"Mashambulizi ya Iran kwa Utawala haram wa Kizayuni (Israel) yameongeza Hadhi ya Iran katika ulimwengu wa Kiislamu na Kufuta Hadithi feki za Siku zote kwamba: Israel ina Jeshi lisiloshindwa".
Taarifa kuhusu majeruhi au vifo: Hadi sasa, hakuna taarifa rasmi kuhusu kiwango cha majeruhi au uharibifu wa mali, na mamlaka ya polisi ya Taliban mjini Bamiyan haijatoa tamko lolote rasmi kuhusiana na tukio hili.
Akiashiria umuhimu wa ukweli na uaminifu katika vyombo vya habari, Ayatollah Faqihi alisema: "Ikiwa tutadumisha ukweli na uaminifu katika uwanja wa taarifa na usambazaji wa habari, basi kwa hakika tunaweza kutoa huduma kubwa katika uwanja huu."