hezbollah
-
Iran Yatoa Onyo Kali kwa Walowezi wa Kaskazini mwa Israel Endapo Beirut Itashambuliwa
Iran imeonya kuwa kushambuliwa kwa vitongoji vya kusini mwa Beirut kutakabiliwa na majibu makali, huku ikiwataka walowezi wa Kaskazini mwa Israel kuondoka katika maeneo hayo kwa ajili ya usalama wao iwapo mashambulizi hayo yatatekelezwa.
-
Hezbollah Yaongeza Mashambulizi ya Droni, Makamanda wa Israel Walengwa Kusini mwa Lebanon
Hezbollah imeripotiwa kuanzisha kampeni ya kulenga makamanda waandamizi wa Israel kusini mwa Lebanon kwa kutumia droni za upelelezi na mashambulizi, huku ving’ora vya tahadhari vikisikika zaidi ya mara 25 kaskazini mwa Israel kutokana na makombora na droni zilizorushwa kutoka Lebanon.
-
Ripoti ya Channel 13: Israel Yaendelea Kupata Hasara Lebanon Bila Lengo la Wazi la Kijeshi
Televisheni ya Channel 13 ya Israel imeripoti kuwa jeshi la Israel linaendelea kupata hasara dhidi ya Hezbollah nchini Lebanon, huku changamoto za kijiografia na mgogoro wa kisiasa vikizidisha hali ngumu ya operesheni hiyo.
-
Israel Yakiri Kushindwa Kukabiliana na Droni za Muqawama wa Lebanon
Jeshi la Israel limekiri kuwepo kwa hitilafu katika mifumo yake ya onyo dhidi ya droni za FPV zinazotumiwa na Muqawama wa Hezbollah, huku ripoti zikieleza kuwa teknolojia mpya ya droni hizo zinazoongozwa kwa “fiber-optic” imeongeza hofu na changamoto kubwa kwa vikosi vya utawala huo katika medani za mapambano.
-
Onyo la Kataib Hezbollah Iraq kwa Marekani kuhusu Kuanzisha Vita katika Eneo
Kataib Hezbollah imeonya kuwa iwapo Marekani itaanzisha vita katika eneo hilo, itakabiliwa na hasara kubwa na vita vya muda mrefu, huku pia ikiutahadharisha utawala wa Kurdistan kuepuka kushirikiana na majeshi ya kigeni.
-
Israel Leo Iko Dhaifu, Iran Imebaki Imara – Sheikh Naeem Qasim
Sheikh Naeem Qasim na Katibu Mkuu wa Hezbollah wanasema kuwa Israel leo iko dhaifu kuliko hapo awali, huku Iran chini ya uongozi wa Imam Khamenei ikibaki imara, huru na thabiti. Mapinduzi ya Iran yameendeleza upinzani katika eneo kwa miaka 47 bila kutegemea Mashariki au Magharibi, na Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa katika mapambano yake, hasa dhidi ya uvamizi wa Israel.
-
Kituo cha 12 cha Israel: "Hezbollah ina wapiganaji 70,000 na mamia ya makombora, iko tayari kwa makabiliano na Israel"
Usiku uliopita, katika mwendelezo wa ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon, utawala huo ulianzisha mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya Lebanon.
-
Uchambuzi wa New York Times;
Je, , Beirut inaweza kuipokonya silaha Hezbollah ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025?
Wachambuzi wanaonya kuwa ikiwa Beirut itaharakisha zoezi la kuipokonya silaha bila kupata mafanikio sambamba kutoka kwa Israel - kama vile kusitishwa kwa mashambulizi ya anga- hatua hiyo inaweza kuimarisha nafasi ya kisiasa na kijamii ya Hezbollah. Hii ni kwa sababu Hezbollah si kundi la kijeshi pekee, bali pia ni chama cha kisiasa chenye ushawishi mpana.
-
Utawala wa Kizayuni: Hezbollah imerejesha uwezo wake wa kijeshi katika sehemu kubwa ya majimbo ya mapigano (Mapambano)
Maafisa wa Israel wametoa tahadhari kwamba Hezbollah, kwa msaada wa kifedha kutoka Iran, imefanikiwa kurejesha uwezo wake wa kijeshi na sasa inachukuliwa kuwa tishio la kimkakati kwa Tel Aviv.
-
Sheikh Naim Qassem:
Lebanon inapaswa kukabiliana kikamilifu na uvamizi wa kibeberu wa utawala wa Kizayuni | Mashahidi walijitolea kwa roho, mali na kila walichokuwa nacho
Lebanon inakabiliwa na uvamizi hatari wa Kizayuni: Akirejea mashambulizi ya mara kwa mara ya Israel kusini mwa Lebanon, alisema: “Lebanon inakabiliwa na uvamizi wa hatari na wa kupanua mipaka wa utawala wa Kizayuni. Lazima tukabiliane nao kwa kila njia na mbinu. Adui huyu haheshimu makubaliano yoyote.”
-
Marekani na Israel wanaandaa / Wanatengeneza simulizi (riwaya) mpya ili kuongeza shinikizo dhidi ya Hezbollah na Lebanon
Israel, kwa msaada wa Marekani, inajaribu kutengeneza mazingira ya kuanzisha vita na kuongeza mashinikizo dhidi ya Lebanon, kwa kutishia kulazimisha Hezbollah ivuliwe silaha kufikia mwisho wa mwaka.
