Waziri Mkuu
-
Waziri Mkuu Dkt.Mwigulu Nchemba Afungua Skuli ya Sekondari Chukwani Zanzibar Katika Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi +Picha
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefungua rasmi Skuli ya Sekondari Chukwani Zanzibar iliyogharimu shilingi bilioni 6.1, katika maadhimisho ya miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, akisisitiza umuhimu wa uwekezaji katika elimu kwa maendeleo ya taifa.
-
Netanyahu Aomba Msaada wa Urusi Kutuliza Iran Kuhusu Hofu ya Mashambulizi
Inadaiwa kuwa Netanyahu alimwomba Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kufikisha ujumbe huo kwa viongozi wa Iran.
-
Zaher Al-Mahrouqi katika mahojiano na ABNA:
Mfano wa Somaliland utaenea kwa nchi nyingine / Taa ya kijani kwa hatua hii italigharimu eneo kwa gharama kubwa za kiusalama!
Mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Oman, katika mahojiano na ABNA, ameielezea hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland kuwa ni jaribio hatari la kulazimisha uhalisia mpya dhidi ya wananchi wa Palestina. Alisisitiza kuwa uamuzi huu si tu ukiukaji wa wazi wa haki za Wapalestina, bali pia unaweza kutathminiwa kuwa sehemu ya mradi wa kuliondoa Gaza wakazi wake na kufanya uhandisi wa idadi ya watu katika eneo.
-
Katika kumbukumbu maalumu ilielezwa;
Mahmoud Al-Hashimi: Hoja 23 Muhimu Kuhusu Mradi wa Kiamerika wa “Kuhodhi Silaha Mikononi mwa Serikali”
Mchambuzi wa masuala ya Iraq, katika kumbukumbu maalumu kwa Shirika la Habari la ABNA, aliandika: “‘Kuhodhi silaha mikononi mwa serikali’ kunahitaji kuwepo kwa serikali halisi; lakini ni vipi raia wa Iraq anaweza kuamini kuwepo kwa serikali kama hiyo, ilhali wabunge wengi wa Bunge la Taifa, chini ya shinikizo la Marekani, waliondoka kwenye ukumbi wa Bunge ili kuzuia upigaji kura kuhusu sheria ya Hashd al-Shaabi?”
-
Sheikh Dr.Alhad Mussa Salum | Cheti cha Heshima Kwa Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Kassim Majaliwa ni Taswira Halisi ya "Falsafa ya Upendo na Umoja wa Kudumu"
Kulinda na kuendeleza upendo na umoja ni jukumu la kila mwanajamii - kwa maneno, kwa matendo na kwa maamuzi - ili kujenga mustakabali wenye matumaini, mshikamano na heshima kwa utu wa binadamu.
-
Habari Kuhusu Makubaliano ya “Mfumo wa Uratibu wa Vyama vya Kishia Iraq” Juu ya Mgombea wa Uwaziri Mkuu
Vyanzo vya kisiasa vya Iraq vimeripoti kuwepo kwa makubaliano ya awali miongoni mwa vyama vinavyounda muungano wa “Mfumo wa Uratibu wa Vyama vya Kishia Iraq” kuhusu uteuzi wa mgombea wa kuongoza serikali ijayo ya nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Hungary, Viktor Orban Awatuhumu Viongozi wa EU Kuhusu Mpango wa Kutwaa Mali za Russia: “Hii Ni Sawasawa na Tangazo la Vita”
Orban ameonya kuwa tishio la Vita Vikuu vya Tatu vya Dunia linazidi, na kwamba “waliberali wa Ulaya wanaounga mkono vita” wanapinga mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Russia.
-
Onyo la Profesa wa Chuo Kikuu cha Australia kuhusu wimbi la chuki dhidi ya Uislamu baada ya tukio la kigaidi la Sydney
Mark Kenny, Profesa wa Masomo ya Australia katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Australia (Australian National University), ameonyesha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa hatari ya chuki dhidi ya Uislamu baada ya shambulio la Sydney na kutoa onyo kuhusu suala hilo.
