Baraza
-
Jenerali Shakarchi: Uzalishaji wa Makombora ya Iran Hautasimama Kamwe / Uzoefu wa Libya Umeonyesha Kuondoa Silaha Kunaleta Uharibifu Tu
Shakarchi aliongeza: Adui walidhani kuwa kuendelea kwa vita zaidi ya wiki moja kutasababisha uchovu na kuchoshwa kwa watu, lakini ushiriki mkubwa wa umma na msaada usiokatizwa kwa Mapinduzi na mfumo viligonga mipango yao yote na mfululizo wa kushindwa kwao ukaendelea.
-
Upigaji kura wa leo katika Baraza la Usalama kuhusu kurejesha vikwazo dhidi ya Iran
Uanzishaji wa ‘mfumo wa kichocheo’ (Snapback mechanism / Triger Machanism) na Ulaya umeiweka Baraza la Usalama katika hali nyeti; ambapo kupinga azimio jipya kunamaanisha kurejea kwa vikwazo vyote dhidi ya Iran.
-
Kuongezwa kwa muda wa uteuzi wa Majukumu ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
Kiongozi wa Mapinduzi ameidhinisha kuongezwa kwa muda wa jukumu la Hujjatul-Islam Shahriari kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
-
Mwenyekiti wa Baraza la Sera za Maimamu wa Ijumaa nchini:
"Swala ya Ijumaa ni nguzo ya Umoja wa Kitaifa - Lazima iwafikie watu wa makundi yote"
Mwenyekiti wa Baraza la Sera za Maimamu wa Ijumaa nchini: "Swala ya Ijumaa inapaswa kuwa ya watu wote na kuakisi umoja wa kitaifa."Akiangazia umuhimu wa nafasi ya wananchi na ushirikishi mpana katika Swala ya Ijumaa, mwenyekiti huyo alisema: “Makamati ya Swala ya Ijumaa yanapaswa kwa ubunifu na upangaji madhubuti, kuweka mazingira yanayowezesha ushiriki wa watu wa makundi yote ya jamii — kuanzia wanafunzi wa vyuo vikuu, walimu na wasomi, hadi wafanyakazi wa viwandani na wakulima.” Aliongeza kuwa kwa njia hii, ibada hii ya kiroho na kisiasa itakuwa ni taswira kamili ya mshikamano na umoja wa kitaifa.
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Ayatullah Akhtari kwa Sayyid Abdul Malik al-Houthi: Shambulio la Israel Nchini Yemen ni Jinai Mpya ya Kivita
"Ninatoa rambirambi zangu za dhati kwa watu wa Yemen mashujaa na kwa uongozi wake jasiri – ukiwemo wewe ndugu yetu mpendwa, Sayyid Abdul Malik – kwa msiba huu mkubwa wa kifo cha Shahidi Ahmad Ghalib al-Rahwi na wenzake waliouawa kwa udhalimu na usaliti wa utawala haramu wa Kizayuni.”
-
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa jukumu la UNIFIL nchini Lebanon hadi mwisho wa mwaka 2026.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeamua kuongeza muda wa jukumu la wanajeshi wa UNIFIL kusini mwa Lebanon kwa mara ya mwisho.
-
Baraza la Utamaduni la Ubalozi wa Iran Nairobi Latuma Salamu za Rambirambi kwa Kumbukumbu ya Kifo cha Mtume Muhammad (s) na Shahada ya Imam Hassan a.s
Siku hii pia inakumbusha shahada ya Imam Hassan (a.s), Imam wa pili katika Ahlul-Bayt (a.s), aliyefahamika kwa msimamo wake wa amani na kujitolea kwake kwa ajili ya haki. Kifo chake ni alama ya mapambano ya kudumu kwa ajili ya uadilifu na uongofu.
-
Mkutano wa Haji Muhammad Muhaqiq na Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Iraq
Mchana wa Jumamosi tarehe 25 Mordad 1404 (sawa na Agosti 16, 2025), Haji Muhammad Muhaqiq, kiongozi wa Chama cha Umoja wa Kiislamu wa Watu wa Afghanistan, alikutana na Dk. Humam al-Hammoudi, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Iraq, na kufanya mazungumzo naye.
-
Ahadi Mpya za Taliban / Ufunguzi wa Shule za Wasichana Wategemea "Kibali cha Kisharia"
Zabihullah Mujahid, msemaji wa serikali ya Taliban, ametangaza kuwa mchakato wa kupata “kibali sahihi cha kisharia” kwa ajili ya kufunguliwa tena shule na vyuo vikuu vya wasichana bado unaendelea. Hii ni baada ya zaidi ya miaka minne ya kunyimwa wanawake na wasichana haki ya msingi ya elimu.
-
Katibu wa Usalama wa Taifa Iran: “Muqawama ni Hazina Kuu kwa Eneo na Umma wa Kiislamu"
Larijani alitembelea Iraq na Lebanon kwa mazungumzo na viongozi wakuu, akiwemo Rais Joseph Aoun na Spika Nabih Berri.
