Jumuiya
-
Jumuiya ya Kiislamu Bangladesh: Waislamu Bilioni Mbili Wako Pamoja na Iran kwa Roho na Mali
Jumuiya ya Kiislamu ya Bangladesh imetoa tamko rasmi ikitangaza uungaji mkono wake kamili kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, na kuonya kuwa shambulio lolote la kijeshi dhidi ya Iran litakabiliwa na mwitikio mpana wa Waislamu duniani. Katika tamko hilo imesema: “Ingawa viongozi wa baadhi ya nchi za Kiislamu wanategemea Marekani na Israel, lakini Waislamu bilioni mbili duniani wamesimama pamoja na Palestina. Ikiwa uvamizi wa kijeshi utafanywa dhidi ya Iran, Waislamu kote duniani wataingia uwanjani kwa mali na nafsi zao; na kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, utawala ghasibu wa Kizayuni wa Israel utaanguka hivi karibuni.”
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s) Uturuki Yaionya Marekani: Imam Khamenei ni Mstari wetu Mwekundu
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s) nchini Uturuki, katika tamko lake, imetangaza kuwa jaribio lolote la kumvunjia heshima au kumdhuru Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mstari mwekundu wa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Ujumbe wa rambirambi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) Kufuatia Kifo cha Mwanachuoni wa Afrika Mashariki Sheikh Ali Mayunga
Marehemu alikuwa na mchango mkubwa katika nyanja za kielimu, ikiwemo nafasi yake kama Katibu wa Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s), na alikuwa miongoni mwa waliotafsiri Qur’an Tukufu kwa lugha ya Kiswahili iliyoitwa Tafsiri Al-Mubin.
-
Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kujadili na kukabiliana na mradi wa Israel kuhusu Somalia
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, katika mkutano wa dharura uliofanyika leo Jumapili nchini Misri, imeitikia hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kulitambua eneo la Somaliland, na ikaeleza kuwa hatua hiyo ni tishio kwa usalama wa kikanda na ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Mwenyekiti wa JMAT–TAIFA: Tukipendana na Kusaidiana Tutajenga Amani ya Taifa Letu
Akizungumza kuhusu msingi wa amani, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania alibainisha kuwa amani ya kweli huanzia katika mahusiano mema yanayojengwa kwa kujali, kuthaminiana na kusaidiana. Alieleza kuwa kitendo cha kusaidiana huondoa chuki na uhasama, kwani mtu anaposaidiwa huhisi kukubalika na kuheshimiwa, hali inayojenga imani na kuimarisha mshikamano wa kijamii.
-
Tamko la Mkurugenzi Mkuu wa Hawza za Kiislamu Kufuatia Mauaji ya Kinyama Dhidi ya Watu Wanyonge wa Sudan
Jumuiya za Kimataifa na Mashirika ya Haki za Binadamu Waitikie Kilio cha Watu Wanaodhulumiwa Sudan
-
Mtindo wa Maisha wa Fatima (a.s) na Kauli “Jirani Kwanza Kisha Nyumba”: Kigezo cha Kiungu Kukabiliana na Ubinafsi wa Kisasa
Katika kuelekea kumbukizi ya kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (a.s), kikao cha kisayansi kuhusu “Mtindo wa Maisha wa Fatima na Mafundisho ya al-jār thumma al-dār (Jirani Kwanza Kisha Nyumba)” kiliandaliwa kwa ushirikiano na Shirika la Habari la ABNA, ambapo watafiti walibainisha changamoto za familia katika enzi ya kisasa—hususan mgongano kati ya fikra za kisasa na mwenendo wa kimapokeo. Katika kikao hicho, mfano wa Maisha wa Bibi Zahra (a.s) uliwasilishwa kama muongozo wa kiungu na wa vitendo unaojenga maadili ya kuwajali wengine na kuleta mizani kati ya haki na wajibu ndani ya familia.
-
Mkutano wa Tatu wa Kitaaluma kuhusu Maombolezo na Desturi za Kidini; Kusisitiza nafasi ya kihadhari ya Hay’a katika jamii na familia
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Babakhani pia alisisitiza nafasi ya wanawake katika hay’a na kusema: “Tangu kuundwa kwa hay’a, wanawake wamekuwa mstari wa mbele katika uongozi wa kitamaduni na kidini - kuanzia Bibi Fatima az-Zahra (a.s) na Bibi Zaynab (a.s) hadi leo - na wametoa mchango mkubwa katika kuhifadhi na kueneza utamaduni wa hay’a. Uwepo wao umeleta athari kubwa katika kufundisha mafundisho ya dini na kuonyesha kwa jamii fadhila za Ahlul-Bayt (a.s).”
