vita
-
Makelele ya Maafisa wa Kijeshi wa Zamani wa Israel dhidi ya Vita ya Gaza: "Tuko Kwenye Ukingo wa Kushindwa kwa Kihistoria"
Amos Malka, aliyewahi kuwa mkuu wa idara ya ujasusi wa kijeshi, pia alitoa onyo kuwa:"Tuko karibu na ukingo wa kushindwa. Malengo ya awali ya kijeshi yalitimia muda mrefu uliopita, lakini kwa sababu za kisiasa – si za kijeshi – mapigano yanaendelea, na hali hii inaiathiri vibaya Israel kisiasa na kiusalama."
-
Waduruze - Asili, Itikadi na Ushirikiano wao na Maadui wa Ummah wa Kiislamu (Israel + Marekani)
Katika siku za karibuni, kundi hili limeripotiwa kuhusika katika mauaji ya Waislamu huko Suwayda, Syria, kwa usaidizi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. Waduruze wanajulikana kuwa na uhusiano wa karibu na jeshi la Israel, ambapo vijana wao wengi wanahudumu humo.
-
Wazayuni sasa waanza kukata tamaa na wengine kujiua, kwao vita ni ngumu Ghaza na Hamasa bado iko hai na imara kuliko hata jana
kumbukwe kuwa Kuna askari wa Marekani pia aliwahi kujiua mwenyewe huko huko Marekani mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC.
-
Mumbai - India: "Tuna Bahati ya Kuzaliwa Katika Wakati Wako"
Kauli hii katika kumsifu na kumsapoti Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, inatukumbusha kauli maarufu na mashuhuri ya Imam Khomeini (RA) aliposema: "Vita dhidi yetu ni baraka kwetu".
-
Mchambuzi wa Kiyahudi: "Kwa Nini Tumeshindwa Vita na Iran Imeshinda Vita?"
Mchambuzi huyu wa Kiyahudi, Goldberg alisisitiza zaidi kuwa Makombora ya Iran yalilenga kwa usahihi mno Shabaha zake, na yameibuka kwa heshima kubwa kimataifa. Badala ya kusambaratika, Iran imeonekana kuwa Taifa thabiti na lenye msimamo wa kupambana na uonevu wa yeyote.
-
Jerry, Mwendesha kipindi wa Al Jazeera: "Ikiwa uchokozi wa Marekani haungejibiwa na Iran, Marekani ingeenda mbele zaidi na kuingilia vita"
Ujasiri huu wa Iran ulikuwa wa kuzuia hamu ya Marekani ya kutaka kuingilia kati vita vya israel dhidi ya Iran - ili kuisaidia na kuiokoa Israel (iliyokuwa imelemewa na vita).
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Iran Imeshinda Vita
"Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali na watu wa Iran kwa ushindi huu".
-
Qatar: Marekani imeiomba Dola kuwasiliana na Iran ili kuiomba ikubali kusitisha mashambulizi na kumaliza vita na Israel
Washington imeiomba Qatar kuwasiliana na Iran ili kujua jinsi Iran ilivyokuwa tayari kusitisha mapigano na Israel.
-
Hasira ya Lieberman kwa kushindwa kwa Israel kufikia malengo yake maovu
Hili la kusitisha mapigano ni la aibu, si mpango wa makombora wa Iran umeharibiwa wala mpango wao wa nyuklia, huu ni usitishaji mapigano usio na masharti, Iran itarutubisha Uranium (ya Nyuklia) tena.
-
Ufafanuzi kuhusu Jibu la Iran kwa Marekani litatekelezwa kwa namna ipi? | Mpango mzima wa Iran ni kuichakaza na kuimaliza Israel - Haina pa kutokea
Iran inasisitiza kuwa vita hii itaendelea hadi utawala wa Kizayuni uangamizwe kabisa, na uingiliaji wowote wa nje utazidisha tu uhamasishaji na ukali wa mapigano ya Iran.
-
Yemen: Ikiwa Marekani itaingia vitani dhidi ya Iran ili kuisaidia Israel, tutashambulia Meli zake katika Bahari Nyekundu
"Yemen haitasalia kuishia kutizama na kutojali uchokozi wowote dhidi ya nchi ya Kiislamu."
