Mshikamano
-
Mkuu wa Mahakama ya Iran Asisitiza Umuhimu wa Umoja wa Kitaifa na Kusema Hakuna Tofauti Kuhusu Kulipiza Kisasi Dhidi ya Adui
Mkuu wa Mamlaka ya Mahakama ya Iran, Hojjat al-Islam Gholam-Hossein Mohseni Ejei, amesisitiza umuhimu wa kulinda na kuimarisha umoja wa kitaifa na mshikamano, akiwataka wananchi kuwa macho dhidi ya wachochezi wa fitina, wanaoeneza uvumi na wanafiki.
-
Msemaji wa Serikali ya Iran: Mkakati Wetu Unategemea Uwezo wa Ndani na Uungwaji Mkono wa Wananchi
Msemaji wa Serikali ya Iran, Fatemeh Mohajerani, amesema kuwa Mkakati wa Serikali unategemea Uwezo wa Ndani na Uungwaji Mkono wa Wananchi, akisisitiza kuwa Umoja wa Kitaifa wa Wananchi wa Iran utaiwezesha Nchi hiyo kupata Ushindi dhidi ya Maadui wanaolenga Maisha ya Watu, Shule na Hospitali.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mazishi ya Mamilioni ya “Mbeba Bendera wa Muqawama” Nchini Iraq Yamebadilisha Mizani ya Madola ya Kiburi
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, amewapongeza wananchi wa Iraq kwa kuandaa mazishi makubwa na ya kihistoria ya kiongozi shahidi wa Muqawama, akisisitiza kuwa ushiriki wa mamilioni ya wananchi wa Iran na Iraq umeonesha mshikamano wa kina na undugu wa mataifa hayo mawili na kuvuruga njama za maadui za kuleta mgawanyiko.
-
Kituo cha Imam Sajjad (as) Kigoma kinaendelea kuelimisha vijana na kueneza mafundisho ya Ahlul-Bayt (as)
Chini ya usimamizi wa Mkurugenzi Mkuu, Sheikh Hussein Moshi Abdallah, Kituo cha Imam Sajjad (as) kilichopo Kasuko, mkoani Kigoma, kinaendelea kutoa elimu ya dini kwa vijana na kuinua bendera ya Ahlul-Bayt (as) nchini Tanzania.
-
Makala Yaangazia Sababu Zinazotajwa Kuifanya Iran Kudumu Chini ya Vikwazo na Migogoro
Makala iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii imeeleza mtazamo unaosisitiza kuwa uimara wa Iran katika kukabiliana na vikwazo na migogoro unatokana na mfumo wake wa uongozi, mshikamano wa wananchi na misingi ya Kiislamu inayouongoza.
-
Rais Pezeshkian Aishukuru Iraq kwa Kuandaa Mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Sayyid Ali Khamenei (ra)
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameishukuru serikali na wananchi wa Iraq kwa mapokezi na ushirikiano walioutoa wakati wa shughuli za kuaga na kusafirisha mwili wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, akisema taifa la Iran halitasahau kamwe mshikamano huo.
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya: Iran Haitaruhusu Uingiliaji wa Usimamizi wa Mlango wa Bahari wa Hormuz
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (s) yametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaruhusu kwa hali yoyote uingiliaji wa mamlaka yoyote katika usimamizi wa Mlango wa Bahari wa Hormuz, huku yakiahidi kutoa jibu kali dhidi ya kile ilichokitaja kuwa uchokozi wa Marekani.
-
Jenerali Qaani: Mazishi ya Sayyid Ali Khamenei Nchini Iraq Yataimarisha Umoja Dhidi ya Fitna na Kuhuisha Wito wa Haki
Kamanda wa Kikosi cha Quds amesema marasimu ya mazishi ya Sayyid Ali Khamenei nchini Iraq yataonyesha mshikamano wa wananchi wa Iraq na Iran, na kuimarisha msimamo wa pamoja dhidi ya fitna na migawanyiko.
-
Washington post: Familia Nyingi Zilishiriki Katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Iran
Gazeti la Washington Post limesema kuwa Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Iran yalishuhudia ushiriki mkubwa wa wananchi, wakiwemo familia zilizofika na watoto wao, huku yakieleza kuwa tukio hilo lilidhihirisha mshikamano wa kitaifa na uthabiti wa wananchi.
-
Wachezaji wa Morocco Wamshukuru Mwenyezi Mungu na Kupeperusha Bendera ya Palestina Baada ya Kuifunga Canada
Wachezaji wa timu ya taifa ya Morocco walimsujudia Mwenyezi Mungu kwa shukrani baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya Canada, huku wakiadhimisha ushindi huo kwa kupeperusha bendera ya Palestina kama ishara ya mshikamano.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso: Iran imekuwa mfano wa kipekee wa heshima na uhuru
Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso, Karamoko Jean Marie Traoré, amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa mfano wa kipekee wa heshima, uhuru na ustahimilivu, akipongeza msimamo thabiti wa wananchi wa Iran katika kukabiliana na vitisho na mashinikizo visivyo halali.