-
Sharīatmadār katika hafla ya uzinduzi wa filamu ya “Wakili”:
Sayyid Isa Tabatabaei alipuliza roho ya mapambano ndani ya mwili wa jamii ya Kishia / Maadamu kuna uvamizi, basi mapambano yataendelea kuwa hai
Balozi wa zamani wa kitamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon na mshauri wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: “Ikiwa Imam Musa Sadr alikuwa mwanzilishi wa taasisi za kijamii na kitamaduni za Waislamu wa Kishia nchini Lebanon, basi Sayyid Isa Tabatabaei ndiye aliyepuliza roho ya mapambano ndani ya jamii ya Kishia na kuifanya roho hiyo kuwa sehemu ya utambulisho wao. Kutokana na jitihada zake, ndipo mapambano ya kisasa ya Lebanon yalipozaliwa - mapambano ambayo baadaye yalifikia kilele chake katika kuunga mkono dhana na malengo ya Palestina.”
-
Beirut - Lebanon:
Jumuiya ya Wapiga Kambi 70,000 wa Imam Mahdi (A.J) Washiriki Mkutano Mkubwa Beirut, Wakiwakumbuka Mashujaa na Kusherehekea Miaka 40 ya Jumuiya Hiyo
Sherehe hii kubwa ilifanyika kwa kaulimbiu: “Inna alal-Ahd Ya Nasrallah”, ikionyesha umuhimu wa umoja na nguvu ya kizazi kipya cha Hezbollah Lebanon.
-
Sheikh Ali Salman kutoka gerezani: “Kama ningekuwa huru, ningetamani kuwa pamoja na wapigania uhuru wa ‘Msafara wa Ustahimilivu (Sumud)msafara”
“Kile mnachokifanya katika msafara huu kinaheshimiwa katika dini zote, sheria zote na mila zote; ni ushahidi kuwa dhamiri ya kibinadamu bado haijafa. Harakati yenu ni fahari kwa wote sisi.”
-
Maulana Sheikh Hemed Jalala Aendelea kuimarisha Umoja wa Waislamu Kupitia Ziara ya Kidini Nchini Tanzania
Katika moja ya sehemu za ziara yake, Maulana Sheikh Hemed Jalala alitembelea Mkoa wa Kigoma, ambapo alipokelewa kwa mapokezi mazuri kutoka kwa waumini na viongozi wa dini wa eneo hilo. Moja ya matukio muhimu katika ziara hiyo ni kukutana kwake na Sheikh wa Mkoa wa Kigoma (BAKWATA), Samahat Sheikh Hassan Kiburwa, katika ofisi za BAKWATA Mkoa wa Kigoma, ambapo viongozi hao wawili walifanya mazungumzo ya kina kuhusu maendeleo ya Uislamu, umoja wa Waislamu, na namna bora ya kuimarisha harakati za kidini nchini.
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) kufuatia kifo cha Ayatollah Sayyid Ali Akbar Mousavi Yazdi
Kufuatia kifo cha Ayatollah Sayyid Ali Akbar Mousavi Yazdi, mkuu wa ofisi ya masuala ya kifedha ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) alitoa ujumbe wa rambirambi.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s): Uwezo wa Umma wa Kiislamu Unategemea Muunganiko wa Elimu na Imani
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) ameona kuwa muungano kati ya elimu na imani ni wa lazima, na akaeleza kwa kusisitiza kwamba: “Jamii ambayo inamiliki misingi hii miwili kwa pamoja – yaani elimu na imani - hufikia kiwango cha nguvu na mamlaka ambacho hakuna mfumo wowote wa kiutawala au ukoloni unaoweza kupenya ndani yake.”
-
Burundi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika Kwa Ustadi Mkubwa Katika Husainiyya ya Jumuiya ya Khoja
Washiriki wa Sherehe hiyo pia walimuenzi Mtume Mtukufu (S.A.W.W) kwa heshima kubwa, na walieleza haja ya mshikamano, maelewano, na Umoja wa Umma wa Kiislamu katika kukabiliana na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Uteuzi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(a.s) kwa amri ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Khamenei; Amemteua Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ramezani kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(as) kwa muhula mwingine tena.
-
Kuongezwa kwa muda wa uteuzi wa Majukumu ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
Kiongozi wa Mapinduzi ameidhinisha kuongezwa kwa muda wa jukumu la Hujjatul-Islam Shahriari kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
-
Hafla ya Kuhitimisha tukio la 2 la Vyombo vya Habari, "Sisi ni Watoto wa Hussein(as), "imeanza kwenye Jumuiya Wasaidizi wa Hazrat Imam Mahdi (a.t.f.s)
Sehemu maalum ya tukio hilo ilizingatia kauli mbiu "Dunia Moja Katika Mikono ya Hussein (as)" kwa kusajili uwepo wa Mazuwari kutoka sehemu mbalimbali za dunia na maonesho ya Bendera za nchi katika matembezi ya Arubaini.
