Ulinzi
-
Brigedia Jenerali Ibn al-Ridha: Vikwazo na Vita Vimekuwa Chachu ya Maendeleo ya Kiteknolojia ya Ulinzi Nchini Iran
Naibu Waziri wa Ulinzi na Msaada wa Majeshi ya Iran, Brigedia Jenerali Sayyid Majid Ibn al-Ridha, amesema vikwazo na vita vimekuwa miongoni mwa sababu zilizochochea maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika sekta ya ulinzi ya Iran.
-
Admirali Sayyari: Iran Ina Uwezo Kamili wa Kulinda Mipaka Yake ya Nchi Kavu na Bahari
Admirali Habibollah Sayyari amesema vikosi vya ulinzi vya Iran viko katika utayari kamili wa kulinda mipaka na mamlaka ya nchi, akisisitiza kuwa jaribio lolote la kuivamia Iran litashindwa na kujibiwa kwa nguvu.
-
IRGC Yatangaza Kuiangusha Ndege ya Marekani Isiyo na Rubani Aina ya MQ-9 Kusini mwa Iran
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limeiangusha ndege ya Marekani isiyo na rubani aina ya MQ-9 katika anga ya mji wa Khormuj, mkoani Bushehr, kufuatia kile ilichokitaja kuwa mashambulizi ya anga ya Marekani.
-
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran: Nchi za Kiislamu Lazima Zizuie Israel Kuchochea Mvutano Mashariki ya Kati
Waziri wa Ulinzi wa Iran (akikaimu), Brigedia Jenerali Majid Ibn al-Ridha, amesisitiza umuhimu wa kuanzishwa kwa mfumo wa pamoja wa kiusalama kati ya nchi za Kiislamu ili kuzuia utawala wa Israel kuchochea mivutano katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Wizara ya Ulinzi Iran Yatangaza Kusambaza Rasilimali Zake Kusaidia Waombolezaji wa Kiongozi Shahidi
Kwa mujibu wa msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Iran, Brigedia Jenerali Tala'inik, wizara hiyo imehamasisha uwezo wake wote katika miji ya Tehran, Qom na Mashhad ili kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi wanaoshiriki shughuli za mazishi ya kiongozi shahidi, ikiwemo huduma za kitabibu, kitamaduni na msaada wa kiutendaji.
-
Jeshi la Iran Latangaza Kusambaza Vikosi Maalumu vya Mwitikio wa Haraka Mipakani
Kamanda wa Vikosi vya Ardhini vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa vikosi vya mwitikio wa haraka, vikosi maalumu na vikosi vya mashambulizi vimepelekwa katika maeneo ya mipakani ili kuimarisha usalama na kuzuia vitisho vyovyote dhidi ya Iran.
-
Kiongozi wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (SAW): Vikosi vyetu vya ulinzi viko tayari kuimarisha mamlaka na usalama wa taifa
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (SAWW), Meja Jenerali Ali Abdullahi, amesema vikosi vya ulinzi vya Iran viko katika utayari wa hali ya juu kulinda usalama wa taifa, haki za wananchi na kukabiliana na vitisho vyovyote vinavyolenga nchi hiyo.
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (S) Yaionya Israel: Mashambulizi dhidi ya Lebanon Yakendelea, Iran Itajibu kwa Nguvu
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (S) yameionya Israel kwamba ikiwa itaendelea na mashambulizi dhidi ya kusini mwa Lebanon na kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano, itakabiliwa na jibu kali kutoka kwa Vikosi vya Wanajeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mohsen Rezaei: Trump Amekubali Kuachia Dola Bilioni 24 za Mali za Iran Zilizokuwa Zimezuiwa
Mwanachama wa Baraza la Kutambua Maslahi ya Taifa la Iran, Jenerali Mohsen Rezaei, amesema Rais wa Marekani Donald Trump amekubali kuachia dola bilioni 24 za mali za Iran zilizokuwa zimezuiwa, ingawa hataki kutangaza uamuzi huo hadharani.
-
IRGC: Hitilafu ya Mfumo wa Patriot Yasababisha Uharibifu wa Jengo la Abiria la Uwanja wa Ndege wa Kuwait
Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Hussein Mohabbi, amesema uchunguzi umebaini kuwa uharibifu wa jengo la abiria la Uwanja wa Ndege wa Kuwait ulisababishwa na hitilafu ya mfumo wa ulinzi wa Patriot wa Marekani baada ya kushindwa kuzuia makombora ya Iran, na si kutokana na shambulio la moja kwa moja la Iran.
