15 Juni 2025 - 00:06
Iran inaendelea Kuichakaza Israel kwa Makombora Hatari ya Balistiki

Wazayuni wanahaha na kutangatanga baada ya Iran kutuma shambulizi la wimbi jipya la Makombora ya Balistiki.

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Iran inaendelea Kuichakaza Israel kwa Makombora hatari ya Balistiki.

Iran inazidi kuitandika Israel

Iran inazidi kuitandika Israel

Mara hii Israel inapokea Makombora ambayo haijawahi kuona. Wazayuni wanakimbia hovyo na kutangatanga wakitafuta maeneo ya kujificha.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha