serikali
-
Zulia nyekundu la Israel kwa wafuasi wa mitandao na viongozi wanaopinga Uislamu ili kukabiliana na upweke unaoongezeka
Mnamo mwezi Oktoba huu, serikali ya Kizayuni ya Israeli imekaribisha na kualika wafuasi maarufu wa mitandao wenye mwelekeo mkali wa kulia kutoka Uingereza na Marekani, ikiwa na lengo la kuunda propaganda ya vyombo vya habari ili kukabiliana na upweke unaoongezeka wa Israel katika jamii za kimataifa kufuatia mashambulizi na mauaji ya kimbari yaliyofanyika Gaza.
-
Ayatullah Javadi Amoli alisema:
“Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaundwa kati ya taifa na serikali, msingi wa mfumo utadhurika”
Mmoja wa maraji wa juu wa Washia alisema: “Iwapo kitovu cha mgawanyiko kitaibuka kati ya serikali na taifa, msingi wa mfumo utadhurika. Iwapo kiongozi atakuwa na wavurugiko kati ya matakwa yake ya kimaakili na tamaa za nafsi, ataondoka mbali na haki.”
-
Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq:
Hatukuruhusu wala hatutaruhusu anga ya Baghdad itumike dhidi ya Iran
Ali Larijani: “Hatukuruhusu, wala hatutaruhusu anga ya Baghdad au mipaka ya Iraq itumike dhidi ya Iran. Hatupaswi kuruhusu upande wowote kuvuruga usalama wa eneo hili.”
-
Hispania: Waislamu na wahamiaji wana jukumu muhimu katika uchumi na usalama wa kijamii
Serikali ya Hispania imeonyesha katika ripoti yake, huku ikikanusha imani za makundi ya mrengo wa kulia mkali, kwamba Waislamu na wahamiaji wameshiriki vizuri katika jamii ya nchi hiyo na wana mchango mkubwa katika uchumi na kuhakikisha usalama wa kijamii, ingawa bado wanakabiliana na ubaguzi katika baadhi ya maeneo kama upatikanaji wa makazi.
-
Ushambulizi wa wanajeshi wa Israeli dhidi ya nyumba za waliokuwa mateka waliotolewa huru katika Ukingo wa Magharibi
Vikosi vya kikoloni vilivamia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi usiku wa jana na asubuhi ya leo, na kufanya ukaguzi wa nyumba za baadhi ya waliokuwa mateka waliotolewa huru.
-
Msemaji wa Serikali ya Iran: Wale waliotekeleza uhalifu huko Ghaza wanapaswa kufikishwa mbele ya Mahakama
Msemaji wa serikali, huku akionyesha unga mkono kwa makubaliano ya kusitisha mapigano huko Ghaza, alisisitiza kuwa: kusitishwa kwa uhalifu wa utawala wa Israel huko Ghaza si mwisho wa safari, na wale waliotekeleza na waliyoamuru uhalifu huu wanapaswa kufikishwa mbele ya mahakama za kimataifa.
-
Marekani imeweka vikwazo dhidi ya watu 100 na taasisi mbalimbali kwa sababu ya kununua mafuta kutoka Iran
Serikali ya Donald Trump imeweka vikwazo vipya dhidi ya takriban watu 100, makampuni, na meli. Watu na taasisi hizi wanashutumiwa kushiriki katika ununua na usafirishaji wa mafuta na bidhaa za petrochemical za Iran.
-
Mkutano wa wapinzani wa kisiasa wa Taliban nchini Pakistan: Kuunda serikali ya pamoja kutasaidia amani na utulivu wa Afghanistan
Mkutano wa baadhi ya wapinzani wa kisiasa wa serikali ya Taliban ukiwa na kaulimbiu ya “Kuelekea Umoja na Uaminifu” umefanyika kwa siku mbili mjini Islamabad, mji mkuu wa Pakistan. Katika mkutano huu, baadhi ya wasichana wa Shia, wakiwemo Zahra Joyaa, mwanahabari maarufu kutoka Afghanistan, pia walihudhuria.
-
Ombi la Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama kwa Serikali za Dunia: “Tuunge Mkono”
Waandaji wa Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama wametoa wito kwa Serikali za Dunia kusaidia harakati za meli za kikosi hiki kuelekea Ukanda wa Gaza.
