Mlango
-
Gharibabadi: Haki ya Mamlaka juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz ni ya Iran na Oman Pekee
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amesema kuwa Iran na Oman ndizo pekee zenye haki ya mamlaka juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz, akisisitiza kuwa hakuna nchi nyingine inayopaswa kuingilia usimamizi wa njia hiyo muhimu ya baharini.
-
IRGC: Meli 28 Zavuka Mlango wa Hormuz ndani ya Saa 24 kwa Uratibu wa Awali
Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetangaza kuwa meli 28, zikiwemo meli za mafuta na makontena, zimevuka Mlango wa Hormuz katika saa 24 zilizopita baada ya kupata vibali na kuratibiwa mapema, huku uangalizi wa usalama ukiendelea kwa kutumia mifumo ya kisasa ya kidijitali.
-
Iran Yaongeza Ulinzi wa Mlango wa Hormuz, Vikosi vya Makombora Vapewa Mamlaka ya Kujibu Vitisho Moja kwa Moja
Chanzo chenye taarifa za ndani kimesema Iran imeimarisha kwa kiwango kikubwa uwepo wa kijeshi katika Mlango wa Hormuz, ikirejesha shughuli katika vituo vyote vya makombora vya eneo hilo na kupeleka vifaa vipya vya ulinzi vilivyofanikiwa kudungua makumi ya droni.
-
Kauli ya Sweden kuhusu Mgogoro wa Mlango Bahari wa Hormuz Yafufua Kumbukumbu za Mateso ya Sweden kwa Watoto wa “Butterfly Children” nchini Iran
Wakati Sweden ikiitaka Iran kufungua Mlango wa Hormuz kwa mujibu wa sheria za kimataifa, imekumbushwa shutuma za kusimamisha usafirishaji wa bandeji za Mepilex kwenda Iran chini ya vikwazo vya Marekani, hatua iliyodaiwa kuwaathiri vibaya watoto wanaougua maradhi ya EB maarufu kama “Butterfly Children.”
-
Middle East Eye: Iran ina chaguo za uharibifu mkubwa dhidi ya vitisho +Picha
Kwa mujibu wa uchambuzi wa Middle East Eye, Iran si kama Venezuela katika muktadha wa migogoro ya kikanda, bali ina “kadi nyingi za kucheza” ambazo zinaweza kuwa na athari kubwa za uharibifu dhidi ya adui zake ikiwa mashinikizo ya kijeshi yanazidi kuongezeka. Ripoti inabainisha kwamba Iran inaweza kulenga vituo vya kijeshi vya Marekani katika eneo la Ghuba, ina uwezo wa kutumia nafasi yake katika Strait of Hormuz kama nguvu ya kisiasa au kijeshi, na pia inaweza kufanya mashambulizi yenye nguvu zaidi dhidi ya Israel ikiwa mzozo utazidi kukua
-
Ayatllah Hosseini Gorgani amesisitiza kuwa:
Fiqh ya Usimamizi Ina Historia Ndefu | Utendaji wa vitendo unaoendana na Qur’an ni muhimu katika utawala na usimamizi wa umma
Mwalimu wa Dars-e-Kharij katika Hawza Ilmiyya ya Qom amesema kuwa kuunda serikali na utawala na manabii wa Mungu si jambo jipya, na Qur’an kwa uwazi inataja mtindo wa utawala wa baadhi ya manabii.