Umoja wa Kiislamu
-
Maulana Sheikh Hemed Jalala Aendelea kuimarisha Umoja wa Waislamu Kupitia Ziara ya Kidini Nchini Tanzania
Katika moja ya sehemu za ziara yake, Maulana Sheikh Hemed Jalala alitembelea Mkoa wa Kigoma, ambapo alipokelewa kwa mapokezi mazuri kutoka kwa waumini na viongozi wa dini wa eneo hilo. Moja ya matukio muhimu katika ziara hiyo ni kukutana kwake na Sheikh wa Mkoa wa Kigoma (BAKWATA), Samahat Sheikh Hassan Kiburwa, katika ofisi za BAKWATA Mkoa wa Kigoma, ambapo viongozi hao wawili walifanya mazungumzo ya kina kuhusu maendeleo ya Uislamu, umoja wa Waislamu, na namna bora ya kuimarisha harakati za kidini nchini.
-
Mkutano wa Dharura wa Viongozi wa Nchi za Kiislamu na Jumuiya ya Kiarabu huko Doha:
Pezeshkian: Uvamizi dhidi ya Qatar ni shambulio dhidi ya diplomasia ya kimataifa / Umoja wa Waislamu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na uvamizi huu
Rais wa Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, akilaumu kitendo cha kigaidi na jinai cha utawala wa Kizayuni katika shambulio la mji mkuu wa Qatar siku za hivi karibuni, alisema: “Kwa bahati mbaya, magaidi wanaotawala Tel Aviv, wakijiona hawana hatia baada ya udanganyifu wa aina ile ile kwenye diplomasia Juni 2025 na kuanzishwa kwa vita vya uvamizi dhidi ya watu wa nchi yangu, walijitahidi zaidi.”
-
Sheikh Zakzaky aonya kuhusu kampeni dhidi ya nchi za Kiislamu, atoa wito wa mshikamano
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sayyid Ibraheem Zakzaky, alitoa hotuba ya kufunga Wiki ya Umoja mjini Abuja siku ya Jumatano.
-
Burundi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika Kwa Ustadi Mkubwa Katika Husainiyya ya Jumuiya ya Khoja
Washiriki wa Sherehe hiyo pia walimuenzi Mtume Mtukufu (S.A.W.W) kwa heshima kubwa, na walieleza haja ya mshikamano, maelewano, na Umoja wa Umma wa Kiislamu katika kukabiliana na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Mkuu wa Mahusiano ya Kigeni wa Hizbullah ya Lebanon: Umoja wa Kiislamu ni dhamana ya ushindi wa Umma dhidi ya utawala wa Kizayuni
Mkuu wa Mahusiano ya Kigeni na Mjumbe wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja wa Kiislamu na kufuata mafundisho ya Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w) kuhusu huruma na uongofu, akieleza juu ya juhudi endelevu za maadui katika kuharibu sura ya Uislamu.
-
Rais wa Dar al-Iftaa ya Iraq asema:
“Ndio kwa Umoja wa Waislamu, ‘Hapana’ kwa Ubeberu wa Dunia”
Sheikh al-Sumayda‘i katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja alisema: "Lazima tuseme 'Ndio' kwa umoja wa Waislamu na, kwa kukataa ubeberu wa kimataifa, tuseme 'Hapana' kwa Magharibi na mabeberu."
-
Kutoka kwenye Kampeni ya "Ziara kwa Njia ya Mbali" hadi Kuachiwa kwa Wafungwa: Maandalizi ya Wiki ya Umoja Mkoani Gilan
Sheikh Hujjatul Islam wal-Muslimin Mujtaba Ashjari, Mwenyekiti wa Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu mkoa wa Gilan, amesema kuwa wiki ya Umoja itashuhudia mfululizo wa shughuli za kiroho, kijamii na kusaidia wahitaji, ikiwa ni pamoja na kampeni za ibada, misafara ya furaha, utoaji wa misaada kwa familia zisizojiweza, na kusaidia wanafunzi masikini.
-
Arubaini Iwe Sauti ya Umoja wa Kiislamu na Upinzani (Muqawamah) Dhidi ya Ubeberu na Uistikbari wa Kimataifa - Rais wa Waqfu Iran
“Arubaini ya mwaka huu inapaswa kuleta tumaini kwa Waislamu na kuwavunja nguvu maadui. Umoja ndiyo njia ya wokovu kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Bendera ya Mapambano dhidi ya mfumo wa kishetani lazima ibaki juu.”
