Vyombo vya Habari
-
Hofu ya vyombo vya habari vya Kiislamu dhidi ya Marekani: Vienna itakuwa jiji la Waislamu
Kutokana na ongezeko la idadi ya Waislamu nchini Austria, shirika la habari linalopingana na Uislamu, Rair Foundation, limechapisha video kutoka moja ya mtaa wa Vienna, likidai kwamba ongezeko la idadi ya Waislamu linaelekea kubadilisha Vienna, vizazi viwili vijavyo, kuwa jiji lenye Waislamu wengi.
-
Tehran imelitaja dai la upatanishi wa Bin Salman kuwa ni uongo uliopangwa kwa makusudi ili kuiweka Iran katika mazingira ya kutuhumiwa
Kulingana na vyanzo vya Iran, masimulizi yanayoenezwa na baadhi ya vyombo vya habari - hasa vya Magharibi - ni juhudi ya kuunda taswira kwamba kuna juhudi nyingi za kidiplomasia zinazoendelea, na kwamba Iran ndiyo inayozuia njia.
-
Barua za Nahjul Balagha - Barua ya 32 | Mbinu za Muawiya, Njia ya Vyombo vya Habari vya Kigeni vya Leo
Mbinu za vyombo vya habari katika kueneza batili na kuunda shubha ili kuwazamisha watu ndani ya fikra zisizo za Kimungu zimekuwa zikitumiwa na wapinzani wa njia ya haki katika vipindi vyote vya historia. Ingawa njia hizi hubadilika kulingana na zama, malengo yao hubaki yale yale. Kurejea mbinu hizi katika mojawapo ya barua za Imam Ali (a.s) kwa Muawiya na kulinganisha na mbinu za vyombo vya habari vya kigeni katika ulimwengu wa leo kunadhihirisha ukweli kwamba “Muawiya na wanaofanana naye” katika historia wamejitahidi kupotosha wengine ili kufikia malengo yao wenyewe-juhudi ambazo hatimaye hupelekea maangamizi yao pamoja na maangamizi ya wale wanaowafuata.
-
Jaribio la Kujiua la Mwanasheria Mkuu wa Kijeshi wa Zamani wa Jeshi la Kizayuni Lashindikana
Jaribio la kujiua la Yifat Tomer-Yerushalmi limeibua mjadala mpana kuhusu ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina na migawanyiko ya kisiasa ndani ya jeshi na serikali ya Kizayuni.
-
Hamdan Sabbahi: Operesheni “Tofaan Al-Aqsa” imevunja njia ya kawaida ya uhusiano na Israeli
Hamdan Sabbahi, katika hotuba yake Beirut, akionyesha athari za Operesheni “Kimbunga cha Al-Aqsa”, alisisitiza juu ya kushindwa kwa miradi ya kutaka kugawanya ardhi na kukawaidaisha uhusiano na utawala wa Kizayuni, na pia alibainisha kuwa utetezi wa silaha za upinzani na nafasi ya vyombo vya habari itakuwa muhimu sana katika vita vya siku zijazo.
-
Usalama wa kisaikolojia katika familia ya Kiislamu؛ mstari wa mbele wa vita vya kifikra
Katika wakati ambapo shambulio za kifikra zinachukua lengo la amani ya nyumbani, familia ya Kiislamu, kwa kuunganishwa kwa imani, upendo na mazungumzo, huunda ngome ya kwanza ya usalama wa kisaikolojia; ni mahali ambapo amani ya kiungu inasimama dhidi ya hofu zinazotokana na vyombo vya habari, na kiroho hubaki kuwa kimbilio la faraja na uhakika wa mioyo.
