Ujumbe
-
Ayatollah Ramazani: Wanawake wa Iraq Wamekuwa na Nafasi ya Kihistoria na Yenye Ushawishi Katika Harakati za Upinzani
Ayatollah Ramazani amesema kuwa wanawake wa Iraq wamekuwa na nafasi ya kihistoria na yenye ushawishi katika harakati za upinzani, kupitia malezi ya kizazi, uimarishaji wa familia, kuwaunga mkono wapigania uhuru, kulinda utamaduni wa Ahlul-Bayt (as) na kushiriki katika kuimarisha mshikamano wa jamii; akisisitiza kuwa Arubaini ya Imam Hussein (as) ni fursa muhimu kwa wanawake kuendeleza utamaduni wa upinzani na diplomasia ya umma.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Marekani Haiwezi Kujitenga na Wajibu Wake Katika Jinai za Kivita
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Masuala ya Kisheria na Kimataifa, Kazem Gharibabadi, amesema matukio yaliyotokea katika miji ya Minab na Lamerd, kusini mwa Iran, yalikuwa jinai za wazi za kivita, na si makosa ya kiutendaji.
-
Waziri wa Sayansi wa Iran Aelekea Riyadh Kushiriki Mkutano wa UNESCO Kuhusu Akili Bandia
Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran, Hossein Simaei, ameondoka Tehran kuelekea Riyadh akiongoza ujumbe wa ngazi ya juu kwa ajili ya kushiriki mkutano wa UNESCO kuhusu akili bandia (AI).
-
Iran: Marekani na Israel Zimekiuka Mkataba wa IAEA na Kanuni za Usalama wa Nyuklia kwa Kushambulia Vituo vya Nyuklia
Iran imekemea mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya vituo vyake vya nyuklia vilivyo chini ya uangalizi wa IAEA, ikisema mashambulizi hayo yanakiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa, Mkataba wa IAEA na kanuni za msingi za usalama wa nyuklia.
-
Pezeshkian: Kuimarisha Ushirikiano wa Kina na Tajikistan ni Kipaumbele Kikuu kwa Iran
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuendeleza na kuimarisha ushirikiano wa kina na Tajikistan ni miongoni mwa vipaumbele vya juu vya sera ya nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, akisisitiza uhusiano wa kihistoria, kiutamaduni, kilugha na kistaarabu unaounganisha mataifa hayo mawili.
-
Ubalozi wa Iran: Mkikabidhi Jeshi la Marekani Harusi, Linaweza Kuibadilisha Kuwa Maombolezo
Ubalozi wa Iran London walaani shambulio la Marekani dhidi ya hafla ya harusi nchini Iran, ukilitaja kama mwendelezo wa historia ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya sherehe za harusi Afghanistan, Iraq na Yemen.
-
Iran Yaelekeza Ujumbe kwa Baraza la Usalama la UN Kufuatia Mashambulizi Mapya ya Marekani na Shambulio kwenye Sherehe ya Harusi
Balozi na Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Gholam Hossein Darzi, amelaani mashambulizi ya Marekani dhidi ya maeneo ya kusini mwa Iran, likiwemo shambulio kwenye nyumba ya makazi iliyokuwa ikiandaliwa sherehe ya harusi, akisema tukio hilo ni mfano wa uhalifu wa kivita.
-
Noor Centre Dar es Salaam Yaandaa Kikao Maalum cha Kujadili Utume wa Mtume (saw) Katika Dunia ya Kisasa
Sheikh Ali Asad Esmail aongoza kikao maalum cha “Utume wa Mtume (saww) Katika Dunia ya Kisasa” kilichoandaliwa na Noor Centre Dar es Salaam, Tanzania.
-
Ayatollah Sayyid Mojtaba Khamenei Atoa Pongezi za Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) na Imam Ja’far Sadiq (as)
Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amewapongeza Waislamu kote duniani na taifa la Iran kwa maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (saw) na mjukuu wake, Imam Ja’far Sadiq (as), akisisitiza hadhi yao tukufu na nafasi yao katika kuiongoza na kuiunganisha Umma wa Kiislamu.
-
Kiongozi wa Iran Asisitiza Umoja wa Kitaifa na Kulinda Mshikamano wa Kijamii
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, amesisitiza umuhimu wa serikali na taasisi zote za nchi kulinda umoja wa kitaifa na mshikamano wa kijamii, akionya dhidi ya kauli zinazoweza kuchochea mgawanyiko miongoni mwa wananchi.
-
Ayatollah Bashir al-Najafi Apokea Ujumbe wa Shukrani kutoka kwa Sayyid Mojtaba Khamenei
Ayatollah Mkuu Sheikh Bashir al-Najafi amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, Sayyid Mojtaba Khamenei, uliowasilishwa na ujumbe uliomwakilisha, ukieleza shukrani kwa Marjaa huyo wa kidini na wananchi wa Iraq.