-
Balozi wa Iran Nchini Kenya azungumzia: Kukuza Uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Kenya, Umoja wa Kiislamu na Mauaji ya Halaiki Ghaza
Mahojiano hayo yalitoa taswira ya msimamo wa Iran kuhusu masuala ya kimataifa na njia za kuimarisha ushirikiano na nchi za Kiafrika.
-
Imam wa Msikiti wa Imam Sadiq (as), Mauritania: "Israeli ni uvimbe wa saratani ambao lazima uondolewe kabisa | Umoja wa Kiislamu uko juu ya Madhehebu"
Kauli hii ya Imam huyu inasisitiza umuhimu wa mshikamano wa Waislamu kote duniani, kwani umoja wa kweli unapaswa kuvuka mipaka ya tofauti za madhehebu na kuwa na lengo moja la kutetea haki na kuondoa dhuluma na udhalimu.
-
Leo tuko katika vita kamili -vya jumla- kati ya Imani na Ukafiri |Wito wa uhamasishaji wa Vyombo vya Habari na Ubainishaji Mzuri ili Kutetea Mapinduzi
Leo hii, ndio maana tunaona kila mtu ulimwenguni akifurahi kwamba Israeli inapigwa na Makombora ya Iran. Pia tunaona umoja wa kitaifa ndani ya nchi, ambapo kila mtu analaani hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yetu, isipokuwa watu wachache wabaya na waliolaaniwa ambao hata majina yao hayaruhusiwi kutamkwa na kutajwa.
-
Mwanazuoni wa Kishia wa Pakistani:
Uungaji mkono wa Serikali ya Pakistan kwa Iran ni hatua ya kijasiri na ya kupongezwa
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amepongeza uungaji mkono wa serikali ya Pakistan kwa Iran dhidi ya mashambulizi ya Israel na ameitaja hatua hiyo kuwa ya kijasiri na ya kupongezwa na kuzitaka nchi za Kiislamu kuchukua misimamo thabiti dhidi ya uvamizi wa Wazayuni.
-
Ayatollah Ramezani: "Umoja wa Umma wa Kiislamu Ndiyo Njia ya Kukabiliana na Uonevu wa Kimataifa"
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu wa Ahlulbayt (a.s) katika kongamano la "Wanafikra wa Dini; Kubadilishana Uzoefu na Teknolojia Mpya" alisisitiza umuhimu wa umoja wa Kiislamu, uenezi wa pamoja wa mafundisho ya Qur'an na Ahlulbayt (a.s), na utambuzi wa uwezo wa ndani.
-
Ayatollah Khamenei: Umoja wa Mataifa ya Kiislamu Ndiyo Njia Pekee ya Kudumisha Usalama wa Umma
Msimamo wa Pakistan kuhusu suala la Palestina umekuwa wa kupongezwa sana. Wakati daima kumekuwa na vishawishi kwa nchi za Kiislamu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni, Pakistan haijawahi kushawishika na vishawishi hivyo.
-
Kufanyika kwa Tamasha la Ushairi wa Amani katika mji wa Parachinar, Pakistan / Mkutano wa washairi wa Kishia na Kisunni wenye ujumbe wa umoja
Washairi Mashuhuri wa Kishia na Kisunni kutoka maeneo yote ya Kurram wamekusanyika katika tamasha lenye mada ya amani lililofanyika katika mji wa Parachinar, Pakistan.
-
Shahriari: Vitabu Vipya vya Jumuiya ya Kimataifa ya Taqrib ya Madhehebu za Kiislamu, vinaangazia Umoja na Ustaarabu Mpya wa Kiislamu
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Taqrib baina ya Madhehebu ya Kiislamu, Dkt. Hamid Shahriari, alieleza kuwa: “Kwa bahati nzuri, kwa kuweka vitabu katika mfumo wa kielektroniki kupitia tovuti ya maonyesho ya vitabu, mazingira mazuri yameandaliwa kwa ajili ya kutoa huduma kwa wadau na wageni wanaopendelea kufanya manunuzi yao kwa njia za kidijitali.”