-
Katika Kikao cha "Nafasi ya Wanawake wa Vyombo vya Habari katika Muqawama (Mapambano - Upinzani) ilibainika:
Kutoka kwa Zainab al-Kubra(s) hadi leo; Karbala ni Chuo cha Habari cha Mwanamke Muumini /Wanawake Waislamu wako mstari wa mbele katika vita vya Habari
Misingi Mitatu ya Wajibu wa Mwanamke Mwislamu katika Ulimwengu wa Habari Kueneza uelewa: Mwanamke Mwislamu anapaswa kuwa sauti ya ukweli, afichue upotoshaji wa vyombo vya habari vya upande wa uongo, na atangaze mateso ya waliodhulumiwa duniani – kuanzia Palestina hadi kila sehemu inayokandamiza utu. Kutetea utambulisho: Vyombo vya habari vya kisasa vinajaribu kumvua mwanamke heshima yake na kumgeuza bidhaa ya matangazo. Mwanamke Mwislamu lazima athibitishe kuwa uhalisia na usasa vinaweza kuishi pamoja, na kwamba heshima hupimwa kwa utiifu wa ujumbe wa Mwenyezi Mungu, si kwa uchi au mvuto wa sura. Kulea kizazi cha waandishi wa kweli: Wajibu wa mwanamke hauishii katika kushiriki binafsi katika vyombo vya habari; anatakiwa kulea kizazi kinachotambua nguvu ya neno na dhamana ya uandishi wa ukweli.
-
Mwitikio Mkubwa wa Kauli za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Duniani: “Kiongozi wa Iran amwambia Trump: Endelea Kuota!”
Ayatollah Khamenei, akimjibu Trump, amesema: “Uliota kuwa umeangamiza nguvu za nyuklia za Iran - basi endelea kuota!”
-
Chuo cha Dini cha Qom kinapaswa kutumia hazina ya Ki-Mungu kwa ajili ya kuunda “Utamaduni mpya wa Kiungu”
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abbasi, kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa masomo, alitaja utamaduni wa kifaalufu wa Magharibi kama sababu kuu ya ukoloni mkubwa wa nchi za dunia, hasa katika Afrika, na kusisitiza kuwa matokeo mabaya ya utawala huu ni ukomavu wa kitamaduni, ambapo utamaduni wa kiungu unalengwa kwa kutumia zana kama vyombo vya habari.
-
Taarifa ya Ubalozi wa Iran kuhusu Upotoshaji wa Vyombo vya Habari vya Kiingereza
Ubalozi wa Iran nchini Uingereza umejibu upotoshaji wa vyombo vya habari vya Kiingereza kuhusu wakimbizi wa Afghanistan walioko Iran, na umepinga madai ya uongo yaliyotolewa na vyombo hivyo vya habari vya Kiingereza kwamba kuna uwezekano wa kufukuzwa kwa mamia ya maelfu ya wakimbizi wa Afghanistan kwenda katika nchi jirani.
-
Taarifa ya Mwisho ya Mkutano wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s):
Kuanzia Kusisitiza Umoja hadi Umuhimu wa Vyombo vya Habari na Haja ya Kuielezea Kwa Usahihi Itikadi ya Maktaba ya Ahlul-Bayt (a.s)
Katika kukaribia maadhimisho ya miaka 1500 ya kuzaliwa kwa heshima Mtume Mtukufu Muhammad (rehema na amani zimshukie yeye na Ahlul-Bayt wake) na kuzaliwa kwa furaha kwa mtoto wake mtukufu, Imam Ja'far Sadiq (amani iwe juu yake), kikao cha 195 cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kilifanyika tarehe 15/06/1404 (kwa kalenda ya Hijria Shamsia) katika mji wa Tehran, kwa kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wajumbe wa Baraza Kuu.
-
Hafla ya Kuhitimisha tukio la 2 la Vyombo vya Habari, "Sisi ni Watoto wa Hussein(as), "imeanza kwenye Jumuiya Wasaidizi wa Hazrat Imam Mahdi (a.t.f.s)
Sehemu maalum ya tukio hilo ilizingatia kauli mbiu "Dunia Moja Katika Mikono ya Hussein (as)" kwa kusajili uwepo wa Mazuwari kutoka sehemu mbalimbali za dunia na maonesho ya Bendera za nchi katika matembezi ya Arubaini.
