya na Tanzania +Picha

    Rehma ya Mtume (saww) Yawakutanisha na kuwaunganisha Waislamu Mjini Nakuru | Ni Maulid Adhimu Iliyowavutia Waumini kutoka Kenya na Tanzania +Picha

    Hakika, aliyewakusanya pamoja waumini hawa katika mji huu si mwingine bali ni Mtume wetu Mtwaharifu Muhammad Mustafa (saww) – yule ambaye Allah amemuelezea kama Rehma kwa walimwengu wote: وَمَا أَرْسَلْنَاكَ إِلَّا رَحْمَةً لِّلْعَالَمِينَ “Wala hatukukutuma isipokuwa uwe rehema kwa walimwengu.” (Al-Anbiyaa: 107)

    2025-12-01 15:14
  • Maulid Yang’ara Nakuru: Waumini Wamiminika Kutoka Kenya na Tanzania, Sherehe ya Ndoa Yaambatana na Kumbukumbu ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (saww) +Picha

    Maulid Yang’ara Nakuru: Waumini Wamiminika Kutoka Kenya na Tanzania, Sherehe ya Ndoa Yaambatana na Kumbukumbu ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (saww) +Picha

    Allah Mtukufu anasema kuhusu umuhimu wa kumtukuza Mtume (saww):  ﴿ قُلْ بِفَضْلِ اللَّهِ وَبِرَحْمَتِهِ فَبِذَٰلِكَ فَلْيَفْرَحُوا ﴾ “Sema: Kwa fadhila ya Mwenyezi Mungu na kwa rehema Yake; basi kwa hayo waumini na wafurahie.” (Yunus: 58) Waumini walifurahia siku hiyo kwa dhikri, qaswida, mawaidha na kusoma historia ya Mtume (saww), kwa kutambua kwamba yeye ni neema iliyo kubwa kwa walimwengu.

    2025-12-01 12:51
  • Adabu Muhimu Miongoni mwa Adabu za Kusoma Qur’an Tukufu

    Adabu Muhimu Miongoni mwa Adabu za Kusoma Qur’an Tukufu

    Qur’ani si kitabu cha kusomwa kwa macho na kufahamika kwa fikra pekee. Qur’ani ni minong’ono ya Mola kwa nyoyo zilizo na masikio ya roho. Adabu ya tilawa si sura za nje tu; adabu ya kusoma Qur’ani ni kutambua kuwa umeingia katika uwepo wa Allah, na kwamba kila aya ni pumzi kutoka kwa Mola wa walimwengu, na wewe ndiye unayeambiwa.

    2025-11-29 15:24
  • Kifo cha Kishahidi Klcha Kijana Msyria Usiku wa Harusi Yake Akiwa Anapambana na Uvamizi wa Israel katika Mji wa Bayt Jinn

    Kifo cha Kishahidi Klcha Kijana Msyria Usiku wa Harusi Yake Akiwa Anapambana na Uvamizi wa Israel katika Mji wa Bayt Jinn

    Kijana mmoja Msyria ameuliwa shahid usiku wa harusi yake wakati akipambana na uvamizi wa jeshi la Israel katika mji wa Bayt Jinn, ulioko katika vitongoji vya kusini mwa Damascus.

    2025-11-29 14:47
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom