vita
-
Yemen katika Macho na Moyo wa Sayyid Hassan Nasrallah katika Miaka 11 ya Mapinduzi ya Yemen
Watu wa Yemen katika kumbukumbu ya miaka 11 ya ushindi wa Mapinduzi yao wanapanga kufanya maadhimisho ya kumbukumbu ya Sayyid wa Muqawama, kwa kuwa uhusiano wa Sayyid Muqawama na wananchi pamoja na viongozi wa Yemen ulikuwa ni uhusiano wa pande mbili uliojaa mapenzi na heshima.
-
Uhamaji wa Waisraeli 11,000 Baada ya Vita na Iran | Walihama ili kukimbia Makombora ya Iran
Kwa Mujibu wa Taarifa, kurejea kikamilifu kwa wakimbizi hawa majumbani mwao kutachukua miaka kadhaa.
-
Idadi ya Mashahidi wa Gaza yafikia 64,803
Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa jumla ya mashahidi katika eneo hilo imefikia watu 64,803.
-
Kiongozi wa Mapinduzi Katika Mkutano na wanachama wa Serikali:
"Tuweke roho ya Kazi na Juhudi juu ya hali ya Kutokuwa Vitani wala kuwa na Amani (Hali ya 'si vita, si amani')
Ayatollah Khamenei katika kikao na Rais pamoja na Baraza la Mawaziri alisisitiza juu ya umuhimu wa 'kutawala kwa hali ya kazi, juhudi na matumaini' dhidi ya 'hali ya si vita wala amani'
-
Kiongozi wa Ansarullah: Kuwasaidia Wapalestina Wanaodhulumiwa Ni Wajibu wa Mataifa ya Kiislamu
"Mara tu matatizo ya Waislamu yanapoanza, basi hilo huwa ni matokeo ya kugeuka mbali na Qur’an na mwongozo wa Mtume. Suluhisho la kweli ni kurejesha uhusiano wa dhati na Qur’an na Sunnah ya Mtume (s.a.w.w).”
-
"Watoto Wasio na Mpangilio Waliopangwa": Uzinduzi wa Kitabu Kipya Kuhusu Kikosi cha Vita vya Asili cha Shahidi Chamran
Kitabu "Watoto Wasio na Mpangilio Waliopangwa" kinahusu uanzishwaji wa Kikosi cha Vita vya Asili wakati wa mwanzo wa vita vya kulazimishwa vya Iraq dhidi ya Iran. Kinaelezea nafasi ya Ayatollah Khamenei na Shahidi Chamran katika kuunda kikosi hiki cha wapiganaji wa kujitolea kabla ya mfumo rasmi wa kijeshi kuimarishwa, hadi wakati wa kuuawa kwa Shahidi Chamran na kuunganishwa kwa kikosi hiki na vyombo rasmi vya ulinzi.
-
Wayemen hawawezi kushindwa
Gazeti la Kizayuni Jerusalem Post, katika ripoti yake, limesisitiza kuwa Taifa la Yemen haliwezi kushindwa na likabainisha wazi kuwa Israel haitaki vita vya moja kwa moja na Yemen.
-
Zaidi ya Vikundi 200 vya Maombolezo vya Watu wa Mazandaran Wakiwa kwenye Haram ya Imam Ridha (a.s) / Mila ya Kihistoria ya Waombolezaji wa Kaskazini
Mkurugenzi wa Idara ya Tablighat Islami ya Mazandaran amesema: Mwaka huu zaidi ya vikundi 200 vya maombolezo kutoka miji mbalimbali ya mkoa huu, kwa hisia na ufahamu wa kipekee, vimeshiriki kwenye hafla za maombolezo na mikusanyiko ya kidini katika Haram ya Imam Ridha (a.s), na hivyo mila ya kihistoria ya watu wa Mazandaran imefanyika tena kwa upeo mkubwa.
