silaha
-
China Yaonesha Nguvu za Kijeshi Katika Gwaride Huku Rais wa China Xi Akisimama Pamoja na Rais Putin na Rais Kim +Picha
China iliandaa gwaride kubwa la kijeshi kuonesha uwezo wake wa kivita, huku Rais Xi Jinping akisalimiana na kusimama pamoja na Rais Vladimir Putin wa Urusi na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un. Hafla hiyo iliangazia umoja wa kisiasa kati ya mataifa hayo na kuonesha silaha mpya na teknolojia ya kisasa ya kijeshi mbele ya maelfu ya watazamaji na viongozi wa kimataifa.
-
Kutoka kwenye Kampeni ya "Ziara kwa Njia ya Mbali" hadi Kuachiwa kwa Wafungwa: Maandalizi ya Wiki ya Umoja Mkoani Gilan
Sheikh Hujjatul Islam wal-Muslimin Mujtaba Ashjari, Mwenyekiti wa Baraza la Uratibu wa Matangazo ya Kiislamu mkoa wa Gilan, amesema kuwa wiki ya Umoja itashuhudia mfululizo wa shughuli za kiroho, kijamii na kusaidia wahitaji, ikiwa ni pamoja na kampeni za ibada, misafara ya furaha, utoaji wa misaada kwa familia zisizojiweza, na kusaidia wanafunzi masikini.
-
Watu zaidi ya 100 watekwa katika shambulio la kikatili Kaskazini mwa Nigeria
Katika shambulio la damu lililotokea katika kijiji cha Ghamdum Malam katika jimbo la Zamfara, Nigeria, watu wenye silaha waliingia eneo hilo kwa risasi zisizo na mwelekeo na kuwateka zaidi ya watu 100.
-
Jeshi la Lebanon limepokea silaha nzito kutoka kwenye kambi za Wakpalestina
Jeshi la Lebanon limeanza mchakato wa kupokea silaha kutoka kwenye Kambi za Wapalestina katika Mji wa Sur Kusini mwa nchi hiyo.
-
“Ushirikiano wa Kutekeleza Mpango wa Marekani na Israel” / Je, “Vita kama vya Karbala” vya Hezbollah Viko Mbele
Beirut – Baadhi ya wanasiasa na wabunge wa Lebanon wamewasilisha malalamiko rasmi dhidi ya Sheikh Naeem Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah, baada ya hotuba yake ya hivi karibuni aliyoituhumu serikali ya Lebanon kwa kutaka kuisalimisha nchi mikononi mwa Israel.
-
Sayyid Abdulmalik al-Houthi: Kuondoa Silaha za Mapambano ya Muqawama Ni Kufuata Mpango wa Kizayuni
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen, Sayyid Abdulmalik al-Houthi, amesema kuwa kuondoa silaha za mapambano ni sehemu ya mpango wa wazi wa Marekani na Israel wa kudhoofisha mataifa ya eneo hili.
-
Jeshi la Italia Lakamata Meli ya Mizigo ya Silaha Inayodaiwa Kutoka Saudi Arabia Kwenda Israel
Kwa mujibu wa vyanzo vya usalama, silaha hizo zinadaiwa kuwa sehemu ya mpango mpana wa usafirishaji wa vifaa vya kijeshi kuelekea Israel, wakati huu ambapo mapigano na mashambulizi katika Ukanda wa Gaza yanaendelea.
-
Kiongozi Mwandamizi wa Hezbollah Lebanon: "Kufa ni bora kuliko kukabidhi silaha za upinzani"
Uamuzi wa Serikali unaweza kugeuza tatizo kutoka mapambano kati ya Lebanon na Israel na kuwa mzozo wa ndani.
-
Maandamano Makubwa ya Wenyeji Lebanon Kupinga Uamuzi wa Serikali wa Kuvunja Silaha za Muqawama
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Lebanon wamefanya maandamano na mikutano ya hadhara kupinga uamuzi wa serikali wa kuhodhi na kuvunja silaha za vikosi vya Muqawama.
