Ulinzi
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Iran Imeshinda Vita
"Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali na watu wa Iran kwa ushindi huu".
-
Uungaji mkono wa vijana wa Fatimiyya kwa majeshi ya ulinzi ya Taifa la Iran, katika haramu tukufu ya Mwanamke wa Heshima, Hazrat Fatima Maasumah (sa)
Uungaji mkono Mkubwa kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unazidi kuonekana kila Kona ya Dunia katika Operesheni yake ya Ahadi ya Kweli 3.
-
Taarifa kutoka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuhusu Wimbi la 17 la Mashambulizi Mchanganyiko dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Vituo hivi vimekuwa kitovu cha uovu dhidi ya wadhulumiwa wa Gaza, Lebanon, Yemen, na pia katika vita vilivyowekwa kwa uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tangu Kimbunga cha Al-Aqsa kilipoanza.
-
Uchokozi wa Israel: Rais wa Iran aitaka Iraq kulinda mipaka yake, anga
Picha ya mchanganyiko inawaonyesha Rais wa Iran Masoud Pezeshkian (Kulia) na Waziri Mkuu wa Iraq Muhammad Shayya al-Sudani.
-
Kuangushwa kwa Ndege 10 za Kivita za Utawala wa Kizayuni katika Maeneo Tofauti ya Iran
Kamanda wa Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Khatam al-Anbiya(s), ametoa taarifa ya kuangushwa kwa ndege nyingi za kivita za utawala wa Kizayuni.
-
Madhimisho ya Miaka 14 ya "Kujihami Kutakatifu" ya Bahrain: Mwangaza wa Uhuru Usiozimika
Mnamo tarehe 12 Mei, Wabahrain wanasherehekea miaka 14 tangu kuanza kwa awamu ya "Ulinzi Takatifu" – harakati ya wananchi iliyozaliwa kutokana na upinzani wa kisiasa na kijamii. Harakati hii haikuwa tu jibu la dhuluma na ukandamizaji, bali pia ilikuwa ni hatua muhimu katika kutetea heshima, thamani za kidini na binadamu, na haki za kimsingi za raia wa Bahrain. Hii ilikuwa ni mapinduzi ya wananchi, na kwa miaka 14, inabaki kuwa kipengele muhimu katika historia ya mapambano ya watu wa Bahrain, ikionyesha nguvu ya umoja wa wananchi katika kukabiliana na ukandamizaji wa kisiasa na kijamii. Ulinzi Takatifu umejenga msingi wa mapambano ya kidemokrasia, na ingawa changamoto bado zipo, kumbukumbu hii inawakilisha azma na matumaini ya watu wa Bahrain katika kuendelea kutafuta haki na uhuru.