mapambano
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Kamanda Bahman Kargar kufuatia kifo cha Kamanda Alireza Afshar
Mkuu wa Taasisi ya Kuhifadhi na Kueneza Thamani za Ulinzi Mtakatifu na Mapambano ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha Kamanda wa IRGC, Brigedia Sardar Alireza Afshar.
-
"Tufani ya Al-Aqsa”: Jibu kwa Swali na kwa Miaka ya Uvunjaji wa Haki na Ukaliaji kwa Mabavu"
Swali la kihistoria tunalotakiwa kulitolea Majibu ya Kihistoria na ya ndani ya nafsi zetu ni hili: Katika mapambano kati ya jeshi la Mwenyezi Mungu na jeshi la Shetani, sisi tunatakuwa kusimama upande upi?.
-
Ripoti ya ABNA kutoka katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, huko Qom;
"Nasrallah hakuwa mtu, bali alikuwa ni shule ya fikra / Silaha ya mapambano itaendelea kubaki" + Picha na Video
Hujjatul-Islam Naser Rafii, katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, alisema: "Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa mbebaji bendera ya mapambano na kielelezo cha shule ya fikra, na njia yake itaendelea."
-
Katika taarifa ya pekee imesema:
"Wanaume majemedari wa Ansarullah wamewaacha Wazayuni katika wasi wasi / Taifa la Yemen linamfufua mataifa yaliyozama usingizini"
“Umma wa Malk Khashab,” Mwanahabari wa kike wa Ansarullah, aliandika: Katika mapambano kati ya wavamizi na Wazayuni dhidi ya Yemen, hesabu zote zimebadilika na mizani imegeuzwa. Kwa hivyo, walianza kulia na kupiga kelele kutokana na wanaume imara wa Yemen na wana-yemen kwa ujumla, na sasa Yemen imekuwa moto wa kuotea mbali na ndoto za kutisha kwao zinazowaamsha mara kwa mara.
-
Profesa kutoka Lebanon katika mahojiano na ABNA:
Jina la Nasrallah limehusishwa na usalama na uaminifu / Silaha za Hezbollah zitaendelea kuwa sehemu ya mlingano wa Lebanon na eneo la kikanda
Yeye (Sayyid Hassan Nasrallah) alihesabiwa kuwa alama ya heshima na mapambano kwa wote, na alikuwa mfano wa malengo ya sehemu kubwa ya wapiganaji wa muqawama wa Kishia ambao kwa vitendo walitaka kufikia mamlaka, uhuru, na kujitegemea kwa Lebanon.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain:
Kujiondoa kwenye njia ya Muqawama (Mapambano ya kupinga dhulma) ni sawa na fedheha na udhalili
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa Bahrain alisisitiza kuwa kuacha njia ya Muqawama (mapambano dhidi ya wavamizi na dhulma) hakuzai chochote isipokuwa fedheha, udhalilishaji na utumwa.
-
Sehemu ya Kwanza:
Miaka 120 ya Mapambano ya Familia ya Khamenei | Kizazi cha Upinzani na Mapambano | “Ninajivunia Kwamba Huyu Mtu Mashuhuri ni Babu Yangu"
Msimamo wa kupinga dhuluma na mapambano umekuwa miongoni mwa sifa kuu za familia ya Khamenei tangu karne zilizopita hadi sasa. Ingawa hakuna historia iliyoandikwa rasmi kuhusu mapambano ya familia hii, kuna ushahidi wa kihistoria na vielelezo vya wazi vinavyoonyesha kuwepo kwa historia ya miaka 120 ya mapambano yao.
-
Sheikh Naeem Qassem:
Uvamizi wa Wazayuni Dhidi ya Qatar Ni Sehemu ya Mradi wa "Israeli Kubwa"/ Msimamo wa Iran wa Kuunga Mkono Palestina Ni Miongoni mwa Nguzo Kuu za Umoja
Akiwahutubia viongozi wa nchi za Kiarabu, Sheikh Qassem alisema: "Pendekezo langu la pili ni hili: Msisimame pamoja na Israel, msiisaliti Harakati ya Mapambano kwa kujaribu kuipokonya silaha au kukubali masharti ya utawala wa Kizayuni."
-
Ilibainishwa katika mkutano na waandishi wa habari:
Maonesho ya Picha 'Siku 12 za Iran' Tukio Kubwa la Simulizi ya Vita, Yataoneshwa Nchini 40
Maonyesho ya Picha ya Kimataifa “Siku 12 za Iran” yenye mada ya Simulizi Halisi ya Vita vya Kulazimishwa vya Siku 12, yanayoratibiwa na Jumuiya ya Amani ya Kiislamu Duniani na Taasisi ya Utamaduni, Sanaa na Utafiti ya Saba, kwa ushirikiano wa Taasisi 21 za ndani na kimataifa, yatafanyika kuanzia tarehe 14 Septemba katika Taasisi ya Sanaa na sambamba na nchi 40 duniani.