-
Majlis ya Mazazi ya Imam Ridha (as) yafanyika Jamiat Al-Mustafa(s), Tanzania | Hadithi Toka Vyanzo vya Kisunni Zinathibitisha Makhalifa Kumi na Wawili
Lengo la Mazungumzo Haya ni: Kuleta maelewano baina ya Madhehebu za Kiislamu na kuonyesha kuwa msingi wa Uimamu na Ukhalifa wa Maimam Kumi na Wawili wa Ahlul-Bayt (a.s), wanaofuatwa na Waislamu wa Madhehebu ya Shia Ithna Ashari, una mizizi pia katika vyanzo vinavyokubalika vya Kisunni.
-
Mkutano na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dkt. Batlida Burian, pamoja na baadhi ya Masheikh wa Kishia na Kisunni.
"Tanga ni mfano wa kuigwa kwa utulivu wa kidini. Tuendelee kudumisha hali hii na kushirikiana kwa ajili ya maendeleo ya jamii yetu."
-
Kiongozi wa Mapinduzi: "Hakuna manufaa yoyote kwa Umma wa Kiislamu yaliyo juu ya Umoja"
Kiongozi Muadham wa Mapinduzi ameeleza katika Mkutano na wahusika wa Hajj na baadhi ya Waumini waliotembelea Nyumba Tukufu (Al-Kaaba) kwamba: "Muundo na sura ya nje ya ibada hii ni ya kisiasa kabisa, lakini maudhui ya vipengele vyake ni ya kiroho na ya ibada, ili manufaa ya Wanadamu wote yaweze kutimizwa. Na leo, faida kubwa kwa Umma wa Kiislamu ni 'Umoja na Ushirikiano' ili kutatua matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu. Ikiwa umoja huu ungelikuwepo, matatizo kama ya Gaza na Yemen yasingekuwepo."
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Umoja wa Madhehebu ya Kiislamu:
Udhalilishaji wa hivi karibuni wa mambo matukufu ya Waislamu wa Kisunni una nyanja tata zaidi
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kudumisha Umoja wa Madhehebu ya Kiislamu akilaani udhalilishaji wa mambo matukufu ya Waislamu wa Kisunni alisema: Udhalilishaji wa hivi karibuni una nyanja tata zaidi, na inatarajiwa kutoka kwa viongozi wa masuala haya kuchukua hatua za kuzuia kurudiwa kwa maafa kama haya.
-
Dr. Ali Taqavi, Mwakilishi wa Jamiat Al-Mustafa (s)Tanzania, akiambatana na Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum watembelea uwanja wa Michezo Zanzibar + Picha
Uislamu umesisitiza Umoja wa Kiislamu, na madhehebu yote ya Kiislamu yanaunganishwa na Umoja wa Kiislamu, na Kibla cha Waislamu wote ni kimoja, na Qur'an ndio Kitabu chao na Muongozo wao.
-
Je, jinai ya Palestina ni kweli kuwa inaungwa mkono na Iran ya Kishia?!
Wakati picha za kutisha za mauaji ya halaiki huko Gaza zimeamsha dhamiri za wanadamu kote ulimwenguni, ukimya mzito katika baadhi ya jamii za Kiislamu, haswa kati ya duru za kidini, unatia shaka. Kwa nini baadhi ya watu wanauita Upinzani (Muqawamah) huu "wa Kidini" au "Kisiasa" na kuondoa uungaji mkono wao wakati Hamas, Hezbollah, au Iran inaposimama dhidi ya Israel?!, Je, (kupinga) dhulma na ukandamizaji kwa Wapalestina unahitaji idhini ya Madhehebu?
-
Fat'wa Mpya: Kuitetea Palestina na Jihad dhidi ya Utawala wa Kizayuni ni Wajibu Ayn (jambo la faradhi kwa kila Mtu)
Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Ulimwenguni umetoa Fat'wa kuhusu Wajibu wa Jihadi katika kuunga mkono Ghaza na kusisitiza kuwa, Jihadi dhidi ya utawala wa Kizayuni na mamluki na askari wake wanaohusika na mauaji ya halaiki ya watu wa Ghaza katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ni wajibu mutlaki (unaomgusa kila mtu).
-
Semina ya Mubaghilina wa Mkoa wa Kagera - Wilaya ya Muleba - Tanzania
Kauli mbio yetu ni: Kama Mubalighina ni kuhakikisha malengo ya Mtume (s.a.w.w) yanatimia kwa njia safi ya kuleta umoja, upendo na amani.
-
Wasifu wa Amirul Momineen (AS) unapaswa kuunganisha mwili wa Umma wa Kiislamu
Katika hotuba yake kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Imam Ali, Waziri Mkuu wa Iraq alitaja fadhila za Imam Ali (a.s).