-
Ayatollah Makarim Shirazi: Baraza la Uratibu wa Matangazo Lina Nafasi Muhimu Katika Kulinda Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Ayatollah Makarim Shirazi amethibitisha kwamba Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu lina mchango mkubwa usio na mfano katika kuhifadhi mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Barua ya 18 ya Nahjul Balagha / Onyo kwa Viongozi wote wa Serikali ya Kiislamu
Barua ya kumi na nane (18) ya Nahjul Balagha, ingawa imeandikwa kwa jina la Abdullah bin Abbas, gavana wa Basra wakati huo, lakini inapaswa kuchukuliwa kama onyo kwa viongozi wote wa serikali katika historia yote. Onyo hili linapaswa kuwa mwongozo wa kila mtu anayepewa nafasi au jukumu katika taasisi mbalimbali za mfumo wa Kiislamu.
-
Jeshi la Mapinduzi la Iran Laonya Marekani na Israel: Jibu Litakuwa Kali Mno Kuliko Mnavyodhani
Iran iko tayari kwa Operesheni Kubwa Dhidi ya Wachokozi kwa muda wowote ule.
-
Makelele ya Maafisa wa Kijeshi wa Zamani wa Israel dhidi ya Vita ya Gaza: "Tuko Kwenye Ukingo wa Kushindwa kwa Kihistoria"
Amos Malka, aliyewahi kuwa mkuu wa idara ya ujasusi wa kijeshi, pia alitoa onyo kuwa:"Tuko karibu na ukingo wa kushindwa. Malengo ya awali ya kijeshi yalitimia muda mrefu uliopita, lakini kwa sababu za kisiasa – si za kijeshi – mapigano yanaendelea, na hali hii inaiathiri vibaya Israel kisiasa na kiusalama."
-
Waduruze - Asili, Itikadi na Ushirikiano wao na Maadui wa Ummah wa Kiislamu (Israel + Marekani)
Katika siku za karibuni, kundi hili limeripotiwa kuhusika katika mauaji ya Waislamu huko Suwayda, Syria, kwa usaidizi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. Waduruze wanajulikana kuwa na uhusiano wa karibu na jeshi la Israel, ambapo vijana wao wengi wanahudumu humo.
-
Wazayuni sasa waanza kukata tamaa na wengine kujiua, kwao vita ni ngumu Ghaza na Hamasa bado iko hai na imara kuliko hata jana
kumbukwe kuwa Kuna askari wa Marekani pia aliwahi kujiua mwenyewe huko huko Marekani mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC.
-
Mumbai - India: "Tuna Bahati ya Kuzaliwa Katika Wakati Wako"
Kauli hii katika kumsifu na kumsapoti Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, inatukumbusha kauli maarufu na mashuhuri ya Imam Khomeini (RA) aliposema: "Vita dhidi yetu ni baraka kwetu".
-
Mchambuzi wa Kiyahudi: "Kwa Nini Tumeshindwa Vita na Iran Imeshinda Vita?"
Mchambuzi huyu wa Kiyahudi, Goldberg alisisitiza zaidi kuwa Makombora ya Iran yalilenga kwa usahihi mno Shabaha zake, na yameibuka kwa heshima kubwa kimataifa. Badala ya kusambaratika, Iran imeonekana kuwa Taifa thabiti na lenye msimamo wa kupambana na uonevu wa yeyote.
-
Jerry, Mwendesha kipindi wa Al Jazeera: "Ikiwa uchokozi wa Marekani haungejibiwa na Iran, Marekani ingeenda mbele zaidi na kuingilia vita"
Ujasiri huu wa Iran ulikuwa wa kuzuia hamu ya Marekani ya kutaka kuingilia kati vita vya israel dhidi ya Iran - ili kuisaidia na kuiokoa Israel (iliyokuwa imelemewa na vita).
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Iran Imeshinda Vita
"Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali na watu wa Iran kwa ushindi huu".
-
Qatar: Marekani imeiomba Dola kuwasiliana na Iran ili kuiomba ikubali kusitisha mashambulizi na kumaliza vita na Israel
Washington imeiomba Qatar kuwasiliana na Iran ili kujua jinsi Iran ilivyokuwa tayari kusitisha mapigano na Israel.
-
Hasira ya Lieberman kwa kushindwa kwa Israel kufikia malengo yake maovu
Hili la kusitisha mapigano ni la aibu, si mpango wa makombora wa Iran umeharibiwa wala mpango wao wa nyuklia, huu ni usitishaji mapigano usio na masharti, Iran itarutubisha Uranium (ya Nyuklia) tena.
