Umoja wa Kiislamu
-
Tanga | Sheikh Mkuu wa T.I.C Sheikh H. Jalala Mwakindenge Aongoza Hafla ya Ndoa za Vijana 100 Katika Maadhimisho ya Mazazi ya Bibi Fatima Zahra (a.s)
Hafla hii imeendelea kuwa ishara ya umoja, upendo na kuenzi Sunna ya ndoa katika Uislamu, sambamba na kuadhimisha tukio tukufu la mazazi ya Bibi Fatima Zahra (s.a).
-
Ayatullah A‘rafi: Hatua Zote Kuhusu Wahamiaji Zinapaswa Kuchukuliwa kwa Mtazamo wa Maadili na Uislamu
Ayatollah A'rafi aliashiria juu ya umuhimu wa uongozi maalumu katika masuala ya wahamiaji, akitaja mji wa Qom kuwa ni eneo lenye umuhimu mkubwa linalohitaji mpango thabiti wa kiutamaduni, usimamizi wa karibu, na juhudi za kudumisha utambulisho wa kidini na kijamii wa wahamiaji.
-
Sheikh Hemed Jalala na Sheikh wa Mkoa wa Tabora (BAKWATA) waonyesha: Matendo ya Hekima Yanayounganisha Watu na Kuimarisha Umoja wa Kiislamu
Kwa hakika, ziara hii ni kielelezo cha Uislamu wa kweli uliofundishwa na Mtume Muhammad (s.a.w.w.) - Uislamu wa upendo, udugu, na umoja. Kama alivyonena Imam Ali (a.s.): "Kuweni walinganizi wa watu bila kutumia maneno yenu, bali kwa matendo yenu.” (Nahjul-Balagha, Hikma 31)
-
Maulana Sheikh Hemed Jalala Aendelea kuimarisha Umoja wa Waislamu Kupitia Ziara ya Kidini Nchini Tanzania
Katika moja ya sehemu za ziara yake, Maulana Sheikh Hemed Jalala alitembelea Mkoa wa Kigoma, ambapo alipokelewa kwa mapokezi mazuri kutoka kwa waumini na viongozi wa dini wa eneo hilo. Moja ya matukio muhimu katika ziara hiyo ni kukutana kwake na Sheikh wa Mkoa wa Kigoma (BAKWATA), Samahat Sheikh Hassan Kiburwa, katika ofisi za BAKWATA Mkoa wa Kigoma, ambapo viongozi hao wawili walifanya mazungumzo ya kina kuhusu maendeleo ya Uislamu, umoja wa Waislamu, na namna bora ya kuimarisha harakati za kidini nchini.
-
Mkutano wa Dharura wa Viongozi wa Nchi za Kiislamu na Jumuiya ya Kiarabu huko Doha:
Pezeshkian: Uvamizi dhidi ya Qatar ni shambulio dhidi ya diplomasia ya kimataifa / Umoja wa Waislamu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na uvamizi huu
Rais wa Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, akilaumu kitendo cha kigaidi na jinai cha utawala wa Kizayuni katika shambulio la mji mkuu wa Qatar siku za hivi karibuni, alisema: “Kwa bahati mbaya, magaidi wanaotawala Tel Aviv, wakijiona hawana hatia baada ya udanganyifu wa aina ile ile kwenye diplomasia Juni 2025 na kuanzishwa kwa vita vya uvamizi dhidi ya watu wa nchi yangu, walijitahidi zaidi.”
-
Sheikh Zakzaky aonya kuhusu kampeni dhidi ya nchi za Kiislamu, atoa wito wa mshikamano
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sayyid Ibraheem Zakzaky, alitoa hotuba ya kufunga Wiki ya Umoja mjini Abuja siku ya Jumatano.
