Jumuiya
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu ya Ukaribu baina ya Madhehebu za Kiislamu: "Uhalifu wa Israel ni Jeraha kwenye Mwili wa Umma wa Kiislamu"
Hojjatul Islam Wal-Muslimeen Dakta Hamid Shahriari, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu ya Ukaribu baina ya Madhehebu za Kiislamu ameandika katika ujumbe wake kwenye Twitter yake kuwa: "Uhalifu wa Israel sio tu kuishambulia Iran, bali pia ni jeraha kwenye mwili wa Umma wa Kiislamu."
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) amewasili nchini Côte d'Ivoire na kukutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire (Ivory Coast)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) alikutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire mara tu alipowasili nchini humo.
-
Safari ya Kuleta Umoja ya Ayatollah Ramezani nchini Niger; Mazungumzo na Maulamaa Wakuu wa Dini wa Mji wa Niamey | Zawadi ya Pete ya Baraka Yatolewa
Katibu Mkuu wa Jumuia ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika kikao na Imam wa Msikiti Mkuu wa Mji wa Niamey alisisitiza umuhimu wa kuimarisha Umoja wa Kiislamu na kuunga mkono nafasi ya Wanazuoni wa Dini katika jamii.
-
Ujumbe wa Ayatollah Ramezani wa rambirambi kwa Katibu Mkuu Jumuiya ya Kimataifa ya Ukaribu wa Madhehebu za Kiislamu
Katika ujumbe wake, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS) ametoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Baba yake Hojat al-Islam Wal-Muslimin, Dakta Hamid Shahriari.
-
Mgogoro wa Kibinadamu huko Gaza; Papa Francis ametoa wito wa kusitishwa kwa kudumu kwa mapigano huko Gaza
Akielezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu huko Gaza, Papa Francis amesisitiza kwamba jumuiya ya kimataifa inapaswa kukabiliana na mgogoro huu na kusaidia watu wasio na hatia.
-
Ramadhan ni Mwezi ambao dhambi zote zinaunguzwa (zinafutwa) ndani yake
Mja asikose wala asikate tamaa katika Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani, bali akithirishe kwa wingi kuomba sana maghfira na msamaha kwa Mwenyezi Mungu, kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, na anasamehe dhambi za aina yoyote ile (ispokuwa dhambi ya kumshirikisha).
-
Ayatollah Nouri Hamedani: Jumuiya za Kisayansi za Hawza, ni mahala salama kwa mawazo mapya na safi
Ayatollah Nouri Hamedani Marjii Taqlid wa Madhehebu ya Shia ametoa ujumbe wake katika Mkutano wa vyama (jumuiya) vya Kisayansi vya Seminari (Hawza) ya Qom.