-
Rais wa Taasisi ya Tafiti za Kistratejia “Naba’” ya Iraq katika mazungumzo na ABNA:
Uamuzi wa mwisho ni wa Iraq, si wa Marekani / Mfumo wa Uratibu wa Kishia una mkono wa juu
Sambamba na kuongezeka kwa harakati za kisiasa kwa ajili ya kubainisha muundo wa serikali ijayo ya Iraq, Hashim Al-Kandi ameeleza kurejea kwa mshikamano wa Mfumo wa Uratibu wa Kishia, kuundwa kwa kamati maalumu za kumchagua Waziri Mkuu, pamoja na kukaribiana kwa mikondo ya Kisunni na Kikurdi, na kusisitiza kuwa hakuna kikwazo kikubwa katika njia ya kuunda serikali.
-
Kauli za Waziri wa Denmark Kuhusu Mpango wa Kupiga Marufuku Adhana katika Maeneo ya Umma
Stoklund, huku akikiri kuwa suala la adhana nchini Denmark kwa sasa ni “dogodogo sana,” alisisitiza kuwa kuchunguza uwezekano wa kuipiga marufuku kisheria kunachukuliwa na serikali kama hatua ya “tahadhari ya mapema.”
-
Kashfa Yazuka Kuhusu Kujiingiza kwa Sara Netanyahu Katika Uteuzi wa Mkuu wa Mossad
Ingawa muungano wa utawala umepongeza uteuzi huo, ndani ya taasisi ya Mossad mwenyewe kuna mshangao mkubwa pamoja na maswali mengi mazito kuhusu uhalali na mchakato wa uteuzi huo.
-
Kabla ya Safari ya Bin Salman kwenda Washington;
Shinikizo la Israel kwa Trump: Kuanzisha Uhusiano wa Kawaida na Saudi Arabia ni Sharti la Uuzaji wa Ndege za Kijeshi za F-35
Vyanzo vinavyofahamu yamesema kwa tovuti ya «Axios» kwamba serikali ya Israeli, kwa kushinikiza serikali ya Donald Trump, imeweka sharti kwamba mauzo yoyote ya ndege za kijeshi za kisasa za F-35 kwenda Saudi Arabia yafanyike tu iwapo kuna «Uhusiano kamili wa kawaida wa Riyadh na Tel Aviv»; msimamo huu umetolewa kabla ya safari ya Bin Salman kwenda Washington.
-
Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Atoa Maagizo Mazito: Wajawazito Kuhudumiwa Kwa Haraka na Dawa Kupatikana Hospitalini
Waziri Mkuu amewahakikishia wananchi kuwa Serikali imewekeza fedha nyingi kupitia Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya: a) Vifaa tiba, b) Dawa, c) Na maboresho ya miundombinu ya afya.
-
Waziri Mkuu wa Lebanon: Israel lazima iondoke kwenye ardhi yetu
Wito wa kuimarisha jeshi la Lebanon: Waziri Mkuu Salam aliendelea kusisitiza kuwa: “Utekelezaji wa sera ya serikali ya kuhakikisha silaha zinakuwa mikononi mwa dola pekee — iwe kusini au kaskazini mwa Mto Litani — unategemea kuharakishwa kwa misaada ya kijeshi kwa jeshi la Lebanon na vikosi vya usalama wa ndani.”
-
Netanyahu: Uwepo wa Uturuki Gaza ni mstari mwekundu kwa Israel
Vyombo vya habari vya Israeli vimereport kuwa Binyamin Netanyahu amekataa kabisa hatua yoyote ya Uturuki kushiriki katika Ardhi ya Ukanda wa Gaza.
-
Malta Yaitambua Rasmi Palestina
Malta imetangaza kuwa leo itaikubali rasmi Palestina kama taifa huru.
-
Waziri Mkuu wa Iraq amewataka raia kushiriki katika uchaguzi ujao
Waziri Mkuu wa Iraq, akiwaonya kuhusu athari za kususia uchaguzi wa bunge, alisisitiza kuwa kutoshiriki kwa wananchi kutatoa nafasi kwa mafisadi na maadui wa maslahi ya taifa.
-
Netanyahu: "Tutaendelea Kuwalenga Viongozi wa Hamas"
Kiongozi wa serikali ya Kizayuni (Israel) katika mkutano wa waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, alitetea shambulio la uvamizi la taifa hilo dhidi ya Qatar lililolenga kuuwa viongozi wa Hamas, na hakukatisha nafasi ya kuonyesha kuwa shambulio kama hilo linaweza kurudiwa dhidi ya nchi nyingine za eneo.
