Usalama
-
Iraq yakataa kuruhusu matumizi ya anga lake kwa mashambulizi dhidi ya Iran
Tamko la Iraq linaonyesha kuwa Iraq inalinda mamlaka yake na haitaki kuhusishwa na migogoro ya kijeshi katika eneo hilo, ikisisitiza sera ya kudumisha usalama na utulivu wa kikanda.
-
Mwendesha Mashtaka wa Tehran afungua mashtaka dhidi ya wanasiasa wanaounga mkono mikondo hasimu
Mwendesha Mashtaka wa Tehran ametangaza mashtaka dhidi ya baadhi ya wanasiasa kwa tuhuma za kushirikiana na Marekani na utawala wa Kizayuni, ambapo watu 4 wamekamatwa kwa madai ya kuchochea vurugu na kudhoofisha usalama wa ndani.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi Aongoza Ujumbe wa Mazungumzo na Marekani Muscat
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameongozana na ujumbe wake wa kidiplomasia kuelekea mjini Muscat, Oman, kwa ajili ya mazungumzo na Marekani. Mazungumzo hayo yanatazamwa kuwa na umuhimu mkubwa katika kujadili masuala ya nyuklia, vikwazo vya kiuchumi na usalama wa kikanda, kwa lengo la kufungua ukurasa mpya wa maelewano ya kisiasa.
-
Shahidi Sajad Zabihi: Alijitoa Muhanga Kulinda Usalama wa Wananchi wa Maeneo yenye uhitaji (Vijijini)
Wananchi na viongozi mbalimbali wamemuenzi Shahidi Zabihi kama shujaa wa taifa aliyesimama kulinda heshima, usalama na ustawi wa jamii. Tukio hilo limeacha huzuni kubwa, lakini pia limeongeza ari ya kulinda amani na mshikamano wa kitaifa.
-
Mkuu wa Usalama wa Ikulu wa Venezuela Afukuzwa / Na Kukamatwa kwa Tuhuma za Usaliti
Taarifa za kina kuhusu kinachoendelea Nchini Venezuela bado zinaendelea kutokea, na hali ya kisiasa nchini Venezuela iko wazi kwa mfululizo wa taarifa mpya zinazotoka zikitoa ufafanuzi wa kina juu ya kilichotokea kuhusiana na kusalitiwa na kutekwa kwa Rais wa Nchi hiyo.
-
Mkuu wa Polisi wa Iran Awaarifu Bunge Kuhusu Juhudi za Kudumisha Amani na Utulivu Nchini
Katika taarifa yake amewaeleza wabunge hatua na juhudi zinazochukuliwa na vyombo vya usalama na utekelezaji wa sheria ili kuhakikisha amani, utulivu na usalama vinaendelea kudumishwa nchini.
-
Rais Samia Afanya Mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JKT Zanzibar
Mazungumzo hayo yamezingatia masuala mbalimbali ya usalama, ulinzi wa taifa, na maendeleo ya majeshi, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya majeshi na wananchi katika kuhakikisha amani na utulivu wa taifa.
-
Wakala wa Mossad Akamatwa Iran Wakati wa Maandamano, Mtandao wa Ujasusi wa Mitandao ya Kijamii Wafichuliwa
Vikosi vya usalama vya Iran vimemkamata mtu anayedaiwa kuwa wakala wa Mossad wakati wa maandamano yanayoendelea, kwa tuhuma za kuendesha mtandao wa ujasusi kupitia Instagram. Mamlaka zinasema mtuhumiwa ana uhusiano na shirika lenye makao yake Ujerumani, huku uchunguzi ukiendelea kubaini ukubwa wa shughuli zake.
-
Mtaalamu wa masuala ya usalama: Kikosi cha mtandaoni (cyber) cha Taliban kinafanya shughuli zake kuanzia Ulaya hadi Marekani dhidi ya wakosoaji wao
Bismillah Taban, mtaalamu wa masuala ya usalama kutoka Afghanistan, anasema kuwa Taliban kwa kutumia akaunti bandia na zilizoandaliwa kwa uratibu katika maeneo mbalimbali ya saa duniani, wameanzisha vita vya kimfumo vya kuwachafua wapinzani wao, hasa wakosoaji wa Kishia na vyombo vya habari huru; mbinu ambayo kwa mtazamo wa wachambuzi ni mwendelezo wa sera ya ukandamizaji wa Taliban katika uwanja wa maoni ya umma.
-
Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel anatarajiwa katika kikao chake na Rais wa Marekani
Kuwasilisha chaguo mbalimbali za mashambulizi mapya yanayoweza kufanywa na Israel dhidi ya Iran, pamoja na kujadiliana kuhusu hali tofauti za kijeshi na athari zake kwa usalama wa kikanda.
