Katibu Mkuu
-
Kuuawa Kishahidi kwa Abu Ali,Mkuu wa timu ya Ulinzi wa Shahidi Nasrullah, pamoja na «Sayyid Haidar Al-Muwa'li» Naibu wa Kataib Sayyid AlShuhadaa, Iraq
"Kwa Masikitiko, tumepata habari kuwa mmoja wa makamanda wa Kataib Sayyid al_Shuhada, Sayyid Haidar Al-Muwa'li, Naibu wa Abu A'la'i Al-Wila'yi, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, amepata kifo cha Kishahidi wakati wa shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran."
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(AS):
Ghadir inachukuliwa kuwa ni harakati ya kuunganisha Uislamu | Kama Kusingekuwa na Ghadir, Uislamu Halisi ungeamizwa na Bani Umaiyya na Bani Abbas
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS): Kabla ya Mapinduzi, walikisema haiwezekani kuwepo kwa Mapinduzi ya Kiislamu, na wanachuoni hawakufikiri kwamba mabadiliko makubwa yangetokea nchini Iran, bali Mapinduzi ya Kiislamu yalikuwepo na yalishinda, na hayo yalikuwa ni Mapinduzi yaliyoongozwa na Kiongozi Muadhamu, na kila kitu kuhusu Mapinduzi hayo kilikuwa ni ufunuo kwa dini, kwamba hayo si chochote ila ni muujiza na kazi ya Mwenyezi Mungu.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu ya Ukaribu baina ya Madhehebu za Kiislamu: "Uhalifu wa Israel ni Jeraha kwenye Mwili wa Umma wa Kiislamu"
Hojjatul Islam Wal-Muslimeen Dakta Hamid Shahriari, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu ya Ukaribu baina ya Madhehebu za Kiislamu ameandika katika ujumbe wake kwenye Twitter yake kuwa: "Uhalifu wa Israel sio tu kuishambulia Iran, bali pia ni jeraha kwenye mwili wa Umma wa Kiislamu."
-
Ayatullah Ramadhani: Bila ya Ghadir, Dini Ingepotoshwa Tangu Miaka ya Kwanza
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kwa kusisitiza nafasi ya kimkakati ya tukio la Ghadir katika kulinda asili na usafi wa dini, alisema: "Kama lisingekuwepo tukio la Ghadir, basi dini ingeweza kupotoshwa tangu miaka ya mwanzo."
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) amewasili nchini Côte d'Ivoire na kukutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire (Ivory Coast)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) alikutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire mara tu alipowasili nchini humo.
-
Kauli ya Sheikh Omar Jane:
Kiongozi wa Jumuiya ya Maulamaa wa Senegal katika Kikao na Katibu Mkuu Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (as):Iran Ipo Ndani ya Nafsi na Maumbile Yetu
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), akiwa katika makao makuu ya Jumuiya ya Maulamaa wa Senegal, amesisitiza juu ya umuhimu wa umoja wa Kiislamu na kuimarisha uwezo wa kielimu na kidini katika ulimwengu wa Kiislamu. Amesema: “Umoja wa Kiislamu Ni Njia ya Kufikia Mamlaka ya Kiulimwengu”
-
Dar es Salaam, Tanzania - Mei 2025:
BAKWATA Yatangaza Rasmi Tarehe ya Sikukuu ya Eid El-Adh’ha: Jumamosi, Juni 7, 2025
Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa BAKWATA, Alhaj Nuhu Jabiri Mruma, ambapo imeelezwa kuwa sherehe za kitaifa za Eid El-Adh’ha mwaka huu zitafanyika jijini Dar es Salaam, katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Makao Makuu ya BAKWATA – Kinondoni.
-
Kukuza Umoja wa Kiislamu ni Msingi wa Mkutano wa Ayatollah Ramezani na Wanafikra wa Tijaniyya huko Niger + Picha
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu wa Ahlul-Bayt (a.s) alikutana na Kiongozi wa Tijaniyya katika Mji wa Kiota, nchini Niger.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl al-Bayt (A.S) akutana na Msimamizi wa Atabat Hosseini | Tangazo la utayari wa kushirikiana kiutamaduni
Ayatollah "Reza Ramezani" alikutana na Hojjat al-Islam na Waislamu Sheikh "Abdul Mahdi Karbalai".
-
Ujumbe wa Ayatollah Ramezani wa rambirambi kwa Katibu Mkuu Jumuiya ya Kimataifa ya Ukaribu wa Madhehebu za Kiislamu
Katika ujumbe wake, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS) ametoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Baba yake Hojat al-Islam Wal-Muslimin, Dakta Hamid Shahriari.