Upinzani
-
Lapid: Marekani iitaje Qatar kuwa “nchi adui”
Kiongozi wa upinzani wa utawala wa Kizayuni, Yair Lapid, ameutaka utawala wa United States kuitangaza Qatar kuwa “nchi adui”. Akizungumza katika mkutano wa viongozi wa mashirika makubwa ya Kiyahudi nchini Marekani, Lapid alidai kuwa uwekezaji wa kifedha wa Qatar katika vyuo vikuu vya Marekani unachochea kuenea kwa chuki dhidi ya Wayahudi na misimamo mikali. Aidha, alibainisha kuwa amewasilisha pendekezo la kuitambua Qatar kama nchi adui kisheria, akisisitiza kuwa taifa hilo ni “adui wa Marekani, Israeli na dunia.”
-
Sayyid Ali Khomeini: Lengo pekee la utawala wa Kizayuni ni kuigawa Iran / Leo mtu maarufu zaidi Iran ni Ayatollah Khamenei
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ali Khomeini katika mahojiano na mtandao wa habari wa Al-Mayadeen yaliyotangazwa Jumatano usiku, amesema anaiona mustakabali wa Mapinduzi ya Kiislamu kuwa mzuri, na kwamba njia pekee ya kuishi katika dunia ambayo Marekani na Israel wameigeuza kuwa msitu wa vurugu ni kupambana kwa msimamo (muqawama). Ameeleza kuwa Iran sasa iko katika vita vya kimaumbile ya uwepo wake.
-
Maandamano Yatikisa Marekani, Minneapolis Kituo Kikuu cha Upinzani Dhidi ya ICE
Wimbi la maandamano linaendelea kuitikisa Marekani, huku jiji la Minneapolis likiwa miongoni mwa vituo vikuu vya upinzani dhidi ya operesheni za polisi wa uhamiaji (ICE). Maelfu ya raia wameingia mitaani wakipinga matumizi ya nguvu kupita kiasi, na maandamano yamesambaa hadi miji mingine kama Portland, Maine, San Francisco na Washington DC. Serikali iko chini ya shinikizo kubwa la ndani, huku wananchi wakidai haki, uwazi na kuheshimiwa kwa utu wa raia.
-
Harakati za Kuundwa kwa Mkoa wa Basra Zarejea kwa Nguvu / Mji Mkuu wa Uchumi wa Iraq Wadai Kuwa Mkoa Huru
Harakati za kisiasa na za wananchi katika mkoa wa Basra, kusini mwa Iraq, za kuubadili mkoa huo kutoka kitengo cha kiutawala na kuwa mkoa huru (Iqleem) zimeanza tena kwa nguvu, huku Baraza la Mkoa wa Basra likianza kuchukua hatua rasmi za kuidhinisha mpango huo.
-
Mamilioni ya Wayemeni Wafurika Barabarani Kuitetea Qur’ani Tukufu Baada ya Kudharauliwa Nchini Marekani
Qur’ani Tukufu ni Kitabu Kitakatifu kisichoguswa, na kitendo chochote cha kuidharau kitapokelewa kwa upinzani na laana kali kutoka kwa Waislamu duniani kote.
-
Upinzani wa Iraq: Hatutokabidhi silaha zetu, na tunasimama imara dhidi ya shinikizo la Marekani
Haider Al-Khayoun, mhadhiri wa siasa za kimataifa, alibainisha kuwa vitisho vya Marekani na Israel dhidi ya Iraq si vipya, lakini kwa sasa vimekuwa tata zaidi kutokana na ukosefu wa serikali thabiti yenye uwezo wa kuchukua maamuzi ya kimkakati. Alisisitiza kuwa Iraq ni sehemu ya mlinganyo mpana wa kikanda unaojumuisha Iran, Syria, Lebanon na Gaza, na kwamba kuongezeka kwa mvutano katika maeneo hayo kuna athari za moja kwa moja kwa Baghdad.
-
Mchambuzi wa Kisiasa wa Lebanon:
Mkutano wa Kiuchumi na Wawakilishi wa Israel ni Uongo Mtupu na Vita vya Kisaikolojia / Muqawama Haitaruhusu Aina Yoyote ya Uhalalishaji wa Mahusiano
Katika mazungumzo yake na ABNA, Fadi Boudieh alisema kuwa bila shaka Israel inajaribu kuwapotosha baadhi ya Walebanoni, Waisraeli na hata baadhi ya nchi za Kiarabu, kwa kuwashawishi kuwa imefanikiwa kulazimisha hali mpya ya kiuchumi kwa Lebanon kwa kutumia nguvu, na kwamba chaguo la upinzani (Muqawama) limekwisha.
