Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kwa mujibu wa Idara ya Mahusiano ya Umma ya Jumuiya ya Ulimwengu ya Ukaribu baina ya Madhehebu ya Kiislamu, maandiko ya ujumbe wa Katibu Mkuu ni kama ifuatavyo:
"Kwa kuishambulia ardhi ya Iran na kumwaga damu zisizo na hatia za watoto wa ardhi hii, utawala katili wa Kizayuni umeongeza ukurasa mwingine katika kitabu chake cha aibu.
Jinai hii sio tu ni shambulio dhidi ya Iran bali pia ni jeraha katika mwili wa Umma wa Kiislamu.
Damu ya mashahidi wetu haitabaki bila kujibiwa;
Ahadi ya kimungu iko karibu".
Your Comment