Haki
-
Mahakama Kuu Yaweza Kuongeza Ufanisi wa Mfumo wa Kiislamu Kupitia Utekelezaji wa Haki
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), akiwa mbele ya wakurugenzi na wafanyakazi wa Mahakama ya Mkoa wa Gilan, amesema kuwa utekelezaji sahihi wa haki na usawa katika taasisi zote za serikali unaweza kuongeza ufanisi wa Jamhuri ya Kiislamu na kuthibitisha madai yake ya msingi kuhusu haki katika utawala.
-
Hotuba ya 22 ya Nahjul-Balagha: Njia za Kihistoria za Kurejesha Batili!
Katika sehemu hii ya hotuba, Imam Ali (a.s) anasisitiza kwamba vyombo vya habari na mbinu za kisaikolojia ni silaha kuu za Shetani na wafuasi wake katika kujaribu kurejesha dhulma na uongo katika jamii.
-
Sheikh Naim Qasim: Baada ya Mashambulizi ya Adui, Hezbollah Ilisimama Imara na Imekuwa Imara Zaidi / Wakati wa Vita Sikukubali Kwenda Iran
Katibu Mkuu wa Hezbollah ya Lebanon, Sheikh Naim Qasim, amesisitiza kwamba ingawa kuna uwezekano wa kutokea kwa vita kati ya Lebanon na Israel, jambo hilo halijathibitishwa, lakini upinzani (muqawama) uko tayari kulilinda taifa la Lebanon hata kama litakabiliwa na hali ya upungufu wa vifaa. Hezbollah Imeimarika Zaidi Baada ya Mashambulizi ya adui.
-
Ayatullah Javadi Amoli alisema:
“Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaundwa kati ya taifa na serikali, msingi wa mfumo utadhurika”
Mmoja wa maraji wa juu wa Washia alisema: “Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaibuka kati ya serikali na taifa, msingi wa mfumo utadhurika. Iwapo kiongozi atakuwa na wavurugiko kati ya matakwa yake ya kimaakili na tamaa za nafsi, ataondoka mbali na haki.”
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
Uislamu ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan amesema kuwa: Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ambao ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki, na mfano bora zaidi wa hayo ni mfumo wa haki wa Imam Ali (a.s) ambao utabaki kuwa kielelezo cha uadilifu na usawa daima.
-
Mwenge wa “Dhoruba ya Al-Aqsa” hautazimika
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa: Mwenge wa “Dhoruba ya Al-Aqsa” utaendelea kuwaka daima, ukiwapulizia roho ya kusimamia haki, misingi, na umoja wa kitaifa. Moto wake katika nyoyo za taifa letu kubwa hautazimika kamwe, ijapokuwa kujitolea ni kwa gharama kubwa na nguvu za adui ni nyingi.
-
Shia wa Ahlul-Bayt (as) Kamwe Hawatukani Masahaba wala Mtu yeyote hata kama ni dhalimu, bali Hufuata Manhaj wa Qur’an Tukufu katika Kukosoa kwa Hekima
Shia na Mtazamo wao kwa Masahaba Shia hawawatusi Masahaba wa Mtume (s.a.w.w), bali hukosoa matendo au maneno ya baadhi yao pale yanapopingana na mafundisho ya Uislamu na Qur’an Tukufu. Kukosoa kwao si kutokana na chuki, bali ni kutokana na ufuasi wa haki na uchambuzi wa kielimu.
-
Sharm el-Sheikh: Dunia Iliyo Pinduliwa na Mashujaa wa Uongo / Maonyesho ya Amani kwa Ajili ya Kukwepa Haki
Mkutano wa Sharm el-Sheikh umehudhuriwa na watu kama Donald Trump, Emmanuel Macron, na viongozi wengine wa Magharibi ambao kwa hakika ni washirika wa mauaji ya halaiki ya Gaza.
-
Hali ya Wasichana katika Uislamu: Upendo, Heshima na Haki
Wasichana katika Uislamu: Hadithi ya Upendo, Heshima na Thamani za Kimungu
Hali ya Wasichana (Mabinti) katika Uislamu inategemea usawa katika uumbaji na heshima ya kibinadamu, ambapo Mwanamke na Mwanaume wameumbwa kutoka nafsi moja. Wanawake wana usawa na wanaume katika kupata elimu, uhuru wa kifedha, na zawadi ya akhera kulingana na matendo mema. Uislamu unathamini sana nafasi ya wasichana katika familia na jamii, hasa katika uba mama na kulea amani na utulivu, na kuziweka nafasi hizi kuwa juu na za heshima.