-
Marekani Yapongeza Uamuzi wa Baraza la Mawaziri wa Lebanon wa Kulazimisha Udhibiti wa Silaha Mikononi mwa Serikali
Mjumbe wa Marekani afurahishwa na hatua ya baraza la mawaziri la Lebanon dhidi ya silaha za Muqawama.
-
Msimamo Mkali wa Hizbullah Dhidi ya Jaribio la Kuvunjwa kwa Silaha za Muqawama: Azimio Jipya la Serikali ya Nawaf Salam ni Tishio kwa Uhuru wa Lebanon
Chama cha Hizbullah kimetoa tamko kali kupinga uamuzi mpya wa serikali inayoongozwa na Nawaf Salam, ambao wanauona kama hatua ya hatari ya kudhoofisha muqawama (mapambano ya ukombozi) na kukabidhi usalama wa Lebanon kwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. Katika taarifa hiyo, Hizbullah imesisitiza kuwa itakabiliana na uamuzi huu kwa msimamo thabiti kama hatua isiyokubalika kabisa, huku ikisisitiza umuhimu wa kulinda silaha za kujihami na kuimarisha jeshi la taifa kwa ajili ya kutetea ardhi na uhuru wa Lebanon. Lebanon Bado Chini ya Vitisho vya Israel na Marekani
-
Beirut - Wananchi wa Lebanon Wamiminika Mitaani Kuiunga Mkono Hizbullah na Mapambano ya Muqawama
Wakisambaza ujumbe wao kwa sauti na maandamano, wananchi hao wamesisitiza kuwa Hizbullah si tu harakati ya kijeshi, bali pia ni nguzo muhimu ya taifa katika ulinzi wa mipaka na heshima ya Lebanon. Kwao, wazo la kuondoa silaha za harakati hiyo ni sawa na kuiweka Lebanon mikononi mwa maadui wake.
-
Kusambaratishwa kwa Vitengo 3 vya Kigaidi vya ISIS Nchini Libya
Taarifa hii inakuja siku chache tu baada ya kupatikana kwa kiasi kikubwa cha silaha katika ghala moja ndani ya nyumba iliyoko kusini mwa Libya.
-
Tathmini ya Mashirika 8 ya Kijasusi ya Marekani Kuhusu Kushindwa kwa Trump Katika Kuishambulia Iran
Tathmini nyingi kutoka ndani ya vyombo vya usalama vya Marekani zinaonyesha kuwa Iran bado ina uwezo wa kuendeleza mpango wake wa nyuklia. Badala ya kuuzuia, mashambulizi ya Marekani huenda yameifanya Iran kuwa na msimamo mkali zaidi na kufikiria kuujenga kwa matumizi ya kijeshi.
-
Mfumo wa Utambuzi na wa Mauaji ya Kigaidi wa Israel: Unategemea Makadirio ya Akili Bandia
Baada ya uchambuzi wa mfumo huo wa Akili Bandia, jengo hupewa "kiwango cha hatari (uwiano wa hatari)" (risk coefficient). Mfumo huo haufanyi maamuzi kwa uhakika, bali hufanya kwa msingi wa makadirio. Kwa mfano: Hata kama kuna asilimia 50 tu ya uwezekano kuwa jengo linahifadhi silaha, linaweza kulengwa na kushambuliwa.
-
Yemen yaachia kombora la Hipersoniki kulenga kituo cha kijeshi cha Wazayuni katika eneo la Negev
Jeshi la Missili la Jeshi la Silaha la Yemen limetekeleza operesheni ya kijeshi ikilenga Kituo cha Anga cha Nevatim katika eneo la Negev, kusini mwa Palestina iliyokaliwa, kwa kutumia kombora la hipersoniki la balistiki.
-
Ukabidhi wa Hiari wa Silaha Parachinar; Hatua Muhimu kuelekea Amani Endelevu
Baada ya utekelezaji wa Mkataba wa Amani wa Kohat, Waislamu wa madhehebu ya Shia katika wilaya ya Kurram, eneo la Parachinar nchini Pakistan, wamekabidhi silaha zao kwa hiari kwa wawakilishi wa jeshi na maafisa wa serikali ya Pakistan ili kuonesha nia yao ya kutafuta amani.