Baraza
-
Nchi 11 zalaani uvamizi wa Israel dhidi ya Iran katika kikao cha Baraza la Magavana
Katika taarifa ya nchi kumi na moja wanachama wa Bodi ya Magavana, inachukulia kuwa "shambulio lolote la silaha au tishio dhidi ya vituo vya nyuklia vinavyotolewa kwa madhumuni ya amani ni ukiukaji wa kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa, sheria za kimataifa na Mkataba wa Shirika la IAEA."
-
Tangazo kutoka kwa Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu:
Marasimu ya Mazishi ya Miili Mitukufu ya Mashahidi wa Walinzi na Watetezi wa ngazi za juu wa Iran ya Kiislamu itafanyika
Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kwamba, hafla ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi wa ngazi za juu ambao ni walinzi na watetezi wa Iran ya Kiislamu itafanyika Siku ya Jumanne, tarehe 17 Juni, 2025, saa 8:00 Asubuhi katika Medani ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Tehran.
-
Rais wa Baraza la Wawakilishi la Iran Awasilisha Zawadi ya Familia ya Shahidi Soleimani kwa Rais Maduro wakati wa Ziara Caracas
Rais wa Bunge | Baraza la wawakilishi la Iran akutana na Rais Maduro Caracas, na kumkabidhi sanamu ya Jenerali Shahidi Qasem Soleimani, iliyotumwa na familia ya Shahidi Soleimani kama zawadi.
-
Kiongozi wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:
Watu wa Gilgit-Baltistan hawatakaa kimya mbele ya dhulma; hata wakikata shingo zetu au kukata ndimi zetu, hatutawahi kumuunga mkono dhalimu
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan alisisitiza kuwa kusimama dhidi ya dhulma ni jambo lililo katika damu ya watu wa Gilgit-Baltistan, na hakuna nguvu yoyote inayoweza kunyamazisha sauti yao ya kudai haki.
-
Huthi: Ziara ya Donald Trump katika Nchi za Kiarabu Ilikuwa kwa Ajili ya Kudai Hongo
Mwanachama wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen, Mohammed Ali al-Houthi, amesema kuwa baadhi ya nchi za Kiarabu zimeathiriwa na udhaifu wa kisaikolojia na shida ya kushindwa. Aliongeza kuwa nchi hizi haziwezi hata kukata uhusiano wa kidiplomasia na Israeli, jambo ambalo linaonyesha upungufu wa msimamo na ushupavu katika kushikilia mikao ya kisiasa.
-
Tangazo la Sala ya Eid:
Eid Al_Fitri yatangazwa Tanzania kabla ya kuonekana kwa Mwezi
Mtume (s.a.w.w) ametuelekeza akisema: "Fungeni kwa kuonekana (kwa kuuona) Mwezi, na Fungueni kwa Kuonekana Mwezi". Hivyo tunatarajia kuonekana kwa Mwezi itakuwa ni tarehe 30 au 31".
-
Radiamali ya Seneta RajA Nasser kwa mauaji ya Mwanazuoni wa Pakistan
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amelaani mauaji ya Mufti Munir Shakir, Mwanazuoni wa Kisunni wa Pakistan, na kuyataja kuwa ni hasara isiyoweza kufidiwa.