-
Burundi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W.W) Yafanyika Kwa Ustadi Mkubwa Katika Husainiyya ya Jumuiya ya Khoja
Washiriki wa Sherehe hiyo pia walimuenzi Mtume Mtukufu (S.A.W.W) kwa heshima kubwa, na walieleza haja ya mshikamano, maelewano, na Umoja wa Umma wa Kiislamu katika kukabiliana na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Mkuu wa Mahusiano ya Kigeni wa Hizbullah ya Lebanon: Umoja wa Kiislamu ni dhamana ya ushindi wa Umma dhidi ya utawala wa Kizayuni
Mkuu wa Mahusiano ya Kigeni na Mjumbe wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja wa Kiislamu na kufuata mafundisho ya Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w) kuhusu huruma na uongofu, akieleza juu ya juhudi endelevu za maadui katika kuharibu sura ya Uislamu.
-
Rais wa Dar al-Iftaa ya Iraq asema:
“Ndio kwa Umoja wa Waislamu, ‘Hapana’ kwa Ubeberu wa Dunia”
Sheikh al-Sumayda‘i katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja alisema: "Lazima tuseme 'Ndio' kwa umoja wa Waislamu na, kwa kukataa ubeberu wa kimataifa, tuseme 'Hapana' kwa Magharibi na mabeberu."
-
Kutoka kwenye Kampeni ya "Ziara kwa Njia ya Mbali" hadi Kuachiwa kwa Wafungwa: Maandalizi ya Wiki ya Umoja Mkoani Gilan
Sheikh Hujjatul Islam wal-Muslimin Mujtaba Ashjari, Mwenyekiti wa Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu mkoa wa Gilan, amesema kuwa wiki ya Umoja itashuhudia mfululizo wa shughuli za kiroho, kijamii na kusaidia wahitaji, ikiwa ni pamoja na kampeni za ibada, misafara ya furaha, utoaji wa misaada kwa familia zisizojiweza, na kusaidia wanafunzi masikini.
-
Arubaini Iwe Sauti ya Umoja wa Kiislamu na Upinzani (Muqawamah) Dhidi ya Ubeberu na Uistikbari wa Kimataifa - Rais wa Waqfu Iran
“Arubaini ya mwaka huu inapaswa kuleta tumaini kwa Waislamu na kuwavunja nguvu maadui. Umoja ndiyo njia ya wokovu kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Bendera ya Mapambano dhidi ya mfumo wa kishetani lazima ibaki juu.”
-
Balozi wa Iran Nchini Kenya azungumzia: Kukuza Uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Kenya, Umoja wa Kiislamu na Mauaji ya Halaiki Ghaza
Mahojiano hayo yalitoa taswira ya msimamo wa Iran kuhusu masuala ya kimataifa na njia za kuimarisha ushirikiano na nchi za Kiafrika.
-
Imam wa Msikiti wa Imam Sadiq (as), Mauritania: "Israeli ni uvimbe wa saratani ambao lazima uondolewe kabisa | Umoja wa Kiislamu uko juu ya Madhehebu"
Kauli hii ya Imam huyu inasisitiza umuhimu wa mshikamano wa Waislamu kote duniani, kwani umoja wa kweli unapaswa kuvuka mipaka ya tofauti za madhehebu na kuwa na lengo moja la kutetea haki na kuondoa dhuluma na udhalimu.
-
Leo tuko katika vita kamili -vya jumla- kati ya Imani na Ukafiri |Wito wa uhamasishaji wa Vyombo vya Habari na Ubainishaji Mzuri ili Kutetea Mapinduzi
Leo hii, ndio maana tunaona kila mtu ulimwenguni akifurahi kwamba Israeli inapigwa na Makombora ya Iran. Pia tunaona umoja wa kitaifa ndani ya nchi, ambapo kila mtu analaani hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yetu, isipokuwa watu wachache wabaya na waliolaaniwa ambao hata majina yao hayaruhusiwi kutamkwa na kutajwa.
-
Mwanazuoni wa Kishia wa Pakistani:
Uungaji mkono wa Serikali ya Pakistan kwa Iran ni hatua ya kijasiri na ya kupongezwa
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amepongeza uungaji mkono wa serikali ya Pakistan kwa Iran dhidi ya mashambulizi ya Israel na ameitaja hatua hiyo kuwa ya kijasiri na ya kupongezwa na kuzitaka nchi za Kiislamu kuchukua misimamo thabiti dhidi ya uvamizi wa Wazayuni.