-
Ayatollah Makarim Shirazi: Baraza la Uratibu wa Matangazo Lina Nafasi Muhimu Katika Kulinda Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu
Ayatollah Makarim Shirazi amethibitisha kwamba Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu lina mchango mkubwa usio na mfano katika kuhifadhi mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Ayatollah Jannati:
Hamasa ya Arubaini ni Taa ya Waombao Haki Duniani / Kudhibiti Gaza Kikamilifu na Kuliweka Chini ya Silaha Hizbullah ni Ndoto ya Ovyo
madai ya kuteka Gaza kikamilifu na kulivua silaha jeshi la Hizbullah ni “ndoto ya ovyo,” na kwamba harakati ya kudai haki ya upinzani, kwa kutegemea mafundisho ya Uislamu na kuiga Mapinduzi ya Kiislamu, hatimaye itafikia ushindi.
-
Marekani Yapongeza Uamuzi wa Baraza la Mawaziri wa Lebanon wa Kulazimisha Udhibiti wa Silaha Mikononi mwa Serikali
Mjumbe wa Marekani afurahishwa na hatua ya baraza la mawaziri la Lebanon dhidi ya silaha za Muqawama.
-
Likizo ya Wiki Moja katika Mkoa wa Najaf Al-Ashraf kwa Ajili ya Kuwakaribisha Mazuwwari wa Arubaini
Baraza la Mkoa wa Najaf Al-Ashraf limetangaza likizo ya wiki moja kwa ofisi zote za serikali katika mkoa huo, ili kuwezesha ushiriki wa wananchi katika maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) na kutoa huduma bora kwa maelfu ya mahujaji wanaoelekea Najaf Ashraf.
-
Nchi 11 zalaani uvamizi wa Israel dhidi ya Iran katika kikao cha Baraza la Magavana
Katika taarifa ya nchi kumi na moja wanachama wa Bodi ya Magavana, inachukulia kuwa "shambulio lolote la silaha au tishio dhidi ya vituo vya nyuklia vinavyotolewa kwa madhumuni ya amani ni ukiukaji wa kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa, sheria za kimataifa na Mkataba wa Shirika la IAEA."
-
Tangazo kutoka kwa Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu:
Marasimu ya Mazishi ya Miili Mitukufu ya Mashahidi wa Walinzi na Watetezi wa ngazi za juu wa Iran ya Kiislamu itafanyika
Baraza la Uratibu wa Propaganda za Kiislamu limetangaza katika taarifa yake kwamba, hafla ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi wa ngazi za juu ambao ni walinzi na watetezi wa Iran ya Kiislamu itafanyika Siku ya Jumanne, tarehe 17 Juni, 2025, saa 8:00 Asubuhi katika Medani ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Tehran.
-
Rais wa Baraza la Wawakilishi la Iran Awasilisha Zawadi ya Familia ya Shahidi Soleimani kwa Rais Maduro wakati wa Ziara Caracas
Rais wa Bunge | Baraza la wawakilishi la Iran akutana na Rais Maduro Caracas, na kumkabidhi sanamu ya Jenerali Shahidi Qasem Soleimani, iliyotumwa na familia ya Shahidi Soleimani kama zawadi.
-
Kiongozi wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:
Watu wa Gilgit-Baltistan hawatakaa kimya mbele ya dhulma; hata wakikata shingo zetu au kukata ndimi zetu, hatutawahi kumuunga mkono dhalimu
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan alisisitiza kuwa kusimama dhidi ya dhulma ni jambo lililo katika damu ya watu wa Gilgit-Baltistan, na hakuna nguvu yoyote inayoweza kunyamazisha sauti yao ya kudai haki.
-
Huthi: Ziara ya Donald Trump katika Nchi za Kiarabu Ilikuwa kwa Ajili ya Kudai Hongo
Mwanachama wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen, Mohammed Ali al-Houthi, amesema kuwa baadhi ya nchi za Kiarabu zimeathiriwa na udhaifu wa kisaikolojia na shida ya kushindwa. Aliongeza kuwa nchi hizi haziwezi hata kukata uhusiano wa kidiplomasia na Israeli, jambo ambalo linaonyesha upungufu wa msimamo na ushupavu katika kushikilia mikao ya kisiasa.
-
Tangazo la Sala ya Eid:
Eid Al_Fitri yatangazwa Tanzania kabla ya kuonekana kwa Mwezi
Mtume (s.a.w.w) ametuelekeza akisema: "Fungeni kwa kuonekana (kwa kuuona) Mwezi, na Fungueni kwa Kuonekana Mwezi". Hivyo tunatarajia kuonekana kwa Mwezi itakuwa ni tarehe 30 au 31".
-
Radiamali ya Seneta RajA Nasser kwa mauaji ya Mwanazuoni wa Pakistan
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amelaani mauaji ya Mufti Munir Shakir, Mwanazuoni wa Kisunni wa Pakistan, na kuyataja kuwa ni hasara isiyoweza kufidiwa.