Dar es salaam

  • Ibada za kufanya Usiku wa 23 wa Lailatul-Qadri

    Ibada za kufanya Usiku wa 23 wa Lailatul-Qadri

    Inapendekezwa kusoma Dua ya (......يا مُدَبِّرَ الاُمُورِ ) hali ya kuwa umerukuu, umesujudu, umesimama, umekaa na irudierudie kila sehemu, na isome hata kila siku na iombe Dua hii kwa wingi katika Usiku wa mwisho wa Ramadhani Tukufu.