-
Jeshi la Lebanon liliwaruhusu waandishi wa habari kuingia katika vituo vya Hizbullah;
JKituo cha kihistoria cha Muqawama ambacho ukweli wake umejulikana baada ya kusitishwa kwa mapigano
Bonde la Zabqin, kutokana na muundo wake maalum wa kijiografia na umbali wa takribani kilomita 10 kutoka mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu, linachukuliwa kuwa mojawapo ya ngome kuu za Muqawama (Upinzani). Ni ngome ambayo vizazi mbalimbali vya wapiganaji wa Kipalestina na Wenyeji wa Lebanon wamekuwa wakikuwapo humo kwa miaka mingi.
-
Kiongozi wa Harakati ya Hamas: Ghaza imejeruhiwa lakini imebaki yenye nguvu; Ummah wa Kiarabu unapaswa kuimarisha uwezo wake wa upinzani
Kiongozi wa Harakati ya Hamas, katika Ukanda wa Ghaza, katika Kongresi ya 34 ya Taifa ya Kiarabu huko Beirut, alieleza kuwa Operesheni “Tofaan Al-Aqsa / Kimbunga cha Al-Aqsa” ilikuwa jibu kwa juhudi za kuondoa suala la Palestina na kubuni Mashariki ya Kati mpya, na alisisitiza uhitaji wa kuimarisha uwezo wa upinzani.
-
Hamdan Sabbahi: Operesheni “Tofaan Al-Aqsa” imevunja njia ya kawaida ya uhusiano na Israeli
Hamdan Sabbahi, katika hotuba yake Beirut, akionyesha athari za Operesheni “Kimbunga cha Al-Aqsa”, alisisitiza juu ya kushindwa kwa miradi ya kutaka kugawanya ardhi na kukawaidaisha uhusiano na utawala wa Kizayuni, na pia alibainisha kuwa utetezi wa silaha za upinzani na nafasi ya vyombo vya habari itakuwa muhimu sana katika vita vya siku zijazo.
-
Marekani inatafuta kuzifuta silaha za Hezbollah;
Huku Israel ikiwa kwenye hatari ya kuanza mzozo mpya; Upinzani unabakia mstari wa mbele katika kulinda uhuru na usalama wa Lebanon
Kwenye nyuma ya pazia ya mabadiliko haya, Marekani na Israel kwa vitendo wanaandaa mfumo wa kisiasa na kiusalama ambao lengo lake kuu ni kumaliza uwepo wa vikosi vya upinzani kwenye mipaka ya kusini.
-
Paul Biya Mwenye Umri wa Miaka 92 Atangazwa Mshindi wa Uchaguzi wa Urais wa Cameroon | Anaendelea Kutawala mpaka afikishe miaka 100
Wafuasi wa upinzani wameishutumu mamlaka kwa “kuiba kura” na wanasisitiza kutambuliwa kwa Bakary kama mshindi halali wa uchaguzi huo.
-
Ripoti ya ABNA kutoka katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, huko Qom;
"Nasrallah hakuwa mtu, bali alikuwa ni shule ya fikra / Silaha ya mapambano itaendelea kubaki" + Picha na Video
Hujjatul-Islam Naser Rafii, katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa kishahidi kwa watangulizi wa mhimili wa mapambano, alisema: "Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa mbebaji bendera ya mapambano na kielelezo cha shule ya fikra, na njia yake itaendelea."
-
Kwa nini Ndoa ya Mitala isiyo Rasmi ("Ndoa Nyeupe" au White Marriage) ni tishio kwa Familia na Jamii?
Makala hii inachambua kwa mtazamo wa kina sababu za upinzani wa Uislamu dhidi ya ndoa nyeupe na inafafanua athari na madhara ya kijamii yanayosababishwa na aina hii ya ndoa.
-
Kutoka kwa Udanganyifu wa Shetani hadi Mapambano ya Gaza: Nafasi ya Vyombo vya Habari Katika Kufichua Ukweli
Vyombo vya habari vya upinzani vimefanikiwa kugeuza mapambano ya Palestina kutoka katika simulizi ya ndani hadi kuwa gugufumu wa kimataifa wa haki. Kwa kutumia mbinu za kisasa na uelewa wa kihistoria, vyombo hivi vimeweza kuibua mwamko wa umma wa dunia – na jukumu hili linahitaji kuimarishwa kila siku kwa nguvu, mshikamano na ukweli.
-
Asilimia 60 ya Wana-Lebanon Wapinga Kuondolewa Silaha za Harakati ya Mapambano ya Hezbollah
Uchunguzi mpya wa maoni nchini Lebanon umeonyesha kuwa Wana-Lebanon wengi—bila kujali dini au dhehebu—wanapinga kuondolewa silaha za vikosi vya mapambano bila kuwepo mkakati mbadala wa ulinzi.