-
Ayatollah Ashrafi Shahroudi alipokutana na viongozi wa Shirika la Habari la “Abna” alisema:
"Kuonyesha huruma na kujali kwa ajili ya mafundisho ya Ahlul Bayt (a.s) huleta maendeleo katika kazi mbalimbali"
"Kwa juhudi za Imam na Mapinduzi, jina la Ahlul Bayt (a.s) limejulikana na kutambulika kote duniani. Sababu kuu ya uadui wote wa naadui dhidi ya IRAN, unatokana na IRAN na Jamhuri ya Kiislamu kuzingatia na kufuatilia zaidi mafundisho ya Ahlul-Bayt (a.s). Kuanzia vita vya miaka minane hadi fitina ya Daesh na hata uvamizi huu wa utawala wa Kizayuni ni kwa sababu ya imani ya dhati ya Taifa la Iran na uvumilivu wa Mashia."
-
JMAT TAIFA:
Mdahalo wa Viongozi wa Dini na Siasa: Wito wa Kudumisha Amani na Demokrasia Safi kuelekea Uchaguzi Mkuu
Sheikh Dkt. Al-Hadi Mussa Salum: "Amani na Utulivu nchini ni msingi wa maendeleo ya Taifa na Ustawi wa kila Mtanzania".
-
Funzo Kuu la Arbaeen ni Msimamo Imara, Subira, na Mapambano: Ayatollah Ramazani
Mkutano wa awali wa wavuti (webinar) ulioandaliwa na Idara ya Masuala ya Kimataifa ya Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s.) kuhusu mada “Kutathmini Ujumbe wa Kimataifa wa Arbaeen ya Imam Hussain (a.s): Kutoka Wilayat hadi Wajibu” umefanyika.
-
Maneno Muhimu na ya Hekima ya Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum - kuhusu: Wanaoitwa Mitume na Manabii Tanzania, Udugu wa Watanzania, na Amani ya Tanzania
Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania tutasimama na Serikali Daima katika kulinda na kudumisha Amani na Maridhiano ya nchi yetu kwa ajili ya Ustawi wa nchi yetu.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu ya Ukaribu baina ya Madhehebu za Kiislamu: "Uhalifu wa Israel ni Jeraha kwenye Mwili wa Umma wa Kiislamu"
Hojjatul Islam Wal-Muslimeen Dakta Hamid Shahriari, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu ya Ukaribu baina ya Madhehebu za Kiislamu ameandika katika ujumbe wake kwenye Twitter yake kuwa: "Uhalifu wa Israel sio tu kuishambulia Iran, bali pia ni jeraha kwenye mwili wa Umma wa Kiislamu."
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) amewasili nchini Côte d'Ivoire na kukutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire (Ivory Coast)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) alikutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire mara tu alipowasili nchini humo.
-
Safari ya Kuleta Umoja ya Ayatollah Ramezani nchini Niger; Mazungumzo na Maulamaa Wakuu wa Dini wa Mji wa Niamey | Zawadi ya Pete ya Baraka Yatolewa
Katibu Mkuu wa Jumuia ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika kikao na Imam wa Msikiti Mkuu wa Mji wa Niamey alisisitiza umuhimu wa kuimarisha Umoja wa Kiislamu na kuunga mkono nafasi ya Wanazuoni wa Dini katika jamii.
-
Ujumbe wa Ayatollah Ramezani wa rambirambi kwa Katibu Mkuu Jumuiya ya Kimataifa ya Ukaribu wa Madhehebu za Kiislamu
Katika ujumbe wake, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS) ametoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Baba yake Hojat al-Islam Wal-Muslimin, Dakta Hamid Shahriari.
-
Mgogoro wa Kibinadamu huko Gaza; Papa Francis ametoa wito wa kusitishwa kwa kudumu kwa mapigano huko Gaza
Akielezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu huko Gaza, Papa Francis amesisitiza kwamba jumuiya ya kimataifa inapaswa kukabiliana na mgogoro huu na kusaidia watu wasio na hatia.
-
Ramadhan ni Mwezi ambao dhambi zote zinaunguzwa (zinafutwa) ndani yake
Mja asikose wala asikate tamaa katika Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani, bali akithirishe kwa wingi kuomba sana maghfira na msamaha kwa Mwenyezi Mungu, kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, na anasamehe dhambi za aina yoyote ile (ispokuwa dhambi ya kumshirikisha).
-
Ayatollah Nouri Hamedani: Jumuiya za Kisayansi za Hawza, ni mahala salama kwa mawazo mapya na safi
Ayatollah Nouri Hamedani Marjii Taqlid wa Madhehebu ya Shia ametoa ujumbe wake katika Mkutano wa vyama (jumuiya) vya Kisayansi vya Seminari (Hawza) ya Qom.