-
Uwajibikaji na Utawala Bora | Bi.Leila Bhanj Aiwakilisha JMAT-TAIFA Katika Kikao cha Mihimili ya Sheria Dodoma - Tanzania
Ushiriki wa Bi.Leila katika kikao hicho umetajwa kuwa ni uwakilishi mkubwa wa JMAT-TAIFA, ambapo mijadala ilihusu masuala ya utawala bora na uwajibikaji katika mfumo wa sheria.
-
Dr. Ali Taqavi Aongoza Kikao cha Walimu wa Jamiat al-Mustafa (s) – Tanzania Kujadili Masuala Muhimu ya Maendeleo ya Taasisi +Picha
Dr.Taqavi, aliwapongeza walimu na wasimamizi kwa juhudi zao za kuhakikisha malengo ya taasisi yanatekelezwa ipasavyo.
-
Video | Sherehe Adhimu na ya Hamasa kubwa ya Wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s) kwa Kuzaliwa kwa Mtume wa Rehema (saww) na Imam Sadiq (as) nchini Tanzania
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Kutoka Dar es Salaam - Tanzania, Sherehe adhimu ya mwaka wa 1,500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) pamoja na kuzaliwa kwa Imam Ja‘far al-Sadiq (a.s) imefanyika katika Chuo cha Kisayansi cha Hazrat Zainab (s.a) Kigamboni - Dar es Salaam, Tanzania, kwa kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s). Shule hii yenye kutoa ilmu na maarifa matukufu ya kidini inafanya kazi chini ya usimamizi wa tawi la Jami‘at al-Mustafa (s) nchini Tanzania.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani atazuru Qatar kesho
Gazeti la Washington Post, likinukuu maafisa wawili wa serikali ya eneo hilo, limeripoti kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anatarajiwa kufanya ziara nchini Qatar kesho, siku ya Jumanne.
-
Netanyahu: "Tutaendelea Kuwalenga Viongozi wa Hamas"
Kiongozi wa serikali ya Kizayuni (Israel) katika mkutano wa waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, alitetea shambulio la uvamizi la taifa hilo dhidi ya Qatar lililolenga kuuwa viongozi wa Hamas, na hakukatisha nafasi ya kuonyesha kuwa shambulio kama hilo linaweza kurudiwa dhidi ya nchi nyingine za eneo.
-
Maadhimisho ya Maulid ya Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika kwa Mafanikio Katika Hawza ya Imam Ridha - Ikwiriri-Tanzania +Picha
Kwa uongozi na mchango mkubwa wa Maulana Sayyid Arifu Naqawi, Hujjatul Asr Society of Tanzania iliandaa na kuadhimisha Maulid ya Mtume Muhammad (S.A.W.W) katika kituo cha Hawzat Imam Ridhwa (A.S).
-
Zaidi ya Magaidi 110 wa al-Shabaab Wauawa na Kujeruhiwa Nchini Somalia
Vyombo vya habari vya Somalia vimeripoti kuwa magaidi 110 waliuawa na kujeruhiwa katika mapigano kati ya jeshi la nchi hiyo na kundi la al-Shabaab.
-
Makumi ya raia wameuawa katika shambulio la umwagaji damu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mara nyingine imeshuhudia mauaji ya umwagaji damu; angalau watu 60 wameuawa katika shambulio la kundi la watu wenye silaha wanaoshirikiana na ISIS dhidi ya kijiji cha Natwiyo.
-
Usiku wa Maulid Wafana Kigogo Post | Maelfu Wajitokeza Kuadhimisha Kilele cha Maulid - 2025 - Katika Viwanja vya Pipo - Jijini Dar es Salaam +Picha
Muendelezo wa Mapenzi kwa Mtume (saww) Hafla ya Maulid Kigogo ni moja ya mfululizo wa matukio yanayoandaliwa kila mwaka kwa lengo la kuimarisha mapenzi ya Waislamu kwa Mtume Muhammad (saww), sambamba na kuhimiza utekelezaji wa mafundisho yake katika maisha ya kila siku.