-
Mkutano wa Dharura wa Viongozi wa Nchi za Kiislamu na Jumuiya ya Kiarabu huko Doha:
Pezeshkian: Uvamizi dhidi ya Qatar ni shambulio dhidi ya diplomasia ya kimataifa / Umoja wa Waislamu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na uvamizi huu
Rais wa Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, akilaumu kitendo cha kigaidi na jinai cha utawala wa Kizayuni katika shambulio la mji mkuu wa Qatar siku za hivi karibuni, alisema: “Kwa bahati mbaya, magaidi wanaotawala Tel Aviv, wakijiona hawana hatia baada ya udanganyifu wa aina ile ile kwenye diplomasia Juni 2025 na kuanzishwa kwa vita vya uvamizi dhidi ya watu wa nchi yangu, walijitahidi zaidi.”
-
Mitihani ya Kila Wiki - Chuo Kikuu cha Al-Mustafa(s), Dar es Salaam - Tanzania
Mchakato huu umefanyika chini ya usimamizi makini wa walimu na uongozi wa chuo ili kuhakikisha haki, uadilifu wa kielimu na nidhamu ya kimasomo vinazingatiwa ipasavyo.
-
Arubaini: Jukwaa la Haki, Amani na Uadilifu, na ni Taa ya Uongofu na Jahazi la Uokovu
Historia inaonyesha kuwa jukwaa hili lina mizizi imara katika imani, haki na uadilifu. Lilianza na mtu mmoja au wawili zaidi ya karne kumi zilizopita. Pamoja na changamoto nyingi zilizowakumba waliolipanda, idadi ya washiriki imekuwa ikiongezeka kila mwaka - hasa baada ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Mmiliki wa Mawkibu Muiraq Katika Mahojiano na ABNA:
Arubaini ni fursa yenye thamani kubwa ya kubainisha uhalisia wa Jamhuri ya Kiislamu na tabia ya kinyama ya Israel
Mmiliki wa Mawkibu kutoka Iraq, akisisitiza umuhimu wa Jihadi ya Kuelimisha katika siku za Arubaini ya Imam Hussein (a.s), amesema kuwa siku hizi ni fursa muhimu ya kuwapa uelewa mataifa mbalimbali.
-
Bondia Muhammad Ali: "Ikiwa unataka kuuelewa Uislamu, basi kwanza jifunze uelewe tukio la Karbala"
Muhammad Ali - Bondia maarufu wa wakati wote alitoa kauli hiyo mwaka 1993 katika Mwezi kama huu wa Muharram ambapo naye alishiriki katika Maombolezo ya Shahada ya Imam Hussein (as).
-
Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"
Sheikh Abdul Rahman Kachere: "Mtu anayemfahamu Imam Hussein (AS) daima ni jasiri katika kukabiliana na dhulma".Kumjua vizuri Imam Hussein (as) kutawafanya watu wa mataifa mbalimbali kumpinga adui na dhalimu, na kutambua njama za adui na dhalimu dhidi ya mataifa yao, na kuwa tayari kupambana kwa ajili ya kuinusuru Haki, kwa ajili ya kuondoa uistikbari, dhulma na unyonyaji wa mfumo mpya wa ukoloni unaoitwa: Ukoloni mambo leo.
-
Falsafa ya Maombolezo na Kumbukumbu ya A'shura | Kulinda Haki na Uhuru wa Watu ni Muhimu zaidi kuliko Maisha binafsi
Haki ya mtu binafsi na umma: Imam Hussein alijua kwamba alikuwa akielekea kifo, lakini alikusudia kuonyesha ulimwengu kuwa kulinda haki na uhuru wa watu ni muhimu kuliko maisha binafsi. Maombolezo ya Ashura yanatufundisha kuwa watu wanapaswa kuwa tayari kujitolea, si tu kwa ajili ya nafsi zao, bali kwa ajili ya ustawi wa jamii.
-
Venezuela: Dunia imefurahishwa na pigo Kali la Iran dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Waziri Mkuu wa Venezuela l: "Venezuela inasimama bega kwa bega na Iran katika Haki yake ya kujihami na kuilinda amani yake dhidi ya majaribio yoyote ya jinai za kizayuni".
-
Araghchi: "Kiongozi Mkuu ameweka wazi wajibu wa Iran kuhusu urani na kwamba suala la urutubishaji wa Urani (uranium enrichment) halipo mezani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqhchi, alizungumza kuhusu msimamo wa Marekani katika mazungumzo ya nyuklia na kusisitiza kwamba suala la urutubishaji wa urani (uranium enrichment) halipo kabisa katika meza ya majadiliano. Alisema kuwa urutubishaji si jambo ambalo linapaswa kujadiliwa, kwani haki ya Iran ya kuendeleza mpango wake wa nyuklia ni jambo la msingi na lililowekwa wazi. Aidha, aliongeza kuwa: Kiongozi Mkuu alisema wazi kuhusu hili katika majadiliano yaliyopita na hakubali kuona suala hili likiingizwa tena katika mchakato wa majadiliano.