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Ayatullah Dori Najafabadi kwa Watu wa Yemen: "Ushujaa wa Mashahidi Utaimarisha Umoja Dhidi ya Adui wa Kizayuni"
Ninawapa pole familia za mashahidi hawa wapendwa na wananchi wote wa Yemen. Tunawakumbuka mashahidi wote wa Uislamu: kuanzia mashahidi wa tukio la Fakh, mashahidi wa Palestina, Lebanon, na mashahidi wetu wa Iran kama vile Shahidi Qassem Soleimani na wengine.
-
Jumuiya ya Al-Wefaq: Mkutano wa Waziri Mkuu wa Bahrain na Balozi wa Israeli ni “Dhalili ya Kuanguka kwa Diplomasia”
Jumuiya ya Al-Wefaq imeelezea mkutano wa Waziri Mkuu wa Bahrain na balozi wa utawala wa Kizayuni kama ishara ya kushindwa kwa diplomasia na kuendelea kwa sera ya kawaida za kawaida bila kuzingatia vipengele vya kibinadamu na kidini, na kuwatuhumu viongozi wa Bahrain kushiriki kwa kimyakimya katika “uchumi wa mauaji ya kimbari.”
-
Mwanamke Mmoja akamatwa kwa tuhuma za kujaribu kumuua Netanyahu
Duru za Israel zimeripoti kukamatwa kwa Mwanamke mmoja kwa tuhuma za kujaribu kumuua Waziri Mkuu wa utawala huo haram wa kizayuni.
-
Waziri Mkuu wa Uingereza ametuma salamu za pongezi kwa Waislamu kwa mnasaba wa Sikukuu ya Eid al-Adha
Baadhi ya viongozi wa kisiasa wa Uingereza, wakiwemo Waziri Mkuu wa nchi hiyo, wametuma salamu za pongezi kwa Waislamu wa Uingereza na ulimwenguni kote kwa mnasaba wa Sikukuu ya Eid al-Adha.
-
Hasira za Wafuasi wa Uzayuni Kufuatia Matokeo ya Uchaguzi wa Canada / Mark Carney na Msimamo Wake wa Kizayuni Dhidi ya Palestina
Matokeo ya uchaguzi wa karibuni nchini Canada yamezua ghadhabu miongoni mwa wafuasi wa utawala wa Kizayuni, hasa baada ya ushindi wa Mark Carney, mwanasiasa ambaye anajulikana kwa msimamo wake wa kihafidhina zaidi kuhusu suala la Palestina. Mabadiliko haya katika mwelekeo wa siasa za Canada yamewafanya baadhi ya wafuasi mashuhuri wa Kizayuni kuonesha hali ya kukata tamaa, huku wakitoa ukosoaji mkali dhidi ya mazingira mapya ya kisiasa yanayoweza kuathiri uhusiano wa karibu wa Canada na Israel.Hofu kuu ya makundi hayo ni kwamba sera mpya zinaweza kupunguza uungaji mkono wa wazi kwa Israel, na kufungua nafasi kwa mijadala mikali zaidi kuhusu haki za Wapalestina katika siasa za ndani na nje ya Canada.
-
Netanyahu amesafiri njia ndefu kutoka Budapest hadi Washington ili kukwepa kukamatwa
Vyombo vya habari vya Israel vimetangaza leo kwamba kutokana na hati ya kukamatwa iliyotolewa dhidi ya Waziri Mkuu wa utawala huu, ndege iliyombeba ilibidi ichukue njia ndefu zaidi kuelekea Washington.
-
Vyombo vya Habari na kuhalalisha uchokozi wa utawala wa Kizayuni / Kutoka Mlima Hermoni huko Syria hadi kilele cha juu kabisa cha Israeli!
Baada ya kuporomoka kwa utawala wa Bashar al-Assad, utawala wa Kizayuni ulipanua maendeleo yake na kuteka maeneo zaidi ya Syria. Mojawapo ya shabaha kuu za maendeleo haya daima imekuwa Mlima Hermon, wenye urefu wa kimkakati ambao una nafasi maalum katika milinganyo ya kijeshi ya eneo hilo.