-
Rais Pezeshkian: Umoja na Mshikamano Ndiyo Rasilimali Kubwa Zaidi ya Iran
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa umoja na mshikamano wa kitaifa ndio nguzo muhimu zaidi ya nchi, akibainisha kuwa mshikamano wa wananchi umefutilia mbali mipango ya maadui ya kuleta machafuko nchini humo.
-
Iran Yatuma Salamu za Rambirambi kwa Venezuela Kufuatia Matetemeko Makubwa ya Ardhi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyyed Abbas Araghchi, ameeleza masikitiko na rambirambi za Serikali na wananchi wa Iran kwa Venezuela kufuatia matetemeko mawili makubwa ya ardhi, huku Tehran ikitangaza utayari wake wa kushiriki katika shughuli za uokoaji na misaada.
-
Msemaji wa Jeshi la Iran: Vita vya Siku 40 Vilidhihirisha Umoja wa Kambi ya Muqawama na Nguvu ya Kitaifa ya Iran
Msemaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Mohammad Akrami-Nia, amesema kuwa vita vya siku 40 vilivyoitwa "Vita vya Ramadhani" vilionyesha mshikamano wa Kambi ya Muqawama, kuimarisha uwezo wa kijeshi wa Iran na kuthibitisha nafasi ya nchi hiyo katika mlinganyo wa usalama wa kikanda.
-
Rais Pezeshkian: Umoja wa Kitaifa Ndiyo Mtaji Mkubwa Zaidi wa Iran Katika Kipindi Hiki
Rais Masoud Pezeshkian amesema mshikamano wa kitaifa ndio msingi wa maendeleo ya Iran, akisisitiza matumizi ya uwezo wa wataalamu na kujibu mahitaji ya wananchi ili kutatua changamoto zinazoikabili nchi.
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa Apongeza Ushiriki Mkubwa wa Wananchi Baada ya Siku 100 za Mshikamano wa Kitaifa
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s), Meja Jenerali Abdollahi, amesema ushiriki mkubwa wa wananchi katika kipindi cha siku 100 zilizopita umeonyesha umoja wa kipekee wa taifa la Iran na kuwa sehemu muhimu ya nguvu za kimkakati za kuzuia maadui wa nchi hiyo.
-
Ayatollah Nouri Hamedani: Masharti ya Kiongozi wa Mapinduzi Yazingatiwe kwa Umakini katika Mazungumzo
Ayatollah Nouri Hamedani amesisitiza kuwa kanuni za “Heshima, Hekima na Maslahi” pamoja na miongozo iliyowekwa na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu lazima zifuatwe kwa umakini, akibainisha kuwa viongozi wa serikali wana jukumu la kutekeleza sera kuu za taifa zilizoainishwa na uongozi wa juu wa nchi.
-
Bunge la Iran: Lebanon Lazima Iwe Sehemu ya Makubaliano ya Mwisho ya Kusitisha Mapigano
Kamati ya Usalama wa Taifa ya Bunge la Iran imesema Lebanon ni sehemu muhimu ya makubaliano yoyote ya mwisho ya kusitisha mapigano, huku wabunge wa Iran wakisisitiza kuendelea kuiunga mkono Lebanon na harakati za muqawama pamoja na kutaka kukomeshwa kwa vitendo vya uhasama katika eneo hilo.
-
Wafuasi wa Iran Wakusanyika Mbele ya Bunge la Norway Jijini Oslo - Norway
Kundi la waungaji mkono wa Iran limefanya mkusanyiko mbele ya Bunge la Norway katika mji wa Oslo, likionesha mshikamano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza misimamo yake kuhusu masuala ya kimataifa yanayoihusu nchi hiyo.
-
Waislamu wa Argentina Wakati wa Ramadhani: Hali ya Kipekee na Ushiriki wa Kipekee wa Kiimani
Mwezi wa Ramadhani nchini Argentina unaenda sambamba na siku za kufunga zinazodumu chini ya saa 9, jambo linalotoa hali tofauti ya kiroho na kimvuto cha kiimani. Hali hii inarahisisha waislamu kushiriki kwa uhuru zaidi katika ibada zao za Ramadhani na kuimarisha mshikamano wa kijamii na kifamilia.
-
Akili ya Marekani inapokuwa inapanga uadui inapungua ghafla
Tarehe 11 Februari 2026, maelfu ya Wairani walikusanyika kuonyesha mshikamano wao na taifa na kuthibitisha kwamba Marekani ni adui wa Umma wa Kiislamu. Tukio hili linaonyesha wazi kwamba mbinu za adui hazina nafasi mbele ya mshikamano wa wananchi wa Iran na jitihada za kuharibu taifa hilo hazina mafanikio.
