Ujumbe
-
Ujumbe wa rambirambi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) Kufuatia Kifo cha Mwanachuoni wa Afrika Mashariki Sheikh Ali Mayunga
Marehemu alikuwa na mchango mkubwa katika nyanja za kielimu, ikiwemo nafasi yake kama Katibu wa Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s), na alikuwa miongoni mwa waliotafsiri Qur’an Tukufu kwa lugha ya Kiswahili iliyoitwa Tafsiri Al-Mubin.
-
Tarehe 13 Rajab: Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Kiongozi Mkuu wa Umma, Imam Ali (a.s)
Tarehe 13 ya mwezi wa Rajab ni siku ya kuzaliwa kwa Imam Ali (a.s), kiongozi mkuu baada ya Mtume Muhammad (s.a.w.w), ambaye ni mtu pekee aliyezaliwa ndani ya Al-Kaaba Tukufu na anayetambuliwa kwa elimu, uadilifu, ujasiri na maadili mema kwa wanadamu wote.
-
Muundo Mpya wa Ukuta wa Uwanja wa Palestina Tehran Wabeba Ujumbe Mkali wa Kiebrania katika Kumbukumbu ya Shahid Soleimani | Mnazidi kukaribia kutoweka
Katika kumbukumbu ya shahidi Jenerali Qasem Soleimani, jadariya jipya katika Uwanja wa Palestina, Tehran, limeibuliwa likiwa na ujumbe wa Kiebrania unaobeba onyo la kiishara kuhusu kukaribia mwisho wa zama za ubeberu na uvamizi, likisisitiza kuendelea kwa njia ya mapambano na msimamo wa upinzani.
-
Ujumbe wa Hongera wa Rais Pezeshkian kwa Kiongozi wa Wakatoliki Duniani
Katika kuendeleza diplomasia ya kidini na kuimarisha maadili ya kuishi kwa amani kati ya wafuasi wa dini mbalimbali, Rais wa Jamhuri alitoa ujumbe rasmi wa pongezi kwa kiongozi wa Wakatoliki duniani, akisisitiza umuhimu wa kuheshimiana, mazungumzo ya kidini na mshikamano wa kibinadamu katika dunia ya leo.
-
Balozi wa Marekani nchini Israel: “Iran haikuelewa ujumbe wa shambulio la mabomu huko Fordow”
Kauli hii imekuja katika kipindi cha kuongezeka kwa mvutano wa kisiasa na kiusalama kati ya Marekani, Israel na Iran, huku wachambuzi wakionya kuwa hali hiyo inaweza kusababisha hatua zaidi za kijeshi au vikwazo vya kisiasa endapo juhudi za kuizuia Iran hazitazaa matunda.
-
Mamilioni ya Wayemeni Wafurika Barabarani Kuitetea Qur’ani Tukufu Baada ya Kudharauliwa Nchini Marekani
Qur’ani Tukufu ni Kitabu Kitakatifu kisichoguswa, na kitendo chochote cha kuidharau kitapokelewa kwa upinzani na laana kali kutoka kwa Waislamu duniani kote.
-
Operesheni ya Kisaikolojia huko Karbala: Uchambuzi wa Kihabari wa Ujumbe wa Imam Hussein (a.s) kabla na baada ya Ashura
Mapinduzi ya Imam Hussein (a.s) hayakuwa vita vya kijeshi pekee; bali yalikuwa vita kamili vya kihabari na kisaikolojia vilivyolenga nyoyo na akili za watu. Kuanzia mahubiri ya Makka hadi ujumbe ulioandikwa kwa damu huko Karbala, Imam Hussein (a.s) aliwezaje kuhamasisha maoni ya umma dhidi ya utawala wa Yazid? Uchambuzi wa mkakati wa mawasiliano wa Imam (a.s) katika mojawapo ya nyakati nyeti zaidi katika historia ya Kishia, unaonesha mfano wa kipekee wa uanaharakati wa kihabari unaosimama juu ya ukweli.