-
Mshauri wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani: Msihadaike, hali ya "Israeli" ni mbaya zaidi kuliko watu wanavyodhani
"Israeli" haikuwa tayari na majibu ya Iran.
-
Gazeti la Wall Street Journal: Israel haiwezi kumudu zaidi ya wiki mbili kwenye vita na Iran
Gazeti hili pia limeelezea kwa kina gharama za vita vya Israel, likisema kuwa gharama za kuzuia kila roketi la Iran kwa kutumia mifumo ya ulinzi wa angani ya Israel zitakuwa kati ya Dola laki saba (700,000) hadi Dola Milioni Nne (4).
-
Kukimbia kwa Timu ya Serikali ya Utawala Ghasibu wa Kizayuni (Israel) katika Miji tofauti wakiogopa mvua ya Makombora ya Iran
Hivi sasa, kwa ujumla utaratibu wa vikao vya serikali hii ya Kizayuni ni chini ya ardhi.
-
Ofisi ya Umoja wa Mataifa Tehran: Raia wa kawaida hawapaswi kuwa walengwa kamwe | Tunasimama bega kwa bega na Iran
Ujumbe huo unasisitiza kuwa: "Njia pekee ya kutoka katika mzozo huu ni diplomasia. Kupunguza mivutano na kuendeleza mazungumzo kwa mujibu wa sheria za kimataifa na kwa kuzingatia roho ya Katiba ya Umoja wa Mataifa ndiyo njia salama zaidi ya kulinda maisha ya watu na kuhifadhi amani tunayohitaji."
-
Taarifa ya Pamoja ya Nchi 21 za Kiarabu na Kiislamu Kulaani Shambulio la Israel Dhidi ya Iran
Katika taarifa hiyo, nchi hizo zimetilia mkazo umuhimu wa kuondoa silaha za nyuklia na silaha nyingine za maangamizi ya halaiki kutoka katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
"Watu wenye busara wanaoijua Iran,watu wake na historia yake,hawazungumzi na taifa hili kwa lugha ya vitisho,kwa sababu taifa la Iran halisalimu amri"
"Wamarekani wanapaswa kufahamu kuwa aina yoyote ya uvamizi wa kijeshi kutoka kwao hakika itasababisha madhara yasiyoweza kufidiwa.”
-
Onyo la Jeshi la Iran kwa Walowezi wa Israel | Ondokeni katika Maeneo yote ya Israel haraka ili muokoe Nafsi zenu
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran linajiandaa na shambulizi kubwa ambalo wameliita kuwa litakuwa ni shambulizi la Kutoa adhabu kwa Adui Israel. Kutokana na hilo imewataka Walowezi wa Kizayuni kutoka ndani ya Israel haraka Sana ili waokoe Nafsi zao.
-
Leo tuko katika vita kamili -vya jumla- kati ya Imani na Ukafiri |Wito wa uhamasishaji wa Vyombo vya Habari na Ubainishaji Mzuri ili Kutetea Mapinduzi
Leo hii, ndio maana tunaona kila mtu ulimwenguni akifurahi kwamba Israeli inapigwa na Makombora ya Iran. Pia tunaona umoja wa kitaifa ndani ya nchi, ambapo kila mtu analaani hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yetu, isipokuwa watu wachache wabaya na waliolaaniwa ambao hata majina yao hayaruhusiwi kutamkwa na kutajwa.
-
Mwanazuoni wa Kishia wa Pakistani:
Uungaji mkono wa Serikali ya Pakistan kwa Iran ni hatua ya kijasiri na ya kupongezwa
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amepongeza uungaji mkono wa serikali ya Pakistan kwa Iran dhidi ya mashambulizi ya Israel na ameitaja hatua hiyo kuwa ya kijasiri na ya kupongezwa na kuzitaka nchi za Kiislamu kuchukua misimamo thabiti dhidi ya uvamizi wa Wazayuni.
-
Safari za ndege zimehairishwa hadi ilani nyingine/Shule, Misikiti, na njia za chini ya ardhi zitafunguliwa kwa umma saa 24 kwa siku kuanzia leo usiku
Msemaji wa Serikali amesema: "Hakuna shida katika kusafirisha bidhaa, dawa, chakula, na mahitaji ya watu, haswa mafuta."
