uislamu
-
Maelfu ya wajerumani wapinga maandamano dhidi ya uislamu
Maelfu ya Wajerumani jioni ya jana walishiriki kwenye maandamano katika miji mbalimbali kupinga maandamano ya kundi lijiitalo PEGIDA linalokosoa kusambaa kwa Uislamu nchini Ujerumani na kuongezeka kwa wageni.
-
Maandamano dhidi ya maandamano yanayopinga uislamu Ujerumani
Maelfu ya Wajerumani wanatarajiwa kuandamana kupinga maandamano ya kila wiki dhidi ya wahamiaji na Waislamu ambayo yamevutia waungaji mkono wengi, licha ya kukosolewa vikali na viongozi wakuu.
-
Rais wa Ujerumani awaomba raia wake kuwasaidia wakimbizi
Rais Joachim Gauck wa Ujerumani amewataka raia wa nchi hiyo kuonesha huruma, ukarimu na upole kwa wakimbizi, ikiwa ni sehemu ya ujumbe wake wa Krismasi kwa taifa.
-
Wajerumani waandamana kuonyesha wasiwasi dhidi ya Uislamu
Wajerumani wameandamana kuonyesha wasiwasi wao dhini ya waislamu wanaoishi katika nchi yao,kwa kuhofia matukio ya kigaidi.
-
Madrasa yafungwa kwa kuhofia usalama Kenya
Maafisa wa usalama nchini Kenya wameifunga Madrasa ya Ngulini kwasababu za kiusalama.
-
Msomi feki afungua msikiti wa ajabu Afrika Kusini
Profesa wa Oxrord aleta jambo geni katika jamii kwa kufungua msikiti wapekee, anaouita kuwa ni msikiti usio na ubaguzi.