-
Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Atoa Maagizo Mazito: Wajawazito Kuhudumiwa Kwa Haraka na Dawa Kupatikana Hospitalini
Waziri Mkuu amewahakikishia wananchi kuwa Serikali imewekeza fedha nyingi kupitia Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya: a) Vifaa tiba, b) Dawa, c) Na maboresho ya miundombinu ya afya.
-
Jamiat Al-Mustafa Tanzania Yaandika Historia: Wanafunzi wake Kupeperusha Bendera ya Tanzania Nchini India katika Mchezo wa Zurkhaneh +Picha
Uongozi wa Chuo cha Al-Mustafa umepongeza matokeo hayo na kusisitiza kuwa michezo ni sehemu muhimu ya kujenga nidhamu, ukakamavu, maadili na afya ya Mwanafunzi. Uongozi umesema kwamba mafanikio haya ni ushahidi kwamba taasisi za kielimu za Kiislamu zina uwezo wa kutoa mabingwa katika nyanja mbalimbali, si tu elimu na utafiti bali pia michezo na utamaduni.
-
Majlis Kuhusu Historia na Fadhila za Bibi Fatimah (SA) | Chuo cha Kidini cha Mabinti wa Kiislamu cha Hazrat Zainab (sa) – Kigamboni, Dar-es-s +Picha
Kadhia ya Fadak na Haki za Imam Ali (AS): Katika hotuba yake, alibainisha kuhusu Kadhia ya Fadak, ardhi aliyopewa na Mtume Muhammad (SAW) ambayo baadaye ilichukuliwa kwa dhulma. Pia alifafanua jinsi Bibi Fatimah (SA) alivyoshiriki kikamilifu na kwa ujasiri katika kupinga unyang'anyi huo na kupinga waporaji wa ukhalifa wa Imam Ali (AS), akasimama kidete kulinda haki kwa ajili ya kuzipata Radhi za Allah (SWT).
-
Somo muhimu la Maadili Matukufu ya Kiislamu na Umuhimu wa Elimu limefanyika katika Hawza ya Al-Hadi (as), nchini Malawi +Picha
Katika somo hili, Sheikh Azhar aliwaeleza wanafunzi umuhimu wa elimu na nafasi yake katika kukuza utu wa binadamu na maendeleo ya jamii. Alisisitiza kwamba elimu siyo tu zana ya maendeleo ya kibinafsi, bali pia ni kiini cha maendeleo ya kijamii na ukuaji wa maadili.
-
Jeshi la Sudan Latangaza Uhamaishaji wa Jumla
Kamanda wa Jeshi la Sudan, leo Ijumaa, alitangaza uhamaishaji wa jumla ili watu wa nchi hiyo wapambane na vikosi vya "Rapid Support Forces" (RSF).
-
Kikao cha Kitableegh Kimefanikiwa Vema Mkoani Kilimanjaro - Tanzania +Picha
Mratibu wa kikao alisema kuwa mafanikio ya kikao hiki ni ishara ya mapenzi makubwa ya wananchi wa Kilimanjaro katika kuendeleza na kuimarisha malezi ya kiroho na kiimani katika jamii. Aidha, ameahidi kuwa vikao kama hivi vitazidi kufanyika katika siku zijazo ili kueneza mafundisho ya dini kwa wananchi wote.
-
Rais wa Misri Sisitiza Kuimarisha Makubaliano ya Mkutano na 'Putin'
Rais wa Misri, katika mkutano na ujumbe wa Russia ulioongozwa na Katibu wa Baraza la Usalama la Russia, alisisitiza kuimarisha makubaliano ya mkutano wake na 'Putin'.
-
Wanafunzi Mabinti wa Kiislamu wa Hawza ya Hazrat Zainab (sa), Waendelea na Majlisi za Kuhuisha Shahada ya Sayyidat Fatima Al-Zahra (sa) +Picha
Uongozi wa Hawza umesisitiza kuwa lengo kuu la maadhimisho haya ni kuendeleza utamaduni wa kumkumbuka Bibi Zahra (sa) na kufuata nyayo zake katika kujenga jamii yenye maadili, elimu, na imani imara.