-
Iran Yadungua Ndege ya Marekani Isiyo na Rubani Baada ya Kukiuka Anga ya Nchi Hiyo
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeripotiwa kudungua ndege ya Marekani isiyo na rubani aina ya MQ-1 Predator baada ya kuingia katika anga ya Iran, tukio lililotajwa kuwa ukiukaji wa makubaliano ya usitishaji mapigano.
-
Vifaa vya Kijeshi vya Iran Vyaoneshwa Katika Gwaride la Kijeshi Armenia
Rada ya Iran aina ya "Kavosh" pamoja na mizinga ya HM-40 vimeonekana katika gwaride la kijeshi nchini Armenia, jambo linaloashiria kuendelea kwa ushirikiano wa kijeshi kati ya Tehran na Yerevan.
-
Kaimu Waziri wa Ulinzi Iran: Taifa Limeshinda Kihistoria Dhidi ya Maadui Wake
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa wananchi wa Iran, kwa uungwaji mkono wa vikosi vya jeshi, wamefanikiwa kuwalazimisha maadui kupata “ushindi wa kihistoria”, akisisitiza pia umuhimu wa kuimarisha umoja wa Waislamu kupitia Eid al-Adha na msimu wa Hija.
-
IRGC: Ndege za Marekani za RQ-4 na F-35 Zalikimbia Baada ya Kujibiwa na Ulinzi wa Anga wa Iran
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kudungua ndege isiyo na rubani ya Marekani aina ya MQ-9 na kulazimisha ndege ya RQ-4 pamoja na ndege ya kivita ya F-35 kuondoka katika anga ya Iran baada ya kujibiwa na mifumo ya ulinzi wa anga. IRGC imeonya kuwa uvunjaji wowote wa usitishaji mapigano utakabiliwa na majibu makali ya kulipiza kisasi.
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan, Khawaja Muhammad Asif: "Pakistan haitasita kufanya mashambulizi ya anga ndani ya Afghanistan ikiwa itahitajika"
Khawaja Asif, Waziri wa Ulinzi wa Pakistan, ameeleza kuwa Islamabad haitakosa kufanyia mashambulizi ya anga ndani ya Afghanistan ikiwa itaona ni lazima, chini ya utawala wa Taliban. Alidai kwamba makundi ya silaha yanayofanya operesheni kutoka ardhi ya Afghanistan yanaingiliana katika mashambulizi dhidi ya Pakistan.
-
Maariv: Utoaji wa Onyo la Mabomu la Iran Linasababisha Washington Kusogeza Mazungumzo
Gazeti la Kizayuni Maariv linaripoti kwamba onyo la Iran kuhusu jibu la makali la kijeshi limechochea Washington kurudisha nyuma chaguo la kijeshi na kusogeza hatua kuelekea mazungumzo. Iran kwa sasa inatumia sera ya ukosefu wa uhakika wa kimkakati ili kuimarisha uwezo wake wa kuzuia mashambulizi na kuepuka mgongano mpya, huku ikipata uzoefu mkubwa katika kuvuka mifumo ya ulinzi wa anga ya Israeli na Marekani.
-
Wabunge wa Iran Wavaa Sare za IRGC, Bunge Latangaza Majeshi ya Ulaya kuwa Makundi ya Kigaidi
Wabunge wa Iran wamevaa sare za IRGC na kutangaza azimio la kuyachukulia majeshi ya Ulaya kama makundi ya kigaidi, ikiwa ni jibu la hatua ya Ulaya kulitaja Jeshi la Ulinzi wa Mapinduzi la Iran kuwa kundi la kigaidi.
-
Mkuu wa Usalama wa Ikulu wa Venezuela Afukuzwa / Na Kukamatwa kwa Tuhuma za Usaliti
Taarifa za kina kuhusu kinachoendelea Nchini Venezuela bado zinaendelea kutokea, na hali ya kisiasa nchini Venezuela iko wazi kwa mfululizo wa taarifa mpya zinazotoka zikitoa ufafanuzi wa kina juu ya kilichotokea kuhusiana na kusalitiwa na kutekwa kwa Rais wa Nchi hiyo.
-
Rais Samia Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JKT Zanzibar
Mazungumzo hayo yamezingatia masuala mbalimbali ya usalama, ulinzi wa taifa, na maendeleo ya majeshi, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya majeshi na wananchi katika kuhakikisha amani na utulivu wa taifa.
-
Afisa wa Zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani:
Hadithi ya Ulinzi Usio Penyeka wa Israel Yaporomoka kwa Makombora ya Iran / Nguvu ya Makombora Yageuka Tishio la Kwanza
Afisa wa zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Mark Fitzpatrick, amesema kuwa mashambulizi ya makombora ya Iran yamevunja dhana ya ulinzi usio penyezeka wa Israel na kubadilisha mizani ya kuzuiana, huku akibainisha kuwa mpango wa makombora wa Iran sasa umegeuka kuwa tishio la kwanza kwa Tel Aviv.