-
Kiongozi Mwandamizi wa Hezbollah Lebanon: "Kufa ni bora kuliko kukabidhi silaha za upinzani"
Uamuzi wa Serikali unaweza kugeuza tatizo kutoka mapambano kati ya Lebanon na Israel na kuwa mzozo wa ndani.
-
(Muqawamah) Kusimama dhidi ya Ubeberu ni Fahari ya Mataifa ya Waumini
"Kazi yetu kuu ni kuinua bendera ya Qur’an ili kwa kueneza mtindo sahihi wa maisha, jamii ya Kiqur’ani iweze kuundwa. Ikiwa nchi za Kiislamu zitaifuata Qur’an, zitauweza kuwalazimisha maadui kurudi nyuma"
-
Hashd ni nguzo ya hema, na Muqawama ni heshima ya Umma wa Iraq / Hatutapatanishwa na Wavamizi
Al_Walaiy: “Tunaiweka hai Gaza ndani ya nyoyo zetu na tuko tayari daima kuwasaidia.” Alieleza kuwa ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni furaha kwao, na kwamba ndugu zao wa Lebanon ni mfano wa ushindi - ushindi uliotabiriwa na Qur’an Tukufu.
-
Kiongozi wa Shirika la Awqaf la Iran: Arubaini ya Mwaka Huu Itakuwa na Sura ya Kupinga Uzayuni - Iran ni A'shura ya Dunia ya Leo
Arubaini ya mwaka huu si tu tukio la ibada bali ni ujumbe wa mapambano ya kimaanawi na kisiasa. Iran inachukua nafasi ya kiashura ya dunia, ambapo uongozi, mshikamano, na upinzani dhidi ya dhulma vinaonyeshwa kwa njia halisi.
-
Ripoti ya ABNA kuhusu Kongamano la Kitaifa la Dini za Ki_Mungu na Uvamizi wa Wazayuni:
Umuhimu wa kuchukuliwa hatua za kivitendo dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni;Kunyongwa kwa Trump na Netanyahu na kuunda Upinzani wa Kimataifa
Kufuatia uvamizi wa hivi karibuni wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, baadhi ya viongozi wa dini zinazomuamini Mungu nchini walikusanyika katika Kongomanano la Kitaifa la “Dini za Ki_Mungu na suala la Uvamizi wa Kizayuni na Magharibi dhidi ya Iran”. Katika Kongamano hilo, walilaani vikali kitendo hicho na kusisitiza umuhimu wa kusimama kidete dhidi ya dhuluma, umoja wa dini za Mwenyezi Mungu Mmoja, na kusherehekea mchango wa kipekee wa utamaduni wa Kiarabu katika kuhifadhi heshima, amani, na upinzani.
-
Mafanikio mawili ya Yemen ndani ya siku moja; Mashambulizi ya Kimaonyesho dhidi ya Hodeidah yazimwa na kushindwa/Meli "Magic Seas" Yazamishwa Baharini
Yemen, imefanikiwa kuitwanga meli iliyokuwa ikielekea maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haram wa Kizayuni, na kuizamisha baharini.
-
Hamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.
-
Chaguzi za Lebanon chini ya kivuli cha uvamizi wa Israel: Kura kwa chaguo la upinzani (Muqawamah) ndio jambo la msingi na lililopewa kipaumbele
Ingawa jeshi la Israel linaendelea na mashambulizi makali kusini mwa Lebanon, watu wa eneo hilo walihudhuria uchaguzi wa maeneo kwa wingi, wakithibitisha tena msaada wao kwa harakati za upinzani.
-
Jumuiya ya walimu wa Seminari ya Qom:
Wananchi wa Iran wanapaswa kutangaza utayarifu wao wa kuwasaidia wapiganaji wa Palestina kwa kushiriki katika maandamano ya Siku ya Quds
Katika kizingiti cha Siku ya Quds Duniani, Jumuiya ya Walimu wa Seminari ya Qom imetoa taarifa ikizitaka sehemu zote za Taifa pendwa la Iran kushiriki kikamilifu katika Matembezi ya Amani ya Siku hii ya Quds na kutangaza kwa mara nyingine uungaji mkono wao kwa Muqawamah (Upinzani) wa Kiislamu wa Palestina.
-
Jopo la Wanawake la Kongamano la 6 la Kimataifa la Quds Tukufu litafanyika
Kongamano hili lenye jina la "Tuelekee Al-Quds" litafanyika siku ya Jumanne, tarehe 25 Machi, 20205 Jijini Tehran, katika jengo la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS).