uwezo
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Pamoja ya Ulinzi wa Anga ya Iran: Kusasisha Uwezo na Mafunzo ni Lazima ili Kukabiliana na Maendeleo Mapya
Kamanda wa Makao Makuu ya Pamoja ya Ulinzi wa Anga nchini Iran, Brigedia Jenerali Alireza Elhami, amesema kusasisha vifaa, uwezo na mitaala ya mafunzo ni jambo la lazima ili kukabiliana na mabadiliko ya vitisho vya anga na maendeleo ya teknolojia za kijeshi.
-
Msemaji wa Serikali ya Iran: Mkakati Wetu Unategemea Uwezo wa Ndani na Uungwaji Mkono wa Wananchi
Msemaji wa Serikali ya Iran, Fatemeh Mohajerani, amesema kuwa Mkakati wa Serikali unategemea Uwezo wa Ndani na Uungwaji Mkono wa Wananchi, akisisitiza kuwa Umoja wa Kitaifa wa Wananchi wa Iran utaiwezesha Nchi hiyo kupata Ushindi dhidi ya Maadui wanaolenga Maisha ya Watu, Shule na Hospitali.
-
IRGC Yathibitisha kuharibu rada za Marekani za udhibiti wa baharini na anga nchini Oman
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limedai kuharibu rada za Marekani za udhibiti wa baharini katika Miamba ya Salamah na rada ya udhibiti wa anga katika eneo la Ghanam nchini Oman, katika mwendelezo wa operesheni iliyopewa jina la "Nasr 2 / Ushindi 2".
-
Kim Jong Un Aagiza Korea Kaskazini Kuimarisha na Kupanua Uwezo wa Silaha za Nyuklia
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameagiza nchi yake kuongeza na kuimarisha uwezo wa vikosi vya nyuklia, akisisitiza umuhimu wa kuendelea kuimarisha uwezo wa kujilinda dhidi ya vitisho vya usalama.
-
Admirali Sayyari: Iran Ina Uwezo Kamili wa Kulinda Mipaka Yake ya Nchi Kavu na Bahari
Admirali Habibollah Sayyari amesema vikosi vya ulinzi vya Iran viko katika utayari kamili wa kulinda mipaka na mamlaka ya nchi, akisisitiza kuwa jaribio lolote la kuivamia Iran litashindwa na kujibiwa kwa nguvu.
-
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran: Uwezo wa Ulinzi wa Taifa Hauko Kwenye Majadiliano
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Ebn al-Reza, amesema uwezo wa Iran katika sekta ya ulinzi, makombora na ndege zisizo na rubani ni sehemu ya usalama wa taifa na hauwezi kujadiliwa katika mazungumzo yoyote.
-
Msemaji wa Jeshi la Iran: Vita vya Siku 40 Vilidhihirisha Umoja wa Kambi ya Muqawama na Nguvu ya Kitaifa ya Iran
Msemaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Mohammad Akrami-Nia, amesema kuwa vita vya siku 40 vilivyoitwa "Vita vya Ramadhani" vilionyesha mshikamano wa Kambi ya Muqawama, kuimarisha uwezo wa kijeshi wa Iran na kuthibitisha nafasi ya nchi hiyo katika mlinganyo wa usalama wa kikanda.
-
Jenerali Ismail Qa'ani: Gaza pia ina “Tufani” yake; msidharau uwezo wa Muqawama
Kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Jenerali Ismail Qa'ani, ameonya kuwa Gaza pia ina uwezo mkubwa wa kujibu mashambulizi, akisema kuwa kupuuza maonyo ya Muqawama kunaweza kusababisha hasara kubwa zaidi.
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s): Iran Itaendelea Kuimarisha Uwezo Wake kwa Azma Kubwa Zaidi
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s), Meja Jenerali Ali Abdollahi, amesema Iran itaendelea kuimarisha uwezo wake wa ulinzi, usalama na maendeleo, akisisitiza kuwa taifa hilo halitayumba mbele ya vitisho na mashinikizo ya maadui wake.
-
Jarida la Foreign Affairs: "Uwezo wa Marekani Hautoshi Tena Kutimiza Malengo Yake ya Kimataifa"
Uchambuzi wa jarida la Foreign Affairs unasema kuwa kuongezeka kwa vitisho katika Mlango wa Hormuz na maendeleo ya teknolojia za kijeshi kumeonyesha pengo kati ya matarajio ya kimataifa ya Marekani na uwezo wake halisi wa kudhibiti usalama wa bahari duniani.
-
Mjadala Mkubwa Wazuka Mitandaoni Kuhusu Taarifa Zinazokinzana za Uwezo wa Kijeshi wa Iran
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamehoji taarifa zinazokinzana kuhusu uwezo wa kijeshi wa Iran, baada ya baadhi ya vyombo vya habari kudai kuwa umedhoofika pakubwa huku matukio ya baadaye yakionyesha Iran ikiendelea na operesheni za kijeshi, hali iliyozua mjadala kuhusu ukweli wa taarifa hizo.
-
Mkuu wa Mahakama ya Iran: Adui Amepiga Magoti Mbele ya Iran Licha ya Uwezo Wake Wote
Mkuu wa Mahakama ya Iran amesema njama za maadui za kuisambaratisha Iran zimeshindwa, akisisitiza kuwa uimara wa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na mshikamano wa wananchi umezuia machafuko na kuimarisha nafasi ya Iran duniani.
-
NBC: Mabadiliko ya Mkakati wa Iran Yafanya Operesheni za Kijeshi za Marekani Kuwa Ngumu Zaidi
Ripoti ya NBC imeeleza kuwa uwezekano wa kurejea kwa vita kati ya Marekani na Iran unakabiliwa na changamoto kubwa za kijeshi, kutokana na mabadiliko ya mkakati wa Iran wa kusambaza na kuficha uwezo wake wa kijeshi kwa kuhamisha silaha chini ya ardhi na kutumia mifumo ya rununu inayohamishika mara kwa mara.
-
Onyo la Financial Times kuhusu athari za mzozo na Iran; hatari ya vifo kwa wanajeshi wa Marekani
Financial Times limeonya kuwa hatua yoyote ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran inaweza kusababisha vifo vya wanajeshi wa Marekani na kuathiri siasa za ndani pamoja na kampeni ya Donald Trump, huku uwezo wa mashambulizi makali ukitajwa kuwa mdogo na wa muda mfupi.
-
-
Mwanaharakati wa kisiasa aeleza kuhusu machafuko ya hivi karibuni: "Hata Wairani walioko Ulaya hawakushiriki katika mradi wa utafutaji wa vita"
Ehsan Mansouri, mwanaharakati wa kisiasa aliye Uingereza, anaonyesha kuwa hata Wairani wengi walioko Ulaya hawakushirikiana na juhudi za Reza Pahlavi za kuhamasisha vita, na kusisitiza kwamba mradi huu wa adui hauna msingi thabiti wa kijamii licha ya uwepo wa sapoti kubwa ya kampeni za vyombo vya habari na msaada wa nje.
-
Mchambuzi wa kisiasa wa Lebanon katika mahojiano na shirika la habari la ABNA amesema:
“Kufanya mazungumzo na Iran ni jambo la lazima kwa Trump / Utayari wa Iran kwa vita unapunguza uwezekano wa kutokea kwa vita”
Wissam Nasif Yassin anaamini kuwa hali bado inaelekea zaidi kwenye suluhisho la mazungumzo lililo imara. Anasema kuwa chaguo la vita haliwezi kuondolewa kabisa, lakini kwa kuzingatia uwezo wa Iran, utayari wake na uungwaji mkono wa wananchi kwa uongozi wa Iran, inaonekana kuwa ni vigumu kwa upande wa pili kuthubutu kutumia chaguo la kijeshi.
-
Mjumbe wa Baraza la Mahusiano ya Kigeni Misri aiambia ABNA: Uwezo wa Makombora ya Iran Umemfanya Trump Awe Makini Katika Kushambulia Nchi Hiyo
Mjumbe wa Baraza la Mahusiano ya Kigeni la Misri amesema uwezo wa makombora ya Iran umeifanya Marekani, chini ya vitisho vya Trump, kuwa makini kabla ya kuanzisha vita dhidi ya Iran.
-
Iran na Siri ya Hasira ya Marekani:
Tatizo la Marekani si Iran Kumiliki Bomu la Nyuklia, bali ni Iran kuwa na Uwezo wa Kujitegemea katika Teknolojia ya Nyuklia
Kibri cha dhalimu huyu (Marekani/Trump) hakimaanishi kwamba Mwenyezi Mungu amempuuza au amemsahau. Kinyume chake, kadiri dhalimu anavyozidi kujipandisha juu kwa kibri na majivuno, ndivyo anguko lake linavyozidi kuwa la kutisha zaidi.
-
Mwanasayansi wa Nyuklia wa Lebanon katika mazungumzo na ABNA:
Kuangamiza mpango wa nyuklia wa Iran ni ndoto / Tishio la kijeshi la Marekani dhidi ya Iran lina gharama kubwa kuliko uwezo wa Washington
Mkuu wa Kituo cha Ushauri wa Kimkakati cha Usalama wa Nishati ya Nyuklia nchini Lebanon amesisitiza kuwa Marekani—hasa katika kipindi cha Donald Trump—haina nia ya kuingia katika vita hatari dhidi ya Iran, huku Israel ikijaribu kuibebesha Washington mzigo wa gharama za makabiliano hayo.
