Kiongozi
-
Chuo cha Al-Mustafa (s) Tanzania Kuaandaa Kongamano la Kielimu Kumuenzi Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei(ra)
Kitengo cha Utafiti wa Kisayansi cha Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (s) Tawi la Dar es Salaam - Tanzania kitaandaa Kongamano la Kielimu lenye anuani "Imam Khamenei: Kutoka Jihadi hadi Ushahidi," likiwa na lengo la kuchambua kwa ufupi Maisha ya Kiongozi huyo wa Mapinduzi ya Kiislamu, na hatimaye kukuachia msikilizaji na mfuatiliaji Nafasi ya kupata mazingitio na masomo mbalimbali ya kimaisha kutoka katika kumbukumbu ya Maisha yake Matukufu, katika muktadha ule ule wa Maelekezo ya Qur'an Tukufu aliposema Mwenyezi Mungu: Hakika kuna mazingatio ndani ya visa vyao (Historia Yao) kwa watu wenye Akili"
-
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Tumeanza Enzi Mpya Chini ya Uongozi wa Ayatollah Sayyid Mojtaba Khamenei
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, amesema Jamhuri ya Kiislamu imeanza enzi mpya chini ya uongozi wa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, akitoa shukrani kwa mahudhurio makubwa ya wananchi wa Iran na Umma wa Kiislamu katika mazishi ya Kiongozi Shahidi.
-
Rais Pezeshkian Aishukuru Iraq kwa Kuandaa Mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Sayyid Ali Khamenei (ra)
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameishukuru serikali na wananchi wa Iraq kwa mapokezi na ushirikiano walioutoa wakati wa shughuli za kuaga na kusafirisha mwili wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, akisema taifa la Iran halitasahau kamwe mshikamano huo.
-
Kisa cha Kihistoria:Jinsi na Kwa Nini Shahidi Hujjatul Islam Sayyid Abdul Karim Hashimi Nejad Aliuawa na Shirika la Kigaidi la Mujahideen-e Khalq /MEK
Kwa mujibu wa simulizi za kihistoria, kuuawa kwa Shahidi Hujjatul Islam Sayyid Abdul Karim Hashimi Nejad mnamo mwaka 1981 kulikuwa sehemu ya mfululizo wa mauaji yaliyotekelezwa na Shirika la Kigaidi la Mujahideen-e Khalq (MEK), likiwa na lengo la kuwaondoa viongozi waliokuwa na mchango mkubwa katika kuimarisha Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
-
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya: Iran Haitaruhusu Uingiliaji wa Usimamizi wa Mlango wa Bahari wa Hormuz
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya (s) yametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaruhusu kwa hali yoyote uingiliaji wa mamlaka yoyote katika usimamizi wa Mlango wa Bahari wa Hormuz, huku yakiahidi kutoa jibu kali dhidi ya kile ilichokitaja kuwa uchokozi wa Marekani.
-
Msanii wa Iran: Shahidi Sayyid Ali Khamenei alitupanda ndani yetu mapenzi ya sanaa na ukweli
Msanii wa Iran Hussein Esmati amesema kuwa kufariki shahidi kwa Sayyid Ali Khamenei kumewaathiri kwa kina wasanii wa Iran, jambo lililoonekana katika kazi nyingi za kisanii zinazoakisi maombolezo, mapenzi na maadili aliyoyasimamia.
-
Mwanaharakati wa Vyombo vya Habari wa Urusi: Sijawahi Kushuhudia Jambo Kama Hili Maishani Mwangu
Mwanaharakati wa vyombo vya habari kutoka Urusi amesema umati mkubwa wa wananchi waliojitokeza kumuaga kiongozi wao umeandika historia, akisisitiza kuwa mshikamano wa Wairani umeonyesha mapenzi ya dhati kwa taifa na uongozi wao.
-
Washington post: Familia Nyingi Zilishiriki Katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Iran
Gazeti la Washington Post limesema kuwa Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Iran yalishuhudia ushiriki mkubwa wa wananchi, wakiwemo familia zilizofika na watoto wao, huku yakieleza kuwa tukio hilo lilidhihirisha mshikamano wa kitaifa na uthabiti wa wananchi.
-
Qalibaf: Amani ya kweli nchini Lebanon haiwezi kupatikana bila mchango wa Iran
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa amani ya kudumu nchini Lebanon inaweza kupatikana kupitia nafasi ya Iran, huku akisisitiza kuendelea kuunga mkono washirika wa Jamhuri ya Kiislamu katika Muqawama.