-
Simulizi la Kiongozi wa Mapinduzi kuhusu matukio ya hivi karibuni nchini Iran
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Ali Khamenei, amesisitiza kuwa malalamiko ya wafanyabiashara ni ya haki na yanapaswa kusikilizwa, lakini ghasia zinazosababishwa na vibaraka wa adui hazikubaliki. Ameahidi kuwa taifa litashikilia msimamo thabiti dhidi ya adui, likitegemea Mwenyezi Mungu na mshikamano wa wananchi.
-
Ayatollah Sistani:
Mashia wa Pakistan waonyeshe taswira halisi ya Ushia kupitia maadili, tabia, na matendo yao ya kila siku
Ayatollah Sistani Mkuu, akiombea kwa ajili ya waumini wote wa Pakistan, hasa waumini wa Gilgit-Baltistan, alisisitiza kuwa Waishe Shia wa Pakistan wanapaswa kuishi kwa umoja na mshikamano, na kupitia maadili, tabia, na matendo yao ya kila siku, wape taswira halisi ya Uislamu halisi wa Mtume Muhammad (saww) unaofuatwa na waislamu wa Madhehebu ya Shia.
-
Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba: Mgawanyiko na Vita vya Ndani Havina Mshindi, Amani Ndiyo Ushindi wa Taifa
Kupitia salamu zake za Krismas - Waziri Mkuu ameutanabahisha Umma wa Watanzania dhidi ya Mgawanyiko na kusisitiza umuhimu wa Amani.
-
Kamanda wa Jeshi la Ardhi la IRGC:
Umoja wa Shia na Sunni ni rasilimali ya kimkakati ya Taifa la Iran
Kamanda wa Jeshi la Ardhi la IRGC katika sherehe ya kuapishwa na kualikwa kwa kamanda mpya wa Kituo cha Medinah Munawwarah, akiwa ameisisitiza umuhimu wa kudumisha mshikamano wa kitaifa, alitaja umoja wa Shia na Sunni kama rasilimali ya kimkakati ya taifa la Iran.
-
Mtume Muhammad (s.a.w.w) na Misingi ya Utengamano katika Jamii
Mtume (s.a.w.w) aliweka msingi wa amani kupitia Mkataba wa Madina, uliounganisha Waislamu, Mayahudi na makabila mengine chini ya sheria ya haki na ulinzi wa pamoja.
-
Weam Wahhab: Waishe Shia Bado Wanaendelea Kuwa Nguvu Kuu nchini Lebanon
"Kuingilia mapambano na jamii ya Shia ilikuwa kosa”
-
Sheikh Hemed Jalala na Sheikh wa Mkoa wa Tabora (BAKWATA) waonyesha: Matendo ya Hekima Yanayounganisha Watu na Kuimarisha Umoja wa Kiislamu
Kwa hakika, ziara hii ni kielelezo cha Uislamu wa kweli uliofundishwa na Mtume Muhammad (s.a.w.w.) - Uislamu wa upendo, udugu, na umoja. Kama alivyonena Imam Ali (a.s.): "Kuweni walinganizi wa watu bila kutumia maneno yenu, bali kwa matendo yenu.” (Nahjul-Balagha, Hikma 31)
-
Burundi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika Kwa Ustadi Mkubwa Katika Husainiyya ya Jumuiya ya Khoja
Washiriki wa Sherehe hiyo pia walimuenzi Mtume Mtukufu (S.A.W.W) kwa heshima kubwa, na walieleza haja ya mshikamano, maelewano, na Umoja wa Umma wa Kiislamu katika kukabiliana na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Sera za Maimamu wa Ijumaa nchini:
"Swala ya Ijumaa ni nguzo ya Umoja wa Kitaifa - Lazima iwafikie watu wa makundi yote"
Mwenyekiti wa Baraza la Sera za Maimamu wa Ijumaa nchini: "Swala ya Ijumaa inapaswa kuwa ya watu wote na kuakisi umoja wa kitaifa."Akiangazia umuhimu wa nafasi ya wananchi na ushirikishi mpana katika Swala ya Ijumaa, mwenyekiti huyo alisema: “Makamati ya Swala ya Ijumaa yanapaswa kwa ubunifu na upangaji madhubuti, kuweka mazingira yanayowezesha ushiriki wa watu wa makundi yote ya jamii — kuanzia wanafunzi wa vyuo vikuu, walimu na wasomi, hadi wafanyakazi wa viwandani na wakulima.” Aliongeza kuwa kwa njia hii, ibada hii ya kiroho na kisiasa itakuwa ni taswira kamili ya mshikamano na umoja wa kitaifa.