-
Upinzani wa Iraq: Hatutokabidhi silaha zetu, na tunasimama imara dhidi ya shinikizo la Marekani
Haider Al-Khayoun, mhadhiri wa siasa za kimataifa, alibainisha kuwa vitisho vya Marekani na Israel dhidi ya Iraq si vipya, lakini kwa sasa vimekuwa tata zaidi kutokana na ukosefu wa serikali thabiti yenye uwezo wa kuchukua maamuzi ya kimkakati. Alisisitiza kuwa Iraq ni sehemu ya mlinganyo mpana wa kikanda unaojumuisha Iran, Syria, Lebanon na Gaza, na kwamba kuongezeka kwa mvutano katika maeneo hayo kuna athari za moja kwa moja kwa Baghdad.
-
Iran yaadhimisha Siku ya Mwanamke na Siku ya Mama sambamba na kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (a.s)
Iran ikiadhimisha kumbukumbu hii tukufu, siku hii hubakia kuwa ukumbusho wa nafasi ya milele ya Bibi Fatima Zahra (a.s) katika nyoyo za Waislamu na nafasi yake kama taa ya uongofu, heshima na ukamilifu wa kiroho.
-
Pezeshkian: Aya za Qur’ani ni mwaliko unaoleta mwanga katika maisha na tabia njema
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, katika ujumbe wake kwa kongamano la kuheshimu wahifadhi na wahudumu wa Markazi ya Qur’ani Tukufu, amesema kuwa Aya za Qur’ani ni mwaliko wa kutafakari kwa undani, mwaliko unaoweza kuangazia na kuongoza maisha na mienendo ya mwanadamu.
-
Ujumbe wa rambirambi wa Ayatollah Ramezani kwa Mkuu wa Haram ya Kudumu ya Razavi
Ayatollah Ramezani katika ujumbe wake aliweka rambirambi kwa kifo cha dada wa Ayatollah Marvi.
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC): Tukivamiwa, tutawasha moto wa Jahannam dhidi ya wavamizi
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Meja Jenerali Mohammad Pakpour, katika mazungumzo na Qasim al-A’araji, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq, amesema kuwa: “Katika vita vya siku 12, tulishambulia kwa nguvu na usahihi mkubwa na tuliharibu malengo yote yaliyolengwa.”
-
Scott Ritter: Iran Yailazimisha Israel Kusitisha Vita vya Siku 12 kwa Teknolojia ya Juu ya Makombora
Aliyekuwa askari wa Kikosi cha Wanamaji cha Marekani na mpelelezi wa zamani wa Umoja wa Mataifa kuhusu silaha za maangamizi, Scott Ritter, amesema kuwa Iran katika vita vya siku 12 haikurudisha tu udhibiti wa hali ya vita, bali pia iliadhibu vikali utawala wa Kizayuni kwa kutumia teknolojia yake ya kisasa ya makombora ya masafa marefu.
-
Iran yashuku ujumbe wa Netanyahu kuhusu kutoshambulia tena
"Vikosi vya ulinzi vya Iran vipo katika hali ya tahadhari ya juu kwa sababu kuna uwezekano mkubwa wa hila kutoka Israel, na hatuamini nia hizi".
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Kamanda Bahman Kargar kufuatia kifo cha Kamanda Alireza Afshar
Mkuu wa Taasisi ya Kuhifadhi na Kueneza Thamani za Ulinzi Mtakatifu na Mapambano ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha Kamanda wa IRGC, Brigedia Sardar Alireza Afshar.
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mkutano wa 32 wa Kitaifa wa Sala
Ayatollah Khamenei katika ujumbe wake kwa Mkutano wa 32 wa Kitaifa wa Sala alielezea mambo muhimu yanayohusu mkutano huu pamoja na sifa za sala.
-
Sheikh Ali Salman kutoka gerezani: “Kama ningekuwa huru, ningetamani kuwa pamoja na wapigania uhuru wa ‘Msafara wa Ustahimilivu (Sumud)msafara”
“Kile mnachokifanya katika msafara huu kinaheshimiwa katika dini zote, sheria zote na mila zote; ni ushahidi kuwa dhamiri ya kibinadamu bado haijafa. Harakati yenu ni fahari kwa wote sisi.”
-
Ujumbe wa Rambirambi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Ayatollah Sistani kufuatia Kifo cha Mke Wake
Kufuatia kifo cha mke wa Ayatollah al-Udhma Sayyid Ali Sistani, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei, alituma ujumbe wa rambirambi kwa Marja’ huyu mkubwa.