-
Hawza ya Hazrat Zainab (sa) Yapima Ufanisi wa Kielimu Kupitia Mitihani ya Mwaka 2025 +Picha
Miongoni mwa masomo yanayojumuishwa kwenye mitihani hiyo ni Fiqhi, Aqida, Qur’an, Akhlaq, Historia ya Uislamu, na Saikolojia ya Kiislamu, ambapo walimu husika wameandaa maswali kwa umakini ili kuhakikisha kwamba wanafunzi wanapata nafasi ya kuonyesha maarifa na ustadi wao katika nyanja hizo.
-
Mtihani wa Mwisho wa Mwaka 2025 katika Maarifa ya Kiislamu wafanyika katika Hawza ya Imam Ridha (a.s) - Ikwiriri - Tanzania +Picha
Kwa mujibu wa taarifa kutoka uongozi wa Hawza, mtihani huo ni sehemu ya juhudi za taasisi hiyo katika kuimarisha elimu ya Kiislamu yenye mizizi ya Qur’an Tukufu na mafundisho ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) pamoja na Ahlul Bayt wake (a.s).
-
Waandamanaji London wakemea kuhusika kwa nchi za Magharibi katika vita vya Sudan
Waandamanaji walibeba mabango na kuziba baadhi ya barabara wakitaka hatua za haraka za kimataifa kuchukuliwa. Baadaye maandamano hayo yalizingira mgahawa wa OWO, ambapo baadhi ya wabunge wa Uingereza waliripotiwa kuwa na kikao, kabla ya kumalizika kwa amani kufuatia kuwasili kwa Polisi.
-
Sudan yarudi tena katika mapigano mazito ya kijeshi baada ya kusimama kwa miezi kadhaa
Mnamo mwaka 2021, al-Burhan na msaidizi wake Dagalo walifanya mapinduzi ya kijeshi na kumuondoa madarakani Rais Omar al-Bashir. Miaka miwili baadaye, wawili hao wakageukiana wenyewe kwa wenyewe
-
Dkt.Samia Suluhu Hassan Aapishwa Kuiongoza Tanzania katika Kipindi cha 2 cha Awamu ya 6 – Mwanzo Mpya kwa Tanzania kuelekea Ustawi wa Taifa +Picha
Tunamuombea Rais mteule kwa Mwenyezi Mungu, ampe afya njema, ujasiri na hekima, na amsimamie katika jukumu lake kubwa la kuongoza Watanzania kwa amani, utulivu na ustawi wa taifa.
-
Tahadhari ya Madaktari Wasiokuwa na Mipaka kuhusu hatima ya makumi ya maelfu ya raia nchini Sudan
Katikati ya mauaji yanayoendelea katika mji wa El Fasher nchini Sudan, shirika la Madaktari Wasiokuwa na Mipaka (Médecins Sans Frontières, MSF) limeonya kuhusu hatari zinazowatishia makumi ya maelfu ya raia katika eneo hilo.
-
Mpango wa Misri kuhusu Usitishaji Mapigano wa Lebanon na Silaha za Hizbullah
Vyanzo vya vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vilidai kuwasilishwa kwa mpango kutoka Misri wa kupunguza mvutano kati ya Tel Aviv na Lebanon.
-
Ushindi wa Rais wa Tanzania katika Uchaguzi kwa Karibu Asilimia 100 ya Kura
Licha ya maandamano ya umwagaji damu nchini Tanzania, Tume ya Uchaguzi ilitangaza ushindi wa Rais wa nchi hiyo kwa muhula wa tatu, akipata karibu asilimia 100 ya kura.