-
Baghdad yafuatilia kuongezeka kwa uwepo wa ISIS
Wasiwasi wa kiusalama nchini Iraq kuhusu shughuli za ISIS mpakani na Syria umeongezeka, licha ya hatua kali za kiusalama, huku kukiwa na maonyo ya kiintelijensia na ongezeko la tahadhari.
-
Kashfa Yazuka Kuhusu Kujiingiza kwa Sara Netanyahu Katika Uteuzi wa Mkuu wa Mossad
Ingawa muungano wa utawala umepongeza uteuzi huo, ndani ya taasisi ya Mossad mwenyewe kuna mshangao mkubwa pamoja na maswali mengi mazito kuhusu uhalali na mchakato wa uteuzi huo.
-
Kusainiwa kwa Mkataba wa Amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda | Pichani ni Rais wa Congo na Rais wa Rwanda - Nyuzo za Furaha
DRC na Rwanda Zasaini Mkataba wa Amani: Hatua Mpya ya Kidiplomasia Kuelekea Utulivu wa Kikanda
-
Iran: Kukabiliana na ugaidi kunahitaji ushirikiano wa kikanda, hasa na Afghanistan
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran alitangaza kuwa makundi ya kigaidi hayapo tu nchini Afghanistan, bali yameenea katika nchi mbalimbali za eneo hilo. Alisisitiza kuwa kukabiliana na tishio hili kunahitaji ushirikiano wa pamoja wa nchi jirani, hasa Afghanistan.
-
Rais wa Majlisi ya Umoja wa Waislamu Pakistan atangaza wasiwasi juu ya ongezeko kubwa la mashambulizi ya kigaidi
Rais wa Majlis ya Umoja wa Waislamu nchini Pakistan, Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, ameonesha wasiwasi mkubwa kufuatia ongezeko la kasi la mashambulizi ya kigaidi katika wiki za hivi karibuni, akisisitiza kuwa mashambulizi haya si ya bahati mbaya, bali ni sehemu ya kampeni mahsusi inayolenga kuisukuma Pakistan kuelekea hali ya kutokuwa na utulivu.
-
Kabla ya Safari ya Bin Salman kwenda Washington;
Shinikizo la Israel kwa Trump: Kuanzisha Uhusiano wa Kawaida na Saudi Arabia ni Sharti la Uuzaji wa Ndege za Kijeshi za F-35
Vyanzo vinavyofahamu yamesema kwa tovuti ya «Axios» kwamba serikali ya Israeli, kwa kushinikiza serikali ya Donald Trump, imeweka sharti kwamba mauzo yoyote ya ndege za kijeshi za kisasa za F-35 kwenda Saudi Arabia yafanyike tu iwapo kuna «Uhusiano kamili wa kawaida wa Riyadh na Tel Aviv»; msimamo huu umetolewa kabla ya safari ya Bin Salman kwenda Washington.
-
Usalama wa kisaikolojia katika familia ya Kiislamu؛ mstari wa mbele wa vita vya kifikra
Katika wakati ambapo shambulio za kifikra zinachukua lengo la amani ya nyumbani, familia ya Kiislamu, kwa kuunganishwa kwa imani, upendo na mazungumzo, huunda ngome ya kwanza ya usalama wa kisaikolojia; ni mahali ambapo amani ya kiungu inasimama dhidi ya hofu zinazotokana na vyombo vya habari, na kiroho hubaki kuwa kimbilio la faraja na uhakika wa mioyo.
-
Gari yagongana na Kizuizi cha Usalama Mbele ya Ikulu ya White House + Picha
Maafisa wa Marekani wametangaza kuwa jioni ya Jumanne wamemkamata mwanaume mmoja baada ya gari lake kugongana na kizuizi cha usalama kilichoko mbele ya lango la kuingilia Ikulu ya White House.
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC): Tukivamiwa, tutawasha moto wa Jahannam dhidi ya wavamizi
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Meja Jenerali Mohammad Pakpour, katika mazungumzo na Qasim al-A’araji, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq, amesema kuwa: “Katika vita vya siku 12, tulishambulia kwa nguvu na usahihi mkubwa na tuliharibu malengo yote yaliyolengwa.”
-
Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq:
Hatukuruhusu wala hatutaruhusu anga ya Baghdad itumike dhidi ya Iran
Ali Larijani: “Hatukuruhusu, wala hatutaruhusu anga ya Baghdad au mipaka ya Iraq itumike dhidi ya Iran. Hatupaswi kuruhusu upande wowote kuvuruga usalama wa eneo hili.”
