Ziara
-
Zaidi ya Mahujaji 5,000 wa Umrah Wamewasili Nchini Saudi Arabia
Shirika la Hija na Ziara nchini Iran limetangaza kuwa idadi ya mahujaji wa Umrah waliopelekwa katika ardhi takatifu tangu kuanza kwa msimu wa Umrah wa mwaka 1445 Hijria (sawa na 1404 kwa kalenda ya Iran), kuanzia tarehe 1 Shahrivar, imefikia zaidi ya watu 5,000.
-
Takriban Milioni 16 Washiriki Ziara ya “Jamandegan Arubaini” Iran
Ibara ya "Jamandegan Arubaini” inahusu wale walioshindwa kwenda ziara ya Arubaini ya Imam Hussein (as) katika Ardhi ya Karbala, lakini wanasherehekea tukio hilo kwa kufanya ibada na mikutano ya Maadhimisho ya Arubaini ya Imam (as) tokea mahali pale walipo.
-
Kuongezeka kwa Mapokezi ya Ziara za Ahlul-Bayt (a.s) Katika Dunia ya Shia Mwisho mwa Mwezi Safar
mwisho wa mwezi Safar ni kipindi cha kipekee cha ziara, kinachotoa fursa ya kiroho, maarifa na kijamii kwa waumini wa Shia, huku akinafunzi na wafuasi wakipata fursa ya kujifunza, kutenda na kuimarisha imani yao kwa Ahlul-Bayt (a.s).
-
Walimu Wapya Watambulishwa Madrasa ya Fatima Zahraa (s.a), Waumini Wajumuika na Sayyid Arif Naqvi katika Sala ya Jamaa
Sheikh Eid aliwapa wanafunzi nasaha kuhusu umuhimu wa kujitahidi katika masomo yao na kusisitiza nafasi ya elimu ya dini katika kujenga jamii yenye maadili mema.
-
Zaidi ya Mazuwwari wa Kigeni Milioni 4 Washiriki Ziara ya Arubaini Karbala
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa zaidi ya mahujaji wa kigeni milioni 4 wameshiriki katika Ziara ya Arubaini mwaka huu.
-
Gavana wa Karbala: Jaribio la Shambulio la Kigaidi Dhidi ya Mahujaji wa Arubaini Lafanikishwa Kulizuiwa
Gavana wa Karbala ametangaza kwamba wanachama wa kundi la kigaidi waliokuwa na mpango wa kufanya uharibifu katika ibada ya Ziara ya Arubaini wamekamatwa nchini humo.
-
Utabiri wa Kuongezeka kwa Idadi ya Mahujaji wa Arbaeen Ikilinganishwa na Mwaka Uliopita
Haramu Takatifu ya Abbas imebashiri kuwa idadi ya mahujaji watakaoingia katika mkoa wa Karbala kwa ajili ya maadhimisho ya Arbaeen mwaka huu itaongezeka ikilinganishwa na mwaka uliopita.
-
Ziara ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s.): Maana na Athari Zake
Ziara ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s.) ni shule kamili ya roho, akili, jamii, na siasa. Ni fursa ya kuimarisha imani, kukuza undugu, kupandikiza roho ya kupinga dhulma, na kudumisha kumbukumbu ya kujitolea kwa ajili ya haki. Kuendeleza ibada hii ni njia ya kudumisha maadili ya kimungu na kibinadamu, na kuisambaza kwa vizazi vijavyo.
-
Kuwekwa kwa Vikosi Maalum vya Hashd al-Shaabi Kwenye Njia ya Najaf Hadi Karbala
Maafisa wa Hashd al-Shaabi nchini Iraq wameanza kupelekwa rasmi katika njia ya kutoka Najaf kuelekea Karbala kwa ajili ya kulinda usalama wa maelfu ya waumini wanaotembea kwa miguu kwenda kumzuru Imamu Hussein (a.s). Hatua hii ni sehemu ya mpango wa kusimamia matembezi ya mamilioni ya waumini, unaolenga kuimarisha amani, utulivu, na usalama wa mahujaji wa Arbaeen.
-
Njia ya Karbala: Safari ya Kiroho Isiyoisha - Kila Hatua ni Mstari wa Mapenzi kwa Hussein (a.s)
Safari ya Arubaini katika Ardhi ya Karbala, inatengeneza Ukaribu wa Kiroho na Hussein (a.s) Katika Kila Hatua unayoipiga ukielekea kumzuru Aba Abdillah Al-Hussein (as).
-
Ayatollah Ramezani katika Sherehe (Hafla) ya Taklif ya Mabinti wa Senegal: Imani na Elimu ni Mabawa Mawili ya Kuruka (Kupaa) kwa Jamii ya Kiislamu
Kufanyika kwa Sherehe ya Kuvutia ya Taklif (Kufikia umri wa kutekeleza sheria za Kiislamu) kwa Mabinti wa Senegal Huko Dakar sambamba na uwepo wa Ayatollah Reza Ramezani
-
Ziara ya Maulana Sheikh Jalala Hospitali ya Mloganzila kumtembelea Sheikh Mbelango Allah aimarishe Afya yake
Tunamuomba Mwenyezi Mungu Mtukufu ampe afueni ya haraka na amuwekee wepesi katika kila jambo. Uwepo wake ni hazina kwa Uislamu na Waislamu.
-
Donald Trump awasili katika Mji Mkuu wa Saudi Arabia / Kuanza kwa ziara ya kikanda ya Rais wa Marekani
Rais wa Marekani, katika mwanzo wa ziara yake ya kwanza ya nje ya nchi, amewasili katika jiji la Riyadh.
-
Mkutano wa kihistoria wa Marjaa wa Kidini:
Najaf Ashraf: Ayatollah Jawadi Amuli akutana na Ayatollah Sistani / Zawadi ya Qur'an yatolewa katika Mkutano wa Viongozi hawa wawili wa juu wa Kidini
"Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli — ambaye yuko ziarani nchini Iraq kwa ajili ya kutembelea maeneo matakatifu — amekutana na kufanya mazungumzo na Ayatollah al-Udhma Sistani huko Najaf Al-Ashraf."
-
Ayatollah Sheikh Jawadi Amuli Atembelea Makao ya Maimamu wa Ahlul-Bayt (as) Samarra, Akaribishwa kwa Heshima Kubwa
Katika heshima ya ziara hii tukufu, Haram ilifanya hafla maalum ya kumuenzi Sheikh Jawadi Al-A'muli, sambamba na kuzinduliwa kwa kitabu chake kipya chenye kichwa: Sharh Ziyarat Al-Jami'a Al-Kabira
-
Samahat Sheikh Kadhim Abbas, Mudir wa Hawza za Bilal Muslim Tanga - Tanzania, amefanya ziara muhimu katika Hawza ya Imam Ali (a.s)
Sheikh Kadhim ametoa akitoa nasaha kwa nasaha kwa Wanafunzi amesema: "Wanafunzi wa Kidini wanapaswa kusoma kwa bidii na kuzingatia masomo yao ili kuhakikisha wanayafikia malengo matukufu ya kuchuma Elimu na Maarifa ya Dini Tukufu ya Kiislamu".