-
Qalibaf: Mahusiano ya Iran na China Hayahitaji Ruhusa ya Upande Wowote
Mwakilishi Maalumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya China, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa mahusiano kati ya Iran na China hayahitaji ruhusa kutoka kwa upande wowote.
-
Araghchi Aiomba Umoja wa Mataifa Kulaani ‘Ugaidi wa Kiuchumi’ wa Marekani Dhidi ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameiomba Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama kulaani kile alichokiita “ugaidi wa kiuchumi” unaotekelezwa na Marekani dhidi ya Iran.
-
Vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya Iran ni ukiukaji wa mamlaka ya kitaifa na tangazo la vita dhidi ya serikali zote
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baghaei, amesema vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran vinaenda mbali zaidi ya kile kinachoitwa “vita vya kiuchumi”, akivitaja kuwa jaribio la Marekani kulazimisha mamlaka yake nje ya mipaka yake dhidi ya nchi zote huru wanachama wa Umoja wa Mataifa.
-
Kitabu cha “Hakimu wa Umma” chazinduliwa Kargil, India
Taasisi ya Utafiti na Elimu ya Baqir al-Ulum (as) ya Kargil, India, imeandaa mkutano wa kielimu na kifasihi wenye kaulimbiu “Sauti ya Zainab (sa)”, uliowakutanisha wanazuoni, wasomi, washairi, wanafunzi wa vyuo vya dini na vyuo vikuu. Katika hafla hiyo, kitabu “Hakimu wa Umma” kimezinduliwa, huku washindi wa mashindano ya usomaji wa vitabu kwa vijana wakitunukiwa.
-
Mkuu wa Walinzi wa Mapinduzi: Ushiriki Endelevu wa Wananchi Ni Muhimu kwa Kuimarisha Umoja na Muqawama
Brigedia Jenerali Hossein Maroufi amesema kuendelea kwa ushiriki madhubuti wa wananchi katika nyanja mbalimbali ni muhimu kwa kuimarisha umoja wa kitaifa na kuunga mkono Muqawama.
-
Rais Pezeshkian Ampongeza Admiral Ali Azmaei kwa Kuteuliwa Kuwa Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la IRGC
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amempongeza Admiral Ali Azmaei kufuatia kuteuliwa kwake kuwa Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), akieleza imani yake kuwa jeshi hilo litaendelea kulinda mipaka ya bahari na maslahi ya kitaifa ya Iran kwa uwezo na busara.
-
Kutoka Damu ya Kiongozi Hadi Ahadi ya Umma: Tafakuri Kuhusu Falsafa ya Mwendelezo wa Muqawama
Ujumbe kati ya Hizbullah ya Lebanon na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu unaonyesha mwendelezo wa fikra ya uongozi, mradi wa Muqawama na mwanzo wa hatua mpya katika historia.
-
Ujumbe wa Kidiplomasia wa Oman Wawasili Tehran Kujadili Usalama wa Usafiri katika Mlango wa Hormuz
Ujumbe wa kidiplomasia wa Oman unatarajiwa kuwasili Tehran leo kwa ajili ya kufanya mashauriano kuhusu taratibu za kusimamia usafiri wa majini katika Mlango wa Hormuz. Ziara hiyo ni sehemu ya mashauriano yanayoendelea kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Usultani wa Oman. Mashauriano hayo yanalenga kufikia taratibu zinazofaa za kusimamia na kuratibu mwenendo wa usafiri wa majini katika Mlango wa Hormuz.
-
Araghchi: Tatizo letu na Marekani si upatanishi, bali ni msimamo usio na mantiki wa Washington
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa Iran haina tatizo la kubadilishana ujumbe na Marekani, akisisitiza kuwa kikwazo kikuu ni msimamo usio na mantiki, madai yaliyopitiliza na tabia ya kutawala ya Washington.
-
Kiongozi wa Iran: Ukiukaji wa Marekani unathibitisha saini yake haina thamani; Iran ina masomo yasiyosahaulika kwa adui
Katika ujumbe kuhusu kuaga kwa kishujaa kwa Kiongozi shahidi wa Iran, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Sayyid Mojtaba Khameni amesema kuwa ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa makubaliano yaliyosainiwa kati ya marais wa Iran na Marekani umeonyesha tena kuwa saini ya rais wa Marekani haina thamani. Amesema pia kuwa Iran na mhimili wa muqawama wana masomo yasiyosahaulika kwa adui, kama ilivyoonekana kupitia ujasiri wa wapiganaji na uhodari wa wananchi wa maeneo ya kusini.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Kumuaga Shahidi Mkuu wa Iran Kulikuwa Tukio la Kihistoria na Mwamko Mkubwa Usio na Mfano
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza wananchi wa Iran kwa kuandaa tukio kubwa la kihistoria la kumuaga shahidi mkuu wa Iran, akisema kuwa ushiriki wa makumi ya mamilioni ya wananchi umeonesha kiwango kipya cha utambulisho wa Kiislamu na Kiirani, uaminifu, uelewa na upendo mkubwa kwa kiongozi wa Umma wa Kiislamu na kiongozi shahidi wa Mapinduzi.
