mapambano
-
Arubaini Iwe Sauti ya Umoja wa Kiislamu na Upinzani (Muqawamah) Dhidi ya Ubeberu na Uistikbari wa Kimataifa - Rais wa Waqfu Iran
“Arubaini ya mwaka huu inapaswa kuleta tumaini kwa Waislamu na kuwavunja nguvu maadui. Umoja ndiyo njia ya wokovu kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Bendera ya Mapambano dhidi ya mfumo wa kishetani lazima ibaki juu.”
-
Iran | Ulinzi wa Anga: "Tumepambana na ndege za Kijeshi na Droni 130 hadi leo asubuhi
Katika Mapambano hayo, dhidi ya ndege za kivita na ndege zisizo na rubani (Droni) aina ya "Hermes", "Heron" na ndege za kujilipua aina ya "Harop", walifanikiwa kuziharibu na kuziangusha katika maeneo mbalimbali ya nchi.
-
Katika Siku ya Uhuru wa Afrika; Tuzo ya "Kwame Tour" ya Kuheshimu Mapambano ya Mataifa Dhidi ya Ukoloni imetolewa kwa ajili ya Shahidi Yahya Sinwar
Katika sherehe zilizofanyika kuadhimisha "Siku ya Uhuru wa Afrika," Tuzo ya Mwaka ya "Kwame Tour" ya 2025 ilitolewa kwa Yahya Sinwar, kiongozi mtakatifu wa Palestina aliyekuwa shahidi. Tuzo hii ilitolewa kwa kuenzi mchango wake katika kuongoza upinzani wa Palestina na kulinda haki za taifa la Palestina dhidi ya ukoloni wa utawala wa Kizayuni wa Israel. Wawakilishi wa Harakati ya Hamas walikubali tuzo hiyo.
-
Mjukuu wa Nelson Mandela:
Shahidi Nasrallah ni kielelezo kwa watu wote walio huru duniani | Kuthamini uungaji mkono wa Iran ya Kiislamu kwa Palestina
Mandela alisema: Tunaheshimu kumbukumbu ya shujaa huyu na ushujaa wake na tunashukuru uongozi na wanachama wa Hezbollah kwa utetezi wao wa kijasiri wa Msikiti wa Al-Aqsa, watu wa Gaza na upinzani mzima wa Palestina.