-
kamanda wa jeshi la majini la Iran: muqawama haujafungwa tena na mipaka ya kijiografia
Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran, Admiral Shahram Irani, amesema kuwa Muqawama sasa umevuka mipaka ya kijiografia, akisisitiza kuwa mataifa na vikosi vya Muqawama vinaendelea kuimarisha umoja na mshikamano katika kukabiliana na changamoto.
-
Ayatollah Makarim Shirazi: Waliomuua Kiongozi Shahidi Hawataepuka Adhabu ya Mwenyezi Mungu
Ayatollah Nasser Makarim Shirazi amesema wahusika na wapangaji wa mauaji ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, pamoja na waliohusika na umwagaji damu wa viongozi, raia wasio na hatia na watoto, hawataokoka adhabu ya Mwenyezi Mungu, huku akisisitiza kuwa damu zao takatifu haitasahaulika kamwe.
-
Panahian: Iran Itasimama Imara Kulipiza Kisasi cha Kiongozi Shahidi Sayyid Ali Khamenei
Mwanazuoni wa Kiislamu wa Iran, Alireza Panahian, amesema wakati wa mazishi ya Kiongozi Shahidi Sayyid Ali Khamenei kwamba Iran iko tayari kujitolea kwa gharama kubwa ili kuhakikisha kisasi kwa kuuawa kwa kiongozi huyo, akisisitiza kuwa jambo hilo halitaachwa bila majibu.
-
Hilali Nyekundu: Hakuna Majeruhi Walioripotiwa Katika Hafla ya Kuaga Kiongozi Shahidi Licha ya Mamilioni ya Waombolezaji Kushiriki
Shirika la Hilali Nyekundu limetangaza kuwa hadi sasa hakuna majeruhi walioripotiwa katika hafla ya kuaga Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, licha ya mamilioni ya waombolezaji kushiriki. Shirika hilo limeeleza kuwa mafanikio hayo yametokana na usimamizi mzuri wa tukio hilo pamoja na ushirikiano wa wananchi.
-
Araghchi apongeza msimamo wa Jamhuri ya Congo wa kuiunga mkono Iran katika majukwaa ya kimataifa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameishukuru Jamhuri ya Congo kwa msimamo wake wa kuendelea kuiunga mkono Iran katika majukwaa ya kimataifa, huku Waziri wa Mambo ya Nje wa Kongo akiwasilisha salamu za rambirambi na mshikamano kwa taifa la Iran.
-
Sheikh Shahriari: Kiongozi Shahidi aliliona umoja wa Umma wa Kiislamu kuwa nguzo ya kukabiliana na ubeberu wa maadui
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu, Hujjatul-Islam Hamid Shahriari, amesema kuwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Sayyid Ali Khamenei, alikuwa akiutazama umoja wa Umma wa Kiislamu kama mkakati wa msingi wa kukabiliana na ubeberu, uistikbari na njama za maadui za kuleta mgawanyiko miongoni mwa Waislamu.
-
Sala ya maiti ya Kiongozi Shahidi Sayyid Ali Khamenei na familia yake kufanyika Jumapili asubuhi mjini Tehran
Kamati ya Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza kuwa sala ya maiti ya Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei (r.a.) pamoja na baadhi ya wanafamilia wake na mashahidi wengine itafanyika Jumapili saa 12:00 asubuhi kwa saa za Iran katika Msala wa Tehran.
-
Qalibaf Awataka Wairani Kushiriki Mazishi ya Kiongozi Shahidi
Spika wa Bunge la Ushauri la Kiislamu la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf, amewataka wananchi kushiriki kwa wingi katika mazishi ya kiongozi shahidi, akisema ni fursa ya kuifikisha dunia ujumbe wa msimamo wa taifa la Iran dhidi ya dhuluma na uonevu.
-
Wizara ya Ulinzi Iran Yatangaza Kusambaza Rasilimali Zake Kusaidia Waombolezaji wa Kiongozi Shahidi
Kwa mujibu wa msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Iran, Brigedia Jenerali Tala'inik, wizara hiyo imehamasisha uwezo wake wote katika miji ya Tehran, Qom na Mashhad ili kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi wanaoshiriki shughuli za mazishi ya kiongozi shahidi, ikiwemo huduma za kitabibu, kitamaduni na msaada wa kiutendaji.
-
Watafiti wa Yemen na Bahrain: Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Umma Yatakuwa Tukio Kubwa Linalovuka Mipaka ya Ulimwengu wa Kiislamu
Katika mkutano maalumu ulioandaliwa na Shirika la Habari la ABNA kwa anuani ya "Urithi wa Kimkakati na Kistaarabu wa Kiongozi Shahidi wa Umma", watafiti kutoka Yemen na Bahrain walieleza kuwa mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu yatakuwa tukio la kihistoria litakalovutia hisia za ulimwengu mzima na kuleta athari kubwa za kitamaduni na kisiasa.