-
Iran inaendelea Kuichakaza Israel kwa Makombora Hatari ya Balistiki
Wazayuni wanahaha na kutangatanga baada ya Iran kutuma shambulizi la wimbi jipya la Makombora ya Balistiki.
-
Wimbi la Makombora ya Iran Limelenga Ngome za Israel
Mashambulizi haya ya makombora ya balestiki yamesababisha hali ya taharuki kubwa, huku ving’ora vya hatari vikipigwa kote katika maeneo ya utawala huo ghasibu.
-
Brigedia Jenerali Sayyid Majid Mousavi Ateuliwa Kuongoza Kikosi cha Anga cha IRGC
Katika amri rasmi ya uteuzi, Ayatullah Khamenei amesisitiza umuhimu wa: Kuimarisha uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani
-
Maneno ya Ayatullah Ustadh Abdullah Jawadi Amuli: “Rudisha jiwe, kokote kule lilipotoka"
Ujumbe wa muhimu wa Ayatollah Jawad Amuli kuhusu Jinai ya Kizayuni dhidi ya Iran umetolewa hivi punde.
-
Idadi ya waliouawa Gaza imefikia watu 54,880 | Hali ni mbaya sana na watu wengi wanahitaji msaada wa kibinadamu
Hali ya Gaza inaendelea kuwa mbaya kutokana na mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni. Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa ndani ya saa 24 zilizopita watu 108 wamepoteza maisha na wengine 393 wamejeruhiwa. Jumla ya waliofariki tangu kuanza kwa mashambulizi haya imezidi kufikia watu 54,000. Hali hii inahitaji mshikamano wa kimataifa ili kusitisha ukatili huu na kuanzisha mazungumzo ya amani.
-
Onyo kutoka kwa “American Conservative”: Trump anapaswa kujiepusha na uchochezi wa vita na kuzingatia diplomasia
Jarida la kihafidhina la Marekani The American Conservative limetoa onyo kwa Donald Trump, mgombea wa Urais wa Marekani mwaka 2024, likimtaka aepuke sera za kichochezi na vita, na badala yake aweke mkazo kwenye diplomasia kama njia bora ya kulinda maslahi ya Marekani. Kwa mujibu wa jarida hilo, kuendelea na mwelekeo wa kijeshi na mivutano ya kimataifa hakutasaidia Marekani, bali kutazidisha matatizo ya kiuchumi na kisiasa, na kuathiri nafasi ya taifa hilo katika uongozi wa dunia.
-
Mbinu za Mwisho za Shetani Katika Sekunde za Mwisho za Maisha
Katika sekunde za mwisho za kuaga dunia, shetani hachoki kujaribu kumdanganya mtu na ana matumaini ya kuharibu imani ya mtu kwa maisha yote katika wakati wa mwisho. Ikiwa mtu hana imani thabiti, kuna hatari kwamba atarudi nyuma kutoka kwa imani yake na kufa bila dini.
-
Ukurasa wa Ukandamizaji wa Usalama huko Bahrain: Vita vya Serikali dhidi ya Wananchi vinaendelea
Serikali ya Bahrain imezidisha tena juhudi zake za kiusalama, kuanzisha wimbi jipya la ukandamizaji, kuwakamata na kuweka vizuizi vikali dhidi ya wapinzani, wanaharakati na hata wananchi wa kawaida; mkakati ambao umekuwa msingi wa kuendelea kwa utawala huu kwa miaka mingi.
-
Kuendelea kuwepo kwa Marekani nchini Afghanistan kinyume na misimamo rasmi ya pande husika / Ujasusi na vitisho vya Marekani kwa nchi za eneo
Ingawa Marekani kwa dhihiri imeondoa majeshi yake kutoka Afghanistan, ripoti na kauli za Donald Trump zinaonyesha kuwa msingi mmoja wa kimkakati bado uko chini ya udhibiti wa Marekani nchini humo. Washington inatumia kambi hii kufanikisha malengo kama vile ufuatiliaji wa taarifa za kijasusi kuhusu Iran, China na Urusi, pamoja na kuhifadhi ushawishi wake katika Asia ya Kati.