-
Sheikh Naim Qassem: Kujisalimisha si chaguo; Hezbollah ina haki ya kulipiza kisasi kwa shambulio la Dahiyeh
Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, ameonya kwamba kundi la mapambano lina haki ya kulipiza kisasi kutokana na kuuawa kwa kamanda mwandamizi Haitham Al-Tabtabai, na akasisitiza kuwa kujisalimisha si chaguo kabisa.
-
Vyombo vya Habari vya Israel: Kuongezeka kwa Nguvu ya Iran na Muungano wa Muqawama “Kunatia Wasiwasi”
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.
-
Hizbullah Yatangaza Kuuawa Shahidi kwa Kamanda Wake Mwandamizi, Abu Ali Tabatabai
Hizbullah ya Lebanon imetangaza kwamba mmoja wa makamanda wake mashuhuri, Haitham Tabatabai (Abu Ali), ameuliwa shahidi katika shambulio la anga lililofanywa leo na Israel.
-
Katibu Mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon: “Muhammad Afif alikuwa sura yenye ushawishi mkubwa katika vyombo vya habari vya Muqawama”
Sheikh Naeem Qassem, Katibu Mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon, katika hotuba yake ya kumbukumbu ya mwaka wa kuuawa shahidi kwa Muhammad Afif al-Nabulsi na wenzake, alikumbusha nafasi muhimu ya marehemu katika uwanja wa vyombo vya habari na harakati za Muqawama. Alimtaja kama mfano wa kalamu yenye kujitolea, fikra angavu na uwajibikaji katika kutetea haki na mapambano ya wananchi wa ukanda huo.
-
Sheikh Naeem Qassem: Sisi ni watoto wa Imam Hussein (a.s) na hatuoni chaguo isipokuwa kuishi kwa heshima
Katibu Mkuu wa Hizbullah alipozungumza kwa ajili ya Siku ya Shahidi alisema: hatutaachana na silaha inayoitwawezesha kujitetea. Tumeachwa kwa shambulio na tutajilinda wenyewe.
-
Lebanon Yakatishwa Tamaa na Msaada wa Kimataifa Dhidi ya Uvamizi wa Israel / Shinikizo Linaloongezeka la Kuilazimisha Hizbullah Kuweka Silaha Chini
Aoun: “Tumeziomba nchi rafiki za Lebanon zisaidie kuishinikiza Israel kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano, lakini hadi sasa hakuna matokeo chanya yaliyopatikana.”
-
Onyo la jarida la The National Interest kuhusu kuibuka kwa “Hezbollah Mpya” Katika Eneo
Jarida la Marekani “The National Interest” katika makala yake ya uchambuzi limeonesha shaka kuhusu mafanikio ya mpango wa Donald Trump wa kuleta uthabiti wa kudumu katika Ukanda wa Gaza, na limeonya kuwa mpango huo unaweza kuchangia kuibuka kwa taasisi au kundi jipya linalofanana na Hezbollah katika eneo hilo.
-
Mzozo nchini Canada kuhusu uhuru wa kujieleza, kufuatia marufuku ya kuingia nchini kwa kundi la muziki linalounga mkono Ghaza
Utoaji wa muswada mpya na Waziri Mkuu wa Canada, unaolenga kukabiliana na uhalifu unaotokana na ueneaji wa chuki, pamoja na marufuku ya kuingia nchini kwa kundi la muziki la Kiayalandi lenye jina «NíACAB», umeanzisha mjadala mpana kuhusu mipaka ya uhuru wa kujieleza katika nchi hiyo.
-
Beirut - Lebanon:
Jumuiya ya Wapiga Kambi 70,000 wa Imam Mahdi (A.J) Washiriki Mkutano Mkubwa Beirut, Wakiwakumbuka Mashujaa na Kusherehekea Miaka 40 ya Jumuiya Hiyo
Sherehe hii kubwa ilifanyika kwa kaulimbiu: “Inna alal-Ahd Ya Nasrallah”, ikionyesha umuhimu wa umoja na nguvu ya kizazi kipya cha Hezbollah Lebanon.
-
Lebanon imekamata watu 32 kwa tuhuma za kushirikiana na Israel kama majaribio ya kijasusi
Maafisa wa Lebanon wameripoti kwamba angalau watu 32 wamekamatwa kwa tuhuma za kushirikiana na Mossad na kupeleka taarifa za kina kuhusu nafasi na harakati za Hezbollah kwenda Israel wakati wa vita vya hivi karibuni.
-
Shahidi Sayed Hasan Nasrallah kwa maneno ya binti yake wa pekee
Kituo cha habari “Asr” kimechapisha mahojiano ya kwanza ya kipekee na Zainab Nasrallah, binti wa pekee wa shahidi Sayed Hasan Nasrallah.
-
Hezbollah: Uhalifu wa Wavamizi Dhidi ya Yemen Unaonesha Kiwango cha Kufilisika Kwao
Hezbollah imetoa tamko likisema kuwa: "Uhalifu na mashambulizi yanayofanywa na wavamizi (yaani utawala wa Kizayuni wa Israel) dhidi ya Yemen ni ishara ya wazi ya kufilisika kwao kisiasa, kiakhlaqi na kijeshi."
-
Kiongozi Mwandamizi wa Hezbollah Lebanon: "Kufa ni bora kuliko kukabidhi silaha za upinzani"
Uamuzi wa Serikali unaweza kugeuza tatizo kutoka mapambano kati ya Lebanon na Israel na kuwa mzozo wa ndani.