-
KIGOGO: Jumuiya ya Shia Ithna'ashariyyah Tanzania Yaandaa Zafa ya Maulid ya Mtume Muhammad (S.A.W.W) +Picha
"Mtume wa Amani - Uchaguzi Uwe wa Haki, Demokrasia na Amani"
-
Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika Jamiat Al-Mustafa(s), Dar es Salaam - Tanzania +Picha
"Mtume Muhammad (saww) ni Kiumbe Bora na Mkamilifu Zaidi wa Mwenyezi Mungu"
-
Qudumi: Jaribio la Kuua Kigaidi Viongozi wa Hamas huko Doha Limefeli
Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hamas mjini Tehran, Khaled Qudumi, amesema kuwa jaribio la kigaidi lililofanywa kwa lengo la kuwaua viongozi wa Hamas katika mji mkuu wa Qatar, Doha – ambalo liliratibiwa kwa usaidizi wa Marekani – limekwama.
-
Maulid - Burundi | Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika Katika Msikiti wa Imam Zainul Abidin (A.S) + Picha
Sheikh Jabir Jamal alisisitiza umuhimu wa siku hii adhimu, akisema:"Katika historia ya Mwanadamu, daima wamekuwepo wale waliotaka kuizima nuru ya Mtume na ujumbe wa Uislamu. Lakini nuru hii ya kimungu haizimiki, itaendelea kuangaza ulimwengu hadi mwisho wa wakati."
-
Burundi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika Kwa Ustadi Mkubwa Katika Husainiyya ya Jumuiya ya Khoja
Washiriki wa Sherehe hiyo pia walimuenzi Mtume Mtukufu (S.A.W.W) kwa heshima kubwa, na walieleza haja ya mshikamano, maelewano, na Umoja wa Umma wa Kiislamu katika kukabiliana na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Kiongozi wa Mapinduzi Katika Mkutano na wanachama wa Serikali:
"Tuweke roho ya Kazi na Juhudi juu ya hali ya Kutokuwa Vitani wala kuwa na Amani (Hali ya 'si vita, si amani')
Ayatollah Khamenei katika kikao na Rais pamoja na Baraza la Mawaziri alisisitiza juu ya umuhimu wa 'kutawala kwa hali ya kazi, juhudi na matumaini' dhidi ya 'hali ya si vita wala amani'
-
Kozi zenye Mada Maalum | “Misingi ya Itifaki na Ustaarabu”, "Dhana, Historia, Dira, Dhima na Hadhi ya JMAT", Na Zingine Zitatolewa kupitia JMAT
Lengo kuu la kozi hizi ni kuwajengea washiriki uwezo wa kuwa mabalozi wa maadili, ustaarabu na mawasiliano bora katika jamii na katika nafasi zao za kazi au uongozi.
-
Hafla Ya Kumbukumbu ya Kuzaliwa Kwa Mtume Muhammad (s) Yazindua Mjadala Kuhusu Heshima Ya Mwanamke | Sh.Dr.Alhad M.Salum Asisitiza Mwanamke ni Dhahabu
Hafla Kubwa Ya Kumbukumbu Za Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) na Imam Ja'far Sadiq (AS) Yazikutanisha Wataalamu na Wageni Wapatao 1500 Dar-es-Salaam.Hafla hii imekuwa ni fursa muhimu ya kuimarisha uelewa wa maisha ya Mtume Muhammad (s.a.w.w) na mafanikio ya Imam Ja'far Sadiq (AS) pamoja na kuhamasisha Umoja baina ya Waislamu na Heshima kwa Wanawake katika jamii zetu.
-
Watu 55 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini Mashariki mwa Nigeria
Mmoja wa walionusurika, Malam Bukar, alisema: "Walivamia kijiji wakipiga mayowe na kuanza kuwashambulia watu kiholela. Tuliporudi asubuhi, miili ya watu ilikuwa imetapakaa kila mahali."
-
Qarii Mashuhuri wa Iran Azikonga Nyoyo za Waumini Usiku wa Maulidi ya Mtume Muhammad (s.a.w.w) +Picha
Hafla hiyo imekuwa sehemu ya maandalizi muhimu ya kusherehekea siku hii tukufu, ikisisitiza umuhimu wa Qur’an katika maisha ya Waislamu na nafasi ya umoja wa waumini katika kuiadhimisha kwa heshima siku ya kuzaliwa kwa Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu.
-
Balozi wa Iran na Waislamu wa Mihango Waadhimisha Maulidi ya Miaka 1500 ya Mtume Muhammad kwa Umoja na Mshikamano +Picha
Mheshimiwa Balozi pamoja na Mshauri wa Masuala ya Kitamaduni walipanda Mti wa Kumbukumbu katika Kituo cha Imam Reza kilichopo Mihango.