-
“Msikiti; Kitovu cha Umoja na Ngome ya Mapambano” Kaulimbiu ya Siku ya Kimataifa ya Msikiti
Tehran – Katibu wa Kituo cha Kitaifa cha Msikiti, Hujjatul-Islam Ali Nouri, ametangaza kuwa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Msikiti mwaka huu yatafanyika kuanzia tarehe 31 Mordad hadi 7 Shahrivar (sawa na 22–29 Agosti 2025) katika ngazi ya kitaifa, mikoa na wilaya, chini ya kaulimbiu: “Msikiti, Kitovu cha Umoja, Ngome ya Mapambano.”
-
Profesa wa Chuo Kikuu cha Columbia katika mahojiano na ABNA: Trump hana sifa ya kupokea tuzo yoyote ya amani kwa sababu ya kushambulia Iran
Profesa Robert Shapiro: Trump hajali kuhusu jinai zinazotokea Gaza. Anaunga mkono kufunguliwa mashtaka kwa viongozi wa Hamas – yeyote ambaye bado yuko hai – lakini si kwa viongozi wa Kizayuni. Yeye anaitetea kabisa Israel.
-
Sayyid Abdulmalik al-Houthi: Kuondoa Silaha za Mapambano ya Muqawama Ni Kufuata Mpango wa Kizayuni
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen, Sayyid Abdulmalik al-Houthi, amesema kuwa kuondoa silaha za mapambano ni sehemu ya mpango wa wazi wa Marekani na Israel wa kudhoofisha mataifa ya eneo hili.
-
Ayatollah Jannati:
Hamasa ya Arubaini ni Taa ya Waombao Haki Duniani / Kudhibiti Gaza Kikamilifu na Kuliweka Chini ya Silaha Hizbullah ni Ndoto ya Ovyo
madai ya kuteka Gaza kikamilifu na kulivua silaha jeshi la Hizbullah ni “ndoto ya ovyo,” na kwamba harakati ya kudai haki ya upinzani, kwa kutegemea mafundisho ya Uislamu na kuiga Mapinduzi ya Kiislamu, hatimaye itafikia ushindi.
-
Asilimia 60 ya Wana-Lebanon Wapinga Kuondolewa Silaha za Harakati ya Mapambano ya Hezbollah
Uchunguzi mpya wa maoni nchini Lebanon umeonyesha kuwa Wana-Lebanon wengi—bila kujali dini au dhehebu—wanapinga kuondolewa silaha za vikosi vya mapambano bila kuwepo mkakati mbadala wa ulinzi.
-
Arubaini Iwe Sauti ya Umoja wa Kiislamu na Upinzani (Muqawamah) Dhidi ya Ubeberu na Uistikbari wa Kimataifa - Rais wa Waqfu Iran
“Arubaini ya mwaka huu inapaswa kuleta tumaini kwa Waislamu na kuwavunja nguvu maadui. Umoja ndiyo njia ya wokovu kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Bendera ya Mapambano dhidi ya mfumo wa kishetani lazima ibaki juu.”
-
Iran | Ulinzi wa Anga: "Tumepambana na ndege za Kijeshi na Droni 130 hadi leo asubuhi
Katika Mapambano hayo, dhidi ya ndege za kivita na ndege zisizo na rubani (Droni) aina ya "Hermes", "Heron" na ndege za kujilipua aina ya "Harop", walifanikiwa kuziharibu na kuziangusha katika maeneo mbalimbali ya nchi.
-
Katika Siku ya Uhuru wa Afrika; Tuzo ya "Kwame Tour" ya Kuheshimu Mapambano ya Mataifa Dhidi ya Ukoloni imetolewa kwa ajili ya Shahidi Yahya Sinwar
Katika sherehe zilizofanyika kuadhimisha "Siku ya Uhuru wa Afrika," Tuzo ya Mwaka ya "Kwame Tour" ya 2025 ilitolewa kwa Yahya Sinwar, kiongozi mtakatifu wa Palestina aliyekuwa shahidi. Tuzo hii ilitolewa kwa kuenzi mchango wake katika kuongoza upinzani wa Palestina na kulinda haki za taifa la Palestina dhidi ya ukoloni wa utawala wa Kizayuni wa Israel. Wawakilishi wa Harakati ya Hamas walikubali tuzo hiyo.
-
Mjukuu wa Nelson Mandela:
Shahidi Nasrallah ni kielelezo kwa watu wote walio huru duniani | Kuthamini uungaji mkono wa Iran ya Kiislamu kwa Palestina
Mandela alisema: Tunaheshimu kumbukumbu ya shujaa huyu na ushujaa wake na tunashukuru uongozi na wanachama wa Hezbollah kwa utetezi wao wa kijasiri wa Msikiti wa Al-Aqsa, watu wa Gaza na upinzani mzima wa Palestina.