-
Sayyid Khidr Kano avikwa Kilemba Iran Chini ya Uongozi wa Sheikh Mahdawy | Hafla yazungumzia umuhimu wa Taqwa na uongozi wa kielimu katika jamii+Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt as -ABNA- Mwenyezi Mungu (SWT) anasema: “Na vazi la uchamungu ndilo bora zaidi; hayo ni katika alama za Mwenyezi Mungu ili mpate kukumbuka.” ﴿ يَا بَنِي آدَمَ قَدْ أَنزَلْنَا عَلَيْكُمْ لِبَاسًا يُوَارِي سَوْآتِكُمْ وَرِيشًا ۖ وَلِبَاسُ التَّقْوَىٰ ذَٰلِكَ خَيْرٌ ۚ ذَٰلِكَ مِنْ آيَاتِ اللَّهِ لَعَلَّهُمْ يَذَّكَّرُونَ﴾ (Surat Al-A‘rāf, 7:26) Leo, (Jumatatu) tarehe 20 Oktoba 2025, katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Khidr Kano amevikwa rasmi taji la kielimu (Rawani) katika hafla iliyoongozwa na Mwakilishi wa Kiongozi Mkuu wa Kiislamu Sayyid Ali Al-Khamenei (Q.S) barani Afrika, Sheikh Mahdawy. Miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo alikuwa Sheikh Yakub Yahya Katsina, ambaye alitoa pongezi kwa Sayyid Khidr kwa kupata heshima hiyo kubwa, na akamtakia mafanikio mema katika kuutumikia Uislamu na Umma wa Mtume (s.a.w.w). Katika hotuba yake fupi kwa lugha ya Kiarabu, Sheikh Yakub alisisitiza kuwa rawani huo uwe alama ya uchamungu na utiifu kwa Mwenyezi Mungu, akirejea maneno ya Qur’ani yanayokumbusha kwamba vazi bora ni “vazi la taqwa.” Hafla hiyo ilipambwa na uwepo wa wanazuoni na wanafunzi wa elimu za dini, na picha kadhaa zilipigwa kukumbusha tukio hilo muhimu.
-
Viongozi wa Dini na Serikali Wakutana JNICC Kujadili Amani ya Kitaifa Kabla ya Uchaguzi Mkuu | Maulana Sh. Hemed Jalala Ashiriki Katika Kongamano hilo
Kongamano hilo limehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kidini na kiserikali, likiongozwa na Mgeni Rasmi, Mheshimiwa Prof. Kitila Alexander Mkumbo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji).
-
Hawzat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni | Hafla ya Kuzaliwa kwa Bibi Zainab (sa) Yaadhimishwa Kwa Shangwe
Dkt. Taqavi alifafanua kuwa Bibi Zainab (sa) ni kioo cha ukamilifu wa mwanamke wa Kiislamu, aliyelelewa katika malezi bora ya Mtume Mtukufu (saww) na Imam Ali (as), na akapata elimu ya kimbinguni kutoka kwao. Alikuwa mshauri wa karibu wa Maimamu watatu watukufu - Imam Hassan (as), Imam Hussein (as), na Imam Sajjad (as), na msaada mkubwa kwa Imam Sajjad (as) baada ya tukio la Ashura.
-
Mahojiano na Mwanaharakati Mnyemeni na Shirika la Habari la ABNA;
Kuhusu Utambulisho wa Kiyemen na Sifa za Sayyid al-Houthi hadi kwenye “Bendera ya Yamen” / Kizazi kijacho nchini Yemen kitakuwa kizazi imara
Sisi na Iran ni Mwili Mmoja Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa kindugu uliyojengwa juu ya msingi wa Uislamu, si madhehebu. Tunafuata aya tukufu isemayo: «إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ» - “Hakika waumini ni ndugu.”
-
Tangazo la Nafasi za Masomo | Chuo cha Mabinti wa Kiislamu – Cha Hazrat Zainab (sa) Kigamboni Dar-es-Salaam, Tanzania + Picha
Chuo cha Mabinti cha Hazrat Zainab (s.a) – Kigamboni - Dar-es-Salaam, ni Chuo bora kabisa nchini Tanzania kwa ajili ya Mabinti wa Kiislamu chenye usajili kamili kwa ajili ya kuendelea na harakati zake za utoaji wa maarifa katika: 1_Sayansi za Kiislamu (Islamic Sciences) 2_Na Sayansi za Kibinadamu (Humanities).
-
Tangazo la nafasi za Masomo Katika Chuo cha Al-Mustafa International Foundation – Dar-es-Salaam - Tanzania | Mustakbali Bora kupitia Elimu Bora +Video
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt as -ABNA- Chuo cha Al-Mustafa – International Foundation – Dar-es-Salaam, Tanzania kinakutangazieni Nafasi za Masomo kwa mwaka mpya wa masomo wa 2026 - Tafadhali Bonyeza Klipu hiyo hapo juu kusikiliza 'Tangazo Husika'.