-
Iran: Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi Lakamilisha Majaribio ya Makombora Mapya ya Masafa Marefu
"Uwezo wetu wa kijeshi unalenga kuzuia uchokozi na kulinda mamlaka, ardhi na maslahi ya taifa la Iran"
-
Msikiti wa Haram ya Imam Reza (a.s) - Mashhad, Iran, Unashikilia Rekodi ya Dunia kwa kuwa na Eneo Kubwa Zaidi Kuliko Misikiti Yote Duniani
Misikiti 10 Yenye Maeneo Makubwa Zaidi Duniani (Tanbihi: Ukubwa unakusudiwa ni Eneo zima la Msikiti - Sio Uwezo wa Idadi ya Waumini wanaingia ndani yake, kwa kutizama uwezo Msikiti wa Kwanza uwezo inakuwa ni Masjid Al-Haram, ndio unaongoza kwa kubeba watu wengi zaidi kuliko Misikiti mingine, kwa Mantiki Masjid Imam Reza a.s inakuwa ya Tatu Duniani kwa kutizama uwezo na Ukubwa wa eneo, lakini inakuwa ya kwanza Duniani kwa kutizama Ukubwa wa eneo tu).
-
Mtaalamu wa masuala ya Lebanon katika Mahojiano na ABNA:
Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi / Zaidi ya Makamanda 400 wa Hizbullah wameuawa na Israel
Dkt. Ajarloo, mtaalamu wa masuala ya Lebanon, alisema: Inaonekana kuwa uwezo wa Hizbullah, licha ya kupata madhara makubwa, katika baadhi ya nyanja unaendelea kuimarika. Kwa sababu hiyo, hatua na tathmini za Israel pamoja na uwezekano wa kutokea kwa vita vinaashiria kwamba Hizbullah iko katika mchakato wa kujijenga upya kupitia mikakati mipya ya kijeshi.
-
Utawala wa Kizayuni: Hezbollah imerejesha uwezo wake wa kijeshi katika sehemu kubwa ya majimbo ya mapigano (Mapambano)
Maafisa wa Israel wametoa tahadhari kwamba Hezbollah, kwa msaada wa kifedha kutoka Iran, imefanikiwa kurejesha uwezo wake wa kijeshi na sasa inachukuliwa kuwa tishio la kimkakati kwa Tel Aviv.
-
Mchambuzi wa Zamani wa CIA: Uwezo wa Kijeshi wa Iran Sasa Ni Imara Zaidi na Marekani Haiwezi Kamwe Kuilazimisha Iran Ijisalimishe
Johnson anaamini kuwa Iran sasa si tu haiko dhaifu, bali imejizatiti kama mchezaji mkuu katika masuala ya kieneo, na ina uwezo wa kushughulikia changamoto na shinikizo kutoka nje.
-
Vyombo vya Habari vya Israel: Kuongezeka kwa Nguvu ya Iran na Muungano wa Muqawama “Kunatia Wasiwasi”
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.
-
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu la Iran (IRGC):
Hadithi ya vita vya siku 12 iwe kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu (IRGC) limeweka mkazo: Moja ya matukio makuu na yenye mafundisho muhimu katika historia ya kisasa, ambayo inaweza kuwa kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi wenye ujuzi na uwezo wa nchi, ni Ulinzi Mtakatifu wa siku 12 dhidi ya vita vya kigaidi vilivyofanywa na muungano wa Marekani, utawala wa Kizayuni, na wafuasi wao wa Magharibi na wa kikanda.
-
Utawala wa Kizayuni: “Kabla ya kushambulia Iran, lazima kwanza kudhoofisha Hizbullah / Kaskazini lazima itulie ndipo iwezekane kuivamia Iran!”
Utawala wa Israel umekaza vitisho vyake kuhusu kuanzisha awamu mpya ya mapigano ya kijeshi dhidi ya Lebanon. Lengo lililotangazwa la operesheni hii ni kuzuia kujengwa upya kwa uwezo wa kijeshi wa Hizbullah na kulazimisha serikali ya Lebanon kutekeleza mpango wa kulivua silaha kundi hilo.
-
Uchambuzi wa Jarida la Kizayuni Kuhusu Nguvu ya Makombora na Uwezo wa Kikanda wa Iran: Imara na Inaelekea Kwenye Uzuiaji wa Kisasa Zaidi
Yedioth Ahronoth: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ni miongoni mwa wachezaji wachache wa eneo hili wanaomiliki nguvu halisi ya kuzuia mashambulizi — uwezo ambao licha ya hasara za hivi karibuni, haujapungua bali unaimarika na kufafanuliwa upya.
-
Iran yatangaza makombora yake ya masafa marefu (ICBM) yenye uwezo wa kufika hadi kilomita 10,000
Tangazo la Iran kuhusu makombora yake mapya ya masafa marefu linaonyesha ukuaji wa haraka wa teknolojia ya kijeshi ya taifa hilo na pia linaonekana kama ujumbe wa kisiasa wa onyo kwa wapinzani wake wa Magharibi.