Kiongozi
-
Lariyani: “Mazungumzo Sio Kipaumbele Sasa – Adui Lazima Kueleza Kwanza Sababu ya Vita”
Mazungumzo ni (Taktiki) mbinu tu ya Kisiasa inayotumika kufikia lengo Maalum. “Muachieni Kiongozi wa Mapinduzi aamue ni wakati gani na wapi ni sahihi kutumia mbinu hii.”
-
Uungaji mkono mkubwa wa Maraaji Taqlid kwa Ayatollah Khamenei:
Sapoti kubwa ya Marajii Taqlid wa Ulimwengu wa Kishia kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran/Jibu kali kwa manenoya udhalilishaji ya Trump
Marajii Wakuu wa Taqlid katika Ulimwengu wa Kishia, Ayatollah: Sistani, Makarem Shirazi, Nouri Hamedani, Javadi Amoli, Sobhani na Shabiri Zanjani wameshutumu katika taarifa tofauti matamshi ya udhalilishaji ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni Lazima Usubiri Adhabu Kali – Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Iran Hautauacha Salama
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Kiislamu Hautauacha Utawala wa Kizayuni - Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu
-
Kiongozi Mkuu: Msimamo Usioyumba wa Taifa la Iran Ni Ishara ya Uwezo na Dhamira ya Kitaifa – Wabunge Wahimizwa Kulinda Hadhi ya Bunge la Kiislamu
Katika mkutano na Spika na wabunge wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Iran Haijawahi Kuyumba Mbele ya Mashinikizo ya Kimataifa".
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mahujaji: "Ulimwengu wa Kiislamu wahitaji kutekeleza mafundisho ya Hija ili kusitisha maafa ya Gaza"
Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa Ulimwengu wa Kiislamu kwa sasa unayahitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote mafundisho ya Hija, na akibainisha kuwa Hija ya mwaka huu ni msimu wa pili unaofanyika sambamba na jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza, ameuliza swali lifuatalo:“Ni nani anapaswa kusimama dhidi ya janga hili la kibinadamu?” Kisha ameongeza kwa kusisitiza: “Bila shaka yoyote, serikali za Kiislamu ndizo zinazobeba wajibu wa kwanza wa jukumu hili, na mataifa ya Kiislamu yana haki ya kudai utekelezaji wa wajibu huo kutoka kwa serikali zao.”
-
Kukuza Umoja wa Kiislamu ni Msingi wa Mkutano wa Ayatollah Ramezani na Wanafikra wa Tijaniyya huko Niger + Picha
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ulimwengu wa Ahlul-Bayt (a.s) alikutana na Kiongozi wa Tijaniyya katika Mji wa Kiota, nchini Niger.
-
Katika mkutano na maelfu ya wafanyakazi kutoka kote nchini:
Kiongozi wa Mapinduzi ametoa uungaji mkono kamili kwa jamii ya wafanyakazi / Fikira zisikengeushwe kutoka kwenye suala la Palestina
Ayatollah Khamenei pia alisisitiza kuwa, pamoja na kuendelea kwa jinai na mauaji ya kikatili dhidi ya watu wa Gaza na Palestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni kwa msaada wa Marekani na Uingereza, mataifa yanapaswa kusimama dhidi ya utawala wa Kizayuni na wafuasi wake, na wasiruhusu masuala yanayohusu Palestina kusahaulika.
-
Kielezo cha Maandishi cha Hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi katika Khutba zake mbili za Sala ya Eid al-Fitr
Kiongozi Muadhamu alieleza msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vitisho vya maadui katika Khutba za Sala ya Eid al-Fitr.
-
Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi nchini Iraq katika mazungumzo na Abna:
Kuhifadhi Utukufu wa Ramadhani na kuimarisha matumaini, ni sababu ya Nguvu na Ukaribu wa Kiislamu
Ayatollah Hosseini, Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Iraq na mjumbe wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi ameashiria taathira za funga kiutamaduni na kijamii na kusisitiza juu ya ulazima wa kuhifadhi utukufu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika jamii.