-
Imamu Mkuu wa Baghdad amesisitiza umuhimu wa kushiriki kwa ufahamu katika uchaguzi wa Bunge la Wawakilishi wa Iraq | Nguvu ya Muqawama wa Hizbollah
Imamu Mkuu wa Baghdad alisema kuwa taifa la Iraq leo limekabiliwa na chaguo mbili: ama kukubali serikali dhaifu isiyoweza, ama kwa kushiriki kwa nguvu katika uchaguzi kuharibu mpango wa Marekani.
-
Mfumo wa Mahakama wa Serikali ya Joulani umetoa amri ya kukamatwa pasina kuwepo (arrest in absentia) dhidi ya Rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad
Hapo awali, mfumo wa mahakama wa Ufaransa katika Mwezi wa Novemba 2023, uliitoa hukumu ya kukamatwa dhidi ya Bashar Assad kwa ushiriki katika mashambulizi ya kemikali yaliyotolewa na majeshi yake mwaka 2013 katika Ghouta na maeneo mengine karibu na Damascus, yaliyopelekea vifo vya watu wengi.
-
Lula da Silva katika Umoja wa Mataifa alisema: "Hakuna kitu kinachoweza kuhalalisha kuwaua watoto."
Rais wa Brazil Lula da Silva akizungumza katika mkutano wa kimataifa mjini New York Marekani amesisitiza juu ya ulazima wa kutatuliwa kwa amani suala la Palestina na kutekelezwa kwa mapatano ya serikali mbili.
-
Netanyahu: "Tutaendelea Kuwalenga Viongozi wa Hamas"
Kiongozi wa serikali ya Kizayuni (Israel) katika mkutano wa waandishi wa habari pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, alitetea shambulio la uvamizi la taifa hilo dhidi ya Qatar lililolenga kuuwa viongozi wa Hamas, na hakukatisha nafasi ya kuonyesha kuwa shambulio kama hilo linaweza kurudiwa dhidi ya nchi nyingine za eneo.
-
Al-Bukhaiti: "Vita imeingia katika awamu mpya na wavamizi watalipa gharama kubwa"
Mwanachama wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ametangaza kuwa shambulio dhidi ya kikao cha Serikali ya Yemen huko Sana'a lilivuka mistari miekundu na kwamba vita imeingia katika awamu mpya.
-
"Hamid al-Shatari", Mkuu wa idara ya ujasusi ya Iraq, amekutana na "Abu Muhammad al-Julani", Mkuu wa Serikali ya mpito ya Syria
Aidha, mkuu wa ujasusi wa Iraq alitembelea ubalozi wa Iraq ulioko Damascus na kukutana na kaimu balozi wa Iraq.
-
Jeshi la Lebanon limepokea silaha nzito kutoka kwenye kambi za Wakpalestina
Jeshi la Lebanon limeanza mchakato wa kupokea silaha kutoka kwenye Kambi za Wapalestina katika Mji wa Sur Kusini mwa nchi hiyo.
-
Abu Muhammad al-Jolani Kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Huku Akiwa Chini ya Vikwazo
Ahmad al-Sharaa, maarufu kama Abu Muhammad al-Jolani, Rais wa Serikali ya Muda ya Syria, anatarajiwa kushiriki na kutoa hotuba katika kikao cha 80 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York katika wiki chache zijazo.
-
“Ushirikiano wa Kutekeleza Mpango wa Marekani na Israel” / Je, “Vita kama vya Karbala” vya Hezbollah Viko Mbele
Beirut – Baadhi ya wanasiasa na wabunge wa Lebanon wamewasilisha malalamiko rasmi dhidi ya Sheikh Naeem Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah, baada ya hotuba yake ya hivi karibuni aliyoituhumu serikali ya Lebanon kwa kutaka kuisalimisha nchi mikononi mwa Israel.
-
Ubaguzi Dhidi ya Wafuasi wa Shia Nchini Punjab: Serikali Yatumia Shinikizo na Vitisho Kukomesha Maandamano ya Arbaeen Husseini (as)
Serikali ya Punjab imewaita wamiliki wa vibali vya kufanya maombolezo, waandaaji wa vituo vya kutoa huduma za bure (maisha ya Sadaka) na wajumbe wa kamati za ulinzi, na kuwashinikiza watangaze rasmi kujitenga na matembezi ya Arbaeen kuelekea Karbala.