-
Sadra’i Aarif:
Kuonekana kwa Arubaini katika anga za kimataifa ni msaada katika kutekeleza ustaarabu wa Kiislamu
“Msimamizi wa tukio la pili la Vyombo vya Habari la Nahnu Abna’u Al-Hussein (as) amesema: Tunaona juhudi wazi za kuzuia Habari kuhusu Arubaini, na njia bora zaidi ya kuvunja vizingiti hivi vya vyombo vya habari ni kutumia jukwaa la Vyombo vya Habari.”
-
Kutoka kwa Udanganyifu wa Shetani hadi Mapambano ya Gaza: Nafasi ya Vyombo vya Habari Katika Kufichua Ukweli
Vyombo vya habari vya upinzani vimefanikiwa kugeuza mapambano ya Palestina kutoka katika simulizi ya ndani hadi kuwa gugufumu wa kimataifa wa haki. Kwa kutumia mbinu za kisasa na uelewa wa kihistoria, vyombo hivi vimeweza kuibua mwamko wa umma wa dunia – na jukumu hili linahitaji kuimarishwa kila siku kwa nguvu, mshikamano na ukweli.
-
Mwandishi maarufu wa Iraq afichua:
Operesheni za kuzunguka (mbinu za ujanja) kwa mtindo wa Kimarekani; Vita vinavyoitwa amani
"Abbas al-Zaydi", Mwanaharakati wa vyombo vya habari kutoka Iraq, ameandika katika makala yake kwamba: Marekani, kwa jina la amani, inaendeleza vita vyake vya hivi karibuni dhidi ya dunia kwa njia kadhaa, ambazo huenda muhimu zaidi kati ya hizo ni kupitia miungano kama NATO, utawala wa Kizayuni wa Israel, na magenge ya kigaidi.
-
Raia wa Marekani katika mahojiano na ABNA:
Watu wa dunia wako upande wa Iran, vyombo vya habari vya Magharibi vinaeneza uongo / Kisa cha ushauri wa Hajj Qasim kwa Shahidi Fakhrizadeh
"Muhammad" raia wa Marekani alisema: Ninawaambia watu wa Iran; watu wa dunia wako pamoja nanyi na vyombo vya habari vya Magharibi ukweli wanauonyesha kwa namna tofauti"
-
Shambulio la Kombora la Yemen Tena Dhidi ya Israel
Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti kuwa jeshi la Yemen kwa mara nyingine limeishambulia ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa kombora.
-
Jeshi la Italia Lakamata Meli ya Mizigo ya Silaha Inayodaiwa Kutoka Saudi Arabia Kwenda Israel
Kwa mujibu wa vyanzo vya usalama, silaha hizo zinadaiwa kuwa sehemu ya mpango mpana wa usafirishaji wa vifaa vya kijeshi kuelekea Israel, wakati huu ambapo mapigano na mashambulizi katika Ukanda wa Gaza yanaendelea.
-
Magharibi mwa Asia na Mashariki ya Kati | Watu 11 Wauawa na Kujeruhiwa Kutokana na Mlupuko wa Mabomu Yaliyosalia huko Tyre, Lebanon
Watu 11 wa jeshi la Lebanon wameuawa na kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa mabomu yaliyosalia kutoka kwenye uvamizi wa awali wa utawala wa Kizayuni kusini mwa Lebanon, tukio ambalo limepelekea viongozi wa juu wa nchi hiyo kutuma salamu za rambirambi.
-
Mwanamke Mmoja akamatwa kwa tuhuma za kujaribu kumuua Netanyahu
Duru za Israel zimeripoti kukamatwa kwa Mwanamke mmoja kwa tuhuma za kujaribu kumuua Waziri Mkuu wa utawala huo haram wa kizayuni.
-
Vyombo vya habari vya Kizayuni: Iran imeiongoza na kuisukuma Israel kuelekea kwenye kushindwa kimkakati
Vyombo vya habari vya Kizayuni vikichambua vimesema kuwa: Silaha za nyuklia ni hatari, lakini hisia ya ushindi katika mioyo ya maadui ni hatari zaidi.