-
Maulidi ya Wanawake wa Jumuiya ya Shia Ithna Ashari Tanzania (T.I.C) Yafanyika Masjid Ghadir, Kigogo Post – Dar es Salaam +Picha
Sheikh Muhammad Abdu: “Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) alikuwa mfano bora wa kuwaenzi wanawake na kuwapa nafasi ya msingi katika jamii. Ni juu yetu kufuata nyayo zake kwa kuendeleza elimu, maadili na heshima kwa wanawake katika Uislamu"
-
Qaswida Adhimu ya Sheikh Eid Wambua Yamsifu Mtume Muhammad (s.a.w.w) kwa Mapenzi ya Dhati +Video
Nukuu kutoka Sheikh Eid: “Mtume (s.a.w.w) si kiongozi wa wakati wake tu, bali ni nuru inayomulika vizazi vyote. Qaswida hii ni wito wa upendo, ufuasi na kuhuisha sunna zake katika kila nyanja ya maisha yetu.”
-
Bendera ya Mtume Muhammad (s.a.w.w) Yapandishwa Masjid Ghadiir Kigogo – Ujumbe wa Amani na Umoja Watolewa +Picha
"Upandishaji wa Bendera hii unatufunza kuwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) ametufundisha Amani, Upendo na Kushikamana. Kuishi kwa misingi hiyo kutaiwezesha nchi yetu kuwa ya amani, yenye mshikamano na mapenzi ya kweli kati ya wananchi wake"
-
Maelfu Wahudhuria Maulid ya Kitaifa ya Kuzaliwa kwa Mtume (s.a.w.w) Mkoani Tanga – Korogwe +Picha
Hafla hii ilidhihirisha mshikamano wa Ummah wa Kiislamu na mapenzi ya kweli kwa Mtume Muhammad (saww), huku washiriki wakieleza furaha yao kwa kushiriki tukio hili kubwa la kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Kiongozi wa Rehma
-
Mauaji ya Viongozi wa Yemen ni Ishara ya Uoga wa Tel Aviv; Mastaajabu Yanawasubiri Wakaliaji
Abdul Bari Atwan, akirejelea mastaajabu ya ulimwengu kuhusu uwezo wa makombora na ujasiri wa Wayemen, alisema kuwa Upinzani utabadilisha ramani za eneo na Wayemen wataharibu mradi wa Kizayuni.
-
Imam Al-Askari (a.s): Mwanga wa Elimu na Subira Akumbukwa katika Kituo cha Al_Kawthar, Kigoma +Picha
Kwa heshima ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Imam Hasan Al-Askari (a.s), mmoja wa Maimamu wa Nyumba ya Mtume (s.a.w.w), Majlisi Maalum ya Maombolezo imefanyika katika Kituo cha Al-Kawthar (a.s) kilichopo Kigoma, nchini Tanzania, mnamo tarehe 8 Rabi’ul-Awwal 1447 Hijria.
-
Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam | Umeme na Dini: Daraja Kati ya Maarifa ya Kidunia na Kiakhera +Picha
Darsa la Umeme limeendelea Leo hii katika Chuo cha Kisayansi cha Kimataifa cha Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam.
-
Kwa Mapenzi ya Ahlul-Bayt (as): Hawza ya Mabinti ya Hazrat Zainab (sa) Yaadhimisha Kumbukumbu ya Shahada ya Imam Hassan Al-Askari (a.s) +Picha
Majlisi hii ilikuwa ni fursa muhimu ya kuonyesha mapenzi ya dhati kwa mjukuu kipenzi wa Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w) na kuhuisha upendo wetu kwa Ahlul-Bayt (as).
-
Waislamu Dar es Salaam Waungana Kumuombea Marehemu Bi. Amina Sungura katika Kisomo cha Siku ya 40 +Picha
Kwa ujumla, kisomo cha leo kimetoa taswira ya mshikamano wa kijamii, na kuonyesha namna dini, siasa na jamii zinavyoweza kushirikiana kwa amani na mshikamano katika kuhifadhi maadili na utu wa mwanadamu.
-
Hafla ya 4 ya Mashindano ya Kuhifadhi Qur'an Yaendelea Mubashara Kibaha – Pwani | Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum Mgeni Rasmi Katika Hafla Hii
Kauli mbiu ya mashindano haya ni: “Hakika Qur’an ni Muongozo,” ikisisitiza nafasi ya Qur’an katika kuleta maadili, amani, na maendeleo ya kiroho katika jamii.