-
Katika siku ya mwisho ya likizo ya Hanuka kilichotokea ni;
Walowezi wa Kizayuni kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa
Walowezi wa Kizayuni leo asubuhi, siku ya Jumatatu, kwa ulinzi na msaada wa majeshi ya uvamizi wa Israel, waliuvamia ua wa Msikiti wa Al-Aqsa.
-
Kutua kwa Ndege ya Elfu Moja Iliyobeba Silaha katika Uwanja wa Ndege wa Ben-Gurion huko Tel Aviv
Ndege ya elfu moja iliyobeba silaha na rasilimali za kijeshi tangu kuanza kwa vita vya Gaza, kama sehemu ya daraja kubwa la anga la Israel, imepataja kwenye uwanja wa ndege wa Ben-Gurion.
-
Mkataba wa mabilioni kadhaa ya dola wa Israel kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa ngao ya Chuma (Iron Dome)
Wizara ya Ulinzi ya Israel imetiliana saini mkataba mkubwa na Kampuni ya Rafael ili kuongeza kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa makombora ya kukinga ya mfumo wa Iron Dome (Gombo la Chuma).
-
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu la Iran (IRGC):
Hadithi ya vita vya siku 12 iwe kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi
Jeshi la Mapinduzi la Kiislamu (IRGC) limeweka mkazo: Moja ya matukio makuu na yenye mafundisho muhimu katika historia ya kisasa, ambayo inaweza kuwa kipaumbele kwa wachapishaji na waandishi wenye ujuzi na uwezo wa nchi, ni Ulinzi Mtakatifu wa siku 12 dhidi ya vita vya kigaidi vilivyofanywa na muungano wa Marekani, utawala wa Kizayuni, na wafuasi wao wa Magharibi na wa kikanda.
-
Uchambuzi wa Jarida la Kizayuni Kuhusu Nguvu ya Makombora na Uwezo wa Kikanda wa Iran: Imara na Inaelekea Kwenye Uzuiaji wa Kisasa Zaidi
Yedioth Ahronoth: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ni miongoni mwa wachezaji wachache wa eneo hili wanaomiliki nguvu halisi ya kuzuia mashambulizi — uwezo ambao licha ya hasara za hivi karibuni, haujapungua bali unaimarika na kufafanuliwa upya.
-
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran:
“Vikosi vya ulinzi vya Iran vimewashinda majeshi ya NATO katika vita vya siku 12”
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran amesema: “Katika vita vya kujihami vya siku 12, tulisimama dhidi ya Marekani, utawala wa Kizayuni na jumla ya majeshi ya NATO. Kwa hakika, tuliwashinda wote wa NATO, jambo ambalo halijawahi kutokea.”
-
Sayyid Ali Khomeini: “Kama Ubalozi wa Marekani usingelivamiwa, leo tusingekuwa na Makombora wala ishati ya nyuklia"
Akiisisitizia kauli kwamba “uvamizi wa ubalozi wa Marekani uliimarisha uhuru wa Iran,” alisema: “Kama tukio hilo lisingetokea, leo hii Jamhuri ya Kiislamu isingekuwepo, na nchi yetu isingepata teknolojia ya makombora na nishati ya nyuklia, kwani Marekani ilikuwa inapinga maendeleo haya.”
-
Waziri wa Mambo ya Nje:
Ulinzi Usio wa Kijeshi lazima uwe makini na wenye umakini wa hali ya juu
Kauli hiyo imetolewa katika ujumbe wake maalum kwa mnasaba wa Wiki ya Kuheshimu Ulinzi Usio wa Kijeshi, ambapo amesema kuwa kipindi hiki ni fursa muhimu ya kueleza umuhimu wa mikakati na mipango ya kuongeza usalama, uimara, na kinga ya miundombinu ya taifa dhidi ya kila aina ya vitisho vya maadui.
-
Kikundi cha “Abu Shabab” Kusini mwa Ukanda wa Gaza kiko katika hali ya kusambaratika
Kikundi cha wanamgambo kinachoitwa “Abu Shabab” kiko karibu kabisa kuvunjika baada ya kupoteza msaada wa anga kutoka kwa Israel na kushambuliwa kwa mashambulizi ya kulipiza kisasi kutoka kwa Harakati ya Hamas.
-
Al-Rubaie: Hashd al-Shaabi ni Mwakilishi wa Makabila na Madhehebu yote ya Iraq
Mjumbe wa zamani wa Kamati ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq amesema kuwa Hashd al-Shaabi (Jeshi la Wananchi wa Iraq) ni mstari mwekundu kwao, kwani ni mali ya watu wote wa Iraq na linawakilisha makabila na madhehebu yote nchini humo.