Msaada
-
Netanyahu Aomba Msaada wa Urusi Kutuliza Iran Kuhusu Hofu ya Mashambulizi
Inadaiwa kuwa Netanyahu alimwomba Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kufikisha ujumbe huo kwa viongozi wa Iran.
-
Theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia
Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa takriban theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia, huku athari za vita vya Gaza kwa zaidi ya miaka miwili sasa zikiendelea kuliweka jamii ya Israel chini ya shinikizo kubwa.
-
Trump Akiri Kushiriki katika Jinai
Kauli ya Donald Trump, rais wa Marekani, iliyokiri wazi kiwango cha msaada mkubwa wa Marekani kwa Israel, imezua mjadala mpana katika uwanja wa siasa za kimataifa. Wachambuzi wanasema kauli hiyo inaashiria ushiriki wa moja kwa moja wa Marekani katika sera na hatua zinazohusishwa na ukaliaji wa ardhi, uvamizi na ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya wananchi wa Palestina, jambo lililoibua maswali mazito kuhusu uwajibikaji wa kimaadili na kisheria wa Washington mbele ya jumuiya ya kimataifa.
-
Katika siku ya mwisho ya likizo ya Hanuka kilichotokea ni;
Walowezi wa Kizayuni kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa
Walowezi wa Kizayuni leo asubuhi, siku ya Jumatatu, kwa ulinzi na msaada wa majeshi ya uvamizi wa Israel, waliuvamia ua wa Msikiti wa Al-Aqsa.
-
Ayatullah Haj Sayyid Javad Golpayegani:
Ukosoaji wa Kuondolewa kwa Usimamizi wa Hospitali ya Qom Kutoka Mikononi mwa Bait al-Marja’iyya / Upanuzi wa Maktaba kwa Hifadhi ya Vitabu vya Thamani
Ayatullah Haj Sayyid Javad Golpayegani, mtoto wa Marja’ al-Marhumu’ wa Shia aliyefariki, ameelezea baadhi ya vipengele vya maisha na umarja wa baba yake katika mkutano wa waandishi wa habari ulioandaliwa kwa heshima yake. Akimkumbuka baba yake, alirejelea ndoto ya Ayatullah al-Uzma Golpayegani kuhusu msaada wa ghaib wa Imam Zaman (A.J.) kwa Chuo cha Dini cha Qom, akithibitisha kwamba huduma za shule na maktaba zinaendelea hata baada ya kifo chake. Aidha, alikosoa hatua ya kuondolewa kwa usimamizi wa Hospitali ya Qom kutoka chini ya Bait al-Marja’iyya, akionyesha wasiwasi wake kuhusu athari za kiutawala na usimamizi wa hospitali hiyo.
-
Hali Zisizo za Kibinadamu Gaza: Janga Linalozidi Kuwa Kubwa na Uhitaji wa Haraka wa Msaada wa Kimataifa / Mauaji ya Kimbari Yanaendelea
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) amesema kuwa mazingira haya mabaya ni matokeo ya kuendelea kwa mzingiro, kuzuia ujenzi upya, uharibifu wa miundombinu na hali mbaya ya hewa. Ameitaka Jumuiya ya Kimataifa, ikiwemo Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, OIC na Umoja wa Mataifa, kuchukua hatua za haraka za kutoa makazi na misaada ya kibinadamu.
-
Lebanon Yakatishwa Tamaa na Msaada wa Kimataifa Dhidi ya Uvamizi wa Israel / Shinikizo Linaloongezeka la Kuilazimisha Hizbullah Kuweka Silaha Chini
Aoun: “Tumeziomba nchi rafiki za Lebanon zisaidie kuishinikiza Israel kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano, lakini hadi sasa hakuna matokeo chanya yaliyopatikana.”
-
Rais wa Lebanon: Atoa Wito wa kupata msaada kutoka Benki ya Dunia
"Tumejitolea kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano, lakini utawala wa Kizayuni unaendelea kuvunja makubaliano hayo"
Rais wa Lebanon, katika kikao chake na ujumbe wa Benki ya Dunia, alisisitiza kujitolea kwa nchi yake kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano, huku akilaani kuongezeka kwa uvamizi unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika eneo la kusini mwa Lebanon. Aidha, aliomba taasisi za kifedha za kimataifa zitoe msaada kwa mchakato wa maendeleo na mageuzi nchini Lebanon.
-
Ripoti ya New York Times inaonyesha kupungua kwa kuelewa na kuamini kwa jamii ya Marekani kuhusiana na Israel
Utafiti wa maoni mpya nchini Marekani unaonyesha kuwa msaada wa Wamarekani kwa utawala wa Kizayuni umepungua.
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Shahada ya Sayyid Hassan Nasrallah Imeongeza Msaada wa Kijamii kwa Hizbullah
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, alisema: Shahidi Hassan Nasrallah alikuwa mjahid mkubwa katika zama zake, na kwa shahada yake msaada na uungaji mkono wa kijamii kwa Hizbullah umeongezeka.
