Ujumbe
-
Kiongozi wa Iran: Ukiukaji wa Marekani unathibitisha saini yake haina thamani; Iran ina masomo yasiyosahaulika kwa adui
Katika ujumbe kuhusu kuaga kwa kishujaa kwa Kiongozi shahidi wa Iran, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Sayyid Mojtaba Khameni amesema kuwa ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa makubaliano yaliyosainiwa kati ya marais wa Iran na Marekani umeonyesha tena kuwa saini ya rais wa Marekani haina thamani. Amesema pia kuwa Iran na mhimili wa muqawama wana masomo yasiyosahaulika kwa adui, kama ilivyoonekana kupitia ujasiri wa wapiganaji na uhodari wa wananchi wa maeneo ya kusini.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Kumuaga Shahidi Mkuu wa Iran Kulikuwa Tukio la Kihistoria na Mwamko Mkubwa Usio na Mfano
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza wananchi wa Iran kwa kuandaa tukio kubwa la kihistoria la kumuaga shahidi mkuu wa Iran, akisema kuwa ushiriki wa makumi ya mamilioni ya wananchi umeonesha kiwango kipya cha utambulisho wa Kiislamu na Kiirani, uaminifu, uelewa na upendo mkubwa kwa kiongozi wa Umma wa Kiislamu na kiongozi shahidi wa Mapinduzi.
-
Pakistan Yaonya Iran: Mashambulizi Dhidi ya Saudi Arabia ni “Mstari Mwekundu”
Pakistan imewasilisha ujumbe kwa Iran kwamba mashambulizi dhidi ya Saudi Arabia, yakiwemo mashambulizi yanayofanywa na harakati ya Ansarullah ya Yemen, yatachukuliwa kuwa mashambulizi dhidi ya Pakistan. Onyo hilo linakuja huku Islamabad ikihofia kuvutwa katika mzozo mpana kati ya Marekani, Iran na washirika wao wa kikanda.
-
Kumbukumbu ya Shahidi Sayyid Ali Khamenei | Ikhlasi kwa Mwenyezi Mungu Ndiyo Siri ya Athari ya Kudumu
Ujumbe huu unaotolewa katika mnasaba wa kumbukumbu ya Shahidi Ali Khamenei unasema hivi kuwa "Ikhlasi kwa Mwenyezi Mungu ndiyo msingi wa kudumu kwa matendo mema", huku ukisisitiza kwamba athari ya kweli huzaliwa na nia safi ya kumtumikia Allah (swt).
-
Ayatollah Araki Akihutubia Vijana Duniani:
“Kumwaga damu ya Trump, Netanyahu na washirika wao ni ‘wajibu’; vijana wenye ari duniani kote watekeleze hukumu ya Mwenyezi Mungu”
Ayatollah Araki amesisitiza kwamba: “Ujumbe wa Kiongozi Mkuu na mpendwa kuhusu kulipiza damu ya Imam shahidi na mashahidi wote ni amri ya ‘wajibu wa kutii’. Na kwa wale wote wanaoweza kwa namna yoyote kuchangia katika kutekelezwa kwa jambo hilo, ni wajibu kuchukua hatua zinazohitajika haraka.”
-
Vyombo vya Habari vya Kiarabu Vyaupa Uzito Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu; Vasisitiza Ulipizaji wa Damu na Kuendelea kwa Muqawama
Vyombo vya habari mashuhuri vya eneo hilo kutoka Lebanon, Iraq, Yemen, Palestina, Qatar na Saudi Arabia, vimeripoti kwa upana ujumbe wa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, uliotolewa baada ya kumalizika kwa ibada kubwa ya mazishi ya Kiongozi huyo aliyefariki akiwa shahidi. Vyombo hivyo vimeutaja ujumbe huo kuwa ni ishara ya kuanza kwa hatua mpya katika uongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu. Miongoni mwa mambo makuu yaliyoangaziwa katika taarifa hizo ni pamoja na kusifiwa kwa ushiriki wa kihistoria wa wananchi, uhusiano kati ya Mapinduzi ya Kiislamu na harakati ya Ashura, kuendelea kwa mbele ya Muqawama (upinzani dhidi ya dhuluma), pamoja na kusisitizwa kwa ulipizaji wa damu za mashahidi wa vita vya hivi karibuni.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia Awasili Mashhad Kutoa Rambirambi kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Indonesia, ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje pamoja na viongozi wa kisiasa na wanazuoni wa Kiislamu, umewasili katika mji mtakatifu wa Mashhad kwa ajili ya kutoa pole kufuatia kuuawa shahidi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Iran Yalaani Katika Baraza la IMO Mashambulizi ya Marekani Dhidi ya Miundombinu ya Bahari ya Nchi Hiyo
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani katika mkutano wa Baraza la Shirika la Kimataifa la Bahari (IMO) mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya bandari, maeneo ya pwani na miundombinu ya bahari ya Iran, ikiyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na tishio kwa usalama wa raia na usafiri wa baharini.