-
Usimamizi wa Uingiaji wa Maashura ya Kiirani Nchini Iraq Kufanywa na Ataba Tukufu ya Husseiniyya
Kitengo cha Forodha na Mipaka kinachohusiana na Idara ya Mahusiano ya Umma cha Ataba Tukufu ya Husseiniyya, ambacho kimepewa majukumu haya, kina uzoefu wa zaidi ya miaka 8 katika uwanja huu na kimekuwa kikifanya kazi kwa ufanisi mkubwa hata katika mazingira magumu zaidi ili kuhakikisha kuingia kwa maashura mjini Karbala kunafanyika kwa utaratibu na urahisi.
-
Rais wa Iran: Mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran Yameleta Umoja wa Kitaifa Usio na Mfano
"Leo tunashuhudia kwa macho yetu kuwa kila Muirani - awe ni mfuasi wa Serikali au mpinzani wake - amekuwa sauti moja katika kutetea hadhi, uhuru, na mamlaka ya nchi yetu".
-
Baraza Kuu la Fat'wa la Syria: Kusaliti na kuomba msaada kwa adui wa Kizayuni ni haramu
"Adui wa Kizayuni ni adui wa wazi na ambaye uadui wake umethibitika, na kuomba msaada kwake ni miongoni mwa mambo yaliyo haramu kwa yakini."
-
Fat'wa Muhimu na Wazi ya Ayatollah Makarem Shirazi Dhidi ya Viongozi wa Kizayuni na Ubeberu
Ni wajibu kwa Waislamu kote duniani kuwafanya maadui hawa wajute kwa matamshi na vitendo vyao. Na ikiwa Waislamu watapata mashaka au hasara kutokana na kusimama dhidi yao, basi wao watakuwa na thawabu ya mujahid (mpiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu), Insha'Allah.
-
Mchambuzi wa Kiyahudi: "Kwa Nini Tumeshindwa Vita na Iran Imeshinda Vita?"
Mchambuzi huyu wa Kiyahudi, Goldberg alisisitiza zaidi kuwa Makombora ya Iran yalilenga kwa usahihi mno Shabaha zake, na yameibuka kwa heshima kubwa kimataifa. Badala ya kusambaratika, Iran imeonekana kuwa Taifa thabiti na lenye msimamo wa kupambana na uonevu wa yeyote.
-
Siri yafichuka: Mahusiano ya Israel na Viongozi wa sasa wa Serikali ya mpito ya Syria
Mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Syria na utawala haram wa Kizayuni (Israel) ni jambo ambalo kwa muda mrefu limeonekana kama hali isiyowezekana kutokana na migogoro ya kihistoria na migawanyiko ya kisiasa.
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Iran Imeshinda Vita
"Nachukua fursa hii kuipongeza Serikali na watu wa Iran kwa ushindi huu".
-
Mwanazuoni wa Kishia wa Pakistani:
Uungaji mkono wa Serikali ya Pakistan kwa Iran ni hatua ya kijasiri na ya kupongezwa
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan amepongeza uungaji mkono wa serikali ya Pakistan kwa Iran dhidi ya mashambulizi ya Israel na ameitaja hatua hiyo kuwa ya kijasiri na ya kupongezwa na kuzitaka nchi za Kiislamu kuchukua misimamo thabiti dhidi ya uvamizi wa Wazayuni.
-
Safari za ndege zimehairishwa hadi ilani nyingine/Shule, Misikiti, na njia za chini ya ardhi zitafunguliwa kwa umma saa 24 kwa siku kuanzia leo usiku
Msemaji wa Serikali amesema: "Hakuna shida katika kusafirisha bidhaa, dawa, chakula, na mahitaji ya watu, haswa mafuta."
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mahujaji: "Ulimwengu wa Kiislamu wahitaji kutekeleza mafundisho ya Hija ili kusitisha maafa ya Gaza"
Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa Ulimwengu wa Kiislamu kwa sasa unayahitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote mafundisho ya Hija, na akibainisha kuwa Hija ya mwaka huu ni msimu wa pili unaofanyika sambamba na jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza, ameuliza swali lifuatalo:“Ni nani anapaswa kusimama dhidi ya janga hili la kibinadamu?” Kisha ameongeza kwa kusisitiza: “Bila shaka yoyote, serikali za Kiislamu ndizo zinazobeba wajibu wa kwanza wa jukumu hili, na mataifa ya Kiislamu yana haki ya kudai utekelezaji wa wajibu huo kutoka kwa serikali zao.”
-
UNICEF: Takriban watoto milioni 4 wa Afghanistan hawana fursa ya kupata elimu
UNICEF imetangaza hivi karibuni kuwa takriban watoto milioni 4 nchini Afghanistan hawapati elimu kutokana na uhaba wa shule, huduma za afya, na walimu wenye sifa.