-
Je, Kuandika Maombi (Barua ya Mkono) Kuna Msingi wa Kidini? | Je, kutupa barua kwenye kisima cha Msikiti wa Jamkaran kuna msingi wa kisharia au uzushi
Barua na maandiko ya mkono ni aina ya kuelekea na kutawassali (kuomba msaada) kwa watu wa nyumba ya Mtume | Maasumina -(amani iwe juu yao).
-
Ushinikizi wa Taliban kubadilisha Shule za Kidini kuwa njia pekee ya Elimu kwa Wasichana
Mama mmoja mkoani Nimruz alisema baada ya Mullah kumtaka, alilazimika kuwatoa mabinti zake shuleni na kuwapanga kwenye madarasa ya dini, lakini msaada alioahidiwa haukuwahi kufika. Mama mwingine alisema alipewa masharti: “Ama upeleke binti zako kwenye madarasa ya dini, au hupati chochote.”
-
Sadra’i Aarif:
Kuonekana kwa Arubaini katika anga za kimataifa ni msaada katika kutekeleza ustaarabu wa Kiislamu
“Msimamizi wa tukio la pili la Vyombo vya Habari la Nahnu Abna’u Al-Hussein (as) amesema: Tunaona juhudi wazi za kuzuia Habari kuhusu Arubaini, na njia bora zaidi ya kuvunja vizingiti hivi vya vyombo vya habari ni kutumia jukwaa la Vyombo vya Habari.”
-
Sayyid Abdul-Malik Badruddin al-Houthi:
Sera ya makusudi ya kuwalisha watu njaa inayotekelezwa na Wazayuni ni Kushindwa kwa Maadili kwa jamii ya Kimataifa.Magharibi ni Msaidizi Mkuu wa Uovu
"Adui, kwa kushirikiana na Wamarekani, kila siku anaeneza mitego ya mauti kwa lengo la kuwaangamiza Wapalestina, na anaendelea kutekeleza uhalifu wa karne na fedheha ya enzi hii, kwa sababu amepewa uhakikisho kutoka kwa baadhi ya tawala za Kiarabu - bali anapewa motisha, msaada na uungwaji mkono nao."
-
"Msaada" na "Ulinzi" wa Familia na Ulinzi wa Sayyid al-Shuhada
Baba ni nguzo kuu ya familia na chanzo cha msaada na usalama; ulinzi wake wa hifadhi ya nyumba na malezi ya watoto ni dhamana ya ukuaji wa vizazi vijavyo na uthabiti wa jamii. Mikono yenye nguvu ya baba haileti tu riziki, bali kwa upendo na kujitolea hujenga kuta za kinga kwa ajili ya amani na ukuaji wa familia.
-
Dajjali ni nani na fitina zake zinavyotishia dunia
Atapita kila sehemu ya dunia isipokuwa Makka na Madinah, ambazo zitalindwa na Malaika wenye panga.
-
Sayyid Abdul Malik al-Houthi, amesema: "Fungueni njia kuelekea Palestina. Yemen iko tayari Kijeshi kwenda kuisaidia Palestina"
"Huu ni wakati wa Jihad, na taifa letu la Yemen liko tayari kwa mamia ya maelfu ya wapiganaji kuisaidia Palestina.
-
Araghchi: Shambulizi la Israel kwa Wanaotafuta Msaada wa Chakula Gaza ni Uhalifu wa Vita wa Dhahiri
Watoto milioni 1 wako hatarini kufa kwa njaa Gaza huku Israel ikiendeleza mzingiro: UNRWA
-
Ikiwa hatari itatishia Iran, Wairaq hawatanyamaza kimya
Iran haijaomba msaada kwa makundi ya Muqawama ya Iraq, lakini iwapo wananchi wa Iraq wanahisi kwamba hatari ya kweli inatishia Iran, mashujaa watanyanyuka kutoka katika kila nyumba nchini Iraq na kuiangamiza Marekani na utawala wa Kizayuni.
-
Idadi ya waliouawa Gaza imefikia watu 54,880 | Hali ni mbaya sana na watu wengi wanahitaji msaada wa kibinadamu
Hali ya Gaza inaendelea kuwa mbaya kutokana na mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni. Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa ndani ya saa 24 zilizopita watu 108 wamepoteza maisha na wengine 393 wamejeruhiwa. Jumla ya waliofariki tangu kuanza kwa mashambulizi haya imezidi kufikia watu 54,000. Hali hii inahitaji mshikamano wa kimataifa ili kusitisha ukatili huu na kuanzisha mazungumzo ya amani.
-
Hujjat-ul-Islam Aali: Msaada kwa wengine unarudishwa (unafidiwa) mara nyingi zaidi na Mwenyezi Mungu
Mwalimu wa chuo kikuu na shule ya kidini alieleza kuwa kusaidia na kutatua matatizo ya wengine ni chanzo cha kupata malipo mengi kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Alisisitiza kwamba sehemu ya kila mtu katika neema ya Mwenyezi Mungu inategemea uwezo wake wa kupokea, na ili kufaidika zaidi, ni lazima kuongeza uwezo huu.