uhalifu
-
Araghchi: Shambulizi la Israel kwa Wanaotafuta Msaada wa Chakula Gaza ni Uhalifu wa Vita wa Dhahiri
Watoto milioni 1 wako hatarini kufa kwa njaa Gaza huku Israel ikiendeleza mzingiro: UNRWA
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu ya Ukaribu baina ya Madhehebu za Kiislamu: "Uhalifu wa Israel ni Jeraha kwenye Mwili wa Umma wa Kiislamu"
Hojjatul Islam Wal-Muslimeen Dakta Hamid Shahriari, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu ya Ukaribu baina ya Madhehebu za Kiislamu ameandika katika ujumbe wake kwenye Twitter yake kuwa: "Uhalifu wa Israel sio tu kuishambulia Iran, bali pia ni jeraha kwenye mwili wa Umma wa Kiislamu."
-
Baqaei: Kushambulia hospitali ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na uhalifu wa kivita
Akilaani shambulio la kombora la utawala haramu wa Kizayuni katika Hospitali na Kituo cha Tiba cha Farabi huko Kermanshah, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ameandika: "Mashambulizi dhidi ya hospitali pamoja na mashambulizi katika maeneo ya makazi ya watu ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na jinai ya kivita."
-
Ripoti juu ya hali ya hivi punde huko Gaza / Kwa mara ya kwanza katika historia, watu milioni 2 wamezingirwa katika ukanda mmoja (Ukanda wa Gaza)
Katika ripoti ya hivi punde kuhusu hali ya Ukanda wa Gaza, Mwanaharakati wa Kipalestina amesema: "Kwa ujumla, zimepita takriban siku 45 tangu hata kilo 1 ya unga au chupa 1 ya maji iingie Gaza, na mzingiro huo uko katika hali mbaya zaidi."
-
Zaidi ya watu 25 waliouawa Shahidi na wengine kujeruhiwa katika shambulio la Marekani katika eneo la Magharibi mwa Yemen
Idadi ya Mashahidi katika shambulio la jana usiku la Marekani katika Mkoa wa Hodeidah Magharibi mwa Yemen imeongezeka na kufikia watu 10, na zaidi ya watu 16 wameripotiwa kujeruhiwa.
-
Netanyahu amesafiri njia ndefu kutoka Budapest hadi Washington ili kukwepa kukamatwa
Vyombo vya habari vya Israel vimetangaza leo kwamba kutokana na hati ya kukamatwa iliyotolewa dhidi ya Waziri Mkuu wa utawala huu, ndege iliyombeba ilibidi ichukue njia ndefu zaidi kuelekea Washington.