-
Lariijani: Ushiriki Katika Mazishi ya Shahidi Ni Ishara ya Imani, Utii na Azma ya Taifa
Mwenyekiti wa Baraza la Uamuzi wa Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu ameueleza kuwa kushiriki katika hafla ya kuaga kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni ishara ya imani, utii na azma ya umma uliosimama katika njia ya uhuru, heshima na muqawama.
-
Iran: Mabadiliko ya Serikali Hayataathiri Mahusiano Mazuri Kati ya Tehran na Baghdad
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa mahusiano kati ya Iran na Iraq ni ya kihistoria na ya kina, yakijengwa juu ya misingi ya kidini, kitamaduni na ujirani, akieleza kuwa mabadiliko ya serikali hayataathiri uhusiano huo wa karibu kati ya mataifa hayo mawili.
-
Siku Tano Zasalia kwa Kuaga Mwili wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Shahidi, Imam Sayyid Ali Khamenei
Kamati ya maandalizi ya mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Shahidi, Imam Sayyid Ali Khamenei (q.s), imetangaza kuwa zimebaki siku tano pekee kabla ya kufanyika kwa hafla ya mwisho ya kuuaga mwili wa kiongozi huyo, aliyesimama kidete kupinga mfumo wa dhulma wa kikanda kwa msaada wa Muqawama.
-
Mazingira ya Mazishi ya Imam Shahidi (r.a) Kufanyika kwa Maelekezo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya Kuaga na Kusimamia Mazishi ya Imam Shahidi (r.a) amesema kuwa maandalizi ya mazishi hayo yanafanyika kwa uongozi na maelekezo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, huku akizitaka vyombo vya habari kuhifadhi tukio hilo la kihistoria kwa ajili ya vizazi vijavyo.
-
Araghchi: Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ni Mwanga wa Njia kwa Diplomasia ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema ujumbe wa hivi karibuni wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mwongozo muhimu kwa maafisa wote wa sera za nje na utasaidia kulinda heshima ya taifa pamoja na haki za wananchi wa Iran.
-
Qalibaf: Tutatekeleza Maelekezo ya Kiongozi wa Mapinduzi na Kulinda Haki za Taifa la Iran
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ni ramani ya njia ya kurejesha haki za taifa la Iran na Kambi ya Muqawama, akisisitiza kuwa hawataruhusu upande mwingine kukiuka ahadi wala kukanyaga haki za wananchi wa Iran.
-
Pezeshkian: Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ni Ramani ya Kulinda Maslahi ya Taifa katika Mazungumzo
Rais Masoud Pezeshkian amesema ujumbe wa hivi karibuni wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu unaweka dira ya mazungumzo yajayo na kuhakikisha maslahi ya taifa la Iran yanalindwa kikamilifu.
-
Kiongozi wa Mapinduzi Atoa Ujumbe kwa Wairan Kuhusu Makubaliano kati ya Iran na Marekani
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema aliruhusu kutiwa saini kwa hati ya makubaliano kati ya Iran na Marekani baada ya kupokea dhamana kutoka kwa Rais wa Iran kwamba haki za wananchi wa Iran na Kambi ya Muqawama zitalindwa, huku akisisitiza kuwa mazungumzo ya baadaye hayatamaanisha kujisalimisha kwa matakwa ya Marekani.
-
Sheikh Isa Qassim: Ujumbe wa A'shura Ni Kusimama Dhidi ya Batili na Kushikamana na Haki
Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa kiroho wa Mashia wa Bahrain, amesisitiza kuwa ujumbe wa Ashura ni kusimama dhidi ya batili na kushikamana na haki, akibainisha kuwa tukio la Imam Hussein (a.s.) linabeba maadili ya heshima, ikhlasi na uthabiti, pamoja na wito wa kuimarisha umoja na mshikamano.
-
Rais Pezeshkian: Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa Mahujaji Uliweka Alama Muhimu katika Hija ya Mwaka Huu
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mahujaji wa Kiislamu umeifanya Hijja ya mwaka huu kuwa ya kipekee, huku akiwapongeza viongozi na watendaji wa Hijja kwa kuhakikisha mahujaji wa Iran wanatekeleza ibada zao kwa usalama, afya njema na heshima.
-
Mamilioni ya Wairaq Kuitikia Wito wa Kushiriki Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi
Takribani Wairaq milioni moja wanatarajiwa kushiriki mazishi ya kiongozi shahidi wa Mapinduzi, huku zaidi ya nusu milioni wakitarajiwa kuingia Iran kupitia mpaka wa Mehran kuelekea Tehran, Qum na Mashhad kwa ajili ya maombolezo.