-
Nafasi za Masomo Zatangazwa Katika Chuo cha Al-Mustafa – Dar-es-Salaam | Elimu ya Dini, Fani na Ujuzi wa Kitaaluma kwa Ajili ya Mustakbali Bora +Video
Jenga Mustakbali wa Mtoto Wako kwa Elimu Bora, Ujuzi wa Teknolojia na Ajira Bora – Fursa Hii Usiiache!
-
Mratibu JMAT-TAIFA | Na Balozi wa Amani Dunia - Bi.Fatma Kikkides, atoa wito wa Kitaifa wa Kulinda Amani: “Amani ni jukumu la vijana wote”
"Vijana ndio nguzo kuu ya Taifa na nguvu kazi inayotegemewa. Ni jukumu lenu kulinda amani tuliyonayo na kuhakikisha vizazi vijavyo vinairithi. Amani inaanzia kwenye nafsi, nyumbani na hata sehemu za kazi,” alisema Bi. Kikkides.
-
Bilal Muslim Mission - Kagera yafanya Dua Maalum kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bwabuki - Bukoba + Picha
Sheikh Mustafa Shirazi: "Mwenyezi Mungu husaidia wale wanaojisaidia wenyewe, hivyo mnapaswa kuwa na nia safi, jitihada za kweli, na tumaini kwa Allah katika kila hatua ya elimu yenu".
-
Umuhimu wa Sala ya Pamoja na Faida za Kudumu katika Ibada
Ibada ya pamoja (Jamaa) ya Dhuhri na Asr (n.k) katika Chuo cha Hazrat Zainab (sa) imekuwa mfano bora wa Chuo cha Maadili na utekelezaji wa mafundisho mazuri ya Kiislamu, ikiwa ni sehemu ya kujenga kizazi chenye maarifa, imani, na moyo wa ibada endelevu.
-
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum: "Poleni Sana Wakenya"
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT-TAIFA)- ametoa salamu za rambirambi katika Ubalozi wa Kenya jijini Dar es Salaam, Tanzania, akimfariji Balozi wa Kenya na kuwapa pole wananchi wote wa Kenya kufuatia kifo cha mwanasiasa mkongwe na mashuhuri wa Afrika Mashariki, Baba Raila Amolo Odinga, aliyewahi pia kuwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya. Amesema kuwa Watanzania wote wapo pamoja na Wakenya katika msiba huu mzito, na kwamba wote tunaomboleza kwa pamoja, tukimuombea marehemu apumzike kwa amani ya milele.
-
Libya yageuka kuwa kitovu cha uhalifu wa kimataifa wa mipakani
Ripoti hiyo imeeleza kuwa kutokuwepo kwa utulivu wa kisiasa na kiusalama nchini Libya kumesababisha nchi hiyo kuwa njia kuu ya kupitisha silaha na bidhaa haramu kutoka kusini mwa Afrika kuelekea Bahari ya Mediterania. Barabara ya kaskazini sasa imekuwa njia kuu ya uhalifu wa kimataifa inayounganisha ukanda wa Sahel na Ulaya.
-
Burundi | Mchezo wa Kirafiki Wajenga Umoja Kati ya Shule ya Imam Zaynul Aabidin (a.s) na Timu ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Nyabuningi +Picha
Mchezo wa kwanza kati ya timu hizo ulimalizika kwa sare ya bao 1–1, lakini katika mchezo wa marudiano uliochezwa kwa hamasa na nidhamu ya hali ya juu, timu ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Nyabuningi ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1–0 dhidi ya timu ya Shule ya Imam Zaynul Aabidin (a.s).
-
Mwanachama wa zamani wa Baraza la Kitaifa la Palestina azungumza na ABNA:
Kuwanyang’anya silaha wamiliki halali wa ardhi ya Palestina ni kuwapendelea kabisa wavamizi / Umuhimu wa Kuamka kwa dhamiri za tawala za Kiarabu
Dkt. Rabhiy Halloum amesisitiza kuwa uamuzi wa kweli wa kisiasa na kuamka kwa dhamiri za nchi za Kiarabu ndiko kutakakoamua mustakabali wa ukombozi wa Palestina na kulinda amani ya kudumu katika eneo lote la Mashariki ya Kati.