-
Ufafanuzi kuhusu Jibu la Iran kwa Marekani litatekelezwa kwa namna ipi? | Mpango mzima wa Iran ni kuichakaza na kuimaliza Israel - Haina pa kutokea
Iran inasisitiza kuwa vita hii itaendelea hadi utawala wa Kizayuni uangamizwe kabisa, na uingiliaji wowote wa nje utazidisha tu uhamasishaji na ukali wa mapigano ya Iran.
-
Yemen: Ikiwa Marekani itaingia vitani dhidi ya Iran ili kuisaidia Israel, tutashambulia Meli zake katika Bahari Nyekundu
"Yemen haitasalia kuishia kutizama na kutojali uchokozi wowote dhidi ya nchi ya Kiislamu."
-
Mshauri wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani: Msihadaike, hali ya "Israeli" ni mbaya zaidi kuliko watu wanavyodhani
"Israeli" haikuwa tayari na majibu ya Iran.
-
Gazeti la Wall Street Journal: Israel haiwezi kumudu zaidi ya wiki mbili kwenye vita na Iran
Gazeti hili pia limeelezea kwa kina gharama za vita vya Israel, likisema kuwa gharama za kuzuia kila roketi la Iran kwa kutumia mifumo ya ulinzi wa angani ya Israel zitakuwa kati ya Dola laki saba (700,000) hadi Dola Milioni Nne (4).
-
Kukimbia kwa Timu ya Serikali ya Utawala Ghasibu wa Kizayuni (Israel) katika Miji tofauti wakiogopa mvua ya Makombora ya Iran
Hivi sasa, kwa ujumla utaratibu wa vikao vya serikali hii ya Kizayuni ni chini ya ardhi.
-
Ofisi ya Umoja wa Mataifa Tehran: Raia wa kawaida hawapaswi kuwa walengwa kamwe | Tunasimama bega kwa bega na Iran
Ujumbe huo unasisitiza kuwa: "Njia pekee ya kutoka katika mzozo huu ni diplomasia. Kupunguza mivutano na kuendeleza mazungumzo kwa mujibu wa sheria za kimataifa na kwa kuzingatia roho ya Katiba ya Umoja wa Mataifa ndiyo njia salama zaidi ya kulinda maisha ya watu na kuhifadhi amani tunayohitaji."
-
Taarifa ya Pamoja ya Nchi 21 za Kiarabu na Kiislamu Kulaani Shambulio la Israel Dhidi ya Iran
Katika taarifa hiyo, nchi hizo zimetilia mkazo umuhimu wa kuondoa silaha za nyuklia na silaha nyingine za maangamizi ya halaiki kutoka katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
"Watu wenye busara wanaoijua Iran,watu wake na historia yake,hawazungumzi na taifa hili kwa lugha ya vitisho,kwa sababu taifa la Iran halisalimu amri"
"Wamarekani wanapaswa kufahamu kuwa aina yoyote ya uvamizi wa kijeshi kutoka kwao hakika itasababisha madhara yasiyoweza kufidiwa.”
-
Onyo la Jeshi la Iran kwa Walowezi wa Israel | Ondokeni katika Maeneo yote ya Israel haraka ili muokoe Nafsi zenu
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran linajiandaa na shambulizi kubwa ambalo wameliita kuwa litakuwa ni shambulizi la Kutoa adhabu kwa Adui Israel. Kutokana na hilo imewataka Walowezi wa Kizayuni kutoka ndani ya Israel haraka Sana ili waokoe Nafsi zao.
-
Leo tuko katika vita kamili -vya jumla- kati ya Imani na Ukafiri |Wito wa uhamasishaji wa Vyombo vya Habari na Ubainishaji Mzuri ili Kutetea Mapinduzi
Leo hii, ndio maana tunaona kila mtu ulimwenguni akifurahi kwamba Israeli inapigwa na Makombora ya Iran. Pia tunaona umoja wa kitaifa ndani ya nchi, ambapo kila mtu analaani hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yetu, isipokuwa watu wachache wabaya na waliolaaniwa ambao hata majina yao hayaruhusiwi kutamkwa na kutajwa.