Ghaza
-
Saudi Arabia Yaacha Mpango wa Mahusiano ya Kawaida na Israel Baada ya Vita vya Ghaza
Baada ya vita vya Ghaza, Saudi Arabia imeacha mpango wa kawaida wa mahusiano na Israel. Karibu asilimia 99 ya Wasaudi wana mtazamo hasi kuhusu amani na Israel. Mohammed bin Salman amesisitiza kuwa hakuna makubaliano yoyote yatakayofanyika bila kuundwa kwa taifa huru la Palestina lenye mji mkuu Mashariki ya Jerusalem. Mabadiliko haya yanaonyesha athari za moja kwa moja za vita vya Ghaza kwenye sera za Riyadh na kuacha ahadi za Netanyahu za mahusiano ya haraka zikiwa zimeyumbishwa.
-
Harusi ya Umwagaji Damu Gaza: Mashahidi 6 na Majeruhi 5 katika Shambulio la Mizinga la Israel
Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeua mashahidi 6 Wapalestina na kuwajeruhi watu 5 wengine, baada ya kulipua kwa mizinga kituo cha hifadhi kilichopo mashariki mwa Jiji la Gaza, wakati wa hafla ya harusi.
-
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu yakataa ombi la Israel la kusitisha uchunguzi wa vita vya Gaza
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Jumatatu usiku ilikataa pingamizi la kisheria na ombi la rufaa la utawala wa Kizayuni wa Israel, na hivyo kuweka wazi njia ya kuendelea na uchunguzi wa uhalifu wa kivita unaofanywa na utawala huo katika Ukanda wa Gaza.
-
Uchambuzi wa ramani ya Israel: Kutoka Ghaza na Ukanda wa Magharibi hadi Syria katika kivuli cha ukimya na Vita Baridi
Baada ya tangazo la mapumziko ya silaha, umakini wa kimataifa kwa Ghaza ulipungua, na kuipa Israel nafasi ya kuchukua hatua bila shinikizo lolote la kweli. Uchambuzi huu unaisha kwa onyo kwamba kimya cha kimataifa kinachoendelea hakiondoi uwezekano wa mlipuko wa hali hiyo, bali kinariongeza.
-
Mwigizaji wa Australia Aukosoa Vikali Utawala wa Kizayuni kwa Kutojali Maisha ya Wapalestina
Amesema: “kila siku nashuhudia dharau na kutojali maisha ya Wapalestina kwa upande wa Waisraeli,” akieleza kuwa mwenendo huo ni “wa aibu” na kwamba wale wanaotekeleza “matendo haya mabaya” wanairudisha nyuma ubinadamu kila siku.
-
Picha kuhusu mradi wa fani ya ushonaji kwa ajili ya Palestina katika Msikiti wa Afrika Kusini
Baadhi ya wanaharakati na wafuasi wa Palestina nchini Afrika Kusini wanashona vipande vya kitambaa vyenye rangi za bendera ya Palestina, kuunda kazi ya ishara ya kumbukumbu kwa watoto waliopoteza maisha katika vita vya Ghaza. Kazi hii itafunguliwa rasmi mnamo tarehe 29 Novemba, Siku ya Kimataifa ya Umoja na Palestina.
-
Mufti wa Oman ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kusimama imara dhidi ya ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano Ghaza na Israeli
Sheikh Ahmed bin Hamad Al-Khalili, Mufti Mkuu wa Oman, kwa kushangaza hatua za utawala wa Kizayuni za kuvunja makubaliano ya kusitisha mapigano Ghaza, kupitia tamko lililotolewa, aliwahimiza jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kulazimisha utawala wa Kizayuni kuheshimu makubaliano na kudumisha amani ya kusitisha mapigano.
-
Kiongozi wa Harakati ya Hamas: Ghaza imejeruhiwa lakini imebaki yenye nguvu; Ummah wa Kiarabu unapaswa kuimarisha uwezo wake wa upinzani
Kiongozi wa Harakati ya Hamas, katika Ukanda wa Ghaza, katika Kongresi ya 34 ya Taifa ya Kiarabu huko Beirut, alieleza kuwa Operesheni “Tofaan Al-Aqsa / Kimbunga cha Al-Aqsa” ilikuwa jibu kwa juhudi za kuondoa suala la Palestina na kubuni Mashariki ya Kati mpya, na alisisitiza uhitaji wa kuimarisha uwezo wa upinzani.
-
Hamas Yaweka Mikakati ya Kuimarisha Uwepo Wake Gaza
Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani, Hamas pia imewateua magavana wapya watano wenye uzoefu wa kijeshi kusimamia maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza, huku baadhi ya wapiganaji wake wakiwa tayari wametumwa kutekeleza majukumu hayo.
-
Mwandishi wa Kizayuni: Hamas bado ipo hai
"Wapiganaji wa Hamas wameonekana hadharani wakiwa wamevaa sare za kijeshi, jambo linalotoa ujumbe wazi kwa wale wote waliodhani kuwa vita vya miaka miwili vya Israel dhidi ya Hamas viliiangamiza, kwamba dhana hiyo imekuwa si sahihi, kwani Hamas imerejea tena kwa nguvu kwenye uwanja wa mapambano".