-
Habari iliyoenea ya ufunguzi wa Ofisi ya ABNA nchini Ghana katika Vyombo vya Habari nchini Ghana
Sambamba na ufunguzi wa Ofisi ya kikanda ya Shirika la habari la ABNA nchini Ghana, vyombo vya habari vya nchi hiyo vilikaribisha uwepo wa chombo hiki cha habari cha kimataifa na kukitambulisha kama jukwaa la kusambaza simulizi za kitamaduni na kidini kutoka ulimwengu wa Kiislamu hadi Afrika Magharibi.
-
Katika mazungumzo na daktari kutoka Yemen:
Imamu Khomeini alilitambua adui mkuu wa Umma wa Kiislamu; vita vya vyombo vya habari dhidi ya Iran vimeanzishwa
Daktari mwanamke kutoka Yemen alisema: Maadui walijitahidi kuionesha Iran kuwa adui wa Umma wa Kiislamu na mbadala wa adui wa kweli, ilhali maadui wakubwa na wa kihasama zaidi wa Umma wa Kiislamu ni Mayahudi wanaopinga Uislamu.
-
Naibu Waziri wa Elimu na Utamaduni atembelea Shirika la Habari la ABNA / Entemani: Tofauti za ABNA ndizo Nguvu yake
Naibu Waziri wa Elimu na Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu wa Iran, alipokuwa akitembelea Shirika la Habari la ABNA, alieleza kwamba vyombo hivi vya habari vina sifa za kipekee na vina athari kubwa katika jamii.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s):
Mapinduzi ya Kiislamu ni miale ya fikra ya Ahlul-Bayt (a.s) / Magharibi wanapotosha Uislamu, sisi tunapaswa kusimulia ukweli halisi ulivyo
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) amesema kuwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni mwangaza unaotokana na fikra na mafundisho ya Ahlul-Bayt (a.s), na kuongeza kuwa: Magharibi wanajitahidi kupotosha taswira ya Uislamu mbele ya dunia, hivyo ni jukumu letu kusimulia ukweli halisi wa Uislamu Sahihi na wa Haki kwa kutumia njia za kisasa za Mawasiliano na Vyombo vya Habari.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Umoja wa Madhehebu ya Kiislamu:
Udhalilishaji wa hivi karibuni wa mambo matukufu ya Waislamu wa Kisunni una nyanja tata zaidi
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kudumisha Umoja wa Madhehebu ya Kiislamu akilaani udhalilishaji wa mambo matukufu ya Waislamu wa Kisunni alisema: Udhalilishaji wa hivi karibuni una nyanja tata zaidi, na inatarajiwa kutoka kwa viongozi wa masuala haya kuchukua hatua za kuzuia kurudiwa kwa maafa kama haya.
-
Maandamano ya “Gaza” Islamabad: Hafidh Naeem atoa wito wa mgomo wa kitaifa na kususia bidhaa za Israel
“Tunaiheshimu nchi yetu, lakini tunataka kuwastua watawala ili wasimame na watu wa Palestina na Kashmir. Ummah wa Kiislamu umelala usingizi wa kutojali.”
-
Kushindwa kwa Marekani nchini Yemen kumezusha wasiwasi miongoni mwa nchi za Kiarabu. Nini kitatokea ikiwa San'a itakuwa Mamlaka yenye Nguvu Kikanda?
Kwa kuzingatia chaguzi ndogo za Amerika, mashaka yameongezeka miongoni mwa maadui wa Yemen katika nchi za Ghuba ya Uajemi, na hii imefanya kazi ya vyombo vyao vya habari - ambavyo vinaendana kikamilifu na (riwaya) simulizi ya Marekani na Israel - kuwa ngumu; Hadi wanakimbilia kuwatuhumu “Ansarullah” kwa kutumia vita vibaya.