-
Hispania: Waislamu na wahamiaji wana jukumu muhimu katika uchumi na usalama wa kijamii
Serikali ya Hispania imeonyesha katika ripoti yake, huku ikikanusha imani za makundi ya mrengo wa kulia mkali, kwamba Waislamu na wahamiaji wameshiriki vizuri katika jamii ya nchi hiyo na wana mchango mkubwa katika uchumi na kuhakikisha usalama wa kijamii, ingawa bado wanakabiliana na ubaguzi katika baadhi ya maeneo kama upatikanaji wa makazi.
-
Iran Yajitolea kusimama Kati Katika Mvutano Kati ya Pakistan na Afghanistan
Wataalamu wa masuala ya kikanda wanasema kwamba mpatanishi wa tatu (Iran) anaweza kusaidia kupunguza hatari za mzozo mkubwa na kuimarisha ushirikiano na amani katika eneo hilo.
-
Katika mazungumzo ya simu kati ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Pakistan:
Araghchi alisema: “Azimio namba 2231 la Baraza la Usalama linapaswa kuchukuliwa kuwa limekamilika na kuhitimishwa kwa wakati uliopangwa.”
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, huku akishukuru msimamo wa uwajibikaji wa Pakistan katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kupinga matumizi mabaya ya nchi tatu za Ulaya, alisisitiza kwamba Azimio namba 2231 lazima, kwa mujibu wa masharti yake na maandiko ya makubaliano ya nyuklia (JCPOA), lichukuliwe kuwa limekamilika katika muda uliopangwa, yaani tarehe 26 Mehr 1404 (18 Oktoba 2025).
-
Ismail Baghaei – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran:
Amesema kuwa taarifa ya Kundi la G7 kuhusu kurejesha vikwazo vya Baraza la Usalama dhidi ya Iran ni ya kinafiki na yenye upotoshaji.
Ismail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, amelaani na kulikemea tamko la Kundi la G7 kuhusu suala la nyuklia la Iran, akilitaja kuwa ni la kinafiki na kupotosha ukweli.
-
Hasira ya Viongozi wa Kizayuni Kufuatia Hatua ya Uingereza, Australia na Canada Kutambua Nchi ya Palestina
Hatua ya nchi tatu — Uingereza, Australia na Canada — kutambua rasmi nchi huru ya Palestina, imeibua hasira na ghadhabu kubwa miongoni mwa viongozi wa utawala wa Kizayuni.
-
Upigaji kura wa leo katika Baraza la Usalama kuhusu kurejesha vikwazo dhidi ya Iran
Uanzishaji wa ‘mfumo wa kichocheo’ (Snapback mechanism / Triger Machanism) na Ulaya umeiweka Baraza la Usalama katika hali nyeti; ambapo kupinga azimio jipya kunamaanisha kurejea kwa vikwazo vyote dhidi ya Iran.
-
Kuanza kwa Operesheni ya Kijeshi Katika Bonde la Al-Shay, Kirkuk kwa Lengo la Kuangamiza Maficho ya ISIS
Vyanzo vya usalama vya Iraq vimetangaza kuwa operesheni maalum ya kijeshi imeanza katika sehemu ya mashariki ya Bonde la Al-Shay, karibu na mji wa Kirkuk.
-
Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq alisema:
"Hatutaruhusu mtu yeyote kuzungumza kuhusu kuvunjwa kwa Hashd al-Shaabi"
Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq alitangaza:Hatutaruhusu Marekani au wengine kuzungumza nasi kuhusu kuvunjwa kwa Hashd al-Shaabi.
-
Kutoka kwa Udanganyifu wa Shetani hadi Mapambano ya Gaza: Nafasi ya Vyombo vya Habari Katika Kufichua Ukweli
Vyombo vya habari vya upinzani vimefanikiwa kugeuza mapambano ya Palestina kutoka katika simulizi ya ndani hadi kuwa gugufumu wa kimataifa wa haki. Kwa kutumia mbinu za kisasa na uelewa wa kihistoria, vyombo hivi vimeweza kuibua mwamko wa umma wa dunia – na jukumu hili linahitaji kuimarishwa kila siku kwa nguvu, mshikamano na ukweli.
-
JMAT Yatangaza Mafunzo ya Msingi ya Itifaki na Ustaarabu (J-PEC) Jijini Dar es Salaam
Taarifa zinaeleza kuwa, mafunzo hayo yatafanyika kuanzia tarehe 16 – 18 Septemba 2025, katika Ukumbi wa Nefaland Hotel Hall, Manzese – Argentina, Dar es Salaam, kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni kila siku.