-
Mwandishi wa Al-Wifaq: Sayyid Ali Khamenei ameanza ukurasa mpya katika nyoyo za wafuasi wake
Mwandishi wa jarida la Al-Wifaq amesema kuwa kwa wafuasi wake, Shahidi Sayyid Ali Khamenei si kiongozi aliyemaliza maisha yake, bali ni fikra na mradi unaoendelea kuishi katika nyoyo na dhamira za Umma.
-
Msanii wa Iran: Shahidi Sayyid Ali Khamenei alitupanda ndani yetu mapenzi ya sanaa na ukweli
Msanii wa Iran Hussein Esmati amesema kuwa kufariki shahidi kwa Sayyid Ali Khamenei kumewaathiri kwa kina wasanii wa Iran, jambo lililoonekana katika kazi nyingi za kisanii zinazoakisi maombolezo, mapenzi na maadili aliyoyasimamia.
-
Mkuu wa Mhimili wa Mahakama Awashukuru Waombolezaji wa Mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatollah Sayyid Ali Khamenei
Mkuu wa Mhimili wa Mahakama wa Iran amesema mahudhurio ya mamilioni ya wananchi katika mazishi ya Kiongozi Shahidi Ayatollah Sayyid Ali Khamenei yameandika ukurasa mpya wa historia ya mshikamano, heshima na uimara wa taifa la Iran.
-
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Kuwawajibisha Wauaji wa Kigaidi Kutafanyika kwa Mkakati wa Busara
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Reza Aref, amesema kuwa madai ya wananchi ya kuwawajibisha waliotekeleza mashambulizi ya kigaidi ni haki ya kisheria na yatatekelezwa kwa busara na mkakati wa kimkakati.
-
“Diplomasia ya Aya”: Aya za Qur'ani zilizosomwa katika marasimu ya mazishi ya Kiongozi Shahidi Imam Sayyid Ali Khamenei zavutia hisia za wengi
Katika marasimu ya kuuaga mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Sayyid Ali Khamenei (Quds Sirruh), uteuzi wa Aya za Qur'ani Tukufu zilizosomwa kwa kila ujumbe wa wageni waliotoa salamu za rambirambi ulivutia hisia za wengi, huku kila Aya ikionekana kubeba ujumbe maalumu wa kisiasa, kiitikadi na kiroho.
-
Qalibaf Akutana na Spika wa Bunge la Iraq Pembeni ya Shughuli za Maombolezo Tehran
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amekutana na Spika wa Bunge la Iraq, Heibat Al-Halbousi, aliyefika Tehran akiwa na ujumbe wa wabunge kushiriki katika shughuli za maombolezo na kuaga kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Ujumbe wa Wanazuoni wa Palestina Wawasili Iran Kutoa Heshima kwa Mwili Msafi wa Shahidi aliyeishi kwa kutetea Quds na Watu wa Palestina
Ujumbe wa masheikh na wanazuoni kutoka Palestina umewasili Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kutoa heshima na kuonesha mshikamano wao kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Mkuu wa Iran Shahidi Sayyid Ali Khamenei (ra); huku ukisisitiza nafasi ya Kiongozi huyo wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kuunga mkono Quds Tukufu na haki za wananchi wa Palestina.
-
Waumini wa Ahlul-Bayt (as) Temeke Wafanya Masira ya A'shura Kuhuisha Mapinduzi ya Imam Hussein (as) na Kulaani Dhulma ya Karbala +Picha
Maelfu ya waumini wa Ahlul-Bayt (as) jijini Dar es Salaam wamefanya Masira ya A'shura katika Wilaya ya Temeke kwa lengo la kuhuisha ujumbe wa Imam Hussein (as), kulaani mauaji ya Karbala na kusisitiza kusimama upande wa haki, uadilifu na kupinga dhulma.
-
Rais Pezeshkian: Juhudi za Pakistan za Kuimarisha Amani Zimejikita Katika Utamaduni Wake Tajiri
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema kuwa juhudi za Pakistan katika kuimarisha amani katika eneo la Mashariki ya Kati na Asia zina mizizi katika utamaduni wake tajiri, akisisitiza uhusiano wa karibu na malengo ya pamoja kati ya Tehran na Islamabad.
-
Kwa Mujibu wa ABNA: Ujumbe wa Iran na Makamu wa Rais wa Marekani Wawasili Uswisi kwa Mazungumzo Muhimu
Ujumbe wa Iran umefika Uswisi kwa mazungumzo kuhusu Makubaliano ya Islamabad, huku Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, naye akiwasili kushiriki katika duru hiyo ya mazungumzo.
-
Araghchi: Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ni Mwanga wa Njia kwa Diplomasia ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema ujumbe wa hivi karibuni wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mwongozo muhimu kwa maafisa wote wa sera za nje na utasaidia kulinda heshima ya taifa pamoja na haki za wananchi wa Iran.