-
Msemaji wa Serikali ya Iran: Wale waliotekeleza uhalifu huko Ghaza wanapaswa kufikishwa mbele ya Mahakama
Msemaji wa serikali, huku akionyesha unga mkono kwa makubaliano ya kusitisha mapigano huko Ghaza, alisisitiza kuwa: kusitishwa kwa uhalifu wa utawala wa Israel huko Ghaza si mwisho wa safari, na wale waliotekeleza na waliyoamuru uhalifu huu wanapaswa kufikishwa mbele ya mahakama za kimataifa.
-
Kuanza kwa kuondoka kwa majeshi ya wavamizi (wa kizayuni) kutoka Ghaza
Baadhi ya maeneo ya Ukanda wa Ghaza yanashuhudia kuondoka kwa hatua kwa hatua kwa majeshi ya utawala wa Kizayuni na kuanza kwa kurejea kwa wakimbizi.
-
Maoni ya Velayati Kuhusu Kusitisha Mapigano (Vita) Huko Ghaza
Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameandika akirejea kusitishwa kwa mapigano huko Ghaza kwamba: “Kuanza kwa kusitishwa mapigano huko Ghaza kunaweza kuwa nyuma ya pazia la kumalizika kwa kusitishwa mapigano mahali pengine.”
-
Mkutano wa Dharura wa Viongozi wa Nchi za Kiislamu na Jumuiya ya Kiarabu huko Doha:
Pezeshkian: Uvamizi dhidi ya Qatar ni shambulio dhidi ya diplomasia ya kimataifa / Umoja wa Waislamu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na uvamizi huu
Rais wa Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, akilaumu kitendo cha kigaidi na jinai cha utawala wa Kizayuni katika shambulio la mji mkuu wa Qatar siku za hivi karibuni, alisema: “Kwa bahati mbaya, magaidi wanaotawala Tel Aviv, wakijiona hawana hatia baada ya udanganyifu wa aina ile ile kwenye diplomasia Juni 2025 na kuanzishwa kwa vita vya uvamizi dhidi ya watu wa nchi yangu, walijitahidi zaidi.”
-
Mkurugenzi wa Ofisi ya Habari ya Serikali ya Gaza katika mahojiano na ABNA:
"Kauli ya kujutia shambulio la Israel dhidi ya Hospitali ya Nasser si chochote ila ni uongo | Hali ya kibinadamu Gaza ni ya dharura sana"
Ismail Al-Thawabete amesema: kuomba radhi rasmi na kuanzisha uchunguzi na adui hakufuti wajibu wa kuthibitisha ukweli wala si sababu ya kutoshitaki. Uhalifu huu unahitaji kudai kufanyika kwa uchunguzi huru na wa wazi na chombo cha kimataifa kisichoegemea upande wowote, si kwa utawala wa kigaidi wa Israel.
-
Msemaji wa Jeshi la Yemen: "Tumeushambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion"
Operesheni za Yemen zitaendelea hadi vita na mzingiro dhidi ya Gaza utakapositishwa.
-
Balozi wa Iran Nchini Kenya azungumzia: Kukuza Uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Kenya, Umoja wa Kiislamu na Mauaji ya Halaiki Ghaza
Mahojiano hayo yalitoa taswira ya msimamo wa Iran kuhusu masuala ya kimataifa na njia za kuimarisha ushirikiano na nchi za Kiafrika.
-
Picha iliyochapishwa ya kuuawa shahidi kwa watoto wengine wawili katika milipuko ya leo ya Wazayuni
Utawala haram wa Kizayuni, ni utawala wa kinyama na wenye damu mikononi dhidi ya watoto wadogo wa Ghaza wasiokuwa na hatia. Utawala huu ni kansa katika eneo zima la Mashariki ya kati na dunia kwa ujumla.
-
Idadi ya waliouawa Gaza imefikia watu 54,880 | Hali ni mbaya sana na watu wengi wanahitaji msaada wa kibinadamu
Hali ya Gaza inaendelea kuwa mbaya kutokana na mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni. Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa ndani ya saa 24 zilizopita watu 108 wamepoteza maisha na wengine 393 wamejeruhiwa. Jumla ya waliofariki tangu kuanza kwa mashambulizi haya imezidi kufikia watu 54,000. Hali hii inahitaji mshikamano wa kimataifa ili kusitisha ukatili huu na kuanzisha mazungumzo ya amani.
-
Maandamano ya “Gaza” Islamabad: Hafidh Naeem atoa wito wa mgomo wa kitaifa na kususia bidhaa za Israel
“Tunaiheshimu nchi yetu, lakini tunataka kuwastua watawala ili wasimame na watu wa Palestina na Kashmir. Ummah wa Kiislamu umelala usingizi wa kutojali.”