-
Meja Jenerali Musawi: Jeshi la Ukombozi litatoa jibu lililo juu ya fikra za waonevu (waovu)
Rais wa Makao Makuu ya Majeshi ya Ulinzi wa Iran amesema: Tunawapa uhakika wananchi wa Iran wenye heshima na ushujaa kuwa, vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu kwa kutegemea uwezo wao, ubunifu na mshangao wa kimkakati, viko tayari kukabiliana na vitisho vyovyote vya madhalimu na waonevu wa dunia kwa majibu ya wakati muafaka, makali, ya kujutia na yaliyo zaidi ya fikra zao.
-
Mkuu wa Majeshi: Vikosi vya Ulinzi vya Iran Vitatoa Jibu Kali Zaidi ya Mawazo ya Wavamizi
“Kwa msaada wa Mwenyezi Mungu na kwa mwongozo wa Kiongozi Muadhamu Ayatollah Imam Khamenei (Mwenyezi Mungu amlinde), vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran viko tayari kugeuza tishio lolote kuwa fursa ya kustawisha nguvu za taifa na kuinua hadhi ya Iran katika mizani ya kimkakati ya kikanda na kimataifa. Jibu letu kwa maadui litakuwa la wakati, kali, la kuumiza na zaidi ya walivyowahi kufikiria.”
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) kufuatia kifo cha Ayatollah Sayyid Ali Akbar Mousavi Yazdi
Kufuatia kifo cha Ayatollah Sayyid Ali Akbar Mousavi Yazdi, mkuu wa ofisi ya masuala ya kifedha ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s) alitoa ujumbe wa rambirambi.
-
Ujumbe wa rambirambi wa Ayatollah Faqihi kwa mnasaba wa kufariki kwa Ayatollah Mousavi Yazdi
Ayatollah Mohsen Faqihi ametuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mkuu wa Ofisi ya Masuala ya Mali (Wujuhat) ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi.
-
Kuhalalisha Uhusiano na Israel ni Usaliti wa Wazi na Msaada wa Moja kwa Moja kwa Adui" – Ayatollah Isa Qassim
Ayatollah Qassim amegusia pia matamshi ya karibuni ya Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa Israel, pamoja na vita vya kinyama anavyoendeleza kwa msaada wa kimkakati kutoka Marekani.
-
Kiongozi wa Mapinduzi Aomboleza Kifo cha Hujjatul-Islam Naeim Abadi
Mheshimiwa Ayatollah Khamenei ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwanazuoni mpiganiaji, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Gholamali Naeim Abadi.
-
Ujumbe wa Shukrani kutoka kwa Ayatollah Faqihi kwa Taifa Tukufu la Iraq
“Nyinyi mmekuwa wenyeji bora na waagizaji bora kwa mahujaji wa Arubaini.”
-
Ujumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Husseini Bushehri Kufuatia Kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian
Rais wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ustadh Mahmoud Farshchian.
-
Beirut - Wananchi wa Lebanon Wamiminika Mitaani Kuiunga Mkono Hizbullah na Mapambano ya Muqawama
Wakisambaza ujumbe wao kwa sauti na maandamano, wananchi hao wamesisitiza kuwa Hizbullah si tu harakati ya kijeshi, bali pia ni nguzo muhimu ya taifa katika ulinzi wa mipaka na heshima ya Lebanon. Kwao, wazo la kuondoa silaha za harakati hiyo ni sawa na kuiweka Lebanon mikononi mwa maadui wake.
-
"Watu wenye busara wanaoijua Iran,watu wake na historia yake,hawazungumzi na taifa hili kwa lugha ya vitisho,kwa sababu taifa la Iran halisalimu amri"
"Wamarekani wanapaswa kufahamu kuwa aina yoyote ya uvamizi wa kijeshi kutoka kwao hakika itasababisha madhara yasiyoweza kufidiwa.”
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kufuatia tukio la moto katika Bandari ya Shahid Rajaei, Bandar Abbas
Ayatollah Khamenei amewaombea Marehemu rehma na msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na amewatakia familia za wahanga subira na utulivu wa moyo. Vilevile, amewaombea majeruhi wapate uponyaji wa haraka.
-
Ujumbe wa Ayatollah Ramezani wa rambirambi kwa Katibu Mkuu Jumuiya ya Kimataifa ya Ukaribu wa Madhehebu za Kiislamu
Katika ujumbe wake, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS) ametoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Baba yake Hojat al-Islam Wal-Muslimin, Dakta Hamid Shahriari.