-
Pakistan Yaonya Iran: Mashambulizi Dhidi ya Saudi Arabia ni “Mstari Mwekundu”
Pakistan imewasilisha ujumbe kwa Iran kwamba mashambulizi dhidi ya Saudi Arabia, yakiwemo mashambulizi yanayofanywa na harakati ya Ansarullah ya Yemen, yatachukuliwa kuwa mashambulizi dhidi ya Pakistan. Onyo hilo linakuja huku Islamabad ikihofia kuvutwa katika mzozo mpana kati ya Marekani, Iran na washirika wao wa kikanda.
-
Kumbukumbu ya Shahidi Sayyid Ali Khamenei | Ikhlasi kwa Mwenyezi Mungu Ndiyo Siri ya Athari ya Kudumu
Ujumbe huu unaotolewa katika mnasaba wa kumbukumbu ya Shahidi Ali Khamenei unasema hivi kuwa "Ikhlasi kwa Mwenyezi Mungu ndiyo msingi wa kudumu kwa matendo mema", huku ukisisitiza kwamba athari ya kweli huzaliwa na nia safi ya kumtumikia Allah (swt).
-
Ayatollah Araki Akihutubia Vijana Duniani:
“Kumwaga damu ya Trump, Netanyahu na washirika wao ni ‘wajibu’; vijana wenye ari duniani kote watekeleze hukumu ya Mwenyezi Mungu”
Ayatollah Araki amesisitiza kwamba: “Ujumbe wa Kiongozi Mkuu na mpendwa kuhusu kulipiza damu ya Imam shahidi na mashahidi wote ni amri ya ‘wajibu wa kutii’. Na kwa wale wote wanaoweza kwa namna yoyote kuchangia katika kutekelezwa kwa jambo hilo, ni wajibu kuchukua hatua zinazohitajika haraka.”
-
Vyombo vya Habari vya Kiarabu Vyaupa Uzito Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu; Vasisitiza Ulipizaji wa Damu na Kuendelea kwa Muqawama
Vyombo vya habari mashuhuri vya eneo hilo kutoka Lebanon, Iraq, Yemen, Palestina, Qatar na Saudi Arabia, vimeripoti kwa upana ujumbe wa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, uliotolewa baada ya kumalizika kwa ibada kubwa ya mazishi ya Kiongozi huyo aliyefariki akiwa shahidi. Vyombo hivyo vimeutaja ujumbe huo kuwa ni ishara ya kuanza kwa hatua mpya katika uongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu. Miongoni mwa mambo makuu yaliyoangaziwa katika taarifa hizo ni pamoja na kusifiwa kwa ushiriki wa kihistoria wa wananchi, uhusiano kati ya Mapinduzi ya Kiislamu na harakati ya Ashura, kuendelea kwa mbele ya Muqawama (upinzani dhidi ya dhuluma), pamoja na kusisitizwa kwa ulipizaji wa damu za mashahidi wa vita vya hivi karibuni.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia Awasili Mashhad Kutoa Rambirambi kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Indonesia, ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje pamoja na viongozi wa kisiasa na wanazuoni wa Kiislamu, umewasili katika mji mtakatifu wa Mashhad kwa ajili ya kutoa pole kufuatia kuuawa shahidi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Iran Yalaani Katika Baraza la IMO Mashambulizi ya Marekani Dhidi ya Miundombinu ya Bahari ya Nchi Hiyo
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani katika mkutano wa Baraza la Shirika la Kimataifa la Bahari (IMO) mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya bandari, maeneo ya pwani na miundombinu ya bahari ya Iran, ikiyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na tishio kwa usalama wa raia na usafiri wa baharini.
-
Mwandishi wa Al-Wifaq: Sayyid Ali Khamenei ameanza ukurasa mpya katika nyoyo za wafuasi wake
Mwandishi wa jarida la Al-Wifaq amesema kuwa kwa wafuasi wake, Shahidi Sayyid Ali Khamenei si kiongozi aliyemaliza maisha yake, bali ni fikra na mradi unaoendelea kuishi katika nyoyo na dhamira za Umma.
-
Msanii wa Iran: Shahidi Sayyid Ali Khamenei alitupanda ndani yetu mapenzi ya sanaa na ukweli
Msanii wa Iran Hussein Esmati amesema kuwa kufariki shahidi kwa Sayyid Ali Khamenei kumewaathiri kwa kina wasanii wa Iran, jambo lililoonekana katika kazi nyingi za kisanii zinazoakisi maombolezo, mapenzi na maadili aliyoyasimamia.