-
Qalibaf: Tutatekeleza Maelekezo ya Kiongozi wa Mapinduzi na Kulinda Haki za Taifa la Iran
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ni ramani ya njia ya kurejesha haki za taifa la Iran na Kambi ya Muqawama, akisisitiza kuwa hawataruhusu upande mwingine kukiuka ahadi wala kukanyaga haki za wananchi wa Iran.
-
Kiongozi wa Mapinduzi Atoa Ujumbe kwa Wairan Kuhusu Makubaliano kati ya Iran na Marekani
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema aliruhusu kutiwa saini kwa hati ya makubaliano kati ya Iran na Marekani baada ya kupokea dhamana kutoka kwa Rais wa Iran kwamba haki za wananchi wa Iran na Kambi ya Muqawama zitalindwa, huku akisisitiza kuwa mazungumzo ya baadaye hayatamaanisha kujisalimisha kwa matakwa ya Marekani.
-
Sheikh Isa Qassim: Ujumbe wa A'shura Ni Kusimama Dhidi ya Batili na Kushikamana na Haki
Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa kiroho wa Mashia wa Bahrain, amesisitiza kuwa ujumbe wa Ashura ni kusimama dhidi ya batili na kushikamana na haki, akibainisha kuwa tukio la Imam Hussein (a.s.) linabeba maadili ya heshima, ikhlasi na uthabiti, pamoja na wito wa kuimarisha umoja na mshikamano.
-
Rais Pezeshkian: Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa Mahujaji Uliweka Alama Muhimu katika Hija ya Mwaka Huu
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mahujaji wa Kiislamu umeifanya Hijja ya mwaka huu kuwa ya kipekee, huku akiwapongeza viongozi na watendaji wa Hijja kwa kuhakikisha mahujaji wa Iran wanatekeleza ibada zao kwa usalama, afya njema na heshima.
-
Rais Pezeshkian: Ushirikiano wa Kimkakati kati ya Iran na Urusi Unaendelea Kupanuka
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesema ushirikiano wa kimkakati kati ya Tehran na Moscow unaendelea kuimarika na kupanuka, akisisitiza dhamira ya kuendeleza mahusiano hayo kwa manufaa ya mataifa yote mawili.
-
Rais Pezeshkian: Vitisho vya Kulenga Miundombinu Vinadhihirisha Udhaifu Dhidi ya Uamuzi wa Taifa
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema kuwa vitisho vya kushambulia miundombinu muhimu ya nchi hiyo vinaonyesha udhaifu wa wapinzani mbele ya uamuzi na mshikamano wa wananchi wa Iran.
-
Iran Yalaani Azimio la Baraza la Magavana la IAEA, Yasisitiza Itajibu na Kulinda Haki Zake
Ujumbe wa Iran mjini Vienna umesema kuwa azimio la Baraza la Magavana la IAEA dhidi ya Iran ni la kisiasa na lisilo la kitaalamu, ukisisitiza kuwa Tehran itajibu hatua hiyo ili kulinda haki zake zisizoweza kuondolewa.
-
Iran Yaukosoa Mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Yasema Azimio 2231 Lilikoma Mwaka Jana
Ujumbe wa Iran katika Umoja wa Mataifa umeelezea kikao cha Baraza la Usalama kuhusu Iran kuwa ni “onyesho jingine la unafiki na viwango viwili,” ukisisitiza kuwa Azimio Na. 2231 la Baraza la Usalama lilimalizika rasmi Oktoba 18, 2025 na kwamba hakuna tena msingi wa kisheria wa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran.
-
Ujumbe wa Araghchi kwa Rais wa Lebanon: Iokoe Lebanon Kutoka kwa Adui Wake wa Kweli
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amemtaka Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, kuchukua hatua za kuiokoa nchi hiyo kutoka kwa “adui wake wa kweli”, akisisitiza kuwa Iran siyo inayokalia ardhi ya Lebanon, kuwafukuza wananchi wake wala kuishambulia kila siku. Araghchi alieleza kuwa kama Lebanon ingekuwa chombo cha mazungumzo kwa Iran, makubaliano yangekuwa yamefikiwa muda mrefu uliopita.
-
Robert Pape: Ujumbe wa Trump Unaonyesha Kuongezeka kwa Nguvu za Iran Kanda ya Mashariki ya Kati
Profesa Robert Pape amesema msimamo wa Iran wa kutokushiriki mazungumzo wakati mashambulizi dhidi ya Hezbollah yanaendelea umeonyesha uzito wa ushawishi wake wa kikanda, huku akionya kuhusu uwezekano wa kipindi kirefu cha ukosefu wa utulivu katika eneo hilo.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran: Bunge la Kiislamu Ni Nguzo Kuu ya Utashi wa Wananchi na Sheria
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Majlisi ya Shura ya Kiislamu ni kiini cha wananchi na nguzo muhimu ya sheria na utungaji wa sheria, akieleza kuwa taasisi hiyo ina jukumu la msingi